< Matendo 1 >
1 Katika kitabu changu cha kwanza nilikuandikia, mpendwa Theofilo, kuhusu mambo yote Yesu aliyofanya na kufundisha tangu mwanzo,
I lañonañe valoha’e nanoekoy, ry Teofily, ami’ty nifotora’ Iesoà nanao, naho nañòke
2 hadi siku ile alipochukuliwa kwenda mbinguni, baada ya kuwapa maagizo kupitia kwa Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua.
pak’ amy andro nampionjonañe azey, ie fa nanoro o Firàheñe jinobo’e añamy Arofo Masiñeio.
3 Baada ya mateso yake, alijionyesha kwao na kuwathibitishia kwa njia nyingi kwamba yeye yu hai. Katika muda wa siku arobaini baada ya kufufuka kwake aliwatokea na kunena kuhusu Ufalme wa Mungu.
Aa naho niheneke i halovilovia’ey le niboak’ am’ iereo naho niventè’e an-tsata maro, hampatokisañe iareo t’ie veloñe, vaho niisa’ iareo efa-polo andro, le nitaroña’e i Fifehean’ Añaharey.
4 Wakati mmoja alipokuwa pamoja nao, aliwapa amri hii, “Msitoke Yerusalemu, bali ingojeni ahadi ya Baba, ambayo mmenisikia nikisema habari zake.
Aa ie nifañaoñe le nafanto’e te tsy hiakats’ Ierosaleme fa handiñe i nampitaman-dRaey: i Jinanji’ areo amakoy.
5 Yohana aliwabatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”
Nampilipotse an-drano t’i Jaona, fe halipotse amy Arofo Masiñey nahareo te heron-kerone.
6 Mitume walipokuwa wamekusanyika pamoja, wakamuuliza Yesu, “Bwana, je, huu ndio wakati wa kuwarudishia Israeli ufalme?”
Aa ie nifanontoñe le nañontanea’ iareo ty hoe: O Rañandria, Hampolie’o am’ Israele henaneo hao i fifeheañey?
7 Yesu akawaambia, “Si juu yenu kujua nyakati na majira ambayo Baba ameyaweka katika mamlaka yake mwenyewe.
Hoe re tam’ iereo: Tsy anahareo ty hahafohiñe ty andro ndra o sa nalaha n-dRae amy fandilia’eio,
8 Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, Uyahudi kote na Samaria, hadi miisho ya dunia.”
fe handrambe haozarañe nahareo te ivotraha’ i Arofo Masiñey; ho mpitalily ahy e Ierosaleme naho e Iehodà iaby naho e Samaria ao vaho pak’ antsietoitane añe.
9 Baada ya kusema mambo haya, walipokuwa wanatazama, akachukuliwa juu mbinguni mbele ya macho yao na wingu likampokea wasimwone tena.
Ie nitsarae’e le nonjoneñe vaho rinambe’ ty rahoñe tsy ho am-pahaisaha’ iareo.
10 Walipokuwa bado wakikaza macho yao kuelekea juu alipokuwa akienda zake Mbinguni, tazama ghafula, wanaume wawili waliovaa mavazi meupe wakasimama karibu nao,
Ie mbe nitalake mb’andikerañe eñe mb’amy nionjona’ey, hehe te nijohañe añila’ iereo t’indaty roe nisarom-poty
11 wakasema, “Enyi watu wa Galilaya, mbona mnasimama mkitazama juu angani? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda Mbinguni, atarudi tena jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake Mbinguni.”
nanao ty hoe, Ry nte-Galilia, akore t’ie miandrandra mb’ andindìñe ey? Iesoà nirambeseñe boak’ ama’ areo mb’andindimb’eoy ro hibalike manahake i nahaisaha’ areo aze nionjoñe mb’andikerañe eñey.
12 Ndipo waliporudi Yerusalemu kutoka Mlima wa Mizeituni, uliokuwa karibu na Yerusalemu, umbali wa mwendo wa Sabato kutoka mjini.
Aa le nibalike mb’e Ierosaleme mb’eo iereo, boak’ami’ty vohitse atao Oliva, mañeva fañaveloan-tSabotse boake Ierosaleme.
13 Walipowasili mjini Yerusalemu, walikwenda ghorofani kwenye chumba walichokuwa wakiishi. Wale waliokuwepo walikuwa: Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Tomaso, Bartholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
Ie nigodañe ao iereo le niañambone mb’ añ’ efetse ambone ami’ty nitobea’ i Petera naho Iakobe naho i Jaona naho i Andrea, i Filipo naho i Tomasy, i Bartolomeo naho i Matio, Iakobe ana’ i Alfeo naho i Simona Zelota, vaho i Jodasy ana’ Iakobe.
