< 2 Timotheo 4 >
1 Nakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu watu walio hai na waliokufa wakati wa kuja kwake na ufalme wake, kwamba:
Nikuha itaela ikolete havunsu bwa Ireeza ni Kreste Jesu, yente na atule vahala ni vafwile, bakeni chaku livonahaza kwakwe mwipuso:
2 Hubiri Neno; kuwa tayari wakati ufaao na wakati usiofaa; karipia, kemea na utie moyo kwa uvumilivu wote na kwa mafundisho mazuri.
Ukutaze Inzwii. Ulitukiseze mukuwoleka niha kusawoleki. Unyanse, Ukalimele, Ususuweze, nikulonde ni mukuruta.
3 Maana wakati utakuja watu watakapokataa kuyakubali mafundisho yenye uzima. Badala yake, ili kutimiza tamaa zao wenyewe, watajikusanyia idadi kubwa ya walimu wapate kuwaambia yale ambayo masikio yao yanayowasha yanatamani kuyasikia.
Linu inako ikezite iyo vantu muvakangwe intuto yeniti. kono. kavali kunganyize maruti vayenderera ni takazo zavo.
4 Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.
kavasike mantwi abo kuti kanjivazuwi vuniti. Kavazwe mukuzuwa initi, imi muvayembulukele kumatangu.
5 Kwa habari yako wewe, vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu wote wa huduma yako.
kono iwe, ulikwate muzintu zonse. Ulikoze muvukavo, upange musevezi wavu buleli. wizuzilize isevezo yanko.
6 Kwa maana mimi sasa ni tayari kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, nayo saa yangu ya kuondoka imetimia.
Kakuli nive tiliwa kale hanze, Inako yangu yakuyenda chiyasika.
7 Nimevipiga vita vizuri, mashindano nimeyamaliza, imani nimeilinda.
nivalwi ikondo indotu; nivasiki kuma manizo; niva viki intumelo.
8 Sasa nimewekewa taji ya haki ambayo Bwana, mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile: wala si mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kudhihirishwa kwake.
Ikuwani yakuluka ivikilwe ime, Ni Simwine yo iye muatuli, yente naka nihe mwelina izuva, kono isinyi ime neke, kono navo bavasaki kuvonahala kwakwe.
9 Jitahidi kuja kwangu upesi
Upange mo wolela kwiza kwangu cho kulitahanera.
10 kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn )
Demasi avanisiyi. Kakuli usaka zekanda yahanu imi avayendi kwa Tesalonika. Kresensi avayendi kwa Magatia; imi Tite avayendi kwa Dalmatia. (aiōn )
11 Ni Luka peke yake aliye hapa pamoja nami. Mtafute Marko uje naye kwa sababu ananifaa sana katika huduma yangu.
Mbwiteli Luka njowina name. muhinde Mareka mwize naye wina intuso kwangu kuwamana mowu musevezi.
12 