< Matendo 19 >

1 Apolo alipokuwa huko Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso. Huko akawakuta wanafunzi kadhaa,
Apollos Korin lo doori lo, Paul mooku mvnwng lo vngpit karla Epesus lo vngchi toku. Hoka hv lvbwlaksu meego kaapatoku
2 akawauliza, “Je, mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini?” Wakajibu, “Hapana, hata hatukusikia kuwa kuna Roho Mtakatifu.”
okv bunua tvvkatoku, “Nonuno Darwknv Dow paato bvre vdwlo nonu mvngjwng nvbv rikulo?” Bunu mirwksito “Ngonu Darwknv Dowa doopv nvkv vla tvvpama.”
3 Ndipo Paulo akawauliza, “Je, mlibatizwa kwa ubatizo gani?” Wakajibu, “Kwa ubatizo wa Yohana.”
“Vbvrikunamv, alvdo, oguaingnv baptisma naapvnv?” Paul tvvkato. Bunu mirwksito, “Jon gv baptisma.”
4 Paulo akasema, “Ubatizo wa Yohana ulikuwa wa toba, aliwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja baada yake, yaani, Yesu.”
Paul minto, “Jon gv baptijumv yvvbunudw rimur lokv mvngdin dukunv; okv hv mintoku Israel gv nyi vdwa mvngjwng nyato ninyigv koching lo ako yvvdw aakunv hv Jisu.”
5 Waliposikia haya, wakabatizwa katika jina la Bwana Yesu.
Vdwlo bunu sum tvvpa pvkudw, bunu mvnwng ngv baptisma naanya toku Ahtu Jisu gv amin bv.
6 Paulo alipoweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akawashukia, nao wakanena kwa lugha mpya na kutabiri.
Paul ninyigv laakv bunu gvlo lakpv toku, okv Darwknv Dowv bunu gvlo aatoku; bunu tvvchin madubv gaam ranya toku okv Pwknvyarnv gv doina japnya toku.
7 Walikuwa kama wanaume kumi na wawili.
Bunu mvnwng ngv nyi vringgola anyi gobv rito.
8 Paulo akaingia katika sinagogi na kunena humo kwa ujasiri kwa muda wa miezi mitatu, akijadiliana na watu na kuwashawishi katika mambo ya Ufalme wa Mungu.
Paul Jius kumkunaamlo vngtoku okv poolu pwkgumlo nyi vdwa lvkobv mvngkum alvbv japji toku Pwknvyarnv gv Karv nga hv bunua laadubv gwngkwto.
9 Lakini baadhi yao walikaidi. Walikataa kuamini, na wakakashifu ujumbe wake mbele ya umati wa watu. Basi Paulo aliachana nao. Akawachukua wanafunzi naye, akahojiana nao kila siku katika darasa la Tirano.
Vbvritola bunu kvvgonv larnyato okv mvngjwng mato, okv bunu mvnwng gv alvmanv gaam mintv madvbv Ahtu gv Lamtv gv lvkwng lo. Vkvlvgabv Paul bunua vngyu toku okv mvngjwngnv vdwa ninyigv lvkobv vnggv laikula, okv Tairannas gv japku naam lo hv dopam go pamgv toku aludwkibv.
10 Jambo hili likaendelea kwa muda wa miaka miwili, kiasi kwamba Wayahudi na Wayunani wote walioishi huko Asia wakawa wamesikia neno la Bwana.
Anying nyingnyi go, ho Asia mooku lo nyi doonv mvnwng ngv, Jius okv Jentail, anyiv Ahtu gv gamchar am tvvla dootoku.
11 Mungu akafanya miujiza mingi isiyo ya kawaida kwa mkono wa Paulo,
Pwknvyarnv Paul gvlo rika manam lamrwpanam go kaatam motoku.
12 hivi kwamba leso au vitambaa vilivyokuwa vimegusa mwili wa Paulo viliwekwa juu ya wagonjwa, nao wakapona magonjwa yao, na pepo wachafu wakawatoka.
Lumar okv vji jiriapjichap lokv hv lvvma nvnga mvnvrinvto, okv bunugv achi nvngv poya toku, okv alvmanv dow vka bunugv lokv lintoku.
