< Matendo 16 >
1 Paulo akafika Derbe na kisha Listra, ambako kulikuwa na mwanafunzi mmoja jina lake Timotheo, ambaye mama yake alikuwa Myahudi aliyeamini, lakini baba yake alikuwa Myunani.
Paulusi hape ni cheza kwa Derba ni Listra; mi mulole, mulutwana zumwi yo sumpwa Timotea kwabena, mwana wa muswisu wa Mujuda wa mwanakazi ya bazumine; beesi ba bali Magerike.
2 Alikuwa amesifiwa sana na wale ndugu waliokuwa wameamini huko Listra na Ikonio
A ba kuwambwa neenza ku bakwake ba vena kwa Lisitra ni Ikone.
3 Paulo alitaka Timotheo afuatane naye, hivyo akamchukua na kumtahiri kwa sababu ya Wayahudi waliokuwa wanaishi eneo lile kwa maana wote walimjua baba yake ni Myunani.
Paulusi a bakusaka kuyenda naye; ni chamuhinda ni ku ku mutwala kumupato chevaka cha majuda ba vena muchibaka echo, chakuti bonse ba vezi kuti beesi ba vali Magirike.
4 Walipokuwa wakienda mji kwa mji, wakawa wanawapa maamuzi yaliyotolewa na mitume na wazee huko Yerusalemu ili wayafuate.
A ba vakuyenda mwinzila zabo kuya mwitolopo ba bali ku ya vuha inkeleke intayelo ye ba vakuswanela kwichilila, intaelo i bañolwa kwa baapositola ni bakulwana venkeleke mwa Jerusalema.
5 Hivyo makanisa yakawa imara katika imani na kuongezeka kiidadi kila siku.
Chobulyo inkeleke i va kolete che ntumelo mi i ba li kwinjiha chenamba mwizuva.
6 Paulo pamoja na wenzake wakasafiri sehemu za Frigia na Galatia, kwa kuwa Roho Mtakatifu hakuwaruhusu kulihubiri neno huko Asia.
Paulusi ni bachikwata chakwe ba vali kuya muzikiliti za Frigia ni Galatia, chokuti ba vakaniswe cha Luhuho Lujolola kukutaza inzwi muchivaka cha Asia. Havazwa mwa Masia, babaliki ku ya kwa Bitiniya kono Luhuho lwa Jesu ni chi lwabakanisa.
7 Walipofika mpaka wa Misia, wakajaribu kuingia Bithinia lakini Roho wa Yesu hakuwaruhusu.
Chakuhita kumbali ni Masia, ni chibalika ku ya kwa Betenia, kono Luhuho Lwa Jesu ni chilwavakanisa.
8 Kwa hiyo wakapita Misia, wakafika Troa.
Chakuhita kumbali ya Misia, ni chiveza kwitolopo ya Troasi.
9 Wakati wa usiku Paulo akaona maono, mtu wa Makedonia amesimama akimsihi, “Vuka uje huku Makedonia utusaidie.”
Impono ivavoneki kwa Paulusi masiku: mukwame wa kwa Masondonia avali kuzimene aho, namu sumpa na wamba, “Wize kunu mwa Masondoniya ni kututusa.”
10 Baada ya Paulo kuona maono haya, tulijiandaa kwa haraka kuondoka kwenda Makedonia tukiwa tumesadiki kuwa Mungu alikuwa ametuita kuhubiri habari njema huko.
Linu Paulusi haca bweene iyo impono, yahaho chitwa nyemuka kuyenda kwa Mesondoniya, kuzumina kuti Ireeza watusupira kuka kutaza i evangeri ku vali.
11 Tukasafiri kwa njia ya bahari kutoka Troa na kwenda moja kwa moja hadi Samothrake, kesho yake tukafika Neapoli.
Ni chibahinda lwendo nihakubabulyo kuzwa kwa Troasi, ni chi twakatuka kuyenda feela kwa Samotrasi, mi izuva lichilila ni chitweza kwa Neapolisi;
12 Kutoka huko tukasafiri hadi Filipi, mji mkuu wa jimbo hilo la Makedonia, uliokuwa koloni ya Warumi. Nasi tukakaa huko siku kadhaa.
Ku zwa ko ni chitwaya kwa Filipi, I bali itolopo ya Masedonia, Itolopo i vali yabutokwa mwi chilalo ni mwikoloni ya Maroma, mi tubekali mwitolopo yo mazuva mangizana.
13 Siku ya Sabato tukaenda nje ya lango la mji kando ya mto, mahali ambapo tulitarajia tungepata mahali pa kufanyia maombi. Tukaketi, tukaanza kuongea na baadhi ya wanawake waliokuwa wamekusanyika huko.
Mwizuva lye Sabata ni chitwayenda hanze ya mulyango cha lwizi, ko tuvahupuli kuti kwina chivaka cha kulapelela. Ni chitwekala ni kuwamba ku banakazi ba bakezite hamwina.
