< Matendo 13 >
1 Katika kanisa huko Antiokia ya Shamu walikuwako manabii na walimu, yaani: Barnaba, Simeoni aitwaye Nigeri, Lukio Mkirene, Manaeni aliyekuwa amelelewa pamoja na Mfalme Herode Agripa, na Sauli.
mor nob bwanka kwamanko Antakiya nob nuwaka dukumebo wi, kange nob merangka. ci bi Barnabas, Saminu woro ci (chuti ki Baki) kange lukiya Bakurane kange manayin woro ci (yo ci wari kange Liya Hiridus ni ca liyare) kange Shawulu.
2 Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, “Nitengeeni Sauli na Barnaba kwa kazi ile maalum niliyowaitia.”
Di la ci wab kwamati ki yim bo ngak-ngak kange dulomwe, di yuwa tangbeko ki kom cok men Barnabas kange Shawulu dor nangen do ma cu ciye.
3 Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.
Merka kwob dilo kange ngak-ngak kange dulomwe la ci yo cimenti kanko dur, ci yoci.
4 Hivyo, wakiwa wametumwa na Roho Mtakatifu, wakashuka kwenda Seleukia na kutoka huko wakasafiri baharini mpaka kisiwa cha Kipro.
Shawulu kange Barnabas cin bwanten dir yuwa tangbeko wucakke cincu culukiya, wuri cin yabken diyele kuburus.
5 Walipowasili katika mji wa Salami, wakahubiri neno la Mungu katika sinagogi la Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana Marko kuwa msaidizi wao.
Fiya ci cinanlor salomi cin merang ker kwamaro mor kur bi waber Yahudawa, ci wari kange Yahaya Markus ni tikanci tiye.
6 Walipokwisha kupita katika nchi zote hizo wakafika Pafo, ambapo walikutana na Myahudi mmoja mchawi aliyekuwa nabii wa uongo, jina lake Bar-Yesu.
Bwiko cho chi kentangum diyele gwam, yaken Bafusa, foh ci fiya kange bayahudiya dencero Bar Yesu. nima fulentiye take nii nuwaka dukume cwerke.
7 Mtu huyu alikuwa pamoja na Sergio Paulo, mtu mwenye hekima aliyekuwa msaidizi wa mwakilishi wa mtawala wa kile kisiwa. Sergio Paulo akawaita Sauli na Barnaba akitaka kusikia neno la Mungu.
Ni fulene wo ci cuwo ti ki Makaddas, cho carju Bulus nii wo ki yilen ne. wuro cuwo co Bulus kange Barnabas co cwiti na cho nuwa ker kwama.
8 Lakini Elima yule mchawi (hii ndiyo maana ya jina lake), aliwapinga Barnaba na Sauli na kujaribu kumpotosha yule mkuu wa kile kisiwa aiache imani.
Di la elima ne fulen (Fwetanka dene ce) kwabkangi kange ci cwiti na co fwem makadda cin bilenke nen.
9 Ndipo Sauli, ambaye pia aliitwa Paulo, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akamkazia macho Elima huyo mchawi,
la Shawulu wo ci cho ti ki Bulus dimki yuwa tangbeko wucakke la yo cimen ten nuwe.
10 akamwambia, “Ewe mwana wa ibilisi, wewe ni adui wa kila kilicho haki! Umejaa kila aina ya udanganyifu na ulaghai. Je, hutaacha kuzipotosha njia za Bwana zilizonyooka?
La chon yiki mo bi bwe bwekelkele mo dimki bibolero kange cil. mo nii kiye dike ken. mani mwa dob werkanka nor Teluwe kwama tim cere tiya? naweu.
11 Nawe sasa sikiliza, mkono wa Bwana u dhidi yako. Utakuwa kipofu, wala hutaona jua kwa muda.” Mara ukungu na giza vikamfunika, naye akaenda huku na huko akitafuta mtu wa kumshika mkono ili amwonyeshe njia.
kang teluwe kwama wo dor mwer, naweu yilam fukma. mani mo to kakuk ti can can do wo. Wi danjang ka bikumta kume kange kumtacele cumom cho chon ter bwelankako do nobo a ti cimen kang ko tiye.
