< Matendo 21 >

1 Tulipokwisha kujitenga nao, tukaanza safari kwa njia ya bahari moja kwa moja mpaka Kosi. Siku ya pili yake tukafika Rodo na kutoka huko tukaenda Patara.
Wakati tulekene nabhu, na twisafiri mu bahari, twafikili moja kwa moja mu mji bhwa Kosi, ni kilabhu jhiake twafikili mji bhwa Rodi, ni kuhoma okhu twafikili mji bhwa Patara.
2 Hapo tukapata meli iliyokuwa inavuka kwenda Foinike tukapanda tukasafiri nayo.
Bhotukabhili meli jhajhilobhoka kulota Foinike, twakwelili twasafiri.
3 Tulipokiona kisiwa cha Kipro, tukakizunguka tukakiacha upande wetu wa kushoto, tukasafiri mpaka Shamu, tukatia nanga katika bandari ya Tiro ambapo meli yetu ilikuwa ipakue shehena yake.
Bhotufikiri palongolo jha kisiwa kya Kipro, tukajhileka lubhafu lwa kushoto, twasafiri hadi Siria, tukabheka nanga mu mji bhwa Tiro, kwandabha okhu ndo meli jhilondekeghe ipakulibhwayi shehena jha muene.
4 Baada ya kuwatafuta wanafunzi wa huko, tukakaa nao kwa siku saba. Wale wanafunzi wakiongozwa na Roho wakamwambia Paulo asiende Yerusalemu.
Baada jha kubhabhona bhanafunzi, twatamili okhu magono saba. Bhanafunzi abha bhakan'jobhela Paulo kupetela kwa Roho kwamba muene asikanyi Yerusalemu.
5 Lakini muda wetu ulipokwisha, tukaondoka tukaendelea na safari yetu. Wale wanafunzi pamoja na wake zao na watoto wakatusindikiza hadi nje ya mji. Wote tukapiga magoti pale pwani tukaomba.
Hata bho tutimisi magono ghala, tete twabhokili tukakilotela, bhoha pamonga, ni bhadala bhabhi ni bhana bhabhi, bhatusindikisi mu njela sa jhofo hadi bho tuhomi kwibhala jha mji. Kisha twapigili magoti mu masimbale, twasokili, twalaghene khila mmonga.
6 Baada ya kuagana, tukapanda melini, nao wakarudi majumbani mwao.
Twakweli meli, khoni na bhene bhakakerebhuka kunyumba jha bhene kabhele.
7 Tukaendelea na safari yetu toka Tiro tukafika Tolemai, tukawasalimu ndugu wa huko, tukakaa nao kwa siku moja.
Hata bho tumalili safari jha jhoto kuhoma Tiro, twafikili Tolemai. Pala twasalimili bhalongobhitu, na twatamili okhu kwa ligono limonga.
8 Siku iliyofuata tukaondoka, tukafika Kaisaria. Huko tukaenda nyumbani kwa mwinjilisti mmoja jina lake Filipo, aliyekuwa mmoja wa wale Saba, tukakaa kwake.
Kilabhu jhiake tukabhoka tukalota Kaisaria. Tete twajhingili munyumba jha Filipo, muhubiri bhwa injili, jhaajhele mmonga ghwa bhala saba, natu twatamili pamonga ni muene.
9 Filipo alikuwa na binti wanne mabikira waliokuwa wanatoa unabii.
Munu ojho ajhele ni bhabinti bhancheche mabikra ambabho bhatabiri.
10 Baada ya kukaa kwa siku kadhaa, akateremka nabii mmoja kutoka Uyahudi jina lake Agabo.
Baada jhakutama okhu kwa magono kadhaa, akaselela kuhoma Uyahudi nabii mmonga jhaakutibhwe gha Agabo.
11 Alipotufikia akachukua mshipi wa Paulo akajifunga, akautumia kufunga mikono na miguu yake mwenyewe akasema, “Roho Mtakatifu anasema: ‘Hivi ndivyo Wayahudi wa Yerusalemu watakavyomfunga mwenye mshipi huu na kumkabidhi kwa watu wa Mataifa.’”
