< Matendo 13 >
1 Katika kanisa huko Antiokia ya Shamu walikuwako manabii na walimu, yaani: Barnaba, Simeoni aitwaye Nigeri, Lukio Mkirene, Manaeni aliyekuwa amelelewa pamoja na Mfalme Herode Agripa, na Sauli.
Leno mutembuile ya khu Antiokia, palena vasuhwa na vamanyisi. Vale uBarnaba, Simeoni(uviaei languvaga Nigeri). U Lukio uva khu Kirene, Manaeni( ulikoloeun'chila kisa gwa Helode undogonchi va koa), nu Savuli.
2 Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, “Nitengeeni Sauli na Barnaba kwa kazi ile maalum niliyowaitia.”
Vuvalipakhukonga udaada nukhudinda, Umepo Umbalan'che akhan'chova, “Mumbeikhile palukhanji uBarnaba nu Savuli, vavombe ei mbombo eiyunivilangile.”
3 Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.
Vu ei Tembile yeidendile nukhudova, nukhuvikha amavokho pakianya pa vanu ava, vakhavalekha valutage.
4 Hivyo, wakiwa wametumwa na Roho Mtakatifu, wakashuka kwenda Seleukia na kutoka huko wakasafiri baharini mpaka kisiwa cha Kipro.
Pu uBarnaba nu Savuli vakha mweidikha Umepo Umbalan'che vakhikha ukhuluta khu Seleukia; ukhuhums ukhu vagendile munyanje ukhuta khu kisiva kya Kipro.
5 Walipowasili katika mji wa Salami, wakahubiri neno la Mungu katika sinagogi la Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana Marko kuwa msaidizi wao.
Vuvalimkhilunga kya Salam, valiei khun'chova eilimenyu lya Nguluve mu Masinagogi ga Vayahudi. Vale pupaninei nu Yohani nu Marko nduu ntangili vavene.
6 Walipokwisha kupita katika nchi zote hizo wakafika Pafo, ambapo walikutana na Myahudi mmoja mchawi aliyekuwa nabii wa uongo, jina lake Bar-Yesu.
Vuvalutile mukhisi va kyoni eikya Kipro vakhambona umunu ung'avi, Unjahudi undagunchi va vudesi, uvei eilitawa lya mwene ale vei Bar Yesu.
7 Mtu huyu alikuwa pamoja na Sergio Paulo, mtu mwenye hekima aliyekuwa msaidizi wa mwakilishi wa mtawala wa kile kisiwa. Sergio Paulo akawaita Sauli na Barnaba akitaka kusikia neno la Mungu.
Ung'avi uyu vale paninie nu Liwali Sergio Paulus, ale munu einyaluhala. Umunu uyu avakaribisye uBarnaba nu Savuli, pakhuva anogwa ga ukhupulikha eilimenyu lya Nguluve.
8 Lakini Elima yule mchawi (hii ndiyo maana ya jina lake), aliwapinga Barnaba na Sauli na kujaribu kumpotosha yule mkuu wa kile kisiwa aiache imani.
Pu uElima “ung'avi vulele ulo eilitawa” (ya mwene alukhuvabencha) agelile nukhupendula uliwali ahege mu ndweidikho.
9 Ndipo Sauli, ambaye pia aliitwa Paulo, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akamkazia macho Elima huyo mchawi,
Pu uSavuli uviaeilangiwaga Paulo, adin'chiwe Umepo Umbalan'che akhakaseihein'cha amiho
10 akamwambia, “Ewe mwana wa ibilisi, wewe ni adui wa kila kilicho haki! Umejaa kila aina ya udanganyifu na ulaghai. Je, hutaacha kuzipotosha njia za Bwana zilizonyooka?
na akhambula “Uve mwana va setano, uden'chine khila khinu kya vudesi. Nuvupepe uve uliaduvi va lweli. Savukhelekhelwa ukhupedula einjila n'cha n'cha Daada, einchi golwikhe vuwesya?
11 Nawe sasa sikiliza, mkono wa Bwana u dhidi yako. Utakuwa kipofu, wala hutaona jua kwa muda.” Mara ukungu na giza vikamfunika, naye akaenda huku na huko akitafuta mtu wa kumshika mkono ili amwonyeshe njia.
Lino lola eikhivokho kya Daada khelipakianya paliuve, vubosokha amiho. Savukhulevona eilin'chova khuusikhei” mala khamo uluhwela nei hisi fikhagwa pakianya pa Elimas; akhatengula ukhun'chungula nukhudova avanu vandogon'che nukhumwibatelila eikhivokho.
12 Yule mkuu wa kile kisiwa alipoona yaliyotukia, akaamini kwa sababu alistaajabishwa na mafundisho kuhusu Bwana.
Pu umbaha vualolile eikhei humile, akheidikha, pakhuva aswigile amafundisyo ukhuhusu Udaada.
