< Matendo 15 >
1 Baadhi ya watu wakashuka Antiokia kutoka Uyahudi, nao wakawa wanawafundisha wandugu: “Msipotahiriwa kufuatana na desturi aliyofundisha Mose, hamwezi kuokoka.”
nubo kangembo yirau yahudiya cin bou Antakiya ri, ciin merang kebcebo nen, ki “Tano kom biye bo laro nawo werfun Musa ro tokkeri, mani ko fiya cerkati.”
2 Baada ya Paulo na Barnaba kutokubaliana nao kukawa na mabishano makali, Paulo na Barnaba na baadhi ya wengine miongoni mwao wakachaguliwa kwenda Yerusalemu ili kujadiliana jambo hili na mitume na wazee.
Wo dok Bulus kange Barnabas mor kobkangka kane ci. la cin cok Bulus kange Barnabas kange kangembo mre ce na cin ya Ursalima, cin wabkangi kange nobtomange bo, kange nubo durtinimbo dor meke wo.
3 Hivyo wakasafirishwa na kanisa, wakiwa njiani wakapitia nchi ya Foinike na Samaria, wakawaeleza jinsi watu wa Mataifa walivyookoka. Habari hizi zikaleta furaha kubwa kwa ndugu wote.
La nubo ku wabeu tom ci, cin cu mor finikiya kange Samariya la ciin yi cii yioka nubeko kumtacileu. ciin bou ki fuwor nerero dur fiye kebcebo wiye.
4 Walipofika Yerusalemu, walipokelewa na kanisa na mitume pamoja na wazee, ndipo Paulo na Barnaba wakawaarifu kila kitu Mungu alichokuwa amefanya kupitia kwao.
Ki kwama wo ci bou mor Ursalima, nubo bi kurwabereu yoci kange nob tomangeebo, kange nubo durtinimbo, la cin yici dikero gwam wo kwama mani ki ci yeu.
5 Ndipo baadhi ya walioamini wa madhehebu ya Mafarisayo wakasimama na kusema, “Hao watu wa Mataifa lazima watahiriwe na waagizwe kutii sheria ya Mose.”
Di la nubo kangembo wone bilenke, wo ki more nob ding lingebeu, kweni tiri ciki, “Tamnyo a biye cinan lor, rina neci nyal ri naci bwangten werfuner Musa ro”.
6 Mitume na wazee wakakutana pamoja ili kufikiri jambo hili.
La nob bwangkabo kange nubo durko mweri wari naci to dike wor.
7 Baada ya majadiliano mengi, Petro akasimama na kusema, “Ndugu zangu, mnajua kwamba siku za kwanza Mungu alinichagua ili kwa midomo yangu watu wa Mataifa wapate kusikia ujumbe wa Injili na kuamini.
Bwiko kwob kanka ko duce ri, Bitrus kweni tii ri, la yi ciki “Kem bibo, kom nyimom ki kwama duce cumeu, kwama ck ni more kume, la nyimi nubo kumtacileu a nuwa fulen kerer certiye, naci ne bilenke.
8 Mungu, yeye ajuaye mioyo, alionyesha kwamba anawakubali kwa kuwapa Roho Mtakatifu kama vile alivyotupa sisi.
kwama wo nyimom mor nereu, la yici ki yuwa tangbe co wucakke ci nee cii na wo ci ne beu.
9 Mungu hakutofautisha kati yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa imani.
Ci tu bobo ki dimen kange ci la cin nirom ner cero ki belinke.
10 Sasa basi, mbona mnataka kumjaribu Mungu kwa kuweka kongwa shingoni mwa wanafunzi ambalo baba zetu wala sisi hatukuweza kulibeba?
La nyori, ye bwi ko cuwa kwama, la kom yo nob bwanka bonen ten tu tum ti, wo tebbeb kaka'a bo dolbo tu kake?
11 Lakini sisi tunaamini ya kuwa tunaokolewa kwa neema ya Bwana Yesu Kristo, kama wao wanavyookolewa.”
Dila bin ne bilenke ban fiya fuloka ki luma nere kwama na ci ken.
12 Kusanyiko lote likakaa kimya, wakawasikiliza Paulo na Barnaba wakieleza jinsi Mungu alivyowatumia kutenda ishara na maajabu kwa watu wa Mataifa.
