< 3 Yohana 1 >
1 Mzee: Kwa Gayo rafiki yangu, nimpendaye katika kweli.
Arikon t shuntso, shunetso Gayiyossh, Tiyoke eenashoke,
2 Mpendwa, naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema kama vile roho yako ifanikiwavyo.
T shuntsono! n be jamo neesh b́ kááwitwok'o, jeenono nwotitwok'o, jam weeron neesh b́sheengetwok'owe Ik'o tk'oniri.
3 Ilinifurahisha sana baadhi ya ndugu walipokuja na kutueleza juu ya uaminifu wako katika kweli na jinsi unavyoendelea kuenenda katika hiyo kweli.
Arosh ni amanetsok'onat aron n beeyirwok'on krstiyani wotts eshu ik ikwots waat bokeewor aydek'atniye t geneúwi.
4 Sina furaha kubwa kuliko hii, kusikia kwamba watoto wangu wanaenenda katika kweli.
T nana'wots arikon ananefetst bobeyrwok'o shishoniye bogo taan geneúshit keewo aaliye.
5 Rafiki mpendwa, wewe ni mwaminifu kwa yale unayowatendea ndugu, ingawa wao ni wageni kwako.
T shuntsono! neesh dab ib bowotiyalor eshu eshuwotssh amanek fine nfiniri.
6 Wameshuhudia kuhusu upendo wako mbele ya kanisa. Utafanya vyema ukiwasafirisha kama inavyostahili kwa Mungu.
Bowere boosh shunon nfints fino Ik'i maa shinatse kishdek't keewrnee, andoor Ik'o genee'ushitwok'on bowerindosh boon ntep'al sheenge.
7 Ilikuwa ni kwa ajili ya hilo Jina waliondoka, bila kukubali kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini.
Krstossh finosh bokeshor amanerawwotsoke eegor tep'o dek'keyatsnee.
8 Kwa hiyo imetupasa sisi kuonyesha ukarimu kwa watu kama hao ili tuweze kutenda kazi pamoja kwa ajili ya kweli.
Ari fin finrwotsnton finirwotsi nowotitwok'o hanotsk'o ashuwotsnton fino noon geyife.
9 Nililiandikia kanisa, lakini Deotrefe, yeye apendaye kujifanya wa kwanza, hakubali mamlaka yetu.
Haniyere shinon Ik' moosh wosho guut're b́teshi, ernmo Ik' maa jish geyirwo Diyotrefis ti ettso de'atse.
10 Hivyo kama nikija, nitakumbuka matendo yake atendayo, akitusingizia kwa maneno ya hila. Wala hatosheki na hayo anayotusingizia, bali pia hukataa kuwakaribisha ndugu, na hata huwazuia wale walio tayari kufanya hivyo na kuwafukuza watoke kanisani.
Eshe itok twoor bí noon c'ashfetst, ketifetst b́ k'alts gond fin jamo keewitwe, man bísh bodob́k'aye bí b́ tookish eshu eshuwotsi de'ake. K'oshwotswere bo de'awok'owe b́bazifoni. Ik'i mootsnowere boon b́gishefoni.
11 Rafiki mpendwa, usiige lile lililo baya bali lile lililo jema. Yeyote atendaye mema atoka kwa Mungu, bali atendaye mabaya hajamwona Mungu.
T shuntsono! sheengo arowe bako gondo ark'aye. Sheeng finiru jamo Ik'ikee. Gond finirwonmó Ik'o be'atse.
12 Kila mtu ameshuhudia mema kuhusu Demetrio, vivyo hivyo hata na hiyo kweli yenyewe. Sisi pia twashuhudia mema juu yake, nanyi mwajua kwamba ushuhuda wetu ni kweli.
Dimet'ros jangosh ash jamo sheengkewon bísh gawirunee. Arunuwere b tookon bísh gawitwanee. Noowere gawitwone, nogawonwere ar b́ wotok'o danfnee.
13 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kuandika kwa kalamu na wino.
Neesh guut'osh t geetso ay keewo detsfe b́ teshi, wotowa eree worek'atats neesh guut'o geeratse.
14 Badala yake, nataraji kukuona upesi, nasi tutaongea pamoja ana kwa ana. Amani iwe kwako. Rafiki zetu walioko hapa wanakusalimu. Wasalimu hao rafiki zetu walioko huko, kila mmoja kwa jina lake.
Karnon neen bek'oshe jangirwe, manoor noonon keewetwone. Jeeno neesh wotowe. Hanoki n tooh tohuwots neesh jamo t'intsirune. Neewere no tohuwotssh jamo ik ikon t'intsuwe.