< Matendo 12 >
1 Wakati huo huo Mfalme Herode Agripa aliwakamata baadhi ya watu wa kanisa.
Umfumu u Herode ahandile abhatese aKristo.
2 Akaamuru Yakobo, ndugu yake Yohana, auawe kwa upanga.
Ahabudile uYakobo uholo wa Yohana ni panga.
3 Alipoona jambo hilo limewapendeza Wayahudi, akaendelea, akamkamata pia Petro. Hii ilitokea wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu.
Nawalola huje Ayahudi bhasungwa wakhata nu Petro. Esho shali shipindi she mabumunda gasiga bhaponyizye ehamila.
4 Baada ya kumkamata alimtia gerezani, chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari, vyenye askari wanne kila kimoja. Herode alikuwa amekusudia kumtoa na kumfanyia mashtaka mbele ya watu baada ya Pasaka.
Nawakhata uPetro wafunga mulumanti amapunga gane aje bhadime aje nayashila Epasaka atwale hwa bhantu.
5 Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini kanisa lilikuwa likimwombea kwa Mungu kwa bidii.
Akristo bhamwaba nabhamvwa huje uPetro akhetwe na fungwe bhabhungana bhetehana bhonti apuute na hupuutile tee hwa Ngulubhi.
6 Usiku ule kabla ya siku ambayo Herode Agripa alikuwa amekusudia kumtoa na kumfanyia mashtaka, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili, akiwa amefungwa kwa minyororo miwili. Nao walinzi wa zamu walikuwa wakilinda penye lango la gereza.
Isiku sasile uHerode humeje uPetro mwijela nu siku ahenzele umalaika humwefwe u Petro mwijela, alinzi bhazyungulile uPetro na mundyango bhaali abhasikali.
7 Ghafula malaika wa Bwana akatokea na nuru ikamulika mle ndani ya gereza. Yule malaika akampiga Petro ubavuni na kumwamsha, akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo ikaanguka kutoka mikononi mwa Petro.
Umalaika winza wakhozya mwijela umalaika wadamuzya u Petro waga bhuuha nanali amanyololo gabhapinyiye gagwagepa mumakhono na mumanama.
8 Yule malaika akamwambia, “Vaa nguo zako na viatu vyako.” Petro akafanya hivyo. Kisha akamwambia, “Jifunge vazi lako na unifuate.”
Umalaika waga kwata evilato vyaho wa menda gaho saali ndondozyanje ane.”
9 Petro akatoka mle gerezani akiwa amefuatana na yule malaika. Hakujua wakati huo kuwa yaliyokuwa yakitukia yalikuwa kweli. Alidhani kuwa anaona maono.
U Petro walondozya uMalaika bhafuma hwunzi. U Petro sigaaloline aje ezyo zili lyoli agagajibha alota njozi.
10 Wakapita lindo la kwanza na la pili, ndipo wakafika kwenye lango la chuma linaloelekea mjini. Lango likawafungukia lenyewe, nao wakapita hapo wakatoka nje. Baada ya kutembea umbali wa mtaa mmoja, ghafula yule malaika akamwacha Petro.
Bhashila undyango ugwa hwande bhashila nugwabhili bhafuma hundyango ugosi ugwabhalile humujini, ugwo gwali gwimajela gwahigushe gwene bhasogola bhafiha apatali, uMalaika waleha uPetro waga eshi bhalaga.
11 Ndipo Petro akarudiwa na fahamu, akasema, “Sasa ninajua bila shaka yoyote kuwa Bwana amemtuma malaika wake na kuniokoa kutoka makucha ya Herode Agripa na kutoka matazamio yote ya Wayahudi.”
U Petro nawamanya huje zililyolo siganjozi waga Ungulubhi atumile Umalaika wakwe huje anefwe mwijela nensubhizyo zya ayahudi.”
12 Mara Petro alipotambua hili alikwenda nyumbani kwa Maria, mama yake Yohana aliyeitwa pia Marko, ambako watu wengi walikuwa wamekutana kwa maombi.