14 Hawa wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao walikuwepo wanawake kadha, na Maria mama yake Yesu, pamoja na ndugu zake Yesu.
Ie nitraok’ ìna naho nitolom-pitalaho naho halaly miharo amo Rakembao naho i Marie rene’ Iesoà vaho o roahalahi’eo.
15 Katika siku hizo Petro akasimama katikati ya waumini (jumla yao wote walikuwa watu wapatao 120), akasema,
Niongak’ añivo’ o rolongoo amy andro rezay t’i Petera (va’e zato tsy roapolo ty aman-tahinañe nifanontoñe ao) le nanao ty hoe:
16 “Ndugu zangu, ilibidi Andiko litimie ambalo Roho Mtakatifu alitabiri kupitia kwa Daudi kumhusu Yuda aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.
Ry longo, tsi-mete tsy niheneke i Sokitse Masiñe nitokie’ i Arofo Masiñey am-palie’ i Davide i Jodasy niaolo o nitsepake Iesoàoy.
17 Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”
Ie nivolilieñe aman-tika naho nandrambe anjara amo fitoroñañe zao.
18 (Basi Yuda alinunua shamba kwa zile fedha za uovu alizopata; akiwa huko shambani akaanguka, akapasuka na matumbo yote yakatoka nje.
(Nahazoan-teteke indatiy amy tamben-tahi’ey, ie nitsirikoake naho niponake, vaho hene niforotrake o tsinai’eo.)
19 Kila mtu Yerusalemu akasikia habari hizi, kwa hiyo wakapaita mahali hapo kwa lugha yao, Akeldama, yaani Shamba la Damu).
Nanitsike o mpimoneñe e Ierosaleme ao iabio izay vaho tinoka’ iereo ty hoe Akeldama i tonday ami’ty saontsi’ iareo, midika ty hoe: Tondan-dio.
20 “Kama vile ilivyoandikwa katika kitabu cha Zaburi, “‘Mahali pake na pawe ukiwa, wala asiwepo yeyote atakayeishi humo,’ na, “‘Mtu mwingine aichukue nafasi yake ya uongozi.’
Toe nipatereñe amy boken-Tsaboy, ty hoe: Adono hangoakoake ty traño’e, tsy hiambesara’ ondaty ka, vaho: ho rambese’ ty ila’e i fehe’ey.
21 Kwa hiyo inatubidi tumchague mtu mwingine miongoni mwa wale ambao wamekuwa pamoja nasi wakati wote Bwana Yesu alipoingia na kutoka katikati yenu,
Aa naho ondaty nirekets’ amantika amy ze hene andro niziliha’ i Iesoà Talè naho niakara’e amantika,
22 kuanzia ubatizo wa Yohana mpaka siku aliyochukuliwa kutoka kwetu kwenda Mbinguni. Kwa kuwa mmoja wao inabidi awe shahidi pamoja nasi wa ufufuo wake.”
mifototse amy nampilipora’ i Jaonay pak’amy andro nandrambesañe aze aman-tikañeio; le raik’ amy rezay ty ho mpiaman-tika valolombelo’ i fitroara’ey.
23 Wakapendekeza majina ya watu wawili: Yosefu, aitwaye Barsaba (ambaye pia alijulikana kama Yusto) na Mathiya.
Aa le nonjoñeñe roe: Iosefe atao Barsabasy (i Josto ty añaram-binta’e), naho i Matia;
24 Kisha wakaomba, wakasema, “Bwana, wewe waujua moyo wa kila mtu. Tuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua
vaho hoe iereo te nihalaly: Ry Iehovà, mpaharofoanañe ze kila arofo, atorò anay ty jinobo’o amo roe retoañe,
25 ili achukue nafasi ya huduma ya utume ambayo Yuda aliiacha ili aende mahali pake mwenyewe.”
handrambesa’e anjara ami’ty fitoroñañe toy naho ty maha-Firàheñe, ie niola t’i Jodasy nivike mb’amy nevae’e ao.
26 Kisha wakawapigia kura, nayo kura ikamwangukia Mathiya, naye akaongezwa kwenye wale mitume kumi na mmoja.
Aa le nanoa’ iareo tsato-piso naho nitsatoke amy Matia, ie ty nitovo’ i Firàheñe folo-raik’ amby rey.