< Matendo 2 >
1 Siku ya Pentekoste ilipowadia, waamini wote walikuwa mahali pamoja.
Kambo kume fentikos co bouwori, kwarubce ciin mwerum fiye win.
2 Ghafula sauti kama mvumo mkubwa wa upepo mkali uliotoka mbinguni ukaijaza nyumba yote walimokuwa wameketi.
Nawo nawo diro kange wi dikwama na yuwako dur, yiram dim luweu cii yim wiyeu.
3 Zikatokea ndimi kama za moto zilizogawanyika na kukaa juu ya kila mmoja wao.
labiyondo kange na biyen kiret layiron cilnenti dor.
4 Wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, wakaanza kunena kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia.
Ciin dimki yuwa tangbe kwama lacin ter tokka kereki nyini kangum kambo yuwa tangbe kwamako dang cinenneu.
5 Basi walikuwepo Yerusalemu Wayahudi wanaomcha Mungu kutoka kila taifa chini ya mbingu.
Ki kwama co Yahudawa kangum wi yim wursalima, nob kwamabo fo dorbitiner.
6 Waliposikia sauti hii, umati wa watu ulikusanyika pamoja wakistaajabu, kwa sababu kila mmoja wao aliwasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe.
Kambo cii nuwa diroweri, nubo gwam mwerum cii mor ciin nuwa nubo tikkan keroti kin yici.
7 Wakiwa wameshangaa na kustaajabu wakauliza, “Je, hawa wote wanaozungumza si Wagalilaya?
Ciin to diker nyimankar laciiki, kibi chom birombo kebo Galiliyawaka?
8 Imekuwaje basi kila mmoja wetu anawasikia wakinena kwa lugha yake ya kuzaliwa?
manyi bi nuwa citi wiyak wuyakce cii tok nyowo cii bombotiye?
9 Wapathi, Wamedi, Waelami, wakazi wa Mesopotamia, Uyahudi, Kapadokia, Ponto na Asia,
Fisiyawa kange mediyawa kange Elimawa, kange Yahudawa kange Kafadokiya, mor Pontus kange Asia.
10 Frigia, Pamfilia, Misri na pande za Libya karibu na Kirene na wageni kutoka Rumi,
Phrygia kange Pamphylia, mor Masar kange sunga libiya wo sur receu, kange fabubbo Roma.
11 Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu, sote tunawasikia watu hawa wakisema mambo makuu ya ajabu ya Mungu katika lugha zetu wenyewe.”
Yahudawa kange proselyte, cretans kange arabian, be nuwa tokkeroti kin nyibo dor nangebdo durembo kwama maneu.
12 Wakiwa wameshangaa na kufadhaika wakaulizana, “Ni nini maana ya mambo haya?”
Gwam ciin nyimangi ciin yi bwiticeu, Yewo toktiye?
13 Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa divai!”
Kan nyumbo buwocii ki, ciin diim ki nyom.
14 Ndipo Petro akasimama pamoja na wale mitume kumi na mmoja, akainua sauti yake na kuhutubia ule umati wa watu, akasema: “Wayahudi wenzangu na ninyi nyote mkaao Yerusalemu, jueni jambo hili mkanisikilize.
Dila Bitrus kweni kange sulombo yobem, kundiro tok kerki “Nubo yahuda kange kom kwarub kom yim wursalima, kom nyimomwo, ko suwatuu ker mironin.
15 Hakika watu hawa hawakulewa kama mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu asubuhi!
Nubowo ci dimbo diye ki nyom kambo kom kwatiyeu, wori kene Teer na burice koni.
16 La, hili ni jambo lililotabiriwa na nabii Yoeli, akisema:
dila won co dike toki ywel neneu nii ker dukumer.
17 “‘Katika siku za mwisho, asema Mungu, nitamimina Roho wangu juu ya wote wenye mwili. Wana wenu na binti zenu watatabiri, vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
Kwama ki nyo a yilati cwile kume, man coru yuwatangbeko dor nuber, bi biyolokumeu bayilob kange natub ciyan tokker dukumer.
