< Matendo 15 >

1 Baadhi ya watu wakashuka Antiokia kutoka Uyahudi, nao wakawa wanawafundisha wandugu: “Msipotahiriwa kufuatana na desturi aliyofundisha Mose, hamwezi kuokoka.”
Avanhu vango vakika kuhuma ku Yahudi na kukuvavulanisia avanyalukolo, vakaati, “nambe namukeketivue ndavule ulwiho ulwa Musa, namughwesia kuvanguka.”
2 Baada ya Paulo na Barnaba kutokubaliana nao kukawa na mabishano makali, Paulo na Barnaba na baadhi ya wengine miongoni mwao wakachaguliwa kwenda Yerusalemu ili kujadiliana jambo hili na mitume na wazee.
Unsiki u Paulo nu Barnaba ye vakale vatang'ine na kujova palikimo navene, avanyalukolo valyamwile kuuti Paulo, Barnaba, navange vamo valute ku Yerusalemu ku vasung'wa avaghogholo kuposia iili.
3 Hivyo wakasafirishwa na kanisa, wakiwa njiani wakapitia nchi ya Foinike na Samaria, wakawaeleza jinsi watu wa Mataifa walivyookoka. Habari hizi zikaleta furaha kubwa kwa ndugu wote.
Ku iili, kukwomola kuvanave kunyumba inyimike ijakufunyila valyahumile ku Foinike na ku Samaria yeye vipulisia kusyetula uvufumbue kuva panji. Valyaletile ulukelo ulukome kuvanyalukolo vooni,
4 Walipofika Yerusalemu, walipokelewa na kanisa na mitume pamoja na wazee, ndipo Paulo na Barnaba wakawaarifu kila kitu Mungu alichokuwa amefanya kupitia kwao.
Ye visile ku Yerusalemu pe vakapokelilue nii nyumba inyimike ijakufunyila kange navasung'wa na vaghogholo, vakavafunyila imola inofu ku isi sooni sino u Nguluve avombile palikimo na Vene.
5 Ndipo baadhi ya walioamini wa madhehebu ya Mafarisayo wakasimama na kusema, “Hao watu wa Mataifa lazima watahiriwe na waagizwe kutii sheria ya Mose.”
Looli avanhu vamovamo vano valitike, valyale mukipugha ikya Mafarisayo, valyimile nakujova, “lunoghile kukuvakeka na pikuvavula vakole ululaghilo ulwa Musa.”
6 Mitume na wazee wakakutana pamoja ili kufikiri jambo hili.
Pe avasung'wa navaghogholo vakima palikimo kukulisaghila iili.
7 Baada ya majadiliano mengi, Petro akasimama na kusema, “Ndugu zangu, mnajua kwamba siku za kwanza Mungu alinichagua ili kwa midomo yangu watu wa Mataifa wapate kusikia ujumbe wa Injili na kuamini.
Ye sikilile imuling'ano inali, u Petro akima nakujova kuvanave, “Avanyalukolo vitang'aniaghe kuuti kitambuko kinono kiino kikilile u Nguluve akavombile uvusaluli pakate palyusue, kuuti mulomo ghwango avapanji vapulikaghe ilisio lya livangili, na pikulyitika.
8 Mungu, yeye ajuaye mioyo, alionyesha kwamba anawakubali kwa kuwapa Roho Mtakatifu kama vile alivyotupa sisi.
U Nguluve juno ikagula inumbula, ikwolela kuvanave, ikuvapela u Mhepo u Mwimike, ndavule alyavombile kulyusue;
9 Mungu hakutofautisha kati yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa imani.
nalyavombile nambe kulyuseu na vene, ye ivomba munumbula sivanave sive nofu kulwitiko.
10 Sasa basi, mbona mnataka kumjaribu Mungu kwa kuweka kongwa shingoni mwa wanafunzi ambalo baba zetu wala sisi hatukuweza kulibeba?
Ku uluo, nakiki mukumughela u Nguluve kuuti muvike ulughoji ku singo isa vavulanisivua sino nambe u Nhata ghuitu kange natughwesia kukangala?
11 Lakini sisi tunaamini ya kuwa tunaokolewa kwa neema ya Bwana Yesu Kristo, kama wao wanavyookolewa.”
Looli tukwitika kuuti tupokua ku vumosi ulwa Mutwa Yesu ndavule valyale.”
12 Kusanyiko lote likakaa kimya, wakawasikiliza Paulo na Barnaba wakieleza jinsi Mungu alivyowatumia kutenda ishara na maajabu kwa watu wa Mataifa.
