< Matendo 21 >
1 Tulipokwisha kujitenga nao, tukaanza safari kwa njia ya bahari moja kwa moja mpaka Kosi. Siku ya pili yake tukafika Rodo na kutoka huko tukaenda Patara.
as/when then to be to lead me to draw away away from it/s/he to sail straight to come/go toward the/this/who Cos the/this/who then next/afterward toward the/this/who Rhodes and from there toward Patara
2 Hapo tukapata meli iliyokuwa inavuka kwenda Foinike tukapanda tukasafiri nayo.
and to find/meet boat to cross toward Phoenicia to mount/board to lead
3 Tulipokiona kisiwa cha Kipro, tukakizunguka tukakiacha upande wetu wa kushoto, tukasafiri mpaka Shamu, tukatia nanga katika bandari ya Tiro ambapo meli yetu ilikuwa ipakue shehena yake.
(to appear *NK(o)*) then the/this/who Cyprus and to leave behind it/s/he left/south to sail toward Syria and (to descend *N(k)O*) toward Tyre there for the/this/who boat to be to unload the/this/who cargo
4 Baada ya kuwatafuta wanafunzi wa huko, tukakaa nao kwa siku saba. Wale wanafunzi wakiongozwa na Roho wakamwambia Paulo asiende Yerusalemu.
(and *k*) to find (then *no*) the/this/who disciple to remain/keep on there day seven who/which the/this/who Paul to say through/because of the/this/who spirit/breath: spirit not (to mount/board *N(k)O*) toward Jerusalem
5 Lakini muda wetu ulipokwisha, tukaondoka tukaendelea na safari yetu. Wale wanafunzi pamoja na wake zao na watoto wakatusindikiza hadi nje ya mji. Wote tukapiga magoti pale pwani tukaomba.
when then to be me to finish/furnish the/this/who day to go out to travel to help on the way me all with woman: wife and child until out/outside(r) the/this/who city and to place the/this/who a knee upon/to/against the/this/who shore (to pray *N(k)O*)
6 Baada ya kuagana, tukapanda melini, nao wakarudi majumbani mwao.
(to pay respects to *N(k)O*) one another and (to ascend *N(k)(o)*) toward the/this/who boat that then to return toward the/this/who one's own/private
7 Tukaendelea na safari yetu toka Tiro tukafika Tolemai, tukawasalimu ndugu wa huko, tukakaa nao kwa siku moja.
me then the/this/who voyage to continue away from Tyre to come to toward Ptolemais and to pay respects to the/this/who brother to stay day one from/with/beside it/s/he
8 Siku iliyofuata tukaondoka, tukafika Kaisaria. Huko tukaenda nyumbani kwa mwinjilisti mmoja jina lake Filipo, aliyekuwa mmoja wa wale Saba, tukakaa kwake.
the/this/who then the next day to go out (the/this/who about the/this/who Paul *K*) (to come/go *NK(O)*) toward Caesarea and to enter toward the/this/who house: home Philip the/this/who evangelist (the/this/who *k*) to be out from the/this/who seven to stay from/with/beside it/s/he
9 Filipo alikuwa na binti wanne mabikira waliokuwa wanatoa unabii.
this/he/she/it then to be daughter four virgin to prophesy
10 Baada ya kukaa kwa siku kadhaa, akateremka nabii mmoja kutoka Uyahudi jina lake Agabo.
to remain/keep on then (me *K*) day much to descend one away from the/this/who Judea prophet name Agabus
11 Alipotufikia akachukua mshipi wa Paulo akajifunga, akautumia kufunga mikono na miguu yake mwenyewe akasema, “Roho Mtakatifu anasema: ‘Hivi ndivyo Wayahudi wa Yerusalemu watakavyomfunga mwenye mshipi huu na kumkabidhi kwa watu wa Mataifa.’”
and to come/go to/with me and to take up the/this/who belt/sash/girdle the/this/who Paul to bind (and/both *k*) (themself *N(k)O*) the/this/who foot and the/this/who hand to say this to say the/this/who spirit/breath: spirit the/this/who holy the/this/who man which to be the/this/who belt/sash/girdle this/he/she/it thus(-ly) to bind in/on/among Jerusalem the/this/who Jew and to deliver toward hand Gentiles
12 Tuliposikia maneno haya sisi na ndugu wengine tukamsihi Paulo asiende Yerusalemu.
as/when then to hear this/he/she/it to plead/comfort me and/both and the/this/who resident the/this/who not to ascend it/s/he toward Jerusalem
13 Lakini Paulo akajibu, “Kwa nini mnalia na kunivunja moyo? Mimi niko tayari si kufungwa tu, bali hata kufa huko Yerusalemu kwa ajili ya jina la Bwana Yesu.”