18 Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, katika siku zile nitamimina Roho wangu, nao watatabiri.
Nyo tak dor caan yabmib bayilob kange natub, kikuke tindowe man corum yuwatangbe miko, laciyan tok ker dukumer.
19 Nami nitaonyesha maajabu juu mbinguni, na ishara chini duniani: damu, moto, na mawimbi ya moshi.
man madiker nyimakar dii kwama kange dor bitiner, bwiyale kange kira, kange yilom.
20 Jua litakuwa giza na mwezi utakuwa mwekundu kama damu, kabla ya kuja siku ile kuu ya Bwana iliyo tukufu.
kakokko an yilam kumtachile, chuwakko ayilam bwiyale nanyime kume durkowo kwamaceu nabou.
21 Na kila mtu atakayeliitia jina la Bwana, ataokolewa.’
an yilam woco den kwama an fiya fuloka.
22 “Enyi Waisraeli, sikilizeni maneno haya nisemayo: Yesu wa Nazareti alikuwa mtu aliyethibitishwa kwenu na Mungu kwa miujiza, maajabu na ishara, ambayo Mungu alitenda miongoni mwenu kupitia kwake, kama ninyi wenyewe mjuavyo.
Nubo Israila kom cuwatuu kero birombonen. Yesu banzared niwo kwama nekom wuro kwama ma nangen durem more kume fiyeci wuyeu, nawo komki bwikom kanyimeu.
23 Huyu mtu akiisha kutolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa kwa kujua kwake Mungu tangu zamani, ninyi, kwa mikono ya watu wabaya, mlimuua kwa kumgongomea msalabani.
Nii wo ciin neken co kan nage kange yobka kwama cii neken co kom keneu kang nubo yombo ker kwamareu cii twalum ki kuldange.
24 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu akamwondolea uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana yeye kushikiliwa na nguvu za mauti.
Wo kwama kungun co cokeinen twirak buwareko cinenneu, wo mani natamce.
25 Kwa maana Daudi asema kumhusu yeye: “‘Nalimwona Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
Dauda tokker donce ki kwamati kami ngir wori cin wi cunga kange cattiyeri katin mikannge.
26 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika kwa tumaini.
Lanyori nermiro ma fuwer nerti biyel miro ti bilenke. Labwimiu anyi kibi kwan.
27 Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu. (Hadēs )
mani mu minang dumemitiwi manu do wucakke mweti a to fuyenin. (Hadēs )
28 Umenionyesha njia za uzima, utanijaza na furaha mbele zako.’
Dang men nure dumeu, nawo tikob mwebo adim yeti ki fuwor nereu.
29 “Ndugu zangu Waisraeli, nataka niwaambie kwa uhakika kwamba baba yetu Daudi alikufa na kuzikwa, nalo kaburi lake lipo hapa mpaka leo.
Keb mibo man yikom ker nyanglang dor Tee Dauda: buyam ciin furomco dila tuweceu wifo wari kange bo di duwenokowo.
30 Lakini alikuwa nabii na alijua ya kuwa Mungu alikuwa amemwahidi kwa kiapo kwamba angemweka mmoja wa wazao wake penye kiti chake cha enzi.
Nyori wori cin nii ker dukumer dila nyimom kwama macinen nor kiweri ki, mor tuwe luwe mwe man yoti kange kutile liyar cero nen.
31 Daudi, akiona mambo yaliyoko mbele, akanena juu ya kufufuka kwa Kristo, kwamba hakuachwa kaburini, wala mwili wake haukuona uharibifu. (Hadēs )
Cin tou dikero wo dila tok kero dor kwentka kriti mani cii ma bilankiya kange co fiye morka dumek, bwiceu tobo fuyeka. (Hadēs )
32 Mungu alimfufua huyu Yesu na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.
Wo Yesu wo kwama kunco wuro wuyakbe bin nyimom.
33 Basi ikiwa yeye ametukuzwa kwa mkono wa kuume wa Mungu, amepokea kutoka kwa Baba ahadi ya Roho Mtakatifu, naye amemimina kile mnachoona sasa na kusikia.