Ikipugha kyoni kikajika kimie ye vikupulikisia u Barnaba nu Paulo ye vakale vihumia imola isa kidegho na kudegha jino u Nguluve alyavombile palikimo navene ku vapanji.
13 Walipomaliza kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.
Ye vabuhilile kujova, u Jakobo akamula akati, “Nyalukolo nipulikisie.
14 Simoni amekwisha kutueleza jinsi Mungu, kwa mara ya kwanza alivyoonyesha kuhusika kwa kujichagulia watu kutoka watu wa Mataifa kwa ajili ya Jina lake.
U Simoni alyajovile ulwakwanda kuuti u Nguluve kuvamosi alyavatangile avapanji kuuti apelilue kuhuma kuvanave ku vanhu ku litavua lya mwene.
15 Maneno ya manabii yanakubaliana na jambo hili, kama ilivyoandikwa:
Amasio agha vaviili ghi kwiting'ana niili ndavule lyalembilue.
16 “‘Baada ya mambo haya nitarudi, nami nitajenga upya nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga tena magofu yake na kuisimamisha,
'Pa uluo niligomoka kange kunosia ili tembe lya Daudi, linolilyaghuile pasi, ninyanyula na kunosia uvunangifu vwamwene,
17 ili wanadamu wengine wote wapate kumtafuta Bwana, hata wale watu wa Mataifa wote ambao wanaitwa kwa Jina langu, asema Bwana, afanyaye mambo haya’
kange bahapuo avanhu vano vakajighe vamulonde u Mutwa, palikimo navapanji vano vitambulua kulitavua uyango.'
18 ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn g165)
Ifi fyefino ajovagha u Mutwa juno avombile agha gha kukagulika kuhuma ku vutua uvwakatali. (aiōn g165)
19 “Kwa hivyo uamuzi wangu ni kwamba, tusiwataabishe watu wa Mataifa wanaomgeukia Mungu.
Kange, amasaghe ghango, natungavapelaghe imumuko avanhu avapanji vano vikunsyetukila u Nguluve;
20 Badala yake, tuwaandikie kwamba wajiepushe na vyakula vilivyonajisiwa kwa kutolewa sanamu, wajiepushe na uasherati, au kula mnyama aliyenyongwa, na damu.
looli tulembe kuvanave kuuti vibaghule kutali nu vunangifu uvwa sanamu, uvunoghelua uvwa vavwafu, nafino filya kngilue, ni danda.
21 Kwa maana katika kila mji kwa vizazi vilivyopita, Mose amekuwa na wale wanaotangaza sheria yake kwa kuwa imekuwa ikisomwa kwa sauti kubwa katika masinagogi kila Sabato.”
Kuhuma kisina ikya vaghogholo pevale avanhu mulikaja vano vidalikila na kukumulumba u Musa mumajumba aghakufunyila ku sabati.”
22 Mitume na wazee pamoja na kanisa lote, wakaamua kuwachagua baadhi ya watu wao na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba. Wakamchagua Yuda aitwaye Barsaba pamoja na Sila, watu wawili waliokuwa viongozi miongoni mwa ndugu.
Pa uluo lukavonike kuuti luvanoghile avasung'ua nava ghogholo, Palikimo ni nyumba jooni inyimike ijakufunyila, kukunsalula u Yuda juno itambulua Barsaba, nu Silas, vano valyale valongosi munyumba inyimike ijakufunyila, na kukuvomola ku Antiokia palikimo nu Paulo nu Barnaba.
23 Wakatumwa na barua ifuatayo: Sisi mitume na wazee, ndugu zenu, Kwa ndugu Mataifa mlioamini mlioko Antiokia, Shamu na Kilikia: Salamu.
Valyalembile anala, “Vasung'ua, vaghogholo navanyalukolo, kuva nyalukolo avapanji vano vali ku Antiokia, ku Shamus na ku Kilikia, salamu.
24 Tumesikia kwamba kuna baadhi ya watu waliokuja huko kutoka kwetu bila ruhusa yetu na kuwasumbua, wakiyataabisha mawazo yenu.
Tupulike kuuti avanhu avange vano tukavapelile ilulaghilo uluo, valyahumile kulyusue pe vakavapumusia avavulanesi vano vileta imumuko muluvelo kuvanave.
25 Hivyo tumekubaliana wote kuwachagua baadhi ya watu na kuwatuma kwenu pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paulo,
Mu uluo luvonike vunofu kulyiusue tweeni kusalula avanhu na pikuvomola kulyumue palikimo navaghani viitu u Barnaba nu Paulo,
26 watu ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
avanhu vano vakivikile mu vulalamu ulwa mikalile ghavanave vwimila vwa litavua lya Mutwa Yesu Kilisite.
