< Matendo 17 >
1 Wakasafiri kupitia Amfipoli na Apolonia wakafika Thesalonike, ambako kulikuwa na sinagogi la Wayahudi.
Idąc dalej, minęli miasta Amfipolis oraz Apolonię i dotarli do Tesaloniki, gdzie znajdowała się żydowska synagoga.
2 Kama desturi yake, Paulo aliingia ndani ya sinagogi, na kwa muda wa Sabato tatu akawa anahojiana nao kutoka kwenye Maandiko,
Zgodnie ze swoim zwyczajem, Paweł chodził do niej przez kolejne trzy szabaty i przedstawiał zgromadzonym znaczenie Pisma.
3 akidhihirisha wazi na kuthibitisha kwamba ilikuwa lazima Kristo ateswe na afufuke kutoka kwa wafu. Akasema, “Huyu Yesu ninayewaambia habari zake, ndiye Kristo.”
Dowodził, że Mesjasz miał cierpieć i zmartwychwstać. Mówił: —Tym Mesjaszem jest Jezus, którego wam głoszę!
4 Baadhi ya Wayahudi wakasadiki, wakaungana na Paulo na Sila, wakiwepo idadi kubwa ya Wayunani waliomcha Mungu na wanawake wengi mashuhuri.
Niektórzy słuchacze, w tym również wielu pogan, którzy mieli respekt dla Boga, i niemało wpływowych kobiet, dało się przekonać i przyłączyło się do Pawła i Sylasa.
5 Lakini Wayahudi ambao hawakuwa wameamini wakawa na wivu, wakawakodi watu waovu kutoka sokoni, wakakutanisha umati wa watu, wakaanzisha ghasia mjini. Wakaenda mbio nyumbani kwa Yasoni wakiwatafuta Paulo na Sila ili kuwaleta nje penye ule umati wa watu.
Ale żydowscy przywódcy, kierowani zazdrością, namówili kilku awanturników, aby wywołali zbiegowisko i wszczęli w mieście rozruchy. Otoczyli oni dom Jazona i szukali apostołów, chcąc ich postawić przed zgromadzeniem.
6 Lakini walipowakosa wakamburuta Yasoni na ndugu wengine mbele ya maafisa wa mji, wakipiga kelele: “Watu hawa ni wale walioupindua ulimwengu wamekuja huku,
Ponieważ ich jednak nie znaleźli, zaciągnęli Jazona i kilku wierzących do władz miasta. —Ci ludzie sieją zamęt na całym świecie!—krzyczeli. —A teraz przyszli do naszego miasta
7 naye Yasoni amewakaribisha nyumbani mwake. Hawa wote wanaasi amri za Kaisari wakisema yuko mfalme mwingine aitwaye Yesu.”
i Jazon przyjął ich do swojego domu. Oni przeciwstawiają się decyzjom cezara, bo uważają za króla jakiegoś Jezusa!
8 Waliposikia haya, ule umati wa watu na maafisa wa mji wakaongeza ghasia.
Oskarżenia te zaniepokoiły zarówno zebranych, jak i władze.
9 Nao baada ya kuchukua dhamana kwa ajili ya Yasoni na wenzake wakawaacha waende zao.
Ostatecznie jednak zwolnili ich, ale dopiero po otrzymaniu sporej kaucji od Jazona i pozostałych.
10 Usiku ule ule, wale ndugu walioamini wakawapeleka Paulo na Sila waende zao Beroya. Walipowasili huko wakaenda kwenye sinagogi la Wayahudi.
Nocą wierzący szybko wyprawili Pawła i Sylasa do Berei. Ci, jak zwykle, skierowali się do synagogi.
11 Hawa Waberoya walikuwa waungwana zaidi kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa waliupokea ule ujumbe kwa shauku kubwa na kuyachunguza Maandiko kila siku ili kuona kama yale Paulo aliyosema yalikuwa kweli.
Tamtejsi mieszkańcy byli bardziej otwarci niż Tesaloniczanie. Całym sercem przyjęli słowo Boże i codziennie sprawdzali w Piśmie, czy to, co słyszeli, jest prawdą.