Muene akahida kwa tete ni kuuleta n'kanda ghwa Paulo. kwa obhu akakikhongili magolo ni mabhoko gha muene ni kujobha, “Roho Mtakatifu ijobha naha,” “Bhayahudi bha Yerusalemu bhibetakun'konga munu jhaimiliki n'kanda obho, nabhene bhibetakun'karibisi mu mabhoko gha bhanu bha mataifa.”
12 Tuliposikia maneno haya sisi na ndugu wengine tukamsihi Paulo asiende Yerusalemu.
Bhotupeliki mambo aghu, tete ni bhanu bhabhatameghe pala twansihi Paulo asikweli kulota Yerusalemu.
13 Lakini Paulo akajibu, “Kwa nini mnalia na kunivunja moyo? Mimi niko tayari si kufungwa tu, bali hata kufa huko Yerusalemu kwa ajili ya jina la Bwana Yesu.”
Ndipo Paulo ajibili, “Mwibhomba kiki, mwilela ni kunivunja muoyo ghwa nene? Kwa ndabha nijhe tayari siyo tu kufungibhwa, lakini pia kufwelela okhu Yerusalemu kwandabha jha lihina lya Bwana Yesu.”
14 Alipokuwa hashawishiki, tukaacha kumsihi, tukasema, “Mapenzi ya Bwana na yatendeke.”
Kwa vile Paulo alondelepi kushawishibhwa, twalekili ni kujobha, “Basi mapenzi gha Bwana ghabhombekayi.”
15 Baada ya haya, tukajiandaa, tukaondoka kwenda Yerusalemu.
Baada jha magono agha, twatolili mifuku ghitu ni kukwela Yerusalemu.
16 Baadhi ya wanafunzi kutoka Kaisaria wakafuatana nasi na kutupeleka nyumbani kwa Mnasoni, ambaye tungekaa kwake. Yeye alikuwa mtu wa Kipro, mmoja wa wanafunzi wa zamani.
Baadhi jha bhanafunzi kuhoma Kaisaria kabhele bhalongosene hatu. Bandetili munu mmonga jhaakutibhweghe Mnasoni, munu ghwa Kipro, mwanafunzi ghwa muandi, ambajhe twataminakhu.
17 Tulipofika Yerusalemu ndugu wakatukaribisha kwa furaha.
Bho tufikili Yerusalemu bhalongobhitu bhatukaribisi kwa furaha.
18 Kesho yake Paulo pamoja na wengine wetu tulikwenda kumwona Yakobo, na wazee wote walikuwepo.
Kilabhu jhiake Paulo alotili pamonga ni tete kwa Yakobo, ni bhaseya bhoha bhajhele.
19 Baada ya kuwasalimu, Paulo akatoa taarifa kamili ya mambo yote ambayo Mungu alikuwa amefanya miongoni mwa watu wa Mataifa kupitia huduma yake.
Baada jha kubhaponesya, abhapelili taarifa jhimonga baada jha jhenge jha mambo ambagho K'yara aghabhombili miongoni mwa mataifa kupetela huduma jhiake.
20 Baada ya kusikia mambo haya wakamwadhimisha Mungu. Ndipo wakamwambia Paulo, “Ndugu, unaona kulivyo na maelfu ya Wayahudi walioamini, nao wote wana juhudi kwa ajili ya sheria.
Wakati bhapeliki aghu, bhakan'sifu K'yara ni kun'jobhela, “Wilola, ndongo, kujha ni maelfu bhalenga bhakyeriri miongoni mwa Bhayahudi. Bhene bhoha bhajhe ni nia jha kukamula sheria.
21 Lakini wameambiwa habari zako kwamba unafundisha Wayahudi wote waishio miongoni mwa watu wa Mataifa kumkataa Mose, na kwamba unawaambia wasiwatahiri watoto wao wala kufuata desturi zetu.
Bhajobhibu kuhusu bhebhe, kujha ifundisya Bhayahudi bhabhitama kati jha mataifa kulekana ni Musa, ni kwamba ukabhajobhela bhasibhatairi bhana bhabhi, na bhasikesi desturi sya muandi.
