< Matendo 17 >
1 Wakasafiri kupitia Amfipoli na Apolonia wakafika Thesalonike, ambako kulikuwa na sinagogi la Wayahudi.
Pawluh ja Tilah cun Amphipolih ja Apolonih jah khe pah lü, Thesalonikah mlüha Judahea sinakoka venaka citki xawi.
2 Kama desturi yake, Paulo aliingia ndani ya sinagogi, na kwa muda wa Sabato tatu akawa anahojiana nao kutoka kwenye Maandiko,
Acua Pawluh cun a thum khawia mäiha, ami veia lut lü, Sabbath mhnüp kthum vei, khyange mahmah ngthäh ngkhyah u lü pyen u lü, Cangcim üngka jah mtheh lü,
3 akidhihirisha wazi na kuthibitisha kwamba ilikuwa lazima Kristo ateswe na afufuke kutoka kwa wafu. Akasema, “Huyu Yesu ninayewaambia habari zake, ndiye Kristo.”
Mesijah naw khuikhanak khamei khaia akyaka mawng, thinak üngkhyüh a tho be vaia mawng cun jah mthehki. “Hina Jesuh ka ning jah mtheh cun Mesijaha kyaki ni” ti lü Pawluh naw a jah mtheh.
4 Baadhi ya Wayahudi wakasadiki, wakaungana na Paulo na Sila, wakiwepo idadi kubwa ya Wayunani waliomcha Mungu na wanawake wengi mashuhuri.
Avang he naw jum u lü, Krik khyang khawhae ja nghnumi khawhae naw Pawluh ja Tilaha veia law u lü Mhnam mküimto lawki he.
5 Lakini Wayahudi ambao hawakuwa wameamini wakawa na wivu, wakawakodi watu waovu kutoka sokoni, wakakutanisha umati wa watu, wakaanzisha ghasia mjini. Wakaenda mbio nyumbani kwa Yasoni wakiwatafuta Paulo na Sila ili kuwaleta nje penye ule umati wa watu.
Acunsepi, Judahe naw, k’eihei u lü, lama i käh pawhkie cun jah lawpüi u lü khyange jah ngcun lawsakie naw, mlüh avan üng suksak lawki he. Acunüng, Jasona ima ngkhäm law u lü, Pawluh ja Tilah cun khyangea hmaia ami jah cehpüi vaia ami täng.
6 Lakini walipowakosa wakamburuta Yasoni na ndugu wengine mbele ya maafisa wa mji, wakipiga kelele: “Watu hawa ni wale walioupindua ulimwengu wamekuja huku,
Am jah hmu u lü, Jason ja jumeikie cun khyang ngvaiea hmaia jah kaihkie naw, ngpyang u lü, “Hina khyange naw avan suksak khaia Khawmdek nglatsakie cun mi mlüha lawki he;
7 naye Yasoni amewakaribisha nyumbani mwake. Hawa wote wanaasi amri za Kaisari wakisema yuko mfalme mwingine aitwaye Yesu.”
Jason naw jah na khin na ve, ahin xawi cun, ‘Jesuh ngming naki, sangpuxang kce veki tia, Emperoa thum am läk ni” ami ti.
8 Waliposikia haya, ule umati wa watu na maafisa wa mji wakaongeza ghasia.
Acuna khyange naw mlüh ngvaie cun ami jah suksakei;
9 Nao baada ya kuchukua dhamana kwa ajili ya Yasoni na wenzake wakawaacha waende zao.
Jason ja a püie cun ngui jah tä lü jah hlät lü ami jah cehsak be.
10 Usiku ule ule, wale ndugu walioamini wakawapeleka Paulo na Sila waende zao Beroya. Walipowasili huko wakaenda kwenye sinagogi la Wayahudi.
Jumeikie naw mthana, Pawluh ja Tilah cun Beriha jah cehsak u se; acua ami va pha ja, Judahea sinakoka lutki xawi.
11 Hawa Waberoya walikuwa waungwana zaidi kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa waliupokea ule ujumbe kwa shauku kubwa na kuyachunguza Maandiko kila siku ili kuona kama yale Paulo aliyosema yalikuwa kweli.
Acuna khaw khyange cun, Thesalonikah mlüh khyangea kthaka ana daw u se, mlung jenak am ngthu cun dokhameikie, ani ngthu pyen cun am akcang ja akcang ksingnak vaia, a mhnüp tä se, Cangcim cun büktengkie.