13 Kisha Paulo na wenzake wakasafiri toka Pafo wakafika Perga huko Pamfilia. Lakini, Yohana Marko akawaacha huko, akarejea Yerusalemu.
Pu uPavuli navaninee vakhagenda munjila ukhuhuma khu Pafo vakhafikha khu Perge khuu Pamfilia. U Yohani avalekhile nukhuvuya khu Yelusalemu.
14 Kutoka Perga wakaendelea hadi Antiokia ya Pisidia. Siku ya Sabato wakaingia ndani ya sinagogi, wakaketi.
U Pavuli nulukololwe vagendile ukhuhuma khu Perge vakhafikha khu Antiokia ya Pisidia. Ukhu vakhaluta mumasinagogi eisikhu ya Sabati nukhutama pasi.
15 Baada ya Sheria ya Mose na Kitabu cha Manabii kusomwa, viongozi wa sinagogi wakawatumia ujumbe wakisema, “Ndugu, kama mna neno la kuwafariji watu hawa, tafadhali lisemeni.”
Vu veimbile ululagilo lya vanyamalago, na valongon'chi va masinagogi avasuhile ei ndumi ukhuta, “Valukolo ei ngave muleneindumi vakhuvapa amakha apa avanu n'chova”
16 Paulo akasimama, akawapungia mkono na kusema: “Enyi wanaume wa Israeli na ninyi nyote mnaomcha Mungu.
Pu uPavuli akheima nukhuvapungeila amavokho; akhanchova, “Mweivagosi vakhu Esilaeli numwe umwei mukhukonga Unguluve mumuleihen'che.
17 Mungu wa watu hawa wa Israeli aliwachagua baba zetu, akawafanya kustawi walipokuwa huko Misri, kwa uwezo mwingi akawaongoza na kuwatoa katika nchi ile.
Unguluve va vanu ava ava Isilaeli avahalile avadada yenyo ukhuvavikha vanu vingi vuvatamile khu Misili, nakhu khivokho kya mwene akhinuliwa nukhuvahumya khunji.
18 Kwa muda wa miaka arobaini alivumilia matendo yao walipokuwa jangwani.
Khu miakha alubaini akhavafumeilila mulukunguu.
19 Naye baada ya kuyaangamiza mataifa saba waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, akawapa Waisraeli nchi yao iwe urithi wao.
Vu anangile ifivumbukho saba ifyakhuu Kaanani akhavapa avanu vetoeikhelunga khivuhale.
20 Haya yote yalichukua kama muda wa miaka 450. “Baada ya haya, Mungu akawapa waamuzi mpaka wakati wa nabii Samweli.
Imbombo n'chiin'chooni n'cha humile emikha mia ine na hamsini. Pafinu ifi fyooni Unguluve akhavapa undamchi mpakha uSamweli Unyamalago.
21 Ndipo watu wakaomba wapewe mfalme, naye Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi wa kabila la Benyamini, aliyetawala kwa miaka arobaini.
Vuvavombile aga avanu vakhadova ukhuludeva, pu Unguluve akhavapa uSavuli umwana va Kishi, umunu va kheivumbukho kya Benjamini, ukhuva iikhuludeva eimiakha alubaini.
22 Baada ya kumwondoa Sauli katika ufalme, akawainulia Daudi kuwa mfalme wao. Mungu pia alimshuhudia, akisema, ‘Nimemwona Daudi mwana wa Yese, mtu anayeupendeza moyo wangu, atakayetimiza mapenzi yangu yote.’
Vu Unguluve ang'een'chinche (mumbukhuludede) akhamwemikha uDavudi ukhuva iikhuludeva vavene. Vale ukhung'usu uDavudi ukhuta Unguluve an'chovile, 'Neipile uDavudi umwana va Yese ukhuva munu uveianogelanile nei numbula yango; ukhuta ivomba kheila kheinu eikheininogwa.'
23 “Kutoka uzao wa mtu huyu, Mungu amewaletea Israeli Mwokozi Yesu, kama alivyoahidi.
Ukhuhuma mukheikolo kya munu uyu Unguluve agegile ei Isilaeli umbopoli, uYesu, nduvu aeilapile ukhuvomba.
24 Kabla ya kuja kwa Yesu, Yohana alihubiri toba na ubatizo kwa watu wote wa Israeli.
Eile lyaandile ukhuhumila va badu uYesu sin'chile, uYohani akhatengula ukhunchova ulwon'cho lwa vusikhelo khuvanu voni avanya Isilaeli.
25 Yohana alipokuwa anakamilisha kazi yake, alisema: ‘Ninyi mnadhani mimi ni nani? Mimi si yeye. La hasha, lakini yeye yuaja baada yangu, ambaye mimi sistahili kufungua kamba za viatu vya miguu yake.’