13 Basi baadhi ya Wayahudi wenye kutangatanga huku na huko wakitoa pepo wachafu wakajaribu kutumia jina la Bwana Yesu wale wenye pepo wakisema, “Kwa jina la Yesu, yule anayehubiriwa na Paulo, nakuamuru utoke.”
Jius nyi gonv vngkarchaakar la okv Ahtu Jisu gv amin lokv minv la alvmanv uyuvram am charlin kwla rika nyato. Bunu alvmanv dowa minto, “Ngo, Paul gv japkar kunam Jisu Kristo gv amin lokv gamki dunv.”
14 Wana saba wa Skewa, Myahudi aliyekuwa kiongozi wa makuhani, walikuwa wanafanya hivyo.
Achiboru kanwv, Jius Nyibu Butv gv aminv skvba vnam gv kuu vdwv svbv rinyato.
15 Lakini pepo mchafu akawajibu, “Yesu namjua na Paulo pia namjua, lakini ninyi ni nani?”
Vbvritola alvmanv dowv bunua minto, “Ngo Jisunyi chindunv, okv ngo Paul gv lvkwng aka chindunv; Vbvritola nonuno yvvla?”
16 Kisha yule mtu aliyekuwa na pepo mchafu akawarukia, akawashambulia vikali, akawashinda nguvu wote, wakatoka ndani ya ile nyumba wakikimbia wakiwa uchi na wenye majeraha.
Alvmanv dow doonv nyi angv hv bunu mvnwng gv aulo pokdakto okv mvnwng nga mvtoku. Bunu naam lokv kilin nyatoku, okv abin bv okv oyiv raratvla.
17 Habari hii ikajulikana kwa Wayahudi wote na Wayunani waliokaa Efeso, hofu ikawajaa wote, nalo jina la Bwana Yesu likaheshimiwa sana.
Epesus lo doonv Jius okv Jentail nyi vdwv mvnwng ngv sum tvvpa nyatoku; bunu mvnwng ngv busu nyatoku, okv Ahtu Jisu gv amina kaibv mvngpa nyatoku.
18 Wengi wa wale waliokuwa wameamini wakati huu wakaja na kutubu waziwazi kuhusu matendo yao maovu.
Mvngjwngnv awgo aalaku, ogugo bunugv rimursingmur kunam nga nyi apam lo mimpa sitoku.
19 Idadi kubwa ya wale waliofanya mambo ya uganga wakaleta vitabu vyao na kuviteketeza kwa moto hadharani. Walipofanya hesabu ya thamani ya vitabu vilivyoteketezwa ilikuwa drakma 50,000 za fedha.
Awgo tagohinv vdwv bunugv kitap am bakkum lakula okv bunu nyi apum lo vmvlo ramyok toku. Bunugv kitap gv arv ngv Raaji lokdwng hejar chamngu gobv ritoku.
20 Hivyo neno la Bwana likaenea sana na kuwa na nguvu.
Vkvlvgabv Ahtu gv gaam gv jwkrwv svbv gwlwk yayabv ritoku okv dupwng kartoku.
21 Baada ya mambo haya kutukia, Paulo akakusudia rohoni kwenda Yerusalemu kupitia Makedonia na Akaya. Akasema, “Baada ya kufika huko, yanipasa pia kwenda Rumi.”
Ogumvnwng gv riro koching bv, Paul ninyi atubongv mvngtoku Mesedonia okv Akaia bv vngpikla Jerusalem lo vngdubv mvngtoku. Paul minto, “Hoka ngo vngpikula,” “Ngo Rom haka kaarungre.”
22 Hivyo akatuma wasaidizi wake wawili, Timotheo na Erasto, waende Makedonia, wakati yeye mwenyewe alibaki kwa muda kidogo huko Asia.
Vkvlvgabv ninyigv riduryanv anyigo vngmuto Mesedonia bv, Timoti okv Irastusnyi. Hv vbvritola Asia lo awgo dootoku.
23 Wakati huo huo pakatokea dhiki kubwa kwa sababu ya Njia ile ya Bwana.
Ahtu gv lamtv gv lvkwngbv ho dw hoka Epesus lo achialv bv yalungyachung dutoku.
