< Matendo 23 >

1 Paulo akawakazia macho wale wajumbe wa baraza, akasema, “Ndugu zangu, nimetimiza wajibu wangu kwa Mungu kwa dhamiri safi kabisa hadi leo.”
Pawluh naw kawngci jah bük lü, “Ka püi Isarele, Tungawi cäpa Pamhnama hmaia ngcimcaihkia mlungmthin am ka xüngseiki” a ti.
2 Kwa ajili ya jambo hili kuhani mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa karibu na Paulo wampige kofi kinywani.
Ktaiyü ngvai Anani naw a peia ngdüikie üng Pawluha mpyawng ami kbei vaia a jah mtheh.
3 Ndipo Paulo akamwambia, “Mungu atakupiga wewe, ewe ukuta uliopakwa chokaa! Wewe umeketi hapo ili kunihukumu kwa mujibu wa sheria, lakini wewe mwenyewe unakiuka sheria kwa kuamuru kwamba nipigwe kinyume cha sheria!”
Acunüng, Pawluh naw, “Nang abawk am hluka lung, Mhnam naw ni kbei khai; ngthumkhyah khaia ngawh lü, am kcang khaia thum pawh lü ami na kbei vaia na pyenki” a ti.
4 Wale watu waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wakamwambia, “Je, wewe wathubutu kumtukana kuhani mkuu wa Mungu?”
A peia kae naw, “Pamhnama ktaiyü ngvai na ksekhanaki aw?” ami ti.
5 Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kwamba yeye alikuwa kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usimnenee mabaya kiongozi wa watu wako.’”
Pawluh naw, “Ka püi Isarele aw, ktaiyü ngvaia akya am ksing veng; ‘Na khyang jah upki käh na ksekhanak vai’ tia Cangcim naw pyenki” a ti.
6 Paulo alipotambua ya kuwa baadhi yao walikuwa Masadukayo na wengine ni Mafarisayo, akapaza sauti kwenye baraza, “Ndugu zangu, mimi ni Farisayo, mwana Farisayo. Hapa nimeshtakiwa kuhusu tumaini langu katika ufufuo wa wafu.”
Pawluh naw, avang Sadukee, avang Pharisee tia ksing lü, “Ka püi Isarele aw, kei Pharisea ka kyaki, Pharisea cakpaa pi ka kyaki; khyangkthi tho be khai tia ka äpeia phäh, ahikba nami na kcetki” a ti.
7 Aliposema haya, farakano likaanza kati ya Mafarisayo na Masadukayo na baraza lote likagawanyika.
Cunüng, acuna ngthu a pyen law päng ja, Pharisee ja Sadukee ngcuh law u lü, ngtai lawki he.
8 (Kwa maana Masadukayo wanasema kwamba hakuna ufufuo, wala hakuna malaika au roho, lakini Mafarisayo wanaamini haya yote.)
Ami ngtainaka suilam cun, Sadukee naw, “Khyangkthia thawnak be am veki, khankhawngsä he, Ngmüimkhyae am veki” ti khawi u se; Pharisee naw, acuna lam kthum cun veki tia ami juma phäha kyaki.
9 Kukawa na ghasia kubwa, nao baadhi ya walimu wa sheria ambao ni Mafarisayo, wakasimama wakapinga kwa nguvu wakisema, “Hatuoni kosa lolote la mtu huyu! Huenda ikawa roho au malaika amezungumza naye”
Pharise da ka thum ksinge ngdüi law u lü, “Hina a katnak i am ksing ve üng; Ngmüimkhya naw pi kyase, khankhawngsä naw pi kyase, a ngthuheipüi üng pi, ia am kya?” ami ti.
10 Ugomvi ukawa mkubwa kiasi kwamba yule jemadari akahofu kuwa wangemrarua Paulo vipande vipande, akaamuru vikosi vya askari vishuke na kumwondoa Paulo katikati yao kwa nguvu na kumleta ndani ya ngome ya jeshi.
Ngcuh law dämdäm u se, yekap ngvai säih naw, Pawluh man u lü, amte mtea ami pawh law vai kyühki naw, yekape veia cit u lü ami vei üngka naw yekapea venaka ami cehpüi vaia a jah mtheh.
11 Usiku uliofuata, Bwana akasimama karibu naye akamwambia, “Jipe moyo! Kama vile ulivyonishuhudia hapa Yerusalemu, hivyo imekupasa kunishuhudia huko Rumi pia.”