Nu Yohani vualipa khumala ei mbombo ya mwene akhan'chova mukhusagila unene ukhuta nene veni? une syoo ula. Ila pulehen'cha, uvei ikhwin'cha khusana khuliune, sanei nogile ukhulegesya ifilato vya malunde ga mwene.'
26 “Ndugu zangu, wana wa Abrahamu, nanyi watu wa Mataifa mnaomcha Mungu, ujumbe huu wa wokovu umeletwa kwetu.
Valukolo mwei vanavakheikolo kya Abrahamu, navala aviiliei pagati paliumwe avikhumwudikha Unguluve, khuujili yeto ukhuta eikhulongwi yavovopalwa yeisuhiwe.
27 Kwa sababu wakaao Yerusalemu na viongozi wao hawakumtambua wala kuelewa maneno ya manabii yasomwayo kila Sabato, bali waliyatimiza maneno hayo kwa kumhukumu yeye.
Khuvala avitama khu Yelusalemu, na vavaha vavene, savamanye uvufumbule wa vanyamalago uvuvu khweimbiwa mu Sabato; pu vakhamalisya ufumbwe wa vanjamalago pakhung'eiga uvufye uYesu.
28 Ijapokuwa hawakupata sababu yoyote ya kumhukumu kifo, walimwomba Pilato aamuru auawe.
Ndangave savapate uwayei lweli vunonu uwakhung'eiga uvufye mugati mumwene, vakhadova uPilato alamule.
29 Walipokwisha kufanya yale yote yaliyoandikwa kumhusu, walimshusha kutoka msalabani na kumzika kaburini.
Vuvaamalile imbombo n'choni inchisimbiwe ukhuhusu umwene, vakhamwisya muubeikhi nukhugonwa mulipumba.
30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.
Pu Unguluve akhan'chusya ukhuhuma khuvafyile.
31 Naye kwa siku nyingi akawatokea wale waliokuwa pamoja naye kuanzia Galilaya hadi Yerusalemu. Nao sasa wamekuwa mashahidi wake kwa watu wetu.
Avanekhe isikhu n'chuu nyingi khuvala avavalutaga paninie nave ukhuhuma khu Galilaya ukhuluta khu Yeusalemu. Avanu ava lino vakheti va vanu.
32 “Nasi tunawaletea habari njema, kwamba yale Mungu aliyowaahidi baba zetu
Leno tukhuvagegela eikhulongi einonu va lulagilo uluvava pue avadada yeto.
33 sasa ameyatimiza kwetu sisi watoto wao, kwa kumfufua Yesu, kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili: “‘Wewe ni Mwanangu; leo mimi nimekuzaa.’
Unguluve avikheile indagilo in'chii mundiufye, avana vavene, pa ei ele an'chusin'che uYesu nukhukilivula khaveilei khu wumi eileilee lyandikhiwe mu Sabuli va veile: 'Veve mwana vango eilelo neivile daadayo'
34 Kwa kuwa Mungu alimfufua kutoka kwa wafu asioze kamwe, alitamka maneno haya: “‘Nitakupa wewe baraka takatifu zilizo za hakika nilizomwahidi Daudi.’
Uvuayilweli uvuan'chusin'che ukhuhuma khuvufye umbile gwa mwene gusite ukhunang'eikha, an'chovile ndee: 'Nikhukhupa uvuvalan'che nulusayo lwa lweli ulwa Davudi'
35 Kama ilivyosemwa mahali pengine katika Zaburi, “‘Hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.’
Eiyei yuan'chovile khavile muu sabuli eiyeinge, 'Sanikhweidekha umbalan'che vango ukhuvola.'
36 “Kwa maana Daudi akiisha kulitumikia kusudi la Mungu katika kizazi chake, alilala; akazikwa pamoja na baba zake na mwili wake ukaoza.
Pakhuva vu uDavudi vuatimisye indagilo ncha Nguluve mukhei vumbukho kya mwene akhagonelela, vakhagonwa pupaninie navababa va mwene avuwene uvuvivi(uvunangikhe),
37 Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.
Pakhuva uvian'chusiwe nu Nguluve sikhuvuvona uvuvivi(uvunangikhe).
38 “Kwa hiyo ndugu zangu, nataka ninyi mjue kwamba kwa kupitia huyu Yesu msamaha wa dhambi unatangazwa kwenu.
Pu yeimanyikhe khuliumwe, valukolo, ukhugendela umunu uyu, uvusyeikhilo wa mbivi vulumbiileliwe.
39 Kwa kupitia yeye, kila mtu amwaminiye anahesabiwa haki kwa kila kitu ambacho asingeweza kuhesabiwa haki kwa sheria ya Mose.
