< Matendo 20 >
1 Baada ya zile ghasia kumalizika, Paulo aliwaita wanafunzi pamoja akawatia moyo, akawaaga, akaanza safari kwenda Makedonia.
Suksaknak a ngdüm law käna, Pawluh naw jumeikie atänga jah khü lü ngjuktha jah pe lü a jah ngtaipüi. Ani cun jah cehta lü Maketawniha citki.
2 Alipita katika sehemu zile, akinena na watu maneno mengi ya kuwatia moyo. Ndipo hatimaye akawasili Uyunani,
A ceh sawa acuna hne cu khyang khawhah ngjuktha jah peki. Acun käna Akhacia cit lü,
3 ambako alikaa kwa muda wa miezi mitatu. Alipokuwa anakaribia kuanza safari kwa njia ya bahari kwenda Shamu, kwa sababu Wayahudi walikuwa wamefanya shauri baya dhidi yake, aliamua kurudi kupitia njia ya Makedonia.
acua khya kthum veki. Ani cun Siriaa cit khai ngtängki lüpi Judahe naw ami pawh vaia ceng u se, Maketawniha da nglat khaia ngtünki.
4 Paulo alikuwa amefuatana na Sopatro mwana wa Piro, Mberoya, Aristarko na Sekundo kutoka Thesalonike na Gayo, mtu wa Derbe, Timotheo pamoja na Tikiko na Trofimo kutoka sehemu ya Asia.
Puruha cakpa Sapotah Beriha ka, Aristakhas ja Sekudah Thesalonikaha ka xawi, Kajas cun Derbea ka, Timoti, Taikikah ja Throphimah Asaha ka xawi, acune cun ani üng atänga veia cit hngakie.
5 Hawa watu walitutangulia wakaenda kutungojea Troa.
Acunee cun ana cit ma u lü, Tarosa keimi jah na k'äihkie.
6 Lakini sisi tukasafiri kwa njia ya bahari kwa siku tano kutoka Filipi baada ya siku za Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, nasi tukaungana na wengine huko Troa, ambako tulikaa kwa siku saba.
Keimi cun hngen am kcaw muk pawi käna, Philipih üngka naw mlawng am cit u lü, amhnüp mhma üng Taros kami phaki; acua mhnüp khyüh kami veki.
7 Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kwa ajili ya kumega mkate. Paulo akaongea na watu, naye kwa kuwa alikuwa amekusudia kuondoka kesho yake, aliendelea kuongea mpaka usiku wa manane.
Acunüng, mhnüp khyühnak mümlama bu ei yüm vaia kami ngcunki. Acunüng Pawluh cun a ngawi üng cit khaia bükia kyase, ami veia ngthu pyenki naw, mthan nglung cäpa a pyen.
8 Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.
Kami ngcunnak khan ima meiim khawhah ami jah mdäi.
9 Kijana mmoja jina lake Eutiko, alikuwa amekaa dirishani, wakati Paulo alipokuwa akihubiri kwa muda mrefu, alipatwa na usingizi mzito, akaanguka kutoka ghorofa ya tatu, wakamwinua akiwa amekufa.
Etukhuh ngming naki cawngpyang mat mkawt peia ngaw lü, a mik ku se ngam lü veki. Acunüng, Pawluha ngthu pyen thuk law se, ip tawng lü im athat kthumnak üngka naw mcea kya se akthia ami law be.
10 Paulo akashuka chini, akajitupa juu yake na kumkumbatia, akasema, “Msishtuke, uzima wake bado umo ndani yake.”
Acunüng, Pawluh kyumki naw, a khana ngbawk lü kawiki naw, “Käh ng’ä ua, xüng ham ve” a ti.
11 Kisha Paulo akapanda tena ghorofani, akamega mkate na kula. Baada ya kuongea mpaka mapambazuko, akaondoka.
Pawluh kai be lü, muk bo lü eiki. Khaw athaih law lü nghngi a pyü law cäpa ngthu pyen lü, acun käna citki.
12 Watu wakamrudisha yule kijana nyumbani akiwa hai nao wakafarijika sana.
Acunüng, cawngpyang cun akxünga ima cehpüi be u se aktäa ami mlung dim’yeki.