Acunüng, mthana Bawipa cun Pawluha peia ngdüi lü, “Käh cäi kawpi, ka ngthu Jerusalema na saksia mäiha Romaha pi na saksi khai” a ti.
12 Kulipopambazuka Wayahudi wakafanya shauri pamoja na kujifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo.
Khawthai law lü Judah khyange, Pawluh am ami hnima küt üng i käh eiaw khaiea, ng'yüngce u lü vekie.
13 Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi ya watu arobaini.
Acukba ng'yüngce u lü ngkhämkie cun khyang kphyükipa kthaka nungkie.
14 Wakawaendea viongozi wa makuhani na wazee na kusema, “Tumejifunga pamoja kwa kiapo kwamba hatutakula wala kunywa mpaka tuwe tumemuua Paulo.
Acunee cun ktaiyü ngvaie ja ngvaiea veia cit u lü, “Pawluh am kami hnima küt üng i käh kami mdep khaia kami ng'yüngceki ni.
15 Hivyo basi, wewe pamoja na baraza, inawapasa mkamjulishe jemadari ili amteremshe Paulo kwenu, mjifanye kama mnataka kufanya uchunguzi wa kina zaidi wa shauri lake. Nasi tuko tayari kumuua kabla hajafika hapa.”
Acunakyase, khaw ngawia, yekap ngvai säih naw Pawluh cun nangmia veia lawpüi lü, ngkhai ngai khaia nami kcet vaia mäiha, ngvaie am atänga yekap ngvai säiha veia kthäh ua, acun üng Pawluh hnim vai ami täng. Acunüng, Pawluh nami veia am a pha law ham üng keimi cun kami hnim khaia, ngtün päng ve üng” ami ti.
16 Lakini mtoto wa dada yake Paulo aliposikia juu ya shauri hilo baya, alikwenda kule kwenye ngome ya askari na kumweleza Paulo.
Acunsepi, Pawluha a naa ca naw, lama ami na maha mawng cun ngja lü, yekapea venakaa va lutki naw, Pawluh am a va mtheh.
17 Ndipo Paulo akamwita mmoja wa viongozi wa askari, akamwambia, “Mpeleke huyu kijana kwa jemadari, analo jambo la kumweleza.”
Pawluh naw, yekap ngvai mat khü lü, “Hina cawngpyang hin yekap ngvaisäiha veia cehpüia; i mä a pyen vai ve khai ni” a ti.
18 Hivyo yule kiongozi wa askari akampeleka yule kijana kwa jemadari, akamwambia, “Paulo yule mfungwa aliniita na kuniomba nimlete huyu kijana kwako, kwa sababu ana neno la kukueleza.”
Yekap ngvaia veia cehpüi lü, “Thawngim üng kyumkia Pawluh naw na khü lü, hina cawngpyang na veia ka lawpüi khaia, ana tüih law, na veia i mä a pyen vai ve ve” a ti.
19 Yule jemadari akamshika yule kijana mkono, akampeleka kando na kumuuliza, “Unataka kuniambia nini?”
Acunüng, yekap ngvai säih naw a kut üng man lü, akcea cehpüiki naw, “I na na mtheh hlüki?” ti lü a kthäh.
20 Yule kijana akasema, “Wayahudi wamekubaliana wakuombe umpeleke Paulo kwenye baraza lao kesho kwa kisingizio kwamba wanataka kufanya uchunguzi wa kina wa shauri lake.
Ani naw “Judah ngvaie naw khaw ngawia Pawluh kawngcia na lawpüi vai ngjak'hlü ve u. Pawluha mawng cun ami naw aksing ngtea ksing hlükie hana ngsaih ve u, a ti.”
21 Lakini usishawishiwe nao kwa maana zaidi ya watu arobaini wanamvizia. Wamejifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo. Sasa wako tayari, wanangoja idhini yako kwa ajili ya ombi lao.”
Acunsepi, ami pyen käh jah na kcang na kawpi; khyang kphyükipa kthaka nungkie naw ani k'äih u lü ngthupkie ni, acune cun ani, am ami hnima küt üng i käh eiaw khaiea ng'yüngcekie ni; atuh na ja msangnak be vaia ngthu k'äihkie, ngtün u lü vekie ni” a ti.
22 Yule jemadari akamruhusu yule kijana aende na akamwonya, akisema, “Usimwambie mtu yeyote kwamba umenieleza habari hizi.”