(then *N(k)O*) to answer the/this/who Paul which? to do/make: do to weep and to break me the/this/who heart I/we for no alone to bind but and to die toward Jerusalem readily to have/be above/for the/this/who name the/this/who lord: God Jesus
14 Alipokuwa hashawishiki, tukaacha kumsihi, tukasema, “Mapenzi ya Bwana na yatendeke.”
not to persuade then it/s/he be quiet/give up to say the/this/who lord: God the/this/who will/desire (to be *N(k)O*)
15 Baada ya haya, tukajiandaa, tukaondoka kwenda Yerusalemu.
with/after then the/this/who day this/he/she/it to pack up to ascend toward Jerusalem
16 Baadhi ya wanafunzi kutoka Kaisaria wakafuatana nasi na kutupeleka nyumbani kwa Mnasoni, ambaye tungekaa kwake. Yeye alikuwa mtu wa Kipro, mmoja wa wanafunzi wa zamani.
to assemble then and the/this/who disciple away from Caesarea with me to bring from/with/beside which to host Mnason one Cyprus ancient disciple
17 Tulipofika Yerusalemu ndugu wakatukaribisha kwa furaha.
to be then me toward Jerusalem gladly (to receive *N(k)O*) me the/this/who brother
18 Kesho yake Paulo pamoja na wengine wetu tulikwenda kumwona Yakobo, na wazee wote walikuwepo.
the/this/who then to come later to enter the/this/who Paul with me to/with James all and/both to come the/this/who elder: Elder
19 Baada ya kuwasalimu, Paulo akatoa taarifa kamili ya mambo yote ambayo Mungu alikuwa amefanya miongoni mwa watu wa Mataifa kupitia huduma yake.
and to pay respects to it/s/he to tell according to one each which to do/make: do the/this/who God in/on/among the/this/who Gentiles through/because of the/this/who service it/s/he
20 Baada ya kusikia mambo haya wakamwadhimisha Mungu. Ndipo wakamwambia Paulo, “Ndugu, unaona kulivyo na maelfu ya Wayahudi walioamini, nao wote wana juhudi kwa ajili ya sheria.
the/this/who then to hear to glorify the/this/who (God *N(K)O*) (to say *NK(o)*) and/both it/s/he to see/experience brother how much/many? myriad to be (in/on/among the/this/who *NO*) (Jew *N(k)O*) the/this/who to trust (in) and all zealot the/this/who law be already
21 Lakini wameambiwa habari zako kwamba unafundisha Wayahudi wote waishio miongoni mwa watu wa Mataifa kumkataa Mose, na kwamba unawaambia wasiwatahiri watoto wao wala kufuata desturi zetu.
to instruct then about you that/since: that apostasy to teach away from Moses the/this/who according to the/this/who Gentiles all Jew to say not to circumcise it/s/he the/this/who child nor the/this/who custom to walk
22 Sasa tufanyeje? Bila shaka watasikia kwamba umekuja Yerusalemu.
which? therefore/then to be surely (be necessary multitude to assemble *K*) to hear (for *k*) that/since: that to come/go
23 Kwa hiyo fanya lile tunalokuambia. Tunao watu wanne hapa ambao wameweka nadhiri.
this/he/she/it therefore/then to do/make: do which you to say to be me man four a vow/prayer to have/be (upon/to/against *NK(o)*) themself
24 Jiunge na watu hawa, mfanye utaratibu wa ibada ya kujitakasa pamoja nao, na ulipe gharama ili wanyoe nywele zao. Kwa njia hii kila mtu atafahamu ya kuwa mambo waliyosikia si ya kweli na kwamba wewe unaishika sheria.
this/he/she/it to take to purify with it/s/he and to spend upon/to/against it/s/he in order that/to (to shave *N(k)O*) the/this/who head and (to know *N(k)O*) all that/since: that which to instruct about you none to be but to follow and it/s/he to keep/guard: observe the/this/who law
25 Lakini kuhusu wale watu wa Mataifa walioamini, tumewaandikia uamuzi wetu: kwamba wajitenge na vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, au kula nyama ya mnyama aliyenyongwa, na wajiepushe na uasherati.”
about then the/this/who to trust (in) Gentiles me (to write to *NK(O)*) to judge (nothing such as this to keep: protect it/s/he if not *K*) to keep/guard: protect it/s/he the/this/who and/both sacrificed to idols and (the/this/who *k*) blood and strangled and sexual sin
26 Ndipo kesho yake Paulo akawachukua wale watu na akajitakasa pamoja nao. Akaingia ndani ya hekalu ili atoe taarifa ya tarehe ambayo siku zao za utakaso zingemalizika na sadaka ingetolewa kwa ajili ya kila mmoja wao.
then the/this/who Paul to take the/this/who man the/this/who to have/be day with it/s/he to purify to enter toward the/this/who temple to proclaim the/this/who fulfillment the/this/who day the/this/who purification until which to bring to above/for one each it/s/he the/this/who offering
27 Zile siku saba zilipokaribia kumalizika, baadhi ya Wayahudi kutoka sehemu za Asia waliokuwa wamemwona Paulo ndani ya Hekalu, wakachochea umati wote wa watu, nao wakamkamata.
as/when then to ensue the/this/who seven day to complete the/this/who away from the/this/who Asia Jew to look at it/s/he in/on/among the/this/who temple to confound all the/this/who crowd and to put on/seize upon/to/against it/s/he the/this/who hand
28 Wakapiga kelele wakisema, “Waisraeli wenzetu, tusaidieni! Huyu ndiye yule mtu anayefundisha kila mtu na kila mahali, kinyume na watu wetu, sheria zetu na hata Hekalu hili. Zaidi ya hayo amewaleta Wayunani ndani ya Hekalu na kupanajisi mahali hapa patakatifu.”