24 Mtu mmoja jina lake Demetrio mfua fedha aliyekuwa akitengeneza vinyago vya fedha vya Artemi na kuwapatia mafundi wake biashara kubwa,
Ain pwknvrinv aminv Demetrius vnam nyi angv nyimv pwknvyarnv Artemis gv pwknvyarnvnaam a raaji lokv mvto la pyokto okv yvbunudw ninyigvbv pioknv vdwv achialvbv pyokpa la paakum jitoku.
25 aliwaita pamoja watu wengine waliofanya kazi ya ufundi kama yake na kusema, “Enyi watu, mnajua ya kuwa utajiri wetu unatokana na biashara hii!
Vkvlvgabv hv bunu mvnwng nga gokum lwkto lvkobv kvvbi vkv bunugv gwngpiabv gwngnv vdwa okv mintoku bunua, “Nyi vdw, nonuno chindu ho ngonugv singkuv soogv gwngnamrinam lokv aadunv.
26 Pia ninyi mmeona na kusikia jinsi ambavyo si huku Efeso peke yake lakini ni karibu Asia yote, huyu Paulo amewashawishi na kuvuta idadi kubwa ya watu kwa kusema kuwa miungu iliyotengenezwa na watu si miungu.
Vjak, nonu atubongv kaasudu okv tvvsudu ogugo Paul gv ridung doonv nga. Ninyia hoka minto laak lokv mvnam pwknvyarnv ngv pwknvyarnv jvjv mangvkv okv ninyia awgo milwk toku Epesus okv Asia mooku gv nyi taktv yanga ka.
27 Kwa hiyo kuna hatari si kwa kazi yetu kudharauliwa tu, bali pia hata hekalu la mungu mke Artemi, aliye mkuu, anayeabudiwa Asia yote na ulimwengu wote, litakuwa limepokonywa fahari yake ya kiungu.”
Hoka achialvbv maarw yinvpv, vbvritola, ho ngonugv pioksvrisv ngv alvmanv amin donyiji. Vv twkma, Vbvritola hokaka rire maarw alvbv hogv Pwknvyarnvnaam lo kairungbv Pwknvyarnv nyimv Artemis aariku ogubvka riku mabv, okv hoka ninyigv kairungnv ngv apinayin riku pwknvyarnv nyimv ninyia kumnv Asia mvnwng ngv okv chinggodogo gv mvnwng lokv ngvka!”
28 Waliposikia maneno haya, wakaghadhibika, wakaanza kupiga kelele, “Artemi wa Waefeso ni mkuu!”
Nyitwng ngv so gamchar nga tvvpa namgola, bunu mvnwng ngv sakcha nyatoku okv gokrap toku, “Epesus gv kai yachuk nvngv Artemis kv!”
29 Mara mji wote ukajaa ghasia. Wakawakamata Gayo na Aristarko, watu wa Makedonia waliokuwa wakisafiri pamoja na Paulo, na watu wakakimbilia katika ukumbi wa michezo kama mtu mmoja.
Tvvsupkayap dukubv hv bunu dupwng kartoku Pamtv mvnwng lo. Nyi kvvgonv Gaius okv Aristarkasnyi svvtungto, Paulnyi lvkobv vngnv vdw Mesedonia lokv, chapchar minsuto mvnwng ngv dopam dooku lo.
30 Paulo akataka kuingia katikati ya umati huo, lakini wanafunzi hawakumruhusu.
Paul atubongv nyitwnglo aala okv minso mvngto, vbvritola mvngjwngnv vdwv ninyia vngmu nwngmato.
31 Hata baadhi ya viongozi wa sehemu ile, waliokuwa rafiki zake Paulo, wakatuma watu wakitamani asiingie katika ule ukumbi.
Asia mooku gv tujupkunam nyigam kvvgonv Paul gv ajin bv rinv, ninyia kumla minam gindung go vngmuto gokku naam lo vngma bvkv vla.
32 Ule umati ulikuwa na taharuki. Wengine walikuwa wakipiga kelele, hawa wakisema hili na wengine lile. Idadi kubwa ya watu hawakujua hata ni kwa nini walikuwa wamekusanyika huko.
