< 2 Timotheo 1 >
1 Paulo mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kulingana na ile ahadi ya uzima uliomo ndani ya Kristo Yesu.
u Paulo u Musung`ua ghwa Yesu ku vughane vwa Nguluve, vulevul nhu lufingo ulwa vwumi luno lulimunkate mwa kiliste Yes.
2 Kwa Timotheo, mwanangu mpendwa: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba, na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
U Timotheo umwana umwagharike; ulusungu nhu lutengano kuhuma kwa Nguluve u Mhata nhu kilisite Yesu Mutua ghwitu.
3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtumikia kwa dhamiri safi, kama walivyofanya baba zangu, ninapokukumbuka usiku na mchana katika maombi yangu.
Nikumuhongeasia u Nguluve, juno nikumbombela kuvufumbue uvinoofu ndavule valyavombile ava nhata, panonokumbu ka kisela nha kusila mu nyifunyo sango. Pakilo kange.
4 Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.
Pamwiisi ninoghelua kukukuvona, ulwa kuti niive nhu lukelo. Nikughakumbuke amahosi ghako.
5 Nimekuwa nikiikumbuka imani yako ya kweli, waliokuwa nayo bibi yako Loisi na mama yako Eunike na ambayo mimi ninasadiki sasa wewe pia unayo.
Nikale nikumbusivua vmwila vwa lwiliko lwako ulwakyang`ani ulwakyanani, apuo ulwakwasia lukikalile kwa kuuku ghwako u loisi nhu mama ghwako u Yunisi. Nanilinuvwakyang`ani kuuti ulwrtiko uluo lukukala unkate mulyeve pupe.
6 Kwa sababu hii nakukumbusha uchochee ile karama ya Mungu, iliyowekwa ndani yako nilipokuwekea mikono yangu.
Pauluo ulwakuva nikukukumbusia kusonela ikipelua ikya Nguluve kinomwekiti munkate mulyuve kusila ija kuviklua amavoko ghano.
7 Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali roho ya nguvu, ya upendo na ya moyo wa kiasi.
Ulwakuva u Nguluve nakataghile inhumbula ija vwoghofi, looli ingufu nhu lughano nhu vwoghopua.
8 Kwa hiyo usione haya kushuhudia kuhusu Bwana wetu, wala usinionee haya mimi niliye mfungwa kwa ajili yake. Bali uishiriki pamoja nami taabu ya Injili, kwa kadiri ya nguvu ya Mungu,
Puuluo nhunyavuvonelaghe ugha uvwolesi vwimimila u Mutua ghwiitu, nambe ughwango une nhe Paulo n`kungua ghwa mweene. Looli muhangilanilaghe nhi mumuko vwimila vwa livangili vulevule nhi ngofu sa Nguluve.
9 ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu: si kwa kadiri ya matendo yetu mema bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na neema yake. Neema hii tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele. (aiōnios )
Gwhe Nguluve juno alyatupokile kange na pi hutukemelea ku lukemelo ulwitike. Nakavombile ndiki kuling`ana nhi mbombo siitu looli kuling`ana nhu lusungu nhi mbombo ja mweene jujuo. Alyatupelile iisi sooni mwa kilisile Yesu ye ghukyaale unsiki pitengula. (aiōnios )
10 Lakini sasa imefunuliwa kwa kudhihirishwa kwake Mwokozi wetu, Kristo Yesu, ambaye amebatilisha mauti na kuleta uzima na kutokufa kwa njia ya Injili.
Looli lino uvupooki vwa Nguluve vuvalulivue kukwisa kwa mpoki ghwiitu kiisite Yesu. Ghwe kilisitejuno alyimisie uvufue kange na kutwala uvwuumi vunonavudugha mulumuli ulwa livangili.
11 Nami nimewekwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu wa Injili hii.
Vwimila vwa uluo nilyasalulivue kwa n`daaliki, unsung`ua nhu m`bulanisi.
12 Hii ndiyo sababu ninateseka namna hii, lakini sioni haya kwa maana ninamjua yeye niliyemwamini, na kusadiki ya kuwa anaweza kukilinda kile nilichokiweka amana kwake hadi siku ile.
Vwimila ulu nipumuka kange, Looli nanilola isio ulwakuva nikurikagula umweene juno nilyamwitike. Nili nhuvwa kyang`ani kuti umweene anoghile kukibiika kila kino nilyatavwile kwa mweene nambe ikighono kila.
13 Shika kwa uthabiti kielelezo cha mafundisho yenye uzima yale uliyoyasikia kwangu, pamoja na imani na upendo katika Kristo Yesu.
Ukumbukaghe ikihwaani ikya mhola ija vwitiki. Vuno ulyavupulike kuhuma kulyune, palikimo nhu lwitiko nhu lughano luno lulimunkate mwa kiliste Yesu.
14 Ilinde ile amana uliyokabidhiwa kwa Roho Mtakatifu akaaye ndani yetu.
Ughanvikaghe agha vunoofu ghano alyakutavulile u Nguluve kukilia u Mhepo u Mwimike juno ikukala munkate mwa Yesu.
15 Unajua ya kuwa watu wote katika Asia wameniacha, miongoni mwao wamo Filego na Hermogene.
Ghukagula kuuti, vooni vanovikukala mu Asia valyanilekile mukipugha iki mwevvale ava. Figelo nhu Hemoyene.
16 Bwana akawahurumie watu wa nyumbani mwa Onesiforo, kwa sababu aliniburudisha mara kwa mara wala hakuionea aibu minyororo yangu.
Umutua ajisungukilaghe inyumba ija onesiforo ulwakuvake kiinga alyanihovwisie kange nakapelile isoni iminyororo ghyango.
17 Badala yake, alipokuwa Rumi, alinitafuta kwa bidii mpaka akanipata.
Pauluo, yeale ku Roma alyanilondile ku ngufu peakanya ghile.
18 Bwana na amjalie kupata rehema zake siku ile! Nawe unajua vyema jinsi alivyonisaidia huko Efeso.
U Nguluve antangaghe kupata ulusungu kuhuma kwa mweeene ikighono kila. Ndavule alyanangile yenili ku Efeso uve ukagwile vunofu.