12 Wayahudi wengi wakaamini pamoja na wanawake na wanaume wa Kiyunani wa tabaka la juu.
Acunakyase, khyang khawha naw jum u se; Krik nghnumi kdawe ja kpamie naw pi jum lawki he.
13 Lakini wale Wayahudi wa Thesalonike waliposikia kuwa Paulo anahubiri neno la Mungu huko Beroya, wakaenda huko ili kuwashawishi watu na kuwachochea.
Acunsepi, Thesalonikah mlüha ka Judahe naw, Pawluh naw Berih mlüha pi Pamhnama ngthu sangki tia ami ksing üng, acua pi va cit u lü, khyange ami jah va ksük.
14 Mara hiyo, wale ndugu wakamsafirisha Paulo hadi pwani, lakini Sila na Timotheo wakabaki Beroya.
Jumeikie naw, Pawluh cun tui cayea cit khaia ami tüih. Acunsepi, Tilah ja Timoti cun acua ve hütki xawi.
15 Wale waliomsindikiza Paulo wakaenda naye mpaka Athene, kisha wakarudi Beroya wakiwa na maagizo kutoka kwa Paulo kuhusu Sila na Timotheo kwamba wamfuate upesi iwezekanavyo.
Pawluh va thakie naw, Aten mlüh cäpa cit u lü Berih da nglat law be lü Pawluh naw a jah cüka kba, Tilah ja Timoti cun naw akjanga a jah mtheh.
16 Paulo alipokuwa akiwasubiri huko Athene, alisumbuka sana moyoni mwake kuona vile mji huo ulivyojaa sanamu.
Pawluh naw Atena Tilah ja Timoti jah k'äih lü a ve üng, mlüh cun juktuhe am be lü a hmuha kyase, aktäa a mlung am daw.
17 Hivyo akahojiana kwenye sinagogi na Wayahudi pamoja na Wayunani waliomcha Mungu, na pia sokoni kila siku na watu aliopatana nao huko.
Acunüng, sinakoka Judahe ja Pamhnam jumkie khyangmjükcee jah pyenpüi lü, khyang ami ngkhämnaka law nakütkia veia a mhnüp tä se a jah pyenpüi.
18 Kisha baadhi ya Waepikureo na Wastoiko wenye falsafa wakakutana naye. Baadhi yao wakasema, “Je, huyu mpayukaji anajaribu kusema nini?” Wengine wakasema, “Inaonekana anasema habari za miungu ya kigeni.” Walisema haya kwa sababu Paulo alikuwa anahubiri habari njema kuhusu Yesu na ufufuo wa wafu.
Epikurih ja, Stok sajae naw ani ngcuhpüikie. Avang he naw, “Hin ia am ngtäh xaki naw i pyen hlüki ni?” ami ti. Avang he naw, Jesuha mawng ja thawhnak bea mawng a pyena phäha, “Pe kcea ka mhnama mawng pyenki am ni aw” ami ti.
19 Hivyo wakamchukua na kumleta kwenye mkutano wa Areopago, walikomwambia, “Je, tunaweza kujua mafundisho haya mapya unayofundisha ni nini?
Pawluh cun man u lü, mlüh kawngci, Arepakaha hmaia lawpüi u lü, “Hina mtheimthangnak akthai na pyen hü hin na jah ksingsak thei khai aw?
20 Wewe unaleta mambo mapya masikioni mwetu, hivyo tungetaka kujua maana yake ni nini.”
Akthai am kami ngjak khawi cun na sang lawki ni; acunakyase, acuna suilam kami ksing vai täng ve üng” ami ti.
21 (Waathene na wageni wote walioishi humo hawakutumia muda wao kufanya chochote kingine isipokuwa kueleza au kusikia mambo mapya).
(Aten mlüha khyange ja khine cun, ngthu kthaia akyak üng, ami pyen vai ja ami ngaih vaia phäha ami kcün sumeiki he.)
22 Ndipo Paulo akasimama katikati ya Areopago akasema, “Enyi watu wa Athene! Ninaona kwamba katika kila jambo ninyi ni watu wa dini sana.
Pawluh cun kawngci hmaia ngdüi lü, “Nangmi Aten khyange cun, a naküt üng jumnak aktäa nami taki ti ka ksingki.
23 Kwa kuwa nilipokuwa nikitembea mjini na kuangalia kwa bidii vitu vyenu vya kuabudiwa, niliona huko madhabahu moja iliyoandikwa: Kwa Mungu Asiyejulikana. Basi sasa kile ambacho mmekuwa mkikiabudu kama kisichojulikana, ndicho ninachowahubiria.