12 Yule mkuu wa kile kisiwa alipoona yaliyotukia, akaamini kwa sababu alistaajabishwa na mafundisho kuhusu Bwana.
Bwiko Makaddaci to dike bwiri neken bilenke wurico ma nyomanka ki merangka ker kwama.
13 Kisha Paulo na wenzake wakasafiri toka Pafo wakafika Perga huko Pamfilia. Lakini, Yohana Marko akawaacha huko, akarejea Yerusalemu.
Bulus kange farce cin tok kangi cin yabken bafuca yaken firjiya kange Bamfiliya mor nabire mwenge.
14 Kutoka Perga wakaendelea hadi Antiokia ya Pisidia. Siku ya Sabato wakaingia ndani ya sinagogi, wakaketi.
Bulus kange farubcebo cin chu Firjiya kange Antakiya biten Bidiya fou ci do bikur wabe diye Asabaici cin yiken.
15 Baada ya Sheria ya Mose na Kitabu cha Manabii kusomwa, viongozi wa sinagogi wakawatumia ujumbe wakisema, “Ndugu, kama mna neno la kuwafariji watu hawa, tafadhali lisemeni.”
Bwiko kiyeranka werfunero kange nob nuwa ka dukume, nobo du bi kur wabero tun tomange, ki kebyebo na kon wiki tomange na neka bikwan ce di kom toki.
16 Paulo akasimama, akawapungia mkono na kusema: “Enyi wanaume wa Israeli na ninyi nyote mnaomcha Mungu.
Bulus la kweni nunge ki kang, nobo Israila kange kom ki ne kwama durtiye kom nuwa.
17 Mungu wa watu hawa wa Israeli aliwachagua baba zetu, akawafanya kustawi walipokuwa huko Misri, kwa uwezo mwingi akawaongoza na kuwatoa katika nchi ile.
Kwama Israila, chok tenkwanub bebbo, la cin bwi firen Masar, la ki bi kwancer na duktankako ce, ci cokuciye.
18 Kwa muda wa miaka arobaini alivumilia matendo yao walipokuwa jangwani.
Bii ner kange ci kutantum curem kwini naar,
19 Naye baada ya kuyaangamiza mataifa saba waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, akawapa Waisraeli nchi yao iwe urithi wao.
Kambo cho twallum bitine niber wi biten Kan ana. ni tenkwanub bebo kwali.
20 Haya yote yalichukua kama muda wa miaka 450. “Baada ya haya, Mungu akawapa waamuzi mpaka wakati wa nabii Samweli.
Dike wo gwam bwi curo kwini kwob na'ar tuddo kwini nung wo cume, kambo wuro kwama neci nob bolangeb, nimde nii dukume Samaila bou.
21 Ndipo watu wakaomba wapewe mfalme, naye Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi wa kabila la Benyamini, aliyetawala kwa miaka arobaini.
Nobo keni a ne ci liya, kwama ne ci Shawulu bibwe Kish, ni naniyak Benjamin yilam liya curo kwini na'ar.
22 Baada ya kumwondoa Sauli katika ufalme, akawainulia Daudi kuwa mfalme wao. Mungu pia alimshuhudia, akisema, ‘Nimemwona Daudi mwana wa Yese, mtu anayeupendeza moyo wangu, atakayetimiza mapenzi yangu yote.’
Kwma kwmco dor kutile liyare nen, kum dauda yilam liya ciye. Dor Dauda kwama yiki man fiya Dauda bibwe Yesu niwo ner miro cwitiye an ma dike ma cwitiye gwam.
23 “Kutoka uzao wa mtu huyu, Mungu amewaletea Israeli Mwokozi Yesu, kama alivyoahidi.
Fou mor naniya ni wo kwama ceru ki nii fuloka Yesu, na wo co ma noro can mane.
24 Kabla ya kuja kwa Yesu, Yohana alihubiri toba na ubatizo kwa watu wote wa Israeli.
Wuro bwi nimde Yesu bou yahaya tok ker Yukwamwem kwamambo na yilokako ce wo nobo Israila.