U Petro wafiha munyumba ya Mariamu unyina wa Yohana yahwitwa Marko; mwabhabhangine Akristo nabhapuutaga.
13 Petro alipobisha hodi kwenye lango la nje, mtumishi wa kike jina lake Roda, akaja kumfungulia.
Nawakhoma ehodi mundyango wabhala humwigulile ulendu umo itawa yu Roda.
14 Alipoitambua sauti ya Petro, alifurahi mno akarudi bila kufungua na kuwaeleza kwamba, “Petro yuko langoni!”
Nawamanya huje yu Petro, sigawigula undyango; washimbila wabhala abhabhuule munyumba huje yu Petro yakhoma ehodi.
15 Wakamwambia yule mtumishi wa kike, “Umerukwa na akili.” Alipozidi kusisitiza kuwa ni kweli, wakasema, “Lazima awe ni malaika wake.”
Abhamunyumba bhabisya bhagasiga yuyo umwene wakhasya huje yuyo bhaga yu malaika wakwe.”
16 Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana.
U Petro wabhasagonga undyango pamandi bhamwigulila na bhalola bhaswiga tee. U Petro wabhapumizyia wabhalatila zyonti umalaika zyabhombile shafumizye mwijela,
17 Yeye akawaashiria kwa mkono wake wanyamaze kimya, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Naye akaongeza kusema, “Waelezeni Yakobo na ndugu wengine habari hizi.” Kisha akaondoka akaenda sehemu nyingine.
“Wababhuula huje mubhuule u Yakobo na holo abhamwabho, wasogola wabhala uhwamwabho.
18 Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro.
Nawasha askali bhala bhazugumiye tee hunongwa ya Petro huje afumile wele.
19 Baada ya Herode kuamuru atafutwe kila mahali na bila kumpata, aliwahoji wale askari walinzi kisha akatoa amri wauawe. Basi Herode Agripa akatoka Uyahudi akaenda Kaisaria, akakaa huko kwa muda.
U Herode nawabhala humweje siga amwajile wabhabhuuzya alinzi, u Herode wamula abhabude alinzi bhaala, wasogola wabha hu Kaisaria akhale.
20 Basi Herode Agripa alikuwa amekasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Hivyo watu wa miji hiyo miwili wakaungana pamoja wakatafuta kukutana naye. Wakiisha kuungwa mkono na Blasto, mtumishi maalum wa Mfalme Herode Agripa aliyeaminika, wakaomba mapatano ya amani maana nchi zao zilitegemea nchi ya huyo mfalme kwa mahitaji yao ya chakula.
U Herode ali ne lyoyo na bhantu abhahu Tiro na hu Sidoni. Bhabhala bhonti palishimo. Bhakundana nu saidizi wa mfumu, bhalabha ulwetehano, ensi yabho ehapataga eshalya afume hunsi ya mfumu.
21 Katika siku iliyochaguliwa Herode Agripa akavaa mavazi yake ya kifalme, akaketi kwenye kiti chake cha enzi na kuwahutubia watu.
Isiku limo umfumu u Herode ali nu mbungano nawakhala pitengo lyakwe elyeufumu, wayanga na bhantu.
22 Watu waliokuwa wamekusanyika wakapiga kelele, wakisema, “Hii si sauti ya mwanadamu, bali ni ya Mungu.”
Abhantu bhabwaga bhaga eli lizu lya Ngulubhi sigalizu lya muntu!”
23 Ghafula, kwa kuwa Herode hakumpa Mungu utukufu, malaika wa Bwana akampiga, naye akaliwa na chango, akafa.
Umalaika wakhoma amachango galya muvyanda wafwa
24 Lakini neno la Mungu likaendelea mbele na kuenea, nao wengi wakaambatana nalo.
Lelo izu lya Ngulubhi lyanyampana hwa bhanti bhabhinji.
25 Barnaba na Sauli walipomaliza ile huduma yao iliyowapeleka, wakarudi Yerusalemu wakiwa pamoja na Yohana aitwaye Marko.
A Barnaba nu Paulo nabhala bhabhala hu Yerusalemu bhamwega nu Yohana yahwitwa Marko elyo lyapipwe nalyo.