12 Wayahudi wengi wakaamini pamoja na wanawake na wanaume wa Kiyunani wa tabaka la juu.
Wielu z nich uwierzyło, w tym również spore grono wpływowych kobiet oraz mężczyzn, będących poganami.
13 Lakini wale Wayahudi wa Thesalonike waliposikia kuwa Paulo anahubiri neno la Mungu huko Beroya, wakaenda huko ili kuwashawishi watu na kuwachochea.
Gdy jednak żydowscy przywódcy z Tesaloniki dowiedzieli się, że Paweł przebywa teraz w Berei i naucza słowa Bożego, przyszli tam i wywołali kolejne rozruchy.
14 Mara hiyo, wale ndugu wakamsafirisha Paulo hadi pwani, lakini Sila na Timotheo wakabaki Beroya.
Wierzący natychmiast wysłali Pawła na wybrzeże. Sylas i Tymoteusz pozostali zaś na miejscu.
15 Wale waliomsindikiza Paulo wakaenda naye mpaka Athene, kisha wakarudi Beroya wakiwa na maagizo kutoka kwa Paulo kuhusu Sila na Timotheo kwamba wamfuate upesi iwezekanavyo.
Ci, którzy towarzyszyli Pawłowi, odprowadzili go aż do Aten, po czym wrócili z poleceniem dla Sylasa i Tymoteusza, aby oni również szybko dołączyli do Pawła.
16 Paulo alipokuwa akiwasubiri huko Athene, alisumbuka sana moyoni mwake kuona vile mji huo ulivyojaa sanamu.
Czekając na nich w Atenach, Paweł był oburzony, widząc miasto pełne bożków.
17 Hivyo akahojiana kwenye sinagogi na Wayahudi pamoja na Wayunani waliomcha Mungu, na pia sokoni kila siku na watu aliopatana nao huko.
W synagodze spotykał się i rozmawiał z Żydami oraz poganami mającymi respekt dla Boga. Codziennie też dyskutował z różnymi ludźmi na rynku.
18 Kisha baadhi ya Waepikureo na Wastoiko wenye falsafa wakakutana naye. Baadhi yao wakasema, “Je, huyu mpayukaji anajaribu kusema nini?” Wengine wakasema, “Inaonekana anasema habari za miungu ya kigeni.” Walisema haya kwa sababu Paulo alikuwa anahubiri habari njema kuhusu Yesu na ufufuo wa wafu.
Byli wśród nich filozofowie ze szkoły epikurejskiej i stoickiej, którzy rozmawiali między sobą: —O czym ten gaduła chce nam powiedzieć? —Chyba głosi jakieś nowe bóstwa—mówili drudzy, Paweł mówił bowiem o Jezusie i zmartwychwstaniu.
19 Hivyo wakamchukua na kumleta kwenye mkutano wa Areopago, walikomwambia, “Je, tunaweza kujua mafundisho haya mapya unayofundisha ni nini?
Zabrali więc go na Areopag i spytali: —Możesz nam wyjaśnić, jaką to nową religię głosisz?
20 Wewe unaleta mambo mapya masikioni mwetu, hivyo tungetaka kujua maana yake ni nini.”
Wkładasz nam bowiem do głowy jakieś niesłychane historie.
21 (Waathene na wageni wote walioishi humo hawakutumia muda wao kufanya chochote kingine isipokuwa kueleza au kusikia mambo mapya).
A wszyscy Ateńczycy i przybysze poświęcają większość czasu na dyskusje i słuchanie nowych wieści.
22 Ndipo Paulo akasimama katikati ya Areopago akasema, “Enyi watu wa Athene! Ninaona kwamba katika kila jambo ninyi ni watu wa dini sana.
Paweł stanął więc pośrodku Areopagu i przemówił: —Ateńczycy! Zauważyłem, że jesteście bardzo religijni.
23 Kwa kuwa nilipokuwa nikitembea mjini na kuangalia kwa bidii vitu vyenu vya kuabudiwa, niliona huko madhabahu moja iliyoandikwa: Kwa Mungu Asiyejulikana. Basi sasa kile ambacho mmekuwa mkikiabudu kama kisichojulikana, ndicho ninachowahubiria.