to cry man Israelite to help this/he/she/it to be the/this/who a human the/this/who according to the/this/who a people and the/this/who law and the/this/who place this/he/she/it all (everywhere *N(k)O*) to teach still and/both and Greek, Gentile to bring in toward the/this/who temple and to profane the/this/who holy place this/he/she/it
29 (Walikuwa wamemwona Trofimo, mwenyeji wa Efeso, akiwa mjini pamoja na Paulo wakadhani kuwa Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni.)
to be for (to foresee *NK(o)*) Trophimus the/this/who Ephesian in/on/among the/this/who city with it/s/he which to think that/since: that toward the/this/who temple to bring in the/this/who Paul
30 Mji wote ukataharuki, watu wakaja wakikimbia kutoka pande zote wakamkamata Paulo, wakamburuta kutoka Hekaluni. Milango ya Hekalu ikafungwa.
to move and/both the/this/who city all and to be swarming the/this/who a people and to catch the/this/who Paul to draw/persuade it/s/he out/outside(r) the/this/who temple and immediately to shut the/this/who door
31 Walipokuwa wakitaka kumuua, habari zikamfikia jemadari wa jeshi la askari wa Kirumi kwamba mji wa Yerusalemu wote ulikuwa katika machafuko.
to seek (and/both *N(k)O*) it/s/he to kill to ascend news the/this/who military officer the/this/who band that/since: that all (to confound *N(k)O*) Jerusalem
32 Mara yule jemadari akachukua maafisa wengine wa jeshi pamoja na askari wakakimbilia kwenye ile ghasia, wale watu waliokuwa wakifanya ghasia walipomwona yule jemadari na askari wakija, wakaacha kumpiga Paulo.
which immediately to take soldier and centurion to rush down upon/to/against it/s/he the/this/who then to perceive: see the/this/who military officer and the/this/who soldier to cease to strike the/this/who Paul
33 Yule jemadari akaja, akamkamata Paulo akaamuru afungwe kwa minyororo miwili. Akauliza yeye ni nani, na alikuwa amefanya nini.
(then *NK(o)*) to come near the/this/who military officer to catch it/s/he and to order to bind chain two and to inquire which? (if *k*) to be and which? to be to do/make: do
34 Baadhi ya watu katika ule umati wakapiga kelele, hawa wakisema hili na wengine lile. Yule jemadari alipoona kuwa hawezi kupata hakika ya habari kwa sababu ya zile kelele, akaamuru Paulo apelekwe katika ngome ya jeshi.
another then another one (to shout *N(k)O*) in/on/among the/this/who crowd not (be able *N(k)O*) then (it/s/he *no*) to know the/this/who secure through/because of the/this/who commotion to order to bring it/s/he toward the/this/who barracks
35 Paulo alipofika penye ngazi, ilibidi askari wambebe juu juu kwa sababu fujo za ule umati wa watu zilikuwa kubwa.
when then to be upon/to/against the/this/who stairs to happen to carry it/s/he by/under: by the/this/who soldier through/because of the/this/who force the/this/who crowd
36 Umati wa watu ulikuwa ukifuata ukiendelea kupiga kelele ukisema, “Mwondoe huyu!”
to follow for the/this/who multitude the/this/who a people (to cry *N(k)O*) to take up it/s/he
37 Mara tu Paulo alipokaribia kuingizwa kwenye ngome ya jeshi, akamwambia yule jemadari, “Je, naweza kukuambia jambo moja?” Yule jemadari akamjibu, “Je, unajua Kiyunani?
to ensue and/both to bring in toward the/this/who barracks the/this/who Paul to say the/this/who military officer if: is(QUESTION) be permitted me to say one to/with you the/this/who then to assert Greek to know
38 Je, wewe si yule Mmisri ambaye siku hizi za karibuni alianzisha uasi akaongoza kundi la magaidi 4,000 wenye silaha jangwani?”
no therefore you to be the/this/who Egyptian the/this/who before this/he/she/it the/this/who day to cause trouble and to lead out toward the/this/who deserted the/this/who four thousand man the/this/who assassin
39 Paulo akajibu, “Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso, huko Kilikia, raiya wa mji maarufu. Tafadhali niruhusu nizungumze na hawa watu.”
to say then the/this/who Paul I/we a human on the other hand to be Jew of Tarsus the/this/who Cilicia no insignificant city citizen to pray then you to permit me to speak to/with the/this/who a people
40 Akiisha kupata ruhusa ya yule jemadari, Paulo akasimama penye ngazi akawapungia watu mkono ili wanyamaze. Wote waliponyamaza kimya, Paulo akazungumza nao kwa lugha ya Kiebrania, akasema:
to permit then it/s/he the/this/who Paul to stand upon/to/against the/this/who stairs to signal the/this/who hand the/this/who a people much then silence to be (to call to/summon *NK(o)*) the/this/who Hebrew language to say