Pakhuva khila munu uviikhwedikha ivaleliwa uwayelweli yoni iyei indagilo n'cha Mose sanchikhale n'chi khuvaeilweli.
40 Kwa hiyo jihadharini ili yale waliyosema manabii yasiwapate:
Puyiinogiwa muve miho ukhuta khila khei eikhiva nchovile avanyamalago kheisite ukhuhuma khuliumwe:
41 “‘Angalieni, enyi wenye dhihaka, mkastaajabu, mkaangamie, kwa maana nitatenda jambo wakati wenu ambalo hamtasadiki, hata kama mtu akiwaambia.’”
“Pu mulole, umwe yumwe mwibela mukhaswiige nukhwangamila; pakhuva nivomba eimbombo pasikhun'chenyo, imbombo in'chii samuwesya ukhwiidekha ndavavule umunu.”
42 Paulo na Barnaba walipokuwa wakitoka nje ya sinagogi, watu wakawaomba wazungumze tena mambo hayo Sabato iliyofuata.
Vu uPavuli nu Barnaba vahegile avanu vakhavadova van'chove amamenyu aga pasikhu ya Sabato eiyeikhwincha.
43 Baada ya kusanyiko la Sinagogi kutawanyika, wengi wa Wayahudi na waongofu wa dini ya Kiyahudi wakawafuata Paulo na Barnaba, wakazungumza nao na kuwahimiza wadumu katika neema ya Mungu.
Vuusikhei gwa n'kutano gwa siinagogi gusilile, Avayahudi vingi avagolofu fin'cho vakhavakonga uPauli nu Barnaba, avavan'chovila navo ukhuta vagendelelage nukheisa kya Nguluve.
44 Sabato iliyofuata, karibu watu wote wa mji walikuja kusikiliza neno la Bwana.
Eisabato eiyekongile, umuji ugunge gwa hegelile khupulihin'cha eilimenyu lya Nguluve.
45 Lakini Wayahudi walipoona ule umati mkubwa wa watu walijawa na wivu, wakayakanusha maneno Paulo aliyokuwa akisema.
Avayahudi vuvalolile ukhutano, vakhava nu wifu nukhun'chova amamenyu aga khuben'cha ifinu ifincho viwe nu Pavuli nukhudukha.
46 Ndipo Paulo na Barnaba wakawajibu kwa ujasiri, wakisema, “Ilitupasa kunena nanyi neno la Mungu kwanza. Lakini kwa kuwa mmelikataa, mkajihukumu wenyewe kuwa hamstahili uzima wa milele, sasa tunawageukia watu wa Mataifa. (aiōnios )
Pu uPauli nu Barnaba vakhan'chova nuvukifu nukuta, “Yeikhanogile eilimenyu lya Nguluve lin'choviwe khuliumwe. Pakhuva mukhwei kulugila kuvutali ukhuhuma khuliumwe. Nuukhweivona ukhuta samudogile ukhuhava uludeva lya sikhu n'choni mulolage tukhava peindukhila Avanyapanji. (aiōnios )
47 Kwa maana hili ndilo Bwana alilotuamuru: “‘Nimewafanya ninyi kuwa nuru kwa watu wa Mataifa, ili mpate kuuleta wokovu hadi miisho ya dunia.’”
Nduvu uDaada atuvulile, akhata(akhanchova), 'Nivavikhile umwe nduu lumali khuvanu na khuvanu avanyapanji, ukhuta mugege uvupokhiei eingutu n'chooni nchweine n'cha kheilunga.”
48 Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Bwana; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. (aiōnios )
Avanyapanji vuvapulikhen'chi vakhahovokha nukhuleng'inwa eilimenyu lya Nguluve. Vingi avahaliwe khuu wumi wa sikhu n'chooni vaaeidikhe. (aiōnios )
49 Neno la Bwana likaenea katika eneo lile lote.
Eelimenyu lya Nguluve likhenela eikhilunga kyooni.
50 Lakini Wayahudi wakawachochea wanawake wenye kumcha Mungu, wenye vyeo pamoja na watu maarufu katika mji, wakachochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na kuwafukuza kutoka eneo hilo.
Pu avayahudi vakhavadova avei humin'che avadala navalongon'chi va miji. Aga ganchoon'chi eitabu khwa Pauli nu Barnaba vakhavataga khunjii khuu mipakha gwa miji.
51 Hivyo Paulo na Barnaba wakakungʼuta mavumbi ya miguu yao ili kuwapinga, nao wakaenda Ikonio.
Pu uPavuli nu Barnaba vakhang'una eifumbe ya malunde gavene. Puvakhaluta khuu miji eigwa Ikonia.
52 Wanafunzi wakajawa na furaha na Roho Mtakatifu.
Navakongi vakhadeiga nuluhekhilo paninie nu Mepo Umbalan'che.