13 Tukatangulia melini tukasafiri mpaka Aso ambako tungempakia Paulo. Alikuwa amepanga hivyo kwa maana alitaka kufika kwa miguu.
Keimi cun mlawng am law u lü, Asiha kami cit khaia mlawng am kami na cit maki, acunüng Pawluh cun kami ngcum lawpüi vaia kami täng kyaw; a khaw am law khaia ngtängki.
14 Alipotukuta huko Aso, tulimpakia melini, tukasafiri wote mpaka Mitilene.
Asiha jah na ngkhyum püi lü, ani kpan law lü Mituliniha kami citki.
15 Kutoka huko tuliendelea kwa njia ya bahari, na kesho yake tukafika mahali panapokabili Kio. Siku iliyofuata tukavuka kwenda Samo, na kesho yake tukawasili Mileto.
Acunüng ka naw, mlawng am cit u lü, a ngawi üng Kioh kami phaki. A ngawi üng, Samoh pha u lü, a ngawi be tü üng Miletuh kami phaki.
16 Paulo alikuwa ameamua tusipitie Efeso ili asitumie muda mwingi huko sehemu za Asia, kwa sababu alikuwa anatamani kama ikiwezekana kufika Yerusalemu kabla ya siku ya Pentekoste.
Pawluh cun Asaha khawvei a ve vai am täng lü, Ephet da cun mlawng am cit khaia bü kungkia kyaki, athawn theia kyak üng Jerusalema Pentikos mhnüp üng a pha vai ngsengeiki.
17 Paulo akiwa Mileto, alituma mjumbe kwenda Efeso kuwaita wazee wa kanisa waje wakutane naye.
Acunüng, Miletuh khaw üngka naw, Epheta khyang tüih lü, sangcim ngvaie a jah hmuh vaia a ja khüsak.
18 Walipofika akawaambia, “Ninyi wenyewe mnajua jinsi nilivyoishi katikati yenu muda wote tangu siku ya kwanza nilipokanyaga hapa Asia.
Acunüng, a veia ami pha law üng, Pawluh naw, “Asah hne ka pha law üng tün lü, atuh cäpa ihawkba ka kcün ka sumeiki tia nami ksingki.
19 Nilimtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote na kwa machozi nikivumilia taabu na mapingamizi yaliyonipata kutokana na hila za Wayahudi.
Mdihmsuinak ja ka kphyutui baw lü Bawipaa mpya akba khut ka biki. Isetiakyaküng Judahe naw na hnim khai ami büa phäh kyaki.
20 Mnajua kwamba sikusita kuhubiri jambo lolote ambalo lingekuwa la kuwafaa ninyi, lakini nilifundisha hadharani na nyumba kwa nyumba.
Nangmi am ka ning jah kuei vaia i pi am ka thupki tia nami ksingki ni, khyangea ksunga ja im naküt üng ka ning jah mthei khawiki.
21 Nimewashuhudia Wayahudi na Wayunani kwamba inawapasa kumgeukia Mungu kwa kutubu dhambi na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.
Judahe ja khyangmjükceea veia pi Pamhnama veia nghlat law be u lü, mi Bawipa Jesuh ami jumei lawnak vaia ngthu ka pyen ni.
22 “Nami sasa nimesukumwa na Roho, ninakwenda Yerusalemu wala sijui ni nini kitakachonipata huko.
Acunüng, atuha Ngmüimkhya Ngcim kcang na lü Jerusalem da ka cit khai, acua kei ia na pawh khaie am ksingei veng.
23 Ila ninachojua tu ni kwamba Roho Mtakatifu amenionya kuwa vifungo na mateso vinaningoja.
Ka cehnak hü mlüh naküta thawng jah mkhuimkhanak naw na k'äihki tia Ngmüimkhya ngcim naw na mthehki ni.
24 Lakini siyahesabu maisha yangu kuwa ya thamani kwangu, kama kuyamaliza mashindano na kukamilisha ile kazi Bwana Yesu aliyonipa, yaani, kazi ya kuishuhudia Injili ya neema ya Mungu.
Acunsepi, ka kcün sak hin ia am kya, isetiakyaküng thangkdaw tinaki Pamhnama bäkhäknak sang lü, Bawipa Jesuh naw a na peta khut ja mission cun ka mcän vai ni ka hlüei ta.