Nubo gwam tam cinge kambo ci nuwa Barnabas ti kange Bulus yici yirom boti kange diker nyimankako wo kwama mani tiber nubo kumtancileu kange ceke.
13 Walipomaliza kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.
kambo diim tokka kere kori, Yakubu ciya ki “Kebmibo, ko nuwa ye.
14 Simoni amekwisha kutueleza jinsi Mungu, kwa mara ya kwanza alivyoonyesha kuhusika kwa kujichagulia watu kutoka watu wa Mataifa kwa ajili ya Jina lake.
Simon tok kambo kwama ki kaba ki lumanek tiikam nubo wo yim kumtacileu ri naci to dorcero nin nob more ce.
15 Maneno ya manabii yanakubaliana na jambo hili, kama ilivyoandikwa:
Ke tinim nob tomangeb dukumero ciya kange wo, nawo mulangum meu.
16 “‘Baada ya mambo haya nitarudi, nami nitajenga upya nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga tena magofu yake na kuisimamisha,
Bwiko dikero wo man yilau, ri man mutilo Dauda wi tak, wo yuram bitineu, man yila muti tiyak cekowi, nabi tiken ki cho.
17 ili wanadamu wengine wote wapate kumtafuta Bwana, hata wale watu wa Mataifa wote ambao wanaitwa kwa Jina langu, asema Bwana, afanyaye mambo haya’
La nubo kumeu atin do kwama kange nubo kumta cileu gwam wo cico tiki dem mire.
18 ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn )
wo cho dike kwama tokkeu, wo ma dikero buro nyumom nanduweu. (aiōn )
19 “Kwa hivyo uamuzi wangu ni kwamba, tusiwataabishe watu wa Mataifa wanaomgeukia Mungu.
Nyori, mi tori bi nere nubo kumta cileu wo yilam kwama nineu dotange.
20 Badala yake, tuwaandikie kwamba wajiepushe na vyakula vilivyonajisiwa kwa kutolewa sanamu, wajiepushe na uasherati, au kula mnyama aliyenyongwa, na damu.
Dila kange cinen tam nyo ciya dubom fulendo kange buro tumbo, kange wo ka biciro bwiyam bwiya.
21 Kwa maana katika kila mji kwa vizazi vilivyopita, Mose amekuwa na wale wanaotangaza sheria yake kwa kuwa imekuwa ikisomwa kwa sauti kubwa katika masinagogi kila Sabato.”
Wori ci tok ker ti mor werfun Musa mor cinan lor gwam ki kaltiro nanduweu la ciki kiyei mor bikur waber diye fobka gwam.
22 Mitume na wazee pamoja na kanisa lote, wakaamua kuwachagua baadhi ya watu wao na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba. Wakamchagua Yuda aitwaye Barsaba pamoja na Sila, watu wawili waliokuwa viongozi miongoni mwa ndugu.
La yor nob tomnagebonen kange nubo durko kange nubo bikur wabe ro nen gwammeu na ci chok Yahuza cwoti ki Barsabbas kange cila buro no nubo dor kebcebeu. la cin tom Antakiya kange Bulus Barnabas.
23 Wakatumwa na barua ifuatayo: Sisi mitume na wazee, ndugu zenu, Kwa ndugu Mataifa mlioamini mlioko Antiokia, Shamu na Kilikia: Salamu.
cin mulangi ki kangcek fiye nob tomangebo, kange nubo durko, keb kumebo, ki kebnyebo wo no kumtacileu mor Antakiya, Siriya, Ciliciya, Yarume.
24 Tumesikia kwamba kuna baadhi ya watu waliokuja huko kutoka kwetu bila ruhusa yetu na kuwasumbua, wakiyataabisha mawazo yenu.
wori nyim nuwa kangem nubo ceri fou nyinen, kebo ki yomka nyek, la cin kwomcang kom ki keti ro kange kumen nereu.
25 Hivyo tumekubaliana wote kuwachagua baadhi ya watu na kuwatuma kwenu pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paulo,
Nyitori yori kabo nyo wo nyane dume ne wine nanyi cok nubo kangem ri nanyi tomci kumen kange nubo nyi cui cuiyeu Barnabas kange Bulus.
26 watu ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
Nubo wo neken dume ceu ki Teluwer bek Yesu Kiriti.
