< Matendo 12 >

1 Wakati huo huo Mfalme Herode Agripa aliwakamata baadhi ya watu wa kanisa.
Linu mwezo inako Simwine Heroda avali kusebelisa inguzu zakwe kusumina vava kuzwila mwikeleke mukuti avasukulule.
2 Akaamuru Yakobo, ndugu yake Yohana, auawe kwa upanga.
Abehayi Jakovo mwache wa Joani cha mukwale.
3 Alipoona jambo hilo limewapendeza Wayahudi, akaendelea, akamkamata pia Petro. Hii ilitokea wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu.
Kuzwaho chinga bona kuti zisangisa majuda, nichazwila hansu nikusumina Pitorosi naye. Linu ayo avali mazuva achikwa chisena mulungo.
4 Baada ya kumkamata alimtia gerezani, chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari, vyenye askari wanne kila kimoja. Herode alikuwa amekusudia kumtoa na kumfanyia mashtaka mbele ya watu baada ya Pasaka.
Hmana kumusumina, nicha mubika mwitolongo linu nicha bika zikwata zone za masole kumu mamela; Avali kuzeza kumuleta kubatu kumasule Epaseka haimana.
5 Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini kanisa lilikuwa likimwombea kwa Mungu kwa bidii.
Linu Pitorosi ava bwikitwe mwitolongo, Imi balumeli kana ba bali kusiya kumu kumbilila kwa Ireeza mwikereke.
6 Usiku ule kabla ya siku ambayo Herode Agripa alikuwa amekusudia kumtoa na kumfanyia mashtaka, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili, akiwa amefungwa kwa minyororo miwili. Nao walinzi wa zamu walikuwa wakilinda penye lango la gereza.
Izuva lichilila Heroda avakuya ku kumuzwisa hanze. Awo masiku aswana Pitrosi avalele hakati kamasole bovere, nasumwinwe ichaini; vaganteli habusu bya chiyazo niba mamele itolongo.
7 Ghafula malaika wa Bwana akatokea na nuru ikamulika mle ndani ya gereza. Yule malaika akampiga Petro ubavuni na kumwamsha, akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo ikaanguka kutoka mikononi mwa Petro.
Muvone, Iñiloyi lya Simwine inakozana chillya libonahalisa, linu mu moni chiwa munika mwizuvo yetolongo. chilya vakula Pitrosi he mbali niku muvusa,”'buke chakulitahanela' Imi ichaini chizawa kumayaza akwe.
8 Yule malaika akamwambia, “Vaa nguo zako na viatu vyako.” Petro akafanya hivyo. Kisha akamwambia, “Jifunge vazi lako na unifuate.”
Iñiloyi chilyawamba kwali nichinilyati, lizwatike zizwato, Imi zwate nimakatulo” Pitrosi cha chita vulyo. Iñiloyi chi lyati kwali, zwate zizwato za hanze unichilile
9 Petro akatoka mle gerezani akiwa amefuatana na yule malaika. Hakujua wakati huo kuwa yaliyokuwa yakitukia yalikuwa kweli. Alidhani kuwa anaona maono.
Linu Pitrosi niche chilila Iñoliyi ni kuzwa haze, kana abezi kuti zipangahala zakusakusima zilipanga Iñiloyi, Abakutele uvwene ipono,
10 Wakapita lindo la kwanza na la pili, ndipo wakafika kwenye lango la chuma linaloelekea mjini. Lango likawafungukia lenyewe, nao wakapita hapo wakatoka nje. Baada ya kutembea umbali wa mtaa mmoja, ghafula yule malaika akamwacha Petro.
Hava hitilila mugateli we intazi ni wa buveli, Nichibakeza kumulyango wesipi ubakuya mwitolopo; nichi we yaluka uwo wine. nichi bazwa haze nikuya mu mungwangwa, Iñiloyi nichi lyamusiya haho.
11 Ndipo Petro akarudiwa na fahamu, akasema, “Sasa ninajua bila shaka yoyote kuwa Bwana amemtuma malaika wake na kuniokoa kutoka makucha ya Herode Agripa na kutoka matazamio yote ya Wayahudi.”
Linu Pitrosi chinga volelwa mano, chawamba kuti,” hanu chabusakusima chine ziva Simwine aba tumini Iñoloyi lyakwe ni kwiza kuni sumununa mu mayaza a Heroda, mane nizintu ziva va livelele vantu va majuda.
12 Mara Petro alipotambua hili alikwenda nyumbani kwa Maria, mama yake Yohana aliyeitwa pia Marko, ambako watu wengi walikuwa wamekutana kwa maombi.
“Hamana kuzeza izii, Nicha yenda kuzubo ya Maria inyina wa Joani izina livesi ba vali njiva Mareka; vangi vazumina baba kungene momo nivakwete kurapera.