22 Sasa tufanyeje? Bila shaka watasikia kwamba umekuja Yerusalemu.
Twilondeka tukheta kiki? Bila shaka bhibetakupeleka bhebhe uhidili.
23 Kwa hiyo fanya lile tunalokuambia. Tunao watu wanne hapa ambao wameweka nadhiri.
Efyo bhombayi khila tete kyatukujobhela henu: tujhe ni bhanu bhancheche ambabho bhabhekili nadhiri.
24 Jiunge na watu hawa, mfanye utaratibu wa ibada ya kujitakasa pamoja nao, na ulipe gharama ili wanyoe nywele zao. Kwa njia hii kila mtu atafahamu ya kuwa mambo waliyosikia si ya kweli na kwamba wewe unaishika sheria.
Bhatolayi bhanu abha ni ukitakasiayi wa muene pamonga nabhu, na ubhalepayi gharama sya bhene, ili bhabhwesiayi kukasa mitu ghya bhene. Efyo khila mmonga akabhayi kumanya kujha mambo ghabhajobhibhu kuhusu bhebhe gha udesi. Bhibetakusimanyisya kujha bhebhe kabhele ghwikesya sheria.
25 Lakini kuhusu wale watu wa Mataifa walioamini, tumewaandikia uamuzi wetu: kwamba wajitenge na vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, au kula nyama ya mnyama aliyenyongwa, na wajiepushe na uasherati.”
Lakini kwa habari sya bhamataifa ambabho bhajhele bhaumini, twalembilli ni kupisya malaghisu kwamba bhilondeka kwijhepusya ni fenu fya fipisibhu dhabihu kwa sanamu, ni damu, kutokana ni khela kya kiniyongibhu, na bhakiepushayi ni uasherati.”
26 Ndipo kesho yake Paulo akawachukua wale watu na akajitakasa pamoja nao. Akaingia ndani ya hekalu ili atoe taarifa ya tarehe ambayo siku zao za utakaso zingemalizika na sadaka ingetolewa kwa ajili ya kila mmoja wao.
Ndipo, Paulo abhaletili bhagosi, ni ligono lya pili, akakitakasa muene pamonga nabhu, akajhingila mu hekalu, kipindi kya ligono lya kwitakasya hadi sadaka kupisibhwa kwa ndabha jha khila mmonga bhabhi.
27 Zile siku saba zilipokaribia kumalizika, baadhi ya Wayahudi kutoka sehemu za Asia waliokuwa wamemwona Paulo ndani ya Hekalu, wakachochea umati wote wa watu, nao wakamkamata.
Magono aghu saba bho ghakaribili kumalika, baadhi jha Bhayahudi kuhoma Asia bhakambona Paulo mu hekalu, ni makutano bhakadada, ni kun'sosolela mabhoko.
28 Wakapiga kelele wakisema, “Waisraeli wenzetu, tusaidieni! Huyu ndiye yule mtu anayefundisha kila mtu na kila mahali, kinyume na watu wetu, sheria zetu na hata Hekalu hili. Zaidi ya hayo amewaleta Wayunani ndani ya Hekalu na kupanajisi mahali hapa patakatifu.”
Bhakajha bhijhwegha, “Bhanu bha Israeli, tutangatilayi. Ojho ndo munu jhola jha ikabhamanyisya bhanu khila mahali mambo ambagho ndo kinyume kya bhanu, sheria, ni mahali apa. Kabhele abhaletili Bhayunani mu hekalu ni kupanajisi mahali apa patakatifu.”
29 (Walikuwa wamemwona Trofimo, mwenyeji wa Efeso, akiwa mjini pamoja na Paulo wakadhani kuwa Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni.)
Kwa kujha mwanzoni bhajhele bhambwene Trofimo Muefeso akajha pamonga ni muene mjini, na bhene bhadhanileghe kwamba Paulo andetili mu hekalu.
30 Mji wote ukataharuki, watu wakaja wakikimbia kutoka pande zote wakamkamata Paulo, wakamburuta kutoka Hekaluni. Milango ya Hekalu ikafungwa.