27 Kwa hiyo tunawatuma Yuda na Sila, kuthibitisha kwa maneno ya mdomo mambo haya tunayowaandikia.
La nyin tom yakubu kange Silas wo, ayikom dike coti win ken ki mor kere ce.
28 Kwa maana imempendeza Roho Mtakatifu na sisi tusiwatwike mzigo wowote mkubwa zaidi ya mambo haya yafuatayo ambayo ni ya lazima:
Wori yori kabo yuwa tangbe kwamakonen kang nyo ri, nyi yo kumen deben do dur wo la dikero wo tam a bwang tenneu.
29 Kwamba mjiepushe na vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, au kula nyama ya mnyama aliyenyongwa, na mjiepushe na uasherati. Mkiyaepuka mambo haya, mtakuwa mmefanya vyema. Kwaherini.
Di kom dubom dike cii neken bibwiteu, noka bwiyale, woka biciro bwiyam bwiyau, kange buroka. No kom dubom dikero buro ri, kan yi kwamer.
30 Hivyo wakaagwa, wakashuka kwenda Antiokia. Baada ya kulikusanya kanisa pamoja, wakawapa ile barua.
La ciin kambo ci yalammeri, yirau antakiya, kambo ci mweru nubo duce wariyeri, ciin neken cii mulangkako.
31 Nao hao watu wakiisha kuisoma, wakafurahishwa sana kwa ujumbe wake wa kutia moyo.
Ki bwikob kiyekako ri, ciin bilangi ki bikwan nere ro.
32 Yuda na Sila, ambao wenyewe walikuwa manabii, wakanena maneno mengi ya kuwatia moyo na kuwajenga katika imani wale ndugu walioamini.
yahuza kange wo nob tomangeb dukumek takeu ne nubo bi kwan neret ki keti duce, ri la cin fiya bi kwan.
33 Baada ya kukaa huko Antiokia kwa muda, wakaagwa kwa amani na wale ndugu ili waende kwa wale waliowatuma. [
kambo ci darang kume tini wiyeri, ciin yoken cii ki fuwor neret nubo co nen, na ci yilaken nubo tomou ciye nen.
34 Lakini Sila bado akaendelea kukaa huko.]
Dila cila tori yori kabo ci tim wi.
35 Lakini Paulo na Barnaba walibaki Antiokia ambako wao pamoja na wengine wengi walifundisha na kuhubiri neno la Bwana.
Dila Bulus kange Barnabas tim Antakiya (kang tangum kebcebo duce) ci ki merang cinen ti ri, ci tok ker kwamaro ti.
36 Baada ya muda, Paulo akamwambia Barnaba, “Turudi tukawatembelee ndugu katika miji yote tuliyohubiri neno la Bwana tuone jinsi wanavyoendelea.”
Kambo kume tini ri Bulus yi Barnabas ki' na weu “bi yila nabi yarum kebbebo mor Cinanloro gwam wo ni tok ker kwamareu, nabi to keno ci mati nyi ri”.
37 Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.
Barnabas cui naci tu Yahaya cii cuo ti ki Markus ce kange ci.
38 Lakini Paulo aliona si vyema kwa sababu aliwahi kuwaacha walipokuwa huko Pamfilia, hakutaka kuendelea kufanya kazi naye.
Dila Bulus kwabi ri, ki yorbo cia tu Markus, wo dubom cii mor Bamfiliya ri yabo kab tak kange ci nagen do nineu.
39 Pakatokea ubishi mkali kati ya Paulo na Barnaba kuhusu jambo hili, hivyo wakagawanyika. Barnaba akamchukua Yohana Marko wakasafiri baharini kwenda Kipro.
La kwob kangkako dou tiber cer, la bou ki yal kanka bwitici, Barnabas tu Markus kane co la yab mwmbo ciin yaken kuburus.
40 Lakini Paulo akamchagua Sila na akaondoka baada ya ndugu kuwatakia neema ya Bwana.
Dila Bulus cok cica can ciin cu, bwiko dulo ko kebcebo kwocinen, neken cii kang luma kwama.
41 Akapitia Shamu na Kilikia, akiimarisha makanisa ya huko.
La cin yaken mor Syria kange Cilicia, ci nee nubo bikur wabere bikwan neret ti.