Spacerując po mieście i oglądając wasze ołtarze, natknąłem się nawet na ołtarz poświęcony „Nieznanemu Bogu”. Właśnie o tym Bogu, którego czcicie nie znając Go, chcę wam dziś opowiedzieć.
24 “Mungu aliyeumba dunia na vyote vilivyomo ndani yake, yeye ndiye Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika mahekalu yaliyojengwa kwa mikono ya wanadamu.
On stworzył cały świat i wszystko, co na nim istnieje. Jest Panem nieba i ziemi, więc nie mieszka w ziemskich świątyniach!
25 Wala hatumikiwi na mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji chochote, kwa sababu yeye mwenyewe ndiye awapaye watu wote uhai na pumzi na vitu vyote.
On nie potrzebuje żadnej pomocy od ludzi, bo to On sam daje nam życie, sprawia, że oddychamy, i obdarza nas wszystkim, czego potrzebujemy.
26 Kutoka kwa mtu mmoja, yeye aliumba mataifa yote ya wanadamu ili waikalie dunia yote, naye akaweka nyakati za kuishi.
To dzięki Niemu wszyscy ludzie na świecie wzięli początek od jednego człowieka. On też rozmieścił na całej ziemi narody, wyznaczając im czas i miejsce.
27 Mungu alifanya hivyo ili wanadamu wamtafute na huenda wakamfikia ingawa kwa kupapasapapasa ijapokuwa kwa kweli hakai mbali na kila mmoja wetu.
Uczynił tak, aby ludzie szukali Go, choćby po omacku, i znajdowali—bo On jest blisko każdego z nas.
28 ‘Kwa kuwa katika yeye tunaishi, tunatembea na kuwa na uzima wetu.’ Kama baadhi ya watunga mashairi wenu walivyosema, ‘Sisi ni watoto wake.’
W Nim bowiem istniejemy, żyjemy i poruszamy się! Jak to ujął jeden z waszych poetów: „Jesteśmy z Jego rodu”.
29 “Kwa kuwa sisi ni watoto wa Mungu, haitupasi kudhani kuwa uungu ni kama sanamu ya dhahabu au ya fedha au ya jiwe, mfano uliotengenezwa kwa ubunifu na ustadi wa mwanadamu.
A skoro jesteśmy z rodu Boga, nie powinniśmy sądzić, że jest On podobny do bożka ze złota, srebra lub kamienia, wykonanego według ludzkiego pomysłu.
30 Zamani wakati wa ujinga, Mungu alijifanya kama haoni, lakini sasa anawaamuru watu wote kila mahali watubu.
Bóg dotychczas znosił ludzką niewiedzę, ale teraz wzywa wszystkich do opamiętania się,
31 Kwa kuwa ameweka siku ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki akimtumia mtu aliyemchagua. Amewahakikishia watu wote mambo haya kwa kumfufua Kristo kutoka kwa wafu.”
ponieważ wyznaczył już dzień, w którym sprawiedliwie osądzi cały świat. Uczyni to przez Człowieka, którego wybrał i uwiarygodnił przez wskrzeszenie Go z martwych.
32 Waliposikia habari za ufufuo wa wafu, baadhi yao wakadhihaki, lakini wengine wakasema, “Tunataka kukusikia tena ukizungumza juu ya jambo hili.”
Gdy zebrani usłyszeli o zmartwychwstaniu umarłych, jedni zaczęli się z tego śmiać, a inni powiedzieli: —Wiesz, chyba jednak posłuchamy cię innym razem.
33 Kwa hiyo Paulo akaondoka katikati yao.
Wtedy Paweł opuścił Areopag.
34 Lakini baadhi yao wakaungana naye wakaamini. Kati yao alikuwepo Dionisio, Mwareopago na mwanamke mmoja aliyeitwa Damari na wengine wengi.
Lecz kilka osób uwierzyło i przyłączyło się do niego. Wśród nich byli: Dionizy, członek rady Areopagu, oraz kobieta imieniem Damaris.