25 “Nami sasa najua ya kuwa hakuna hata mmoja miongoni mwenu ambaye nimemhubiria Ufalme wa Mungu katika kwenda kwangu huku na huko, atakayeniona uso tena.
Acunüng, nangmi, Pamhnama pea mawng sang lü nami veia ka cit hüki. Tuh ta nangmi naw am nami na hmu be ti khai tia ka ksingki.
26 Kwa hiyo nawatangazia leo, sina hatia ya damu ya mtu awaye yote.
Acunakyase, nami khyüha kyak üng keia mtaa am kya ve tia tungawi angtea ning jah mtheh veng.
27 Kwa kuwa sikusita kuwatangazia mapenzi yote ya Mungu.
Pamhnama a ngjak'hlü naküt avan, nami veia am pyen hlü lü ka mji i am ve.
28 Jilindeni nafsi zenu na mlilinde lile kundi lote ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi wake. Lichungeni kanisa lake Mungu alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.
Acunakyase, nami mät ja namimät mcei ua, Pamhnam naw a cakpa thisen am a khyäiha sangcim nami mcah khaia Ngmüimkhya Ngcim naw aning jah mceisaka tome cän pi jah mcei ua.
29 Najua kwamba baada yangu kuondoka, mbwa mwitu wakali watakuja katikati yenu ambao hawatalihurumia kundi.
Ka ceh käna mhnge kyung he nami ksunga law u lü, ami naw tomee käh jah mpyenei khaie tia ka ksingki.
30 Hata kutoka miongoni mwenu watainuka watu na kuupotosha ukweli ili wawavute wanafunzi wawafuate.
Namimät üngka khyang avange law u lü jumeikie jah mhlei lü ami jah läk vaia thawn law khaie.
31 Hivyo jilindeni! Kumbukeni kwamba kwa miaka mitatu sikuacha kamwe kuwaonya kila mmoja kwa machozi usiku na mchana.
Acunakyase, mcei ua; kum kthum ka kphyutui baw lü, amhnüp amthan ka ning jah mthei cän süm ua.
32 “Sasa nawakabidhi kwa Mungu na kwa neno la neema yake, linaloweza kuwajenga na kuwapa ninyi urithi miongoni mwa wote ambao wametakaswa.
Tuhkbäih Pamhnama bäkhäknaka ngthu üng ka ning jah taki, acun naw ning jah sawngsa lü, ani naw Pamhnama dawkyanak a khyangea phäh a tak cun ning jah pe khai.
33 Sikutamani fedha wala dhahabu wala vazi la mtu yeyote.
Ua xüi, ngui, suisak pi am hlüei khawi veng.
34 Ninyi wenyewe mnajua kwamba mikono yangu hii imetumika kwa mahitaji yangu na ya wale waliokuwa pamoja nami.
Kamät ja ka püiea hlükaw cun kamät bilo lü kami eiawki ti cun namimät naw nami ksingki.
35 Katika kila jambo nimewaonyesha kwamba kwa njia hii ya kufanya kazi kwa bidii imetupasa kuwasaidia wadhaifu, mkikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe jinsi alivyosema, ‘Ni heri kutoa kuliko kupokea.’”
Acukba nangmi pi khüi u lü, Bawipa Jesuha ngthu nami sümnak am, ktha ngcekie nami jah kpüi vaia, anaküt ka binak am ka ning jah mdanki; amät Jesuh naw, ‘Yahnaka kthaka petmsawtnak üng jekyainak bawk ni” ti lü a pyen.
36 Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.
Acunüng, acukba ngthu a pyen law päng üng, ami mkhuk jah sümpüi lü ktaiyükie.
37 Wote wakalia, wakamkumbatia Paulo na kumbusu,
Ami van kyap u lü, Pawluh cun kawi u lü aktäa mhnamkie.
38 Kilichowahuzunisha zaidi ni kwa sababu ya yale maneno aliyosema kwamba kamwe hawatauona uso wake tena. Wakaenda naye mpaka kwenye meli.
Ani am ami hmuh be ti vaia cun a pyena kyase ami mlung thüikiea kyaki. Acunüng, mlawnga venak cäpa cit u lü ami tha.