27 Kwa hiyo tunawatuma Yuda na Sila, kuthibitisha kwa maneno ya mdomo mambo haya tunayowaandikia.
Ku uluo tumwomwile u Yuda nu Sila, vikuvavulagha sisisio.
28 Kwa maana imempendeza Roho Mtakatifu na sisi tusiwatwike mzigo wowote mkubwa zaidi ya mambo haya yafuatayo ambayo ni ya lazima:
Ulwakuva lukavonike vunofu kwa Mhepo Mwimike na kulyusue, kuleka kuviika kulyumue unsigho un'kome kukila isio sino nasakusileka:
29 Kwamba mjiepushe na vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, au kula nyama ya mnyama aliyenyongwa, na mjiepushe na uasherati. Mkiyaepuka mambo haya, mtakuwa mmefanya vyema. Kwaherini.
kuuti musyetuke kuhuma kufinu fino fitavula kufi hwani, i danda, ifiinu fya kunyongua, nu vu vwafu. Nave mukuvika kutali nifi, luve lunofu kulyumue. Mukaghone.”
30 Hivyo wakaagwa, wakashuka kwenda Antiokia. Baada ya kulikusanya kanisa pamoja, wakawapa ile barua.
Apuo lino, ndavule vakavapalasinie, valikile ku Antiokia; Ye vakong'anisie ilipugha palikimo, valyafikisie ikalata.
31 Nao hao watu wakiisha kuisoma, wakafurahishwa sana kwa ujumbe wake wa kutia moyo.
Pano vakati vajimbile, valyahovwike ulwakuva jilyavisisie umwojo.
32 Yuda na Sila, ambao wenyewe walikuwa manabii, wakanena maneno mengi ya kuwatia moyo na kuwajenga katika imani wale ndugu walioamini.
U yuda nu Sila, na vaviili valyavisisie umwojo avanyalukolo namasio aminga na pikuvapela ingufu.
33 Baada ya kukaa huko Antiokia kwa muda, wakaagwa kwa amani na wale ndugu ili waende kwa wale waliowatuma. [
Ye vikalile unsiki ghumonga ukuo, valyavapalasinie nulutengano kuhuma kuva nyalukolo vala vano valyavomwile.
34 Lakini Sila bado akaendelea kukaa huko.]
[Looli lulyavonike kuva lunofu uSila kujigha ukuo]
35 Lakini Paulo na Barnaba walibaki Antiokia ambako wao pamoja na wengine wengi walifundisha na kuhubiri neno la Bwana.
Looli u Paulo navange valikalile ku Antiokia palikimo na vange vinga, pano vakavulanisiagha na kudalikila ilisio lya Mutwa.
36 Baada ya muda, Paulo akamwambia Barnaba, “Turudi tukawatembelee ndugu katika miji yote tuliyohubiri neno la Bwana tuone jinsi wanavyoendelea.”
Ye fikilile ifighono nde filingi u Paulo akajova kwa Barnaba, “Tugomoke lino na pikuvaghendela avanyalukolo mufikaja fyooni fino tukadalikile ilisio lya Mutwa, napikuvalola valindani.
37 Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.
U Barnaba akalondagha kange pikuntola palikimo navoope U Yohana junojuno itambulivua Marko.
38 Lakini Paulo aliona si vyema kwa sababu aliwahi kuwaacha walipokuwa huko Pamfilia, hakutaka kuendelea kufanya kazi naye.
Looli u Paulo alyasaghile nalulyale lunofu kukun'tola u Marko, akavalekile kulam ku Pamfilia nalyaghendelile navope mumbombo.
39 Pakatokea ubishi mkali kati ya Paulo na Barnaba kuhusu jambo hili, hivyo wakagawanyika. Barnaba akamchukua Yohana Marko wakasafiri baharini kwenda Kipro.
Kange bahapuo sikahumila isakukaning'ana imbaha pa uluo vakalekeng'ana, naju Barnaba akan'tola u Marko nakughenda mu Meli kufika ku Kpro,
40 Lakini Paulo akamchagua Sila na akaondoka baada ya ndugu kuwatakia neema ya Bwana.
Looli u Paulo akansalula u Sila na kuvuka, ye vamalile kuvikua navanyalukolo mu lusungu lwa Mutwa.
41 Akapitia Shamu na Kilikia, akiimarisha makanisa ya huko.
Pe akaluta kukilila ku Shamus na ku Kilikia, akasikangasiagha ing'ongano.

< Matendo 15 >