< 2 Timotheo 4 >
1 Nakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu watu walio hai na waliokufa wakati wa kuja kwake na ufalme wake, kwamba:
Nikukupela ululaghilo u ulunyavusuti pavulongolo pa Nguluve nhu kilsite Yesu, Juno ikuvanhigha avumi nhu vutua vwa mwenee.
2 Hubiri Neno; kuwa tayari wakati ufaao na wakati usiofaa; karipia, kemea na utie moyo kwa uvumilivu wote na kwa mafundisho mazuri.
Dalikikagha ilisio. Ghulinganisiaghe unsiki ghunoghule ndua naghuanonaghulondua. Vavulaghe avaanhu uvuhosi vuvanave, kolelelagha, lasimisiagha nhu lugudo lwooni nhi mbulavusio.
3 Maana wakati utakuja watu watakapokataa kuyakubali mafundisho yenye uzima. Badala yake, ili kutimiza tamaa zao wenyewe, watajikusanyia idadi kubwa ya walimu wapate kuwaambia yale ambayo masikio yao yanayowasha yanatamani kuyasikia.
Ulwakuva unsiki ghukwisa ghuno awanhu navitoolanagha nhi mbulanisio isakyang`ani, Pauluo, vikulondelagha avanulanisi ava kuvavulanisia kuling`ana nhu vunoghelelua vuvanave. Mu siila iji imbulughutu sivanave sipulikagha.
4 Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.
vibuhila kupulikisa imbaulanisio sakyaang`ani nha kusyetukila injovele.
5 Kwa habari yako wewe, vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu wote wa huduma yako.
Looli uve uvisaghe mwitiki mu iisi sooni, ghugudaghe nhu nhalamu, Vombagha imbombo ija mwinjilisiti/ malagha imbombo jako.
6 Kwa maana mimi sasa ni tayari kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, nayo saa yangu ya kuondoka imetimia.
Ulwakuva une niling`anisie kukung`ilila. Unsiki ughwakuvuka kulyene ghufikile.
7 Nimevipiga vita vizuri, mashindano nimeyamaliza, imani nimeilinda.
Nighelile muvwakyang`ani, ulughembo nimalile, ulwitiko mlwitike.
8 Sasa nimewekewa taji ya haki ambayo Bwana, mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile: wala si mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kudhihirishwa kwake.
Ingela jakyangvani jibikilue vwimila vwangu, jino u Mtua junoihigha nhu vwakyang`ani, kunipela ikighono kiila. Makwekuti kuylune looli kange ku vaanhu vooni vanovighula nhu lukelo kuvoneka kwa mweene.
9 Jitahidi kuja kwangu upesi
Ghutangaghe pikwisa kulyenu ng`aning`ani.
10 kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn )
Ulwakuva u Dema anilekile. Ajighanile iisi ija liimo kange alutile kwa Thesalonike, khu kreseni alyalutile khu Galatia, kange u Tito alyalutile khu dalmatia. (aiōn )
11 Ni Luka peke yake aliye hapa pamoja nami. Mtafute Marko uje naye kwa sababu ananifaa sana katika huduma yangu.
Uluka mwene ghwe juno alipalikimo nune. Untolaghe u Marko ghwisaghe naghwo ulwakuva umwene ikung`angasia une mumbombo.
12 Nimemtuma Tikiko huko Efeso.
Nimwomwle u Tikiko Efeso.
13 Utakapokuja, niletee lile joho nililoliacha kwa Karpo huko Troa na vile vitabu vyangu, hasa vile vya ngozi.
Umwenda ghula ghuno nikaghulekileku Tro khu karpo, pano ula vughukwisa ghwisaghe naghwo, palikimo nhi fitabu fila ifya ng`wembe.
14 Aleksanda yule mfua chuma alinitendea ubaya mkubwa. Bwana atamlipa kwa ajili ya yale aliyotenda.
Ulexanda junoinosia ikyuma alivyonivombambile uvuhosi vwiga. Umutua ikumuhomba kuling`ana nhi mbombo ja mweene.
15 Wewe pia ujihadhari naye kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.
Nuve kange ghwoghopage kwa mweene, ghwemweene alyakanile amasio ghiitu.
16 Katika utetezi wangu wa mara ya kwanza, hakuna hata mmoja aliyeniunga mkono, bali kila mmoja aliniacha. Namwomba Mungu wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.
Nhululaghilo lwango ulwakwasia, nakwale umunhu ghweeni junoimile palikimo nune, umunhu ghweeni akani lekile. U Nguluve nangavanalililaghe ukwakyang`ani.
17 Lakini Bwana alisimama upande wangu akanitia nguvu, ili kupitia kwangu lile Neno lihubiriwe kwa ukamilifu, watu wote Mataifa wapate kulisikia. Mimi niliokolewa kutoka kinywa cha simba.
Looli u Mutua alyimiki palikim nune, akanipela ingifu ulwakuti kukilila kulyune ilisio lijovwaghe vunofu nhu vapannji vakagule kupulikisia. Nikavarangwike mumulomo ghwa Nyalupala.
18 Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
U Mtua ikunibusia khu mbombo sooni isa vuhosi kange nakukumka vwimila uvwa vutua vwamweene ughwa kukyanya. Uvwitiki vuve kwamweene kisila kusila na kusila. Ameni (aiōn )
19 Wasalimu Prisila na Akila, na wote wa nyumbani kwa Onesiforo.
Umuhungilaghe u Priska, u Akila nhi nyumba ija Onesiforo.
20 Erasto alibaki Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.
U Erasto akajighe ukuo ku korintho, looli u Trifimo nikamulekile khu Mileto ajighe ivavua.
21 Jitahidi ufike huku kabla ya majira ya baridi. Eubulo anakusalimu, vivyo hivyo Pude, Lino, Klaudia na ndugu wote.
Uvombaghe ghanighani ghwiise yeghukiale unsiki ughwa ng`aala. U Eubulo ikukuhungila. kange u Punde, Lino, Claudia nha vanyalukolo vooni.
22 Bwana awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi. Amen.
U Nguluve avisaghe palikimo nhi nhumbula jako, Nhu lusungu.