25 Yohana alipokuwa anakamilisha kazi yake, alisema: ‘Ninyi mnadhani mimi ni nani? Mimi si yeye. La hasha, lakini yeye yuaja baada yangu, ambaye mimi sistahili kufungua kamba za viatu vya miguu yake.’
WoroYahaya dim nagen cerori co tok ki we kom kwatiye? make bo cho.
26 “Ndugu zangu, wana wa Abrahamu, nanyi watu wa Mataifa mnaomcha Mungu, ujumbe huu wa wokovu umeletwa kwetu.
Kebmibo bibei mor naniya Ibrahim, kange wo wab kwama ti more kume, ki bo ci tungu fulen folokako.
27 Kwa sababu wakaao Yerusalemu na viongozi wao hawakumtambua wala kuelewa maneno ya manabii yasomwayo kila Sabato, bali waliyatimiza maneno hayo kwa kumhukumu yeye.
Ki ker nobo yirangum Ursalima kange nobo tanki ciye, ci nyom cho bou cin dim tok ka nob to dukumtiye wo ci kiyeranti kakuk Asabaici fiye twalka ceko.
28 Ijapokuwa hawakupata sababu yoyote ya kumhukumu kifo, walimwomba Pilato aamuru auawe.
bwen no dwalleu ci fiya dike bwi wo lam na bware ce dor cer cinken Bilatus a twallum cho.
29 Walipokwisha kufanya yale yote yaliyoandikwa kumhusu, walimshusha kutoka msalabani na kumzika kaburini.
Kambo ci dim kwarub dike ci mulange dor cere, la cin cukum cho dor bwatiye ci yoken cho mor tuwe.
30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.
Di kwama kum co mor bwiyare.
31 Naye kwa siku nyingi akawatokea wale waliokuwa pamoja naye kuanzia Galilaya hadi Yerusalemu. Nao sasa wamekuwa mashahidi wake kwa watu wetu.
Nobo bou wari kange ce feren galili kange Ursalima la cin ta to co ti kume kila. Nobo wuro ci warke ce nobonin nawo.
32 “Nasi tunawaletea habari njema, kwamba yale Mungu aliyowaahidi baba zetu
Nyon bou kumen ki fulen wo lamlome, ker norowo ci ma tenkwanubebo neneu.
33 sasa ameyatimiza kwetu sisi watoto wao, kwa kumfufua Yesu, kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili: “‘Wewe ni Mwanangu; leo mimi nimekuzaa.’
Teluwe dobbinen noro. Nyo chon kum Yesu mor tuwe, nawo mor bifumereu Zabura na yobe cemo bi bwemi dwen ma yilam Tee mwe.
34 Kwa kuwa Mungu alimfufua kutoka kwa wafu asioze kamwe, alitamka maneno haya: “‘Nitakupa wewe baraka takatifu zilizo za hakika nilizomwahidi Daudi.’
Tak dike bwici kun cho tuwe co wo kari, bwi ceu fuyem tok ker nyo, man ne kom bibwiyer dauda wo wucaake bichom.
35 Kama ilivyosemwa mahali pengine katika Zaburi, “‘Hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.’
Wo cho dike bwi co tok ker mor kange Zabura mani mwa dob nii wucakke mweti fuyem.
36 “Kwa maana Daudi akiisha kulitumikia kusudi la Mungu katika kizazi chake, alilala; akazikwa pamoja na baba zake na mwili wake ukaoza.
kambo Dauda ma kwama ni wabe mor nire ce dike kwama cwitikye, ca bwiyam, cin furumco wari kange tenkwanubcebo, con fuyem.
37 Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.
Di la nii wo kwama kunge to bo fuyeka.
38 “Kwa hiyo ndugu zangu, nataka ninyi mjue kwamba kwa kupitia huyu Yesu msamaha wa dhambi unatangazwa kwenu.
Kebmebo kom yomom fiye niwo wiyeu ci makumen fulen kere cutangka bwirang ke.
39 Kwa kupitia yeye, kila mtu amwaminiye anahesabiwa haki kwa kila kitu ambacho asingeweza kuhesabiwa haki kwa sheria ya Mose.