Nyori kambo cii kunco yaken kanka cattiyere kwamau dila nyo mor yuwa tangbe kwamako fiye Tee wiyeu coci corbinenneu wo komtoti takri kom nuwatiyeu.
34 Kwa kuwa Daudi hakupaa kwenda mbinguni, lakini anasema, “‘Bwana alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume,
Dauda kwibo dii dila yiki kwama dila toki kwama nyi Teeluwemiu yiken kango cattiyeremi.
35 hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”’
Dila man yoken nob kiyeb mwebbo diker fuwaka namwek.
36 “Kwa hiyo Israeli wote na wajue jambo hili kwa uhakika kwamba: Mungu amemfanya huyu Yesu, ambaye ninyi mlimsulubisha, kuwa Bwana na Kristo.”
La nyori, naweu lo Israila a nyomom kang Yesu wo cii kulkenen kwama yoken co kwama kange kritti.
37 Watu waliposikia maneno haya yakawachoma mioyo yao, wakawauliza Petro na wale mitume wengine, “Ndugu zetu tufanye nini?”
Cii nuwa nyori la kwerci nercer cii yi Bitrus kange tannineu nob tomangeb cebo. “Keb mibo ye ba matiye?”.
38 Petro akawajibu, “Tubuni, mkabatizwe kila mmoja wenu kwa jina la Yesu Kristo, ili mpate kusamehewa dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.
La Bitrus yiki Kom dubom bwiranker kumero nakom yumbom, mor den Yesu kristi na wam bwirangker kumero tak kan yo neken yuwatangbek kwama ko.
39 Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu na watoto wenu, na kwa wote walio mbali, na kila mtu ambaye Bwana Mungu wetu atamwita amjie.”
Wor noro ki kom kange bibeyo lokume, kwarub kange birombo kutaneu, gwam nubo tee be kwama a coutiyeu”.
40 Petro akawaonya kwa maneno mengine mengi na kuwasihi akisema, “Jiepusheni na kizazi hiki kilichopotoka.”
Kero ducce cii ne warke naci chuwaci ki cii nayiki, “Kom fulom dor kumero mor kalewo bwiranyeu.”
41 Wale wote waliopokea ujumbe wa Petro kwa furaha wakabatizwa na siku ile waliongezeka watu wapatao 3,000.
Lakom yo kercero nacii yukumen mwembo, kume ciin fiyaten nubo cabten bikate taar.
42 Nao wakawa wanadumu katika mafundisho ya mitume, katika ushirika, katika kumega mkate na katika kusali.
Lacii ca kaba ki merangka no tomangebbo kange yimbo winneu, mor caka tiilita kange dilo.
43 Kila mtu akaingiwa na hofu ya Mungu, nayo miujiza mingi na ishara zikafanywa na mitume.
Taito bou dorcir la cin ma diker nyimankaro kan ya yiromboti kila fiye nob tomangebo wiyeu.
44 Walioamini wote walikuwa mahali pamoja, nao walikuwa na kila kitu shirika.
Gwam nubo nebilinker cii mwerum fiye win diker ciro na bwiticiyece.
45 Waliuza mali zao na vitu walivyokuwa navyo, kila mtu akagawiwa kadiri ya mahitaji yake.
La cii tokang dike cii cikeu kang dike cii ciko wiyakkeu laci kabkange dong dong kange cii cwitiyeu cii cikeu.
46 Siku zote kwa moyo mmoja walikutana ndani ya ukumbi wa Hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, wakila chakula chao kwa furaha na moyo mweupe,
Fini win cii ca kabati ki nero mor lo wabe cii kiyan tiilita lonice cii kabkang caritoti bwitice mor fuwor nerer kange kungne necer.
47 wakimsifu Mungu na kuwapendeza watu wote. Kila siku Bwana akaliongeza kanisa wale waliokuwa wakiokolewa.
Cii caklang kwamati ciin fiya yokati kabum nubem gwam. kwama cob cinenten nubowuro fiya dumetiyeu.