Dopamripam mvnwng lo aparasar nyatoku: nyi kvvgonv gokto ogu ako, kvvbi gonv gokto oguguyv mvngla, ogulvgabv takloyangv bunu chimato ogubv bunu mvnwng ngv aakum pvdw.
33 Wayahudi wakamsukumia Aleksanda mbele na baadhi ya watu kwenye ule umati wakampa maelekezo. Akawaashiria kwa mkono ili watulie aweze kujitetea mbele ya watu.
Nyitwng kvvgonv minya toku Alekjandarkv jvjvkv rigvnv, vbv Jius vdwv ninyia atuk lo vngcho dubv mvtoku. Vbvrikunamv Alekjandar nyitwng nga choyi bvkv vla ninyigv laakv riaria toku, okv hv gwngkw tola minkwto miring sidubv.
34 Lakini walipotambua kwamba alikuwa Myahudi, wote wakapiga kelele kwa sauti moja kwa karibu muda wa saa mbili, wakisema, “Artemi wa Efeso ni mkuu!”
Vbvritola vdwlo bunu ninyia kaachin pvkudw Jius nyi bv, bunu mvnwng ngv gamkin gubv goklin toku lvkobv ho gunta anyi gubv ritoku: “Artemis kv Epesus lo kai nvngv!”
35 Baadaye karani wa mji akaunyamazisha ule umati wa watu na kusema, “Enyi watu wa Efeso, je, ulimwengu wote haujui ya kuwa mji wa Efeso ndio unaotunza hekalu la Artemi aliye mkuu na ile sanamu yake iliyoanguka kutoka mbinguni?
Anyunganya nga banggu gv baabu angv nyitwng nga nyanyak dubv mvla toku. Hv minto, “Epesus gv nyi vdwv!” “Mvnwng ngv chindo ho Epesus pamtv ngv Pwknvyarnvnaam gv kaarianv kainv Artemis okv darwknv vlwng nyidomooku lokv holu pvnv.
36 Kwa hiyo, kwa kuwa mambo haya hayakanushiki, inawapasa mnyamaze na wala msifanye lolote kwa haraka.
Yvvbonu ka sum miya nyomare svkvnv nga. Vkvlvgabv nonuno nyanyak runglakv okv oguka riyoka pvchaharianv gwngnamgo.
37 Kwa kuwa mmewaleta hawa watu hapa, ingawa hawajaiba hekaluni wala kumkufuru huyu mungu wetu wa kike.
No so nyi sum svka aagvpv vbvritola bunu oguka dvchoma Kumkulo vmalo oguka mima ngonugv pwknvyarnv nyimv gv lvkwngbv.
38 Basi, ikiwa Demetrio na mafundi wenzake wana jambo zito dhidi ya mtu yeyote, mahakama ziko wazi na wasaidizi wa mwakilishi wa mtawala. Wanaweza kufungua mashtaka.
Vbvritola Demetrius okv ninyigv ririanv nyi vdwv ngonua minkinrikinbolo akonyimaka akonyi, ngonu gvlo mvvlarila gvnvnv tujubkunamv doodu kvbanaam lo aludwkibv mimisidubv.
39 Lakini kama kuna jambo jingine lolote zaidi mnalotaka kulileta, itabidi lisuluhishwe katika kusanyiko halali.
Vbvritola no ogu kaiyago minsu mvngdv bolo, hum minpwk jiriku pamtv gv mimpumlo.
40 Kama ilivyo sasa, tuko hatarini kushtakiwa kwa kufanya ghasia kwa sababu ya tukio la leo. Kwa kuwa hakuna sababu tutakayoweza kutoa kuhalalisha msukosuko huu.”
Silu gv ogugo ripvkunam soogv kochingbv, ngonua hoka yalungyachung rigvnvgobv minv yinvpv. Soogv duyakduchak minsukunam si ogu minkorrikor jvgo kaayoma, okv ngonu so lvkwng sum alvnvgobv minji nyula mare.”
41 Baada ya kusema haya akavunja mkutano.
Pamtv baabuv svbv minggv rikula, nyitwng nga naam bv vngmu nyatoku.

< Matendo 19 >