< Matendo 14 >

1 Huko Ikonio Paulo na Barnaba waliingia pamoja katika sinagogi la Wayahudi kama ilivyokuwa desturi yao. Huko wakahubiri kwa uwezo mkubwa kiasi kwamba Wayahudi pamoja na watu wa Mataifa wakaamini.
Lulyahumile mun'kate mu Ikonio kuuti u Paulo nu Barnaba valingile palikimo Mun'kate mu nyumba inyimike ija kufunyila kuva Yahudi nakujova ndavule ikupugha ikivaha kuvanhu ava Yahudi nava Yunani valyitike.
2 Lakini wale Wayahudi waliokataa kuamini, wakawachochea watu wa Mataifa, wakatia chuki ndani ya mioyo yao dhidi ya wale walioamini.
Looli avaYahudi vano navalyapelilue uluhala kuvapanji napikuvavomba kuuti vave vavivi kuvanyalukolo.
3 Hivyo Paulo na Barnaba wakakaa huko kwa muda wa kutosha wakihubiri kwa ujasiri juu ya Bwana, ambaye alithibitisha ujumbe wa neema yake kwa kuwawezesha kufanya ishara na miujiza.
Pa uluo valikalile ukuo kunsiki untali, vakajovagha kulukangasio kungbufu sa Mutwa, ukuo alyahumisie ulusimilisio ku mola isa vumosi vwa mwene. Alyavombile anala kuhumia ifidegho na kudegha fivombue kumavoko agha Paulo nu Barnaba.
4 Lakini watu wa mji ule waligawanyika, wengine wakakubaliana na Wayahudi na wengine na mitume.
Looli ikisala ikya likaja lilyaghavike: vamo avanhu vano valyale palikimo nava Yahudi, navamo palikimo navasung'wa.
5 Watu wa Mataifa na Wayahudi wakajiunga na baadhi ya viongozi, wakafanya mpango wa kuwatendea mitume mabaya na kuwapiga mawe.
Unsiki ghuno ava panji navaYahudi ye vaghelile kukuvavula avalongosi vavanave kuvavombela uvuvivi nakavadija namavue uPaulo nu Barnaba,
6 Lakini mitume walipopata habari hizi wakakimbilia Listra na Derbe, miji ya Likaonia na sehemu zilizopakana nayo.
valyakagwile ilio nakuluta ku makaja agha Likaonia, Listra naku Derbe, na kufisala fino fisyungwite Pala,
7 Huko wakaendelea kuhubiri habari njema.
pe ukuo vakadalikilagha ilivangili.
8 Katika mji wa Listra, alikuwako kiwete, ambaye alikuwa amelemaa tangu kuzaliwa na hakuwa ametembea kamwe.
Ukuku Listra palyale umunhu jumo juno alikalile, nakale nini ngufu mu maghulu gha mwene, umulema kuhuma mulileme lya mama ghwa mwene, naghelile kughenda.
9 Alimsikiliza Paulo alipokuwa akihubiri. Paulo alipomtazama akaona ana imani ya kuponywa.
Umunhu uju alyam'pulike u Paulo ijova. U Paulo akamulunguvalila amaso pe akalolagha kuuti ulwitiko ulwa kusosivua.
10 Paulo akapaza sauti, “Simama kwa miguu yako!” Mara yule mtu akasimama upesi akaanza kutembea!
Pa uluo pe akajova kwa mwene kulisio lya kukyanya, “Imagha kumaghulu ghako.” Pe umunhu jula alyaahadwike na kutengula kughenda.
11 Ule umati wa watu ulipoona yaliyokuwa yamefanywa na Paulo, wakapiga kelele kwa lugha yao ya Kilikaonia wakasema, “Miungu imetushukia katika umbo la binadamu!”
Ikipugha ye kilolile kino alyavombile u Paulo, vakamula amasio ghavanave, vakajova ni njovele ija Kilikaonio, “Amatekelo ghatukenyemwisie kulyusue twe vanhu.”
12 Wakamwita Barnaba Zeu na Paulo wakamwita Herme kwa kuwa ndiye alikuwa msemaji mkuu.
Valyan'kemelile u Barnaba “Zeus,” nu Paulo, “Herme” ulwa kuuti alyale njovaji m'baha.
13 Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje kidogo tu ya mji, akaleta mafahali na mashada ya maua penye lango la mji kwa sababu yeye na ule umati wa watu walitaka kuwatolea dhabihu.
Amatekelo agha Zeu, juno inyumba imbaha inyimike ija kufunyila jamwene jilyale kunji kukisina, alyaletile ulutogo ulwa ng'ombe ulukindi lwa maluva ghano gha tavilkilue kufika palilyango lya likaja, umwene ni kipugha vakalondagha kuhumia ilitekelo.
