< 3 Yohana 1 >

1 Mzee: Kwa Gayo rafiki yangu, nimpendaye katika kweli.
IET nai me laud o ranamau won Kaiuj kompok, me i kin pokopoke melel.
2 Mpendwa, naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema kama vile roho yako ifanikiwavyo.
Kompoke pa i, i kin men, koe en pwaida o rojon ni wiawia karoj duen nen om me pwaida.
3 Ilinifurahisha sana baadhi ya ndugu walipokuja na kutueleza juu ya uaminifu wako katika kweli na jinsi unavyoendelea kuenenda katika hiyo kweli.
Pwe i peren kida kaualap, ri atail oko lao pwarado, katitiki on ia duen om melel o duen om kin alialu wei ta ni melel.
4 Sina furaha kubwa kuliko hii, kusikia kwamba watoto wangu wanaenenda katika kweli.
Jota ai peren me lapa jan met, ni ai ron duen nai jeri kan, me kin alu wei ta ni melel.
5 Rafiki mpendwa, wewe ni mwaminifu kwa yale unayowatendea ndugu, ingawa wao ni wageni kwako.
Kompoke pa i, me mau, me koe kin wiai on ri atail o pil men kairu kan,
6 Wameshuhudia kuhusu upendo wako mbele ya kanisa. Utafanya vyema ukiwasafirisha kama inavyostahili kwa Mungu.
Me katitiki on momodijou duen om limpok; me mau, ma koe pan jauaja irail, duen me kon on Kot.
7 Ilikuwa ni kwa ajili ya hilo Jina waliondoka, bila kukubali kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini.
Pweki mar a re kin koko wei ta, jota tunole meakot ren men liki kan.
8 Kwa hiyo imetupasa sisi kuonyesha ukarimu kwa watu kama hao ili tuweze kutenda kazi pamoja kwa ajili ya kweli.
I me kitail en jauaja jon due met, pwe kitail en wia jauaj pan melel.
9 Nililiandikia kanisa, lakini Deotrefe, yeye apendaye kujifanya wa kwanza, hakubali mamlaka yetu.
Meakot i intinki woner momodijou, a Diotrepej me akajaumaj on irail, jota duki on kit.
10 Hivyo kama nikija, nitakumbuka matendo yake atendayo, akitusingizia kwa maneno ya hila. Wala hatosheki na hayo anayotusingizia, bali pia hukataa kuwakaribisha ndugu, na hata huwazuia wale walio tayari kufanya hivyo na kuwafukuza watoke kanisani.
Ari, i lao pwara wei, i pan katamanki i a wiawia kan, me a kin wiada, pwe a kin lokaia jued duen kit. A kaidin i eta, pwe pein i jota kin kajamo ri atail ko, ap pil inapwiedi, me kin men apwali ir, o kajapok ir ala jan nan momodijou.
11 Rafiki mpendwa, usiige lile lililo baya bali lile lililo jema. Yeyote atendaye mema atoka kwa Mungu, bali atendaye mabaya hajamwona Mungu.
Kompoke pa i, der idauen me jued a me mau. Me kin wia me mau, me jan ren Kot, a me kin wia me jued, jota kilaner Kot.
12 Kila mtu ameshuhudia mema kuhusu Demetrio, vivyo hivyo hata na hiyo kweli yenyewe. Sisi pia twashuhudia mema juu yake, nanyi mwajua kwamba ushuhuda wetu ni kweli.
Demetriuj indand ren amen amen o pil ni melel. O kit pil kadededa, a koe aja, me at kadede me melel.
13 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kuandika kwa kalamu na wino.
Kajoi toto me mi re i, me i kak intin won uk, a i jota men intinki ink o men intin.
14 Badala yake, nataraji kukuona upesi, nasi tutaongea pamoja ana kwa ana. Amani iwe kwako. Rafiki zetu walioko hapa wanakusalimu. Wasalimu hao rafiki zetu walioko huko, kila mmoja kwa jina lake.
A i kaporoporeki, me koren, me i pan kilan uk, kita ap pan kajokajoi pena. Popol en mi re om. Kompok kan kin ranamau won uk. Ranamauieki kompok kan mar arail.

< 3 Yohana 1 >