Ka ceh hü sawa, nami hjawkhahe ka ja bükteng üng, kpyawngkung mata khana, ‘Am ksinga Mhnama phäha’ ti lü ng’yuki ka hmuh. Acunakyase, am ksing u lü nami jumei, acuna mawng ka ning jah mthehki ni.
24 “Mungu aliyeumba dunia na vyote vilivyomo ndani yake, yeye ndiye Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika mahekalu yaliyojengwa kwa mikono ya wanadamu.
Pamhnam, khawmdek ja a k'uma veki naküt ja mhnünki cun, mce ja khana Bawia kyase kut am saka temple üng am ve.
25 Wala hatumikiwi na mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji chochote, kwa sababu yeye mwenyewe ndiye awapaye watu wote uhai na pumzi na vitu vyote.
Khut bi lü a hlüei cun mi pe khai aw, amät kung cun anaküt am xünnak, ngxünak a naküt üng pekia kyaki.
26 Kutoka kwa mtu mmoja, yeye aliumba mataifa yote ya wanadamu ili waikalie dunia yote, naye akaweka nyakati za kuishi.
Acunüng, khawmdek khan naküt üng ve khaia, khyang mat üngka naw khyang mjüe naküt atäng tänga jah mhnün lü, ami phäha akcün ja ami venak vai phäh phähe pi a jah tak pet.
27 Mungu alifanya hivyo ili wanadamu wamtafute na huenda wakamfikia ingawa kwa kupapasapapasa ijapokuwa kwa kweli hakai mbali na kila mmoja wetu.
Acunakyase, Pamhnam cun ami hmuh vaia sui hükie; acunsepi, Pamhnam cun mimi üngkhyüh akthuka am ve.
28 ‘Kwa kuwa katika yeye tunaishi, tunatembea na kuwa na uzima wetu.’ Kama baadhi ya watunga mashairi wenu walivyosema, ‘Sisi ni watoto wake.’
Amäta phäha mi xüng lü, mi thoawm lü mi veki; ‘Keimi pi Mhnama a jah caea kami kyaki’ tia nangmi üng khyang mat naw pyenki.
29 “Kwa kuwa sisi ni watoto wa Mungu, haitupasi kudhani kuwa uungu ni kama sanamu ya dhahabu au ya fedha au ya jiwe, mfano uliotengenezwa kwa ubunifu na ustadi wa mwanadamu.
Acukba Pamhnama caea mi kya ua phäha, nghngicima khyaihnak am pyanga xüie, nguie, lung he lup cun Mhnam am tänga käh jah ngaih vai.
30 Zamani wakati wa ujinga, Mungu alijifanya kama haoni, lakini sasa anawaamuru watu wote kila mahali watubu.
Ahlana Pamhnam am ksing u se, jah na hawih khawi se pi, atuh cun ahawa pi ami mkhyekatnak nghlatak vaia ngthu a jah petki,
31 Kwa kuwa ameweka siku ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki akimtumia mtu aliyemchagua. Amewahakikishia watu wote mambo haya kwa kumfufua Kristo kutoka kwa wafu.”
akcün a na pyang päng thüp thüpa phäha, acuna mhnüp üng, a mcawna nghngicim phäh khawmdek avan cun angsunga ngthumkhyah law pe khai; acun cun Pamhnam naw thihnak üngka naw mtho be lü, khyange naküta veia angsingsak pänga kyaki” tia a pyen.
32 Waliposikia habari za ufufuo wa wafu, baadhi yao wakadhihaki, lakini wengine wakasema, “Tunataka kukusikia tena ukizungumza juu ya jambo hili.”
Acuna thihnak üngka naw mthawh bea ngthu Pawluh naw pyen se ami ngjak üng avange naw ami yaihei; avange naw, “Hina ngthu na pyen be vai ngja hlü ve üng” ami ti.
33 Kwa hiyo Paulo akaondoka katikati yao.
Acunüng Pawluh naw ami ngkhyumnak a jah cehtak.
34 Lakini baadhi yao wakaungana naye wakaamini. Kati yao alikuwepo Dionisio, Mwareopago na mwanamke mmoja aliyeitwa Damari na wengine wengi.
Acunsepi, khyang avange Pawluha veia ngdawn law u lü, jumei lawki he; acunüng avange cun, Dajonutih khyang kawngci üngkaa kya u lü avange cun nghnumi mat Damarih jah khyang kcea kyakie.