14 Lakini mitume Paulo na Barnaba waliposikia haya, wakararua nguo zao, wakawaendea wale watu kwa haraka, wakawapigia kelele, wakisema,
Looli avasung'ua, u Paulo nu Barnaba yevapulike iili, valyademwile Amanda ghava nave kange ng'anang'ani vakaluta kunji kikipugha, vakalilagha
15 “Enyi watu, kwa nini mnafanya mambo haya? Sisi ni wanadamu tu kama ninyi! Tunawaletea habari njema, tukiwaambia kwamba mgeuke mtoke katika mambo haya yasiyofaa, mmwelekee Mungu aliye hai, aliyeziumba mbingu na nchi na bahari na vitu vyote vilivyomo.
na kujova, “Mwe vanhu umue, nakiki muvomba agha? Najusue kange tulivanhu vano uluhala lulindavule umue. Tukuvaletela imola inofu kuuti musyetuke kuhuma mufinu ifi finofilondua nakumulutila u Nguluve juno mwumi, juno alyavumbile uvulanga, iisi ni nyanja nakyekyoni kila kino mwekile.
16 Zamani aliwaachia mataifa waishi walivyotaka.
Munsiki ghuno ghukakilile, alyavatavwile ava panji kughenda musila sivanave.
17 Lakini hakuacha kuwaonyesha watu uwepo wake: Ameonyesha wema kwa kuwanyeshea mvua toka mbinguni na kuwapa mazao kwa majira yake, naye amewapa chakula tele na kuijaza mioyo yenu na furaha.”
Looli ye akiale, nakabukile nambe nu mwolesi, ku ilio akavombile vunofu nakukuvapela ifula kuhuma kukyanya kange mumasiki gha kyakulia, akavamemia inumbula sivanave kufya kulia nulukelo”
18 Hata kwa maneno haya yote, ilikuwa vigumu kuuzuia ule umati wa watu kuwatolea dhabihu.
Nambe amasio agha, u Paulo nu Barnaba kulupumuko valyasighile ikipugha kuvahumikisia ilitekelo.
19 Ndipo wakaja baadhi ya Wayahudi kutoka Antiokia na Ikonio wakawashawishi wale watu, wakampiga Paulo kwa mawe, wakamburuta hadi nje ya mji, wakidhani amekufa.
Looli vamo ava Yahudi kuhuma ku Antiokia na ku Ikonio valisile kukukivula ikipugha. Van'kadija navavue u Paulo na kukunkwesela kuunji kukisina, ye vakati afuile.
20 Lakini baada ya wanafunzi kukusanyika akainuka na kurudi mjini. Kesho yake yeye na Barnaba wakaondoka kwenda Derbe.
Mu uluo avavulanisivua vakimagha pipi nu mwene, alyasimwike, vakingila kukisina. Ikighono kya vuvili akaluta mu Derbe nu Barnaba.
21 Wakahubiri habari njema katika mji huo na kupata wanafunzi wengi. Kisha wakarudi Listra, Ikonio na Antiokia,
Ye ikuvavulanisia ilivangili mu kisina kiila nakuvavomba avavulanisivua vinga, vakagomoka ku Listra, naku Ikoniamu, umpaka ku Antiokia.
22 wakiwaimarisha wanafunzi na kuwatia moyo waendelee kudumu katika imani. Wakawaonya wakisema, “Imetupasa kuingia katika Ufalme wa Mungu kwa kupitia katika taabu nyingi.”
Valyaghendelela kunosia uluvelouluvelo ulya vavulanisivua nakupelua inumbula kughendelela mumu lwitiko, akati, “Lunoghile twingile kuva tua va Nguluve kuhumila imumuko nyinga.”
23 Nao baada ya kuwateua wazee katika kila kanisa, kwa kufunga na kuomba wakawakabidhi kwa Bwana waliyemwamini.
Ye vavasalyule Avene avaghogholo ava kipugha kya vitiki, ye vavavikufunya kisila kulia, vakampela u Mutwa, sino avene valyamwitike.
24 Kisha wakapitia Pisidia wakafika Pamfilia.
Kange valyahumile ku Pisidia, valyafike ku Pamfilia.
25 Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.
Unsiki ghuno valyajovile amasio agha ku Purge, Valikile kuluta ku Atalia.
26 Kutoka Atalia wakasafiri baharini wakarudi Antiokia, ambako walikuwa wamesifiwa kwa ajili ya neema ya Mungu kutokana na ile huduma waliyokuwa wameikamilisha.
Kuhuma ukuo valyapandile imeli kufika ku Antiokia kunokuno valyale vihumisie kulusungu kwa Nguluve vwimila vwa mbombo jiino lino vakajikwisisie.
27 Walipowasili Antiokia wakaliita kanisa pamoja na kutoa taarifa ya yale yote Mungu aliyokuwa ametenda kupitia kwao na jinsi alivyokuwa amefungua mlango wa imani kwa ajili ya watu wa Mataifa.
Ye vafikile ukuo ku Antiokia, na kukong'ania ikipugha palikimo, valyahumisie imola ja agha ghano u Nguluve avambile ku vanave, kange ye avafungulile umulyango kulwitiko lwa vanhu avapanji.
28 Nao wakakaa huko pamoja na wanafunzi kwa muda mrefu.
Valikalile unsiki n'tali navavulanisivua.

< Matendo 14 >