< Matendo 14 >

1 Huko Ikonio Paulo na Barnaba waliingia pamoja katika sinagogi la Wayahudi kama ilivyokuwa desturi yao. Huko wakahubiri kwa uwezo mkubwa kiasi kwamba Wayahudi pamoja na watu wa Mataifa wakaamini.
Uganiya sa bulus nan Barnabas waribe anipin ni ikoniya waribe udenge Asere amayahudawa nan hellinawa wa nya uhem.
2 Lakini wale Wayahudi waliokataa kuamini, wakawachochea watu wa Mataifa, wakatia chuki ndani ya mioyo yao dhidi ya wale walioamini.
Ba ayahudawa sa daki wa tarsa ba, waturi anabu wawu muruba inna nu henu me.
3 Hivyo Paulo na Barnaba wakakaa huko kwa muda wa kutosha wakihubiri kwa ujasiri juu ya Bwana, ambaye alithibitisha ujumbe wa neema yake kwa kuwawezesha kufanya ishara na miujiza.
Wa ziki uganiya waciki ahirame, innu boo utize sarki ma aye innu bari ugomo Asere, mazin nu bezi utonno ukadura kurunta. Mawuzi aginome usuro u inko ura al'ajibi atari ti bulus nan barnabas.
4 Lakini watu wa mji ule waligawanyika, wengine wakakubaliana na Wayahudi na wengine na mitume.
Barki anime anani pinme wa harzina; Aye awe watarsi muruba mayahaudawa, aye awe watarsi mamanzani.
5 Watu wa Mataifa na Wayahudi wakajiunga na baadhi ya viongozi, wakafanya mpango wa kuwatendea mitume mabaya na kuwapiga mawe.
Anabu ani pinme sa ayahudawa wa nyari uhungu ko umuruba manaje aweme, barki wa yomnuko bulus nan barbanas, wa tiziwe.
6 Lakini mitume walipopata habari hizi wakakimbilia Listra na Derbe, miji ya Likaonia na sehemu zilizopakana nayo.
Sawa rusa anime wa suni uhaza ati pinti likoniya, listra nan udarbe, nan tipin me sa tizi mamu nan we.
7 Huko wakaendelea kuhubiri habari njema.
Abirkome wabu tize tu gomo Asere.
8 Katika mji wa Listra, alikuwako kiwete, ambaye alikuwa amelemaa tangu kuzaliwa na hakuwa ametembea kamwe.
Ulistira uye marani da manu mansa utonno inti buna tumeme ba, barki me ugurgu mani dati usuro uyo ume.
9 Alimsikiliza Paulo alipokuwa akihubiri. Paulo alipomtazama akaona ana imani ya kuponywa.
Unu ugino makunna bulus mazin tize. Bulus ma nuki me aje, marusi unu ginome mazin nu hem ugebe sa adi human me. Bama yeze ni myiran magunme, ''hira utonno ati buna tuwome.''
10 Paulo akapaza sauti, “Simama kwa miguu yako!” Mara yule mtu akasimama upesi akaanza kutembea!
Ba unume ma hinna, matubi tanu in tibu na tumeme, mazin nu kase.
11 Ule umati wa watu ulipoona yaliyokuwa yamefanywa na Paulo, wakapiga kelele kwa lugha yao ya Kilikaonia wakasema, “Miungu imetushukia katika umbo la binadamu!”
Sa anu anipin me wa ira imumbe sa Bulus mawuza, wa yeze amyiran awe innu gusa inti likoniyanci, ''makiri mayen duru suro azesere, innu bezi umuhenu manabu.
12 Wakamwita Barnaba Zeu na Paulo wakamwita Herme kwa kuwa ndiye alikuwa msemaji mkuu.
WA tissa barnabas inni zame, ''zafsa,'' bulus watitime inni zame, ''hamisa,'' barki me mani mateki inti ze.
13 Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje kidogo tu ya mji, akaleta mafahali na mashada ya maua penye lango la mji kwa sababu yeye na ule umati wa watu walitaka kuwatolea dhabihu.
Ba una katuma ka Asere me zafsa desa udenge uni nonzo nume ura ana tukum ani pinme; Ma en ni na inire izatu cina nan ni puriye sa abarki kasi ni ere; Me nan nu ame wa nyara wa witime.
14 Lakini mitume Paulo na Barnaba waliposikia haya, wakararua nguo zao, wakawaendea wale watu kwa haraka, wakawapigia kelele, wakisema,
Sa ana kadura, barnabas nan bulus, wa kunna tizeme, wa jani tidibi tuwo me wa muntuno uhana ani ori na nume.