Acunüng, yekap ngvaisäih naw cawngpyang cun tüih be lü, “Hina ngthu na na mtheh hin u pi käh ksingsak kawpi” a ti.
23 Kisha yule jemadari akawaita viongozi wake wawili wa askari akawaambia, “Jiandaeni kuondoka saa tatu usiku huu kuelekea Kaisaria pamoja na askari 200, wapanda farasi sabini na watu 200 wenye mikuki.
Yekap ngvai säih naw jung ngvai nghngih jah khü lü, “Tuh mü naji kaw üng, Ketarih khaw cäpa cit khaia yekap phyanghngih, ngsela ngcumki khyang khyühkip, kcei kawtki khyang phyanghngih ngsungcei u se ti lü” a jah mtheh.
24 Pia tayarisheni na farasi watakaotumiwa na Paulo, mkampeleke salama kwa mtawala Feliksi.”
Pe uk Felika veia phyawn lü pha khaia, Pawluha ngcumnak vaia ngsela ami pet vaia pi a jah mtheh sih.
25 Kisha akaandika barua kwa Feliksi kama ifuatavyo:
Ngvai naw hikba ca yu lü;
26 Klaudio Lisia, Kwa Mtawala, Mtukufu Feliksi: Salamu.
“Kalawdih Lusik aw ami leisawnga pe uk Felik naw ning hnukset ve.
27 Mtu huyu alikamatwa na Wayahudi wakakaribia kumuua, lakini nikaja na vikosi vyangu vya askari nikamwokoa, kwa kuwa nilipata habari kwamba yeye ni raiya wa Rumi.
Hina khyang Judahe naw man u lü ami hnim law hlü ja, ami veia yekape jah ngkhahpüi lü ka citki, Romah khyang ni tiaa ksing lü ka yung law.
28 Nilitaka kujua kwa nini walikuwa wanamshutumu, hivyo nikamleta mbele ya baraza lao.
Acunüng, ami mkatnaka suilam ksing hlü lü, ami kawngciea veia ka cehpüi.
29 Ndipo nikaona kuwa alikuwa anashutumiwa kwa mambo yanayohusu sheria yao, lakini hakuwa ameshtakiwa kwa jambo lolote linalostahili kifo au kifungo.
Ami thum ia phäha ami mkat tia ka ksing, acunsepi ami mkatnak üng thihnak vai ja man u lü thawng üng khyum vaia anglawinak i am hmu veng.
30 Nilipoarifiwa kuwa kulikuwa na shauri baya dhidi ya mtu huyu, nilimtuma kwako mara moja. Niliwaagiza washtaki wake pia waeleze mashtaka yao dhidi yake mbele yako.
Judahe naw ami hnim vaia kham hükie ni tia khyang naw a na mtheh ja, na veia ka tüih law ni, mkatkie naw pi ami mkatnaka mawng na hmaia ami pyen vaia ngthu ka jah pet ni” a ti.
31 Hivyo askari, kwa kufuata maelekezo waliyopewa, wakamchukua Paulo wakati wa usiku na kumleta mpaka Antipatri.
Ngthu a jah peta mäiha yekape naw mthan nglunga Pawluh cun man u lü, Antipatariha ami cehpüi.
32 Kesho yake wakawaacha wale wapanda farasi waendelee na safari wakiwa na Paulo, wao wakarudi kwenye ngome ya askari.
A ngawi üng, ngsela ngcumkie Pawluh am jah cehsak u lü, amimät cun yekapea venaka nghlat law bekie.
33 Askari walipofika Kaisaria, walimpa mtawala ile barua, na kumkabidhi Paulo kwake.
Ketarih ami pha law üng, ca cun pe uk Felik am pe u lü, Pawluh cun pi ami msum.
34 Mtawala alipokwisha kuisoma ile barua alimuuliza Paulo alikuwa mtu wa jimbo gani. Alipojua kuwa anatoka Kilikia,
Pe uk naw a kheh law päng üng, Pawluha venaka khaw a kthäh. Acunüng, Kilikih khawa ka ni tia a ksing law ja,
35 alisema, “Nitasikiliza shauri lako washtaki wako watakapofika hapa.” Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi kwenye jumba la kifalme la Herode.
“Ning mkatkie ami pha law käna, na mawng ka ning ngaih pet khai” a ti. Acunüng, Pawluh cun pe uka junga ami ngäng vaia ngthu a jah pet.

< Matendo 23 >