14 Mmoja wa wale wanawake waliotusikiliza aliitwa Lidia, mfanyabiashara wa nguo za zambarau, mwenyeji wa mji wa Thiatira, aliyekuwa mcha Mungu. Bwana akaufungua moyo wake akaupokea ujumbe wa Paulo.
Mwanakazi zumwi ya bakusumpwa Lidia, muuzi we pulipela kuzwila kwitolopo ya Tiatira, ya bakulapela Ireeza, ni chatekeleza kwetu. Simwine ni cheyalula inkulo yakwe kutekeleza kuzintu zi ba kuwambwa nji Paulusi.
15 Basi alipokwisha kubatizwa yeye na watu wa nyumba yake, alitukaribisha nyumbani kwake akisema, “Kama mmeona kweli mimi nimemwamini Bwana, karibuni mkae nyumbani mwangu.” Naye akatushawishi.
Hamana kukolobezwa ni venzubo yakwe, ni cha tukumbila ni chati, “Chokuti u ba ni atuli ku ba yasepahala ku Simwine, mwize munzubo yangu, ze mwikale mwateni. Mi a ba tuhambilizi.
16 Siku moja, tulipokuwa tukienda mahali pa kusali, tulikutana na mtumwa mmoja wa kike ambaye alikuwa na pepo wa uaguzi. Naye alikuwa amewapa mabwana zake mapato makubwa ya fedha kwa ubashiri.
Ni chi kwachitahala buti, ha tu bakuya kuchivaka cha kulapelela, mwanakazana zumwi ya vena luhuho lwa bunuhi ni cha tukatana. A ba leteli nfumwe chifumu chingi chakunuhelela za bufumu.
17 Huyu msichana alikuwa akimfuata Paulo na sisi akipiga kelele, “Watu hawa ni watumishi wa Mungu Aliye Juu Sana, wao wanawatangazieni njia ya wokovu.”
Uzu mwanakazi ne chilila Paulusi mwisule naswe na huweleza, na ti, “A ba bakwame ba hikana be Ireeza Yo Hanzi. Ba wamba kwenu inzila ye mpuluso.”
18 Akaendelea kufanya hivi kwa siku nyingi, lakini Paulo akiwa ameudhika sana, akageuka na kumwambia yule pepo mchafu, “Ninakuamuru katika jina la Yesu Kristo, umtoke!” Yule pepo mchafu akamtoka saa ile ile.
A ba kuchita bulyo mu mazuba mangi. Kono Paulusi, a ba nyezwa ahulu, na chebuka mi na wamba kuluhuho, “Ni kulaela che zina lya Jesu Keriste u zwe mwali.” Mi ni lwa zwa hohwaho.
19 Basi mabwana wa yule mtumwa wa kike walipoona kuwa tumaini lao la kuendelea kujipatia fedha limetoweka, wakawakamata Paulo na Sila wakawaburuta mpaka sokoni mbele ya viongozi wa mji.
Kono nfumwakwe ha bona kuti insepo ya chifumu cabo chi yamana, ni bakwata Paulusi ni Silasi ni ku bakokolwela muchibaka cha ku uzikiza habusu bwa babusi.
20 Baada ya kuwafikisha mbele ya mahakimu wakawashtaki wakisema, “Hawa watu wanaleta ghasia katika mji wetu, nao ni Wayahudi.
Ha ba baleta ku baatuli, ni ba cho, “A ba bakwame Majuda mi baleta mifilifili mingi mwi tolopo yetu.
21 Wanafundisha desturi ambazo sisi raiya wa Kirumi hatuwezi kuzikubali au kuzitimiza.”
Baluta zintu zi sa zumininwe kwetu kuti tu zi tambule kapa ku zi chilila u bu Maroma.”
22 Umati wa watu waliokuwepo wakajiunga katika kuwashambulia Paulo na Sila na wale mahakimu wakaamuru wavuliwe nguo zao na wachapwe viboko.
Linu chisi ni cha ziimana hamwina kulwisa Paulusi ni Silasi; ba atuli ni ba ñatula zi zwato zabo ni ku laela kuti ba shupwe ni mbazi.
23 Baada ya kuwachapa sana, wakawatupa gerezani na kumwagiza mkuu wa gereza awalinde kikamilifu.
Ha bamana ku balindola chamañindi mangi, ni ba va sohela mwi ntolongo ni kulaela muganteli ku ba gantela ahulu.
24 Kufuata maelekezo haya, yule mkuu wa gereza akawaweka katika chumba cha ndani sana mle gerezani, na akawafunga miguu yao kwa minyororo.
Ha mana ku wana i yi intaelo, muganteli na basohela mu intolongo ya mukati ni kusumina matende a bo ha zi sindimwa.
25 Ilipokaribia usiku wa manane, Paulo na Sila walikuwa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, nao wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza.
Mukati ka masiku Paulusi ni Silasi ba va kulapela ni ku zimba izimbo kwa Ireeza, mi basuminwa bamwi ba va li ku batekeleze.
26 Ghafula pakatokea tetemeko kubwa la ardhi, hata msingi wa gereza ukatikisika. Mara milango ya gereza ikafunguka na ile minyororo iliyowafunga kila mmoja ikafunguka.