Fiye co wiye gwam nii neken bilenke an fulom mor dike werfener Musa ko mani cokkom ti dor cereu.
40 Kwa hiyo jihadharini ili yale waliyosema manabii yasiwapate:
Na wo nyori kom yila ki cini kange dike nob nuwaka dukumeko toke kari bwi dor kumer.
41 “‘Angalieni, enyi wenye dhihaka, mkastaajabu, mkaangamie, kwa maana nitatenda jambo wakati wenu ambalo hamtasadiki, hata kama mtu akiwaambia.’”
Kom nob cwikanka, kan lentanginker nyomankar take kan dim. wori mama nagen ti morkumeni kume, nangen do maka ciyati bwen ci yi komdi.
42 Paulo na Barnaba walipokuwa wakitoka nje ya sinagogi, watu wakawaomba wazungumze tena mambo hayo Sabato iliyofuata.
Bulus kange Barnabas certiri nobo kenci ciya tok ten kerowo bidiye Asabaici wo botiye.
43 Baada ya kusanyiko la Sinagogi kutawanyika, wengi wa Wayahudi na waongofu wa dini ya Kiyahudi wakawafuata Paulo na Barnaba, wakazungumza nao na kuwahimiza wadumu katika neema ya Mungu.
Kambo wabe dime, Yahudawa kila kange wuro do bwanka Yahudawa co ci ne danne, ciya ma nangen luma kwama.
44 Sabato iliyofuata, karibu watu wote wa mji walikuja kusikiliza neno la Bwana.
Asabaici yilakangu cunnukuru bwirum na ci nuwa ker kwamaro.
45 Lakini Wayahudi walipoona ule umati mkubwa wa watu walijawa na wivu, wakayakanusha maneno Paulo aliyokuwa akisema.
Di la yahudawa to mwer ka nobe ko, la cin dinki kor ci wengngum dike Bulus toke take cin ko.
46 Ndipo Paulo na Barnaba wakawajibu kwa ujasiri, wakisema, “Ilitupasa kunena nanyi neno la Mungu kwanza. Lakini kwa kuwa mmelikataa, mkajihukumu wenyewe kuwa hamstahili uzima wa milele, sasa tunawageukia watu wa Mataifa. (aiōnios )
Dila Bulus kange Barnabas cin tok ker ki bi kwan manki gtai, ciki tamyo a ter yika kume ko ker kwamaro, Dauda kom tungume, kom nungi kom datenbo dume wo diriye na wo Nyori, nyan yilaken nobo kunmtacele nen. (aiōnios )
47 Kwa maana hili ndilo Bwana alilotuamuru: “‘Nimewafanya ninyi kuwa nuru kwa watu wa Mataifa, ili mpate kuuleta wokovu hadi miisho ya dunia.’”
Nyo Teluwe dok nyo ki, man yo kom filang wiye nobo kuntacele wiye, na kom boki fulonka cwika dorbitinero nen.
48 Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Bwana; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. (aiōnios )
Nobo kumtacele nuwa nyori la cin ma bilantum, cin wab ker kwamaro gwam wuro ci ne fiyaka dume diri yiloten. (aiōnios )
49 Neno la Bwana likaenea katika eneo lile lote.
Ker Teluwe wabi wi yare tinin bo cuwo.
50 Lakini Wayahudi wakawachochea wanawake wenye kumcha Mungu, wenye vyeo pamoja na watu maarufu katika mji, wakachochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na kuwafukuza kutoka eneo hilo.
Dila Yahudawa cuk natubo kange ma wabe, nobo ken, kange nobo durtinim nabarubb wi cinanlore.
51 Hivyo Paulo na Barnaba wakakungʼuta mavumbi ya miguu yao ili kuwapinga, nao wakaenda Ikonio.
Dila Bulus kange Barnabas fercinen ti kwero naci ke wi. cin cu cinanlor koniya.
52 Wanafunzi wakajawa na furaha na Roho Mtakatifu.
Nob bwankabo cin dim ki fuwor neret kange yuwa tangbe.