13 Petro alipobisha hodi kwenye lango la nje, mtumishi wa kike jina lake Roda, akaja kumfungulia.
Chinga ngongota ha mulyango werapa, muhikana wamukazana wezina lya Roda hakeza kukwi tava.
14 Alipoitambua sauti ya Petro, alifurahi mno akarudi bila kufungua na kuwaeleza kwamba, “Petro yuko langoni!”
Halemuha kuti izwi njilya Pitrosi, kuzwililila kuku sanga chakangwa kwiyalula mulyango; kuhita, nicha tilila muzubo; nicha kava wambila kuti Pitrosi uzimene hamulyango;
15 Wakamwambia yule mtumishi wa kike, “Umerukwa na akili.” Alipozidi kusisitiza kuwa ni kweli, wakasema, “Lazima awe ni malaika wake.”
Linu nichi vanta kwali,' umbulumuka,” Nicha tundamena kuti njimona bovulyo. Nichi vata kwali, “Iñiloloyi lyakwe.”
16 Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana.
Linu Pitrosi nicha zwila havunsu niku ngongota, chinga veyalula mulyango, Nichi vamubona niku komokwa,
17 Yeye akawaashiria kwa mkono wake wanyamaze kimya, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Naye akaongeza kusema, “Waelezeni Yakobo na ndugu wengine habari hizi.” Kisha akaondoka akaenda sehemu nyingine.
Pitrosi nicha vatondeza kama yaza kuti vantotole. Linu nicha vawambila Simwine mwava muzwisikizi mwitolongo. Ni chati, “mukawambile inzi zintu Jakovo niva mwakwe,” kuzwaho nicha vasiya nikuya kuchimwi chivaka.
18 Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro.
Linu chinga lyazwa izuva. Nichi kwava nikulyangana kungi mukati kamasole, kuamana nichi vapangahali kwa Pitrosi.
19 Baada ya Herode kuamuru atafutwe kila mahali na bila kumpata, aliwahoji wale askari walinzi kisha akatoa amri wauawe. Basi Herode Agripa akatoka Uyahudi akaenda Kaisaria, akakaa huko kwa muda.
Kumasule Heroda chinga mungana linu kana aba muwani, NIchavuza ba ngatela nikuha itaelo kuti vehayiwe. Kuzwa aho ni chazwa mwa Judea nikuya mwa Sesarea niku ke kala mwateni.
20 Basi Herode Agripa alikuwa amekasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Hivyo watu wa miji hiyo miwili wakaungana pamoja wakatafuta kukutana naye. Wakiisha kuungwa mkono na Blasto, mtumishi maalum wa Mfalme Herode Agripa aliyeaminika, wakaomba mapatano ya amani maana nchi zao zilitegemea nchi ya huyo mfalme kwa mahitaji yao ya chakula.
Linu Heroda nicha vengela vantu va Tire ni Sidoni. Nichi vayenda hamwina kwali. Nichi vaka wola Blasto mutusi wa Simwine, mukuti avatuse. Kuzwaho nichiva kumbila ikozo, Mukuti ikanda yavo ivatambuli zilyo zayo zizwa kwa simwine weyo ikanda.
21 Katika siku iliyochaguliwa Herode Agripa akavaa mavazi yake ya kifalme, akaketi kwenye kiti chake cha enzi na kuwahutubia watu.
Mwizuva livatomwa Heroda nicha zwata zizwato zakwe zavu simwine nikwikala hachihuna chavu Simwine; Nicha wamba kuvali.
22 Watu waliokuwa wamekusanyika wakapiga kelele, wakisema, “Hii si sauti ya mwanadamu, bali ni ya Mungu.”
LInu batu chiva ngalumuka, “nikuta kuti ilzwi lya muzimu, isinyi lya muntu;”
23 Ghafula, kwa kuwa Herode hakumpa Mungu utukufu, malaika wa Bwana akampiga, naye akaliwa na chango, akafa.
Pona hahaho Iñiloyi lya Simwine chilya mukava, Mukuti kana avahi Ireeza ikanya; Nicha liwa masene niku nfwa.
24 Lakini neno la Mungu likaendelea mbele na kuenea, nao wengi wakaambatana nalo.
Imi izwii lye Ireeza chilya kula ni njihekana.
25 Barnaba na Sauli walipomaliza ile huduma yao iliyowapeleka, wakarudi Yerusalemu wakiwa pamoja na Yohana aitwaye Marko.
Linu Barnabasi ni Saule chinga vamana musevesi mwa Jerusalema, nichi vabolela haho, nivahinda Joani, Izina livesi va vali njiva Mareka.

< Matendo 12 >