Haho ni kwa ba ni nzikinyeho i nkando, mukuti ni mitomo ye ntolongo ni ya nyanganya, mi hohwaho milyango ye ntolongo ni ye yaluka, mi mawenge a zumwi ni zumwi ni a sumunuka.
27 Yule mkuu wa gereza alipoamka na kuona milango ya gereza iko wazi, akachomoa upanga wake akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wote wametoroka.
Mulibeleli ha vuka mwi ñonzi na bona milyango ye ntolongo ni iyalukite; na hinda i sabule lya kwe mi cha ba kulihaya, kakuli cha ba kuzezete kuti basuminwa chi ba loboka.
28 Lakini Paulo akapiga kelele kwa sauti kubwa, akasema, “Usijidhuru kwa maana sisi sote tuko hapa!”
Kono paulusi cha huwa chenzwi ikando, na ti; “Konji u lisasamisi, kakuti kutwina twense.”
29 Yule askari wa gereza akaagiza taa ziletwe, akaingia ndani ya kile chumba cha gereza, akapiga magoti akitetemeka mbele ya Paulo na Sila.
Muganteli a sumpisa mamonyi mi a hwelela mukati mi, a chachalika cha kutiya, na wila habusu bwa Paulusi ni Silasi,
30 Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?”
mi na ba zwisikiza hanze mi na cho, “Batompei, chi ni swanela kuchita nje chihi kuti ni hazwe?”
31 Wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka, pamoja na watu wa nyumbani mwako.”
Ni bati, “Zumine mwa Simwine Jesu, mi ka u hazwe, iwe ni ve nzubo yako.”
32 Wakamwambia neno la Bwana yeye pamoja na wote waliokuwako nyumbani mwake.
Ni ba wamba inzwi lya Simwine kwali, hamwina ni bonse mu inzubo.
33 Wakati ule ule, yule mkuu wa gereza akawachukua, akawaosha majeraha yao, kisha akabatizwa yeye pamoja na wote waliokuwa nyumbani mwake bila kuchelewa.
linu muganteli cha bahinda mwi inako iswana ya masiku, mi chasambisa zilabi za bo, mi iye ni bonse be nzubo yakwe ni ba kolobezwa hohwaho.
34 Akawapandisha nyumbani mwake akawaandalia chakula, yeye pamoja na nyumba yake yote wakafurahi sana kwa kuwa sasa walikuwa wamemwamini Mungu.
Na leta Paulusi ni Silasi mwi nzubo yakwe ni kubika zilyo habusu bwabo. Chasanga ahulu ni be nzubo yakwe bonse, mukuti bonse ba bazumini kwa Ireeza.
35 Kulipopambazuka wale mahakimu wakawatuma maafisa wao kwa mkuu wa gereza wakiwa na agizo linalosema, “Wafungue wale watu, waache waende zao.”
Linu ha ku ba musihali, muatuli a tumina iñusa ku muganteli liti, “Siye a bo bakwame bayende.”
36 Mkuu wa gereza akamwambia Paulo “Mahakimu wameagiza niwaache huru, kwa hiyo tokeni na mwende zenu kwa amani.”
Muganteli cha biha indaba kwa Paulusi, na ti, “Baatuli ba tumina inzwi kwangu kuti ni misiye muyende: linu he muzwe, mi muliyendele che nkozo.”
37 Lakini Paulo akawaambia wale maafisa, “Wametupiga hadharani bila kutufanyia mashtaka na kutuhoji, nao wakatutupa gerezani, hata ingawa sisi ni raiya wa Rumi. Nao sasa wanataka kututoa gerezani kwa siri? Hapana! Wao na waje wenyewe watutoe humu gerezani.”
Kono paulusi ni chati kubali, “Ba batukabi he nkaza, bakwame ba sanyazitwe cha chi Roma, mi ni vatusohela mwi intolongo; mi linu hanu batuzwisa cha kuli wungula? Kamu kwikalile bulyo tota; mu basiye abo bene beze ze batuzwise.”
38 Wale maafisa wakarudi na kuwaambia wale mahakimu maneno haya, wakaogopa sana walipofahamu kuwa Paulo na Sila ni raiya wa Rumi.
Baganteli ni ba biha aa manzwi ku ba atuli; ba atuli ba ba tiyi ha bazuwa kuti Paulusi ni Silasi Maroma.
39 Kwa hiyo wakaja wakawaomba msamaha, wakawatoa gerezani, wakawaomba waondoke katika ule mji.
Baatuli chibeza ni kubakumbila; mi ha ba bazwisa mwintolongo, chi bakumbila Paulusi ni Silasi kuzwa mwitolopo.
40 Baada ya Paulo na Sila kutoka gerezani walikwenda nyumbani kwa Lidia, ambapo walikutana na wale ndugu walioamini, wakawatia moyo, ndipo wakaondoka.
Linu paulusi ni Silasi chi bazwa mwi ntolongo mi ni baya kunzubo ya Lidia. Linu Paulusi ni Silasi ha ba bona ba mwabo ni ba ba susuweza ni kuzwa mwitolopo.