< Matendo 23 >

1 Paulo akawakazia macho wale wajumbe wa baraza, akasema, “Ndugu zangu, nimetimiza wajibu wangu kwa Mungu kwa dhamiri safi kabisa hadi leo.”
Paulo walabalangishisha bendeleshi ba nkuta, walambeti, “Batuloba mwense, banse bame. Ame ndekala ne buyumi bwalulama ne miyeyo yaloma pamenso a Lesa ne kukwanilisha incito shakame nshendelela kwinsa kushikila lelo pano.”
2 Kwa ajili ya jambo hili kuhani mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa karibu na Paulo wampige kofi kinywani.
Hananiya, Mukulene wa Beshimilumbo mpwalanyumfweco, walambila balikuba bemana pepi ne Paulo kwambeti bamume lupaka pa mulomo.
3 Ndipo Paulo akamwambia, “Mungu atakupiga wewe, ewe ukuta uliopakwa chokaa! Wewe umeketi hapo ili kunihukumu kwa mujibu wa sheria, lakini wewe mwenyewe unakiuka sheria kwa kuamuru kwamba nipigwe kinyume cha sheria!”
Paulo walamwambila Hananiya, “Lesa lakakumunga obe olubumbu lwashibululwa bulongo utuba! Obe ncowekaliloko ni kwambeti ung'omboloshe kwelana ne Milawo, kayi njobe ulatalukunga Milawo pa kwambila bantu eti bangume!”
4 Wale watu waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wakamwambia, “Je, wewe wathubutu kumtukana kuhani mkuu wa Mungu?”
Nomba bantu balikuba pepi ne Paulo balamwambileti, “Ha! Ulatukananga Mukulene wa Beshimilumbo wa Lesa!”
5 Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kwamba yeye alikuwa kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usimnenee mabaya kiongozi wa watu wako.’”
Paulo walakumbuleti, “Mobanse bame, nkandacishibangeti ni Mukulene wa Beshimilumbo. Pakwinga Mabala a Lesa alambangeti, ‘Kotamba maswi ayipa pa mwendeleshi wa bantu bakobe sobwe.’”
6 Paulo alipotambua ya kuwa baadhi yao walikuwa Masadukayo na wengine ni Mafarisayo, akapaza sauti kwenye baraza, “Ndugu zangu, mimi ni Farisayo, mwana Farisayo. Hapa nimeshtakiwa kuhusu tumaini langu katika ufufuo wa wafu.”
Paulo mpwalaboneti nabambi balikuba Basaduki, nabambi balikuba Bafalisi, walabilikisheti, “Mobanse bame, ame nde Mufalisi, mwana wa Bafalisi! Ndomboloshewanga cebo ca kupembelela nkonkute kwa kwambeti bafwa ni bakapunduke.”
7 Aliposema haya, farakano likaanza kati ya Mafarisayo na Masadukayo na baraza lote likagawanyika.
Mpwalambeco, palaba kutanyumfwana pakati pa Bafalisi ne Basaduki. Popelapo balapansana.
8 (Kwa maana Masadukayo wanasema kwamba hakuna ufufuo, wala hakuna malaika au roho, lakini Mafarisayo wanaamini haya yote.)
Pakwinga Basaduki bakute kwambeti kuliya kupunduka, kuliya mungelo, nambi mushimu. Balo Bafalisi bashoma byonse bitatu.
9 Kukawa na ghasia kubwa, nao baadhi ya walimu wa sheria ambao ni Mafarisayo, wakasimama wakapinga kwa nguvu wakisema, “Hatuoni kosa lolote la mtu huyu! Huenda ikawa roho au malaika amezungumza naye”
Neco kutanyumfwana kwalakonempa, pakwinga beshikwiyisha Milawo ya Mose balikuba kulubasu lwa Bafalisi balemana ne kutotekeshana cangofu, ne kwambeti, “Afwe paliya ncetulacana caipa mu muntuyu! Mpani mushimu, nambi mungelo walamba nendi.”
10 Ugomvi ukawa mkubwa kiasi kwamba yule jemadari akahofu kuwa wangemrarua Paulo vipande vipande, akaamuru vikosi vya askari vishuke na kumwondoa Paulo katikati yao kwa nguvu na kumleta ndani ya ngome ya jeshi.
Makoto abantu abili alatotekeshana cangofu, cakwinseti mukulene wa bashilikali bonse walatineti mpani ni bamushine Paulo. Neco walambila bashilikali bakendi kuya kumufunyapo Paulo pa bantu, ne kumutwala mu nkambe ya bashilikali.
11 Usiku uliofuata, Bwana akasimama karibu naye akamwambia, “Jipe moyo! Kama vile ulivyonishuhudia hapa Yerusalemu, hivyo imekupasa kunishuhudia huko Rumi pia.”