Mji bhuoha bhwajhele ni taharuki, ni bhanu bhakajumba pamonga ni kun'kamula Paulo. Bhakampisya kwibhala jha hekalu, ni miliangu mara jhikafungibhwa.
31 Walipokuwa wakitaka kumuua, habari zikamfikia jemadari wa jeshi la askari wa Kirumi kwamba mji wa Yerusalemu wote ulikuwa katika machafuko.
Bhobhijaribu kun'koma habari syamfikili mbaha ghwa jeshi lya bhalinzi kujha Yerusalemu jhioha jhimemili ghasia.
32 Mara yule jemadari akachukua maafisa wengine wa jeshi pamoja na askari wakakimbilia kwenye ile ghasia, wale watu waliokuwa wakifanya ghasia walipomwona yule jemadari na askari wakija, wakaacha kumpiga Paulo.
Mara ejhu akabhatola askari ni jemedari akaujumbila umati. Wakati bhanu bhambwene mbaha ghwa majeshi ni askari, bhakaleka kun'tobha Paulo.
33 Yule jemadari akaja, akamkamata Paulo akaamuru afungwe kwa minyororo miwili. Akauliza yeye ni nani, na alikuwa amefanya nini.
Kisha mbaha ghwa majeshi akan'karibila ni kun'kamula Paulo, ni kuamuru akongibhwayi minyororo mu mbele. Akan'kota muene niani na aketili kiki.
34 Baadhi ya watu katika ule umati wakapiga kelele, hawa wakisema hili na wengine lile. Yule jemadari alipoona kuwa hawezi kupata hakika ya habari kwa sababu ya zile kelele, akaamuru Paulo apelekwe katika ngome ya jeshi.
Baadhi jha bhanu mu umati bhakajha bhipwayuka khenu akhe ni bhangi k'enge. Kwa kujha jemedari abhwesilepi kubhajobhela kyokyoha kwandabha jha sela njuegho, akaamuru Paulo aletibhwayi mugati mu ngome.
35 Paulo alipofika penye ngazi, ilibidi askari wambebe juu juu kwa sababu fujo za ule umati wa watu zilikuwa kubwa.
Basi bho afikili pa ngazi, akatolibhwa ni askari kwa ndabha jha ghasia sya umati.
36 Umati wa watu ulikuwa ukifuata ukiendelea kupiga kelele ukisema, “Mwondoe huyu!”
Ndabha umati bhwa bhanu bhan'kesisi na bhajhendelili kujhuegha, “Mumbosiajhi ojhu!”
37 Mara tu Paulo alipokaribia kuingizwa kwenye ngome ya jeshi, akamwambia yule jemadari, “Je, naweza kukuambia jambo moja?” Yule jemadari akamjibu, “Je, unajua Kiyunani?
Paulo bho iletibhwa mugati mu ngome, an'jobhili mbaha ghwa majeshi, “Nibhwesya kun'jobhela khenu?” Jhola mbaha ghwa jeshi akajobha, “Je wilongela Kiyunani?
38 Je, wewe si yule Mmisri ambaye siku hizi za karibuni alianzisha uasi akaongoza kundi la magaidi 4,000 wenye silaha jangwani?”
Je, bhebhe sio jhola Mmisri ambajhe awali alonguisi uasi na atolili magaidi elfu nne nyikani?”
39 Paulo akajibu, “Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso, huko Kilikia, raiya wa mji maarufu. Tafadhali niruhusu nizungumze na hawa watu.”
Paulo akajobha, “Nene na Myahudi, kuhoma mji bhwa Tarso jha Kilikia. Nene na raia ghwa mji maarufu. Nikabhas'oka, mniruhusiajhi nilongelayi ni bhanu.”
40 Akiisha kupata ruhusa ya yule jemadari, Paulo akasimama penye ngazi akawapungia watu mkono ili wanyamaze. Wote waliponyamaza kimya, Paulo akazungumza nao kwa lugha ya Kiebrania, akasema:
Wakati jemedari ampelili ruhusa, Paulo akajhema pa ngazi ni kupisya ishara kwa bhanu kwa kibhoko kya muene. Wakati bhajhele kinunu sana, akalongela nabhu kwa Kihebrania. Akajobha,

< Matendo 21 >