15 “Enyi watu, kwa nini mnafanya mambo haya? Sisi ni wanadamu tu kama ninyi! Tunawaletea habari njema, tukiwaambia kwamba mgeuke mtoke katika mambo haya yasiyofaa, mmwelekee Mungu aliye hai, aliyeziumba mbingu na nchi na bahari na vitu vyote vilivyomo.
Wa zin nu gusa, ''kunna ni! shi anabu nya ni ya wuna izinu wuza imum iginome? haru cangi anabu wani kasi shime, ta aye shin intize turunta tini, in nu guna, cekini timumum me sa tida rizeme ba kuro ni ahira Asere uvengize, agesa abara asesere nan na dizi nan nu raba udang nan timumum me sa vat tira anyimo uni.
16 Zamani aliwaachia mataifa waishi walivyotaka.
In nu dadati ma ceki anu wa wuzi in umbe sa wa ira.
17 Lakini hakuacha kuwaonyesha watu uwepo wake: Ameonyesha wema kwa kuwanyeshea mvua toka mbinguni na kuwapa mazao kwa majira yake, naye amewapa chakula tele na kuijaza mioyo yenu na furaha.”
Vat in anime, daki ma ceki nice nume sarki imumu u inko u ira ba, barki ma nyin za timumum tiriri, ma nyin ure, uganiya uringirka wa myinca amuriba mushime nan ni mumare nan na puru arum.
18 Hata kwa maneno haya yote, ilikuwa vigumu kuuzuia ule umati wa watu kuwatolea dhabihu.
Vat inna guran aginome, bulus nan barnabas wa rusi utura ume usuro u we u wito.
19 Ndipo wakaja baadhi ya Wayahudi kutoka Antiokia na Ikonio wakawashawishi wale watu, wakampiga Paulo kwa mawe, wakamburuta hadi nje ya mji, wakidhani amekufa.
Vat ayahudawa u antakiya nan aye awe a ikoniya wahunguko muruba muni orime. Watizi bulus wahungukome uhana amatara mani pinme, wahiri kasi mawono.
20 Lakini baada ya wanafunzi kukusanyika akainuka na kurudi mjini. Kesho yake yeye na Barnaba wakaondoka kwenda Derbe.
Vatin anime sa anu tarsa uYeso watonzino wakatime, sama hiri anyimo ani pin. Usana hira utaru nigome nan barnba.
21 Wakahubiri habari njema katika mji huo na kupata wanafunzi wengi. Kisha wakarudi Listra, Ikonio na Antiokia,
Sa wa wuza tizeme ani pin nigino me wa kem anu tarsa UYeso gbardang waze u suro ulistira, nan nu ikoniya nan antakiya.
22 wakiwaimarisha wanafunzi na kuwatia moyo waendelee kudumu katika imani. Wakawaonya wakisema, “Imetupasa kuingia katika Ufalme wa Mungu kwa kupitia katika taabu nyingi.”
Waz in nu nonsi umuruba manu tarsa u Yeso wa inta uhem uweme, aca ware je in uni wazin nu gusa we, ''ahira utonno memmerum tidi ribe ati gomo ta sesere, barkani me ya cukuno gbas tisi jas.''
23 Nao baada ya kuwateua wazee katika kila kanisa, kwa kufunga na kuomba wakawakabidhi kwa Bwana waliyemwamini.
sa wa zaukawe anaje akoya udenge Asere, ba wa wuziwe biringara nan niwe ni mei, wa witi we atari tu gomo Asere, uhanan desa wa hem in ine.
24 Kisha wakapitia Pisidia wakafika Pamfilia.
Waha watrsi ubisidiya wabiki ubamfiliya.
25 Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.
sawa wuza tize tuwe u biriya wa aki uhana u italiya.
26 Kutoka Atalia wakasafiri baharini wakarudi Antiokia, ambako walikuwa wamesifiwa kwa ajili ya neema ya Mungu kutokana na ile huduma waliyokuwa wameikamilisha.
Uzirgi umei uhana u antakiya abine ani a witi imum iriri ya Asere barki sa wamara aname.
27 Walipowasili Antiokia wakaliita kanisa pamoja na kutoa taarifa ya yale yote Mungu aliyokuwa ametenda kupitia kwao na jinsi alivyokuwa amefungua mlango wa imani kwa ajili ya watu wa Mataifa.
Sa wabiki u antakiya wa ori amu udenge Asere me ahira a inde, wabu kuwe vat imumbe sa Asere awuza usuro u we. Nan gusibe saa poko ana tukum ahira anu zatu urusa utize ta Asere uhana uhme.
28 Nao wakakaa huko pamoja na wanafunzi kwa muda mrefu.
Wa cukuno nigome nan anu tarsa U Yeso u zika uganiya jokon.

< Matendo 14 >