Pabusuba bopelobo cindi ca mashiku, Mwami Yesu walemana pepi ne Paulo ne kumwambileti, “Yumisha moyo! Mbuli ncolambeleko kamboni muno mu Yelusalemu, anu neku Loma welela kumbeleko kamboni.”
12 Kulipopambazuka Wayahudi wakafanya shauri pamoja na kujifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo.
Mpobwalaca, Bayuda nabambi balabungana pamo, kupangana cakumwinshila Paulo. Balalumbila pamenso a Lesa kwambeti nteti balyepo cakulya, nambi kunwapo ciliconse mpaka bamushine Paulo.
13 Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi ya watu arobaini.
Bantu abo balapangana sha kumushina Paulo balikuba bapitilila makumi ana.
14 Wakawaendea viongozi wa makuhani na wazee na kusema, “Tumejifunga pamoja kwa kiapo kwamba hatutakula wala kunywa mpaka tuwe tumemuua Paulo.
Mwa bwangu bwangu balaya kuli beshimilumbo bamakulene, ne bamakulene Baciyuda, ne kubambileti, “Tulalumbili tobene kwambeti, nteti tulyepo cintu ciliconse mpaka tukamushine Paulo.
15 Hivyo basi, wewe pamoja na baraza, inawapasa mkamjulishe jemadari ili amteremshe Paulo kwenu, mjifanye kama mnataka kufanya uchunguzi wa kina zaidi wa shauri lake. Nasi tuko tayari kumuua kabla hajafika hapa.”
Neco amwe, pamo ne bendeleshi ba nkuta bonse, muye mumusenge mukulene wa bashilikali bonse kwambeti amulete kuno Paulo. Mu mubepeti mulayandanga kunyumfwishisha cena ncalensa. Kabatana bashika nendi kuno, afwe tulalibambili ku mushina.”
16 Lakini mtoto wa dada yake Paulo aliposikia juu ya shauri hilo baya, alikwenda kule kwenye ngome ya askari na kumweleza Paulo.
Nomba muntuwendi Paulo mutuloba, walanyumfwa nshebali kupangana. Mwa bwangu bwangu walaya munkambe ya bashilikali kuya kumwambila Paulo.
17 Ndipo Paulo akamwita mmoja wa viongozi wa askari, akamwambia, “Mpeleke huyu kijana kwa jemadari, analo jambo la kumweleza.”
Popelapo Paulo walakuwa mukulene wa bashilikali mwanda, ne kumwambileti, “Koya nendi mutuloba musepela uyu kuli mukulene wa bashilikali bonse, ukute maswi akumwambila.”
18 Hivyo yule kiongozi wa askari akampeleka yule kijana kwa jemadari, akamwambia, “Paulo yule mfungwa aliniita na kuniomba nimlete huyu kijana kwako, kwa sababu ana neno la kukueleza.”
Mukulene wa bashilikali mwanda, walamutwala mutuloba musepela kuli mukulene wa bashilikali bonse, ne kumwambileti, “Paulo usa ngotwasunga langa lankuwu ne kunsengeti ndete mutuloba uyu kuli njamwe, ukute maswi akumwambila.”
19 Yule jemadari akamshika yule kijana mkono, akampeleka kando na kumuuliza, “Unataka kuniambia nini?”
Mukulene wa bashilikali bonse usa walamwikata kucikasa ne kuya nendi pa lubasu, ne kumwipusheti, “Nimakani cini ngolayandanga kung'ambila?”
20 Yule kijana akasema, “Wayahudi wamekubaliana wakuombe umpeleke Paulo kwenye baraza lao kesho kwa kisingizio kwamba wanataka kufanya uchunguzi wa kina wa shauri lake.
Nendi mutuloba usa walambeti, “Bayuda nabambi balapanganeti bakese kulinjamwe lilo, kwisa kumusengeti mukamusungulule Paulo kuli bendeleshi ba nkuta, nibakabepeti balayandanga kunyumfwishisha ncobele mulandu wakendi.
21 Lakini usishawishiwe nao kwa maana zaidi ya watu arobaini wanamvizia. Wamejifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo. Sasa wako tayari, wanangoja idhini yako kwa ajili ya ombi lao.”
Kamutaka banyumfwila sobwe, pakwinga kuli batuloba bapitilila makumi ana, beti bakabenga bamubelamina Paulo panshila. Balumbila pamenso a Lesa kwambeti, ‘nteti balye cakulya, nambi kunwa kabatana bamushina Paulo.’ Pacino cindi balibambila kumushina, balapembelelengowa ncotimukumbule.”
22 Yule jemadari akamruhusu yule kijana aende na akamwonya, akisema, “Usimwambie mtu yeyote kwamba umenieleza habari hizi.”
Mukulene wa bashilikali bonse walambeti, “Kotambilako muntu naba umo makani awa ngolang'ambiliko.” Popelapo mutuloba usa walapulamo, walaya kwabo.
23 Kisha yule jemadari akawaita viongozi wake wawili wa askari akawaambia, “Jiandaeni kuondoka saa tatu usiku huu kuelekea Kaisaria pamoja na askari 200, wapanda farasi sabini na watu 200 wenye mikuki.
Mukulene wa bashilikali walakuwa bashilikali babili bamakulene, ne kubambileti, “Mantani bashilikali myanda ibili ne bashilikali makumi asanu ne abili beshikutanta pama haki, kayi ne bashilikali myanda ibili bamafumo beti benga ku Kaisaleya, banyamuke cindi ca 9 koloko mashiku.
24 Pia tayarisheni na farasi watakaotumiwa na Paulo, mkampeleke salama kwa mtawala Feliksi.”
Nendi Paulo mu mutantike pa lihaki, mwenga mu mushikishe cena kuli Mwendeleshi Felekisi.”
25 Kisha akaandika barua kwa Feliksi kama ifuatavyo:
Usa mukulene wa bashilikali bonse walalemba nkalata njalalembamo maswi awa.
26 Klaudio Lisia, Kwa Mtawala, Mtukufu Feliksi: Salamu.
“Njame Kulodiyasi Lisiyasi, ndalembelenga amwe mwalemekwa ba Felekisi, ndeti mitende.
27 Mtu huyu alikamatwa na Wayahudi wakakaribia kumuua, lakini nikaja na vikosi vyangu vya askari nikamwokoa, kwa kuwa nilipata habari kwamba yeye ni raiya wa Rumi.
Bayuda balamwikata muntuyu, balikuyanda kumushina. Lino mpondalenshibeti ni mwine Loma, ndalaya ne bashilikali kuya kumufuna.
28 Nilitaka kujua kwa nini walikuwa wanamshutumu, hivyo nikamleta mbele ya baraza lao.
Ndalikuyanda kwinshiba mulandu ngobalamupa, neco ndalamutwala ku nkuta ya Bayuda.
29 Ndipo nikaona kuwa alikuwa anashutumiwa kwa mambo yanayohusu sheria yao, lakini hakuwa ameshtakiwa kwa jambo lolote linalostahili kifo au kifungo.
Ndalacaneti paliya caipa ncalensa ncelela kufwilapo, nambi kusungwa sobwe, pakwinga balikumupa mulandu pa makani a Milawo yabo bene.
30 Nilipoarifiwa kuwa kulikuwa na shauri baya dhidi ya mtu huyu, nilimtuma kwako mara moja. Niliwaagiza washtaki wake pia waeleze mashtaka yao dhidi yake mbele yako.
Mpondalambilweti Bayuda nabambi bapangananga sha kumushina, pacindi copeleco ndalayeya kwambeti ndimutume kuli njamwe. Ndabambila bonse balikumupa mulandu kwambeti, bakese bakambe kuli njamwe mulandu ngobalamupanga.”
31 Hivyo askari, kwa kufuata maelekezo waliyopewa, wakamchukua Paulo wakati wa usiku na kumleta mpaka Antipatri.
Basa bashilikali balensa ncobalambilwa. Balamanta Paulo busuba bopelobo mashiku, ne kuya kumushikisha kumunshi wa Antipatili.
32 Kesho yake wakawaacha wale wapanda farasi waendelee na safari wakiwa na Paulo, wao wakarudi kwenye ngome ya askari.
Mpobwalaca bashilikali beshikutanta pa mahaki balapitilisha kumushindikila Paulo, bashilikali nabambi balabwelela ku nkambe yabo.
33 Askari walipofika Kaisaria, walimpa mtawala ile barua, na kumkabidhi Paulo kwake.
Bashilikali beshikutanta pa mahaki mpobalashika nendi ku Kaisaleya, balamupa nkalata Mwendeleshi Felekisi ne kushiya Paulo mu makasa akendi.
34 Mtawala alipokwisha kuisoma ile barua alimuuliza Paulo alikuwa mtu wa jimbo gani. Alipojua kuwa anatoka Kilikia,
Mwendeleshi Felekisi mpwalapwa kubelenga nkalata, walepusha Paulo lubasu lwacishi ndwakute kufumina. Mpwalanyumfweti ukute kufuma ku Kilikiya,
35 alisema, “Nitasikiliza shauri lako washtaki wako watakapofika hapa.” Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi kwenye jumba la kifalme la Herode.
walambeti, “Ni nkanyumfwe mulandu wakobe, bakesa balakubepeshenga.” Bashilikali walabambileti bamulonde cena mu manda akomboloshela milandu ngalebaka Helode.

< Matendo 23 >