< 3 Yohana 1 >

1 Mzee: Kwa Gayo rafiki yangu, nimpendaye katika kweli.
Mukulwana ku yosakwa Gayusi, uzo ye ni saka mwiniti.
2 Mpendwa, naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema kama vile roho yako ifanikiwavyo.
Yosakwa, Ni rapela kuti u zwire havusu muzintu zonse mi uve ni bwiketo, sina luhuho lwako halushiyeme.
3 Ilinifurahisha sana baadhi ya ndugu walipokuja na kutueleza juu ya uaminifu wako katika kweli na jinsi unavyoendelea kuenenda katika hiyo kweli.
Chobulyo ni vatavi hahulu mizwale ha vabakezi kuku niha vupaki bweiniti yako, sina hauyenda mwiniti.
4 Sina furaha kubwa kuliko hii, kusikia kwamba watoto wangu wanaenenda katika kweli.
Kanina intabo inkando kuhita iyi, kuzuwa kuti vana vangu bayenda mwiniti.
5 Rafiki mpendwa, wewe ni mwaminifu kwa yale unayowatendea ndugu, ingawa wao ni wageni kwako.
Yosakwa, upange cha vusepahali inako yonse yo tendela mizwale ni vantu vasezibenkani,
6 Wameshuhudia kuhusu upendo wako mbele ya kanisa. Utafanya vyema ukiwasafirisha kama inavyostahili kwa Mungu.
avo ba vazalwa ne vapaka ilato lyako havusu bwenkeleke. U chita hande ku vatumina mulwendo lwabo munzila zi swanela Ireeza,
7 Ilikuwa ni kwa ajili ya hilo Jina waliondoka, bila kukubali kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini.
chakuti i vali chevaka lye zina ha va bayendi kungi, ne kusena che va vahindi ku bechisi.
8 Kwa hiyo imetupasa sisi kuonyesha ukarimu kwa watu kama hao ili tuweze kutenda kazi pamoja kwa ajili ya kweli.
Iswe cwale nihakuva vulyo tuswanela kuamuhela zintu ziswana nezi. iri chakuti tu ve vaveleki ve chilile initi.
9 Nililiandikia kanisa, lakini Deotrefe, yeye apendaye kujifanya wa kwanza, hakubali mamlaka yetu.
Ni va ñoleli chimwi kwi inkeleke, kono Diotrefi, usaka kuva kuvusu mukati kavo, ka tu tambulangi.
10 Hivyo kama nikija, nitakumbuka matendo yake atendayo, akitusingizia kwa maneno ya hila. Wala hatosheki na hayo anayotusingizia, bali pia hukataa kuwakaribisha ndugu, na hata huwazuia wale walio tayari kufanya hivyo na kuwafukuza watoke kanisani.
Nihakwinabulyo, haiva ni nikeza, kanihupule inkezo zakwe zava chita, mwa wambilanga zintu zivi zilwisa iswe cha manzwi e na lunya. Isinyi cha kutaviswa chekezo izo, iye mwine ka atambuli mizwale. U kanisa abo va ba kakulakaza kuchita bulyo ni kuvatanda ku vazwisa mwinkeleke.
11 Rafiki mpendwa, usiige lile lililo baya bali lile lililo jema. Yeyote atendaye mema atoka kwa Mungu, bali atendaye mabaya hajamwona Mungu.
Yosakwa, kanji u likanyisi kuchita bubi kono zilutu. I ye mwine u chita zilutu nji wa Ireeza; I ye mwine u chita bubi keni kuvona Ireeza.
12 Kila mtu ameshuhudia mema kuhusu Demetrio, vivyo hivyo hata na hiyo kweli yenyewe. Sisi pia twashuhudia mema juu yake, nanyi mwajua kwamba ushuhuda wetu ni kweli.
Demetriusi a vapepwa na pakwa kuvantu vonse ni kwiniti iyo yine. Naswe bulyo tupaka, mi mwizi kuti vupaki bwetu bweniti.
13 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kuandika kwa kalamu na wino.
Nivena zintu zingi zi ni wola kukuñolela, kono ka ni taveli kuziñola cha siñoliso ni inke.
14 Badala yake, nataraji kukuona upesi, nasi tutaongea pamoja ana kwa ana. Amani iwe kwako. Rafiki zetu walioko hapa wanakusalimu. Wasalimu hao rafiki zetu walioko huko, kila mmoja kwa jina lake.
Ni libelele ku kuvona lyahanu, mi katuwambe menso cha menso. Mi inkozo ive nawe. Valikani va kurumelisa. U rumelise valikani che zina.

< 3 Yohana 1 >