< Matendo 14 >
1 Huko Ikonio Paulo na Barnaba waliingia pamoja katika sinagogi la Wayahudi kama ilivyokuwa desturi yao. Huko wakahubiri kwa uwezo mkubwa kiasi kwamba Wayahudi pamoja na watu wa Mataifa wakaamini.
Jhatokili mu Ikonio kujiha paulo ni Barnaba bhajhingili pamonga mu sinagogi lya Bhayahudi ni kulongela namana ambajho likundi libhaha lya bhanu Bhayahudi ni Bhayunani bhakyeriri.
2 Lakini wale Wayahudi waliokataa kuamini, wakawachochea watu wa Mataifa, wakatia chuki ndani ya mioyo yao dhidi ya wale walioamini.
Lakini Bhayahudi bhabhalii bhabhachochili luhala bhamataifa ni kubhabhomba khujha bhbhibhi dhidi jha ndongo.
3 Hivyo Paulo na Barnaba wakakaa huko kwa muda wa kutosha wakihubiri kwa ujasiri juu ya Bwana, ambaye alithibitisha ujumbe wa neema yake kwa kuwawezesha kufanya ishara na miujiza.
Kwa hiyo bhatamili okhu kwa muda mrefu, bhaka jhabhilongela kwa ujasiri kwa ngofu, jha Bwana, kuni ipisya uthibitisho kuhusu ujumbe bhwa neema jha muene. Abhombi naha kwa kubhosya isshara ni maajabu fibhombibhwayi kwa mabhoko gha Paulo ni Barnaba.
4 Lakini watu wa mji ule waligawanyika, wengine wakakubaliana na Wayahudi na wengine na mitume.
Lakini lieneo libhaha lya mji lyagabhwanyiki baadhi jha bhanu bhajhele pamonga ni Bhayahudi ni baadhi pamonga ni mitume.
5 Watu wa Mataifa na Wayahudi wakajiunga na baadhi ya viongozi, wakafanya mpango wa kuwatendea mitume mabaya na kuwapiga mawe.
Bwakati bhamataifa ni Bhayahudi bhobhajaribu kubhashawishi bhalongosi bha bhene kubhabhombela vibaya ni kubhaponda ni maganga Paulo ni Barnaba,
6 Lakini mitume walipopata habari hizi wakakimbilia Listra na Derbe, miji ya Likaonia na sehemu zilizopakana nayo.
Bhakalimanya e'lu ni kujumbila mu miji ghya Likonia, Listra ni Derbe, ni maeneo ghaghisyongo'ka pala,
7 Huko wakaendelea kuhubiri habari njema.
ni okhu bhahubiri injili.
8 Katika mji wa Listra, alikuwako kiwete, ambaye alikuwa amelemaa tangu kuzaliwa na hakuwa ametembea kamwe.
Ni okhu Listra pajhele ni munu mmonga jhaatameghe, ajhelepi ni ngofu mumagolo gha muene, kilema kuhomela mu lileme lya nyinamunu, abhwayilepi kugenda.
9 Alimsikiliza Paulo alipokuwa akihubiri. Paulo alipomtazama akaona ana imani ya kuponywa.
Munu ojho ampeliki Paulo ilongela. Paulo ankazili mihu ni kubhona ajhele ni imani jha kunyesibhwa.
10 Paulo akapaza sauti, “Simama kwa miguu yako!” Mara yule mtu akasimama upesi akaanza kutembea!
Hivyo ajobhili kwa muene kwa sauti mbaha, “Jhemayi kwa magolo gha jhobhi” Ni munu jhola aniki kunani ni kuyanda kugenda.
11 Ule umati wa watu ulipoona yaliyokuwa yamefanywa na Paulo, wakapiga kelele kwa lugha yao ya Kilikaonia wakasema, “Miungu imetushukia katika umbo la binadamu!”
Bhumati bho bhubhwene kya abhombili Paulo bhajhinuili sauti sya bhene bhakajha bhijobha kwa lahaja jha kitikanio, “Miungu jhituselelili kwa namna jha binadamu.”
12 Wakamwita Barnaba Zeu na Paulo wakamwita Herme kwa kuwa ndiye alikuwa msemaji mkuu.
Bhan'kutili Barnaba “Zeu,” ni Paulo “Herme.” Kwa ndabha ajhele msemaji mbaha.
13 Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje kidogo tu ya mji, akaleta mafahali na mashada ya maua penye lango la mji kwa sababu yeye na ule umati wa watu walitaka kuwatolea dhabihu.
Kuhani ghwa Zeu, ambajhe hekalu lya muene lyajhele kwibhala ku mji aletili fahari la ng'ombe ni ntongo ghwa maua mpaka ku ndiangu ghwa mji muene ni umati bhalondeghe kuhomesya sadaka.
14 Lakini mitume Paulo na Barnaba waliposikia haya, wakararua nguo zao, wakawaendea wale watu kwa haraka, wakawapigia kelele, wakisema,
Lakini mitume, Barnaba ni Paulo, bho bhalipeliki e'le, bharaneili maguanda gha bhene manyata bhakalota kubhala ku umati bhilela.
15 “Enyi watu, kwa nini mnafanya mambo haya? Sisi ni wanadamu tu kama ninyi! Tunawaletea habari njema, tukiwaambia kwamba mgeuke mtoke katika mambo haya yasiyofaa, mmwelekee Mungu aliye hai, aliyeziumba mbingu na nchi na bahari na vitu vyote vilivyomo.
Ni kajobha, “Enyi bhanu, kwandayakiki mwibhomba mambo agha? ni tete kabhele twebha binadamu bhenye ligoga kama lya muenga. Tukabhaletela habari njema, kwamba mgeukayi kuhomela mu fiti efufya fitondikalepi ni kulota kwa K'yara jha ajhe hai jhaabhombi mbingu, dunia ni bahari ni khila khenu kyakijhele.
16 Zamani aliwaachia mataifa waishi walivyotaka.
Mu nyakati sya silotili, abharuhuisi mataifa kugenda mu njela sya bhene.
17 Lakini hakuacha kuwaonyesha watu uwepo wake: Ameonyesha wema kwa kuwanyeshea mvua toka mbinguni na kuwapa mazao kwa majira yake, naye amewapa chakula tele na kuijaza mioyo yenu na furaha.”
Lakini bado abhokilepi bila shahidi, kwa e'lu abhombi kinofu na abhapelili fula kuhoma kumbinguni ni nyakati sya mazao akajhimemesya mioyo ghinu kwa fyakulya ni furaha.
18 Hata kwa maneno haya yote, ilikuwa vigumu kuuzuia ule umati wa watu kuwatolea dhabihu.
Hata kwa malobhi agha Paulo ni Barnaba kwa shida bhakauzuila umati kubhasopela sadaka.
19 Ndipo wakaja baadhi ya Wayahudi kutoka Antiokia na Ikonio wakawashawishi wale watu, wakampiga Paulo kwa mawe, wakamburuta hadi nje ya mji, wakidhani amekufa.
Lakini baadhi jha Bhayahudi kuhomela Antiokia ni Ikonio bhahidili kuushawishi umati. Bhan'homelili maganga Paulo ni kundundusya hadi kwibhala ku mji, bhakajha bhitegemela afuili.
20 Lakini baada ya wanafunzi kukusanyika akainuka na kurudi mjini. Kesho yake yeye na Barnaba wakaondoka kwenda Derbe.
Hata naha bhanafunzi bhajhele bhajhemili karibu nabhu ajhu muiki, bhakajhingila ku nyini. Ligono lya pili, alotili Derbe ni Barnaba.
21 Wakahubiri habari njema katika mji huo na kupata wanafunzi wengi. Kisha wakarudi Listra, Ikonio na Antiokia,
Baada jha kumanyisya injili mu mjibhola ni kubhabhomba bhanafunzi bhamehele bhakerebhuiki Listra, hadi Ikoniamu, ni hadi Antiookia.
22 wakiwaimarisha wanafunzi na kuwatia moyo waendelee kudumu katika imani. Wakawaonya wakisema, “Imetupasa kuingia katika Ufalme wa Mungu kwa kupitia katika taabu nyingi.”
Bhajhendelili kuiman'sya nafsi sya bhanafunzi ni kupelibhwa muoyo kujhendelela mu imani, akajoobha, “Lazima tujhingilayi ku ufalme bhwa K'yara kwa kupetela malombosi ghamehele.
23 Nao baada ya kuwateua wazee katika kila kanisa, kwa kufunga na kuomba wakawakabidhi kwa Bwana waliyemwamini.
Bho bhabha teuili kwa ndabha jha bhene bhaseya kwa kila likusanyiku lya bhaaminio na bhakajha bhas'okili ni kufunga, bhabhakabidhi kwa Bwana, ambajhe bhene bhamwaminili.
24 Kisha wakapitia Pisidia wakafika Pamfilia.
Kisha bhapelili kupisidia, bhafikili pamfilia.
25 Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.
Bhwakati bhalongili malobhi perga, bhaselili kulota Atalia.
26 Kutoka Atalia wakasafiri baharini wakarudi Antiokia, ambako walikuwa wamesifiwa kwa ajili ya neema ya Mungu kutokana na ile huduma waliyokuwa wameikamilisha.
Kuhoma okhu bhakweli meli hadi Antiokia ambako bhajhele bhakihomisi kwa neema jha K'yara kwa ndabha jha mbombo ambayo henu bhajhele bhaikamilisi.
27 Walipowasili Antiokia wakaliita kanisa pamoja na kutoa taarifa ya yale yote Mungu aliyokuwa ametenda kupitia kwao na jinsi alivyokuwa amefungua mlango wa imani kwa ajili ya watu wa Mataifa.
Bhobhafikili okhu Antiokia, ni kulibhonganiya, likusanyiku lya pamonga, bhakapisya taarifa jha mambo ambagho K'yara agha bhombi kwa bhene, ni jinsi kya abhadendeilili ndiangu ghwa imani kwa bhanu bha mataifa.
28 Nao wakakaa huko pamoja na wanafunzi kwa muda mrefu.
Bhatamili kwa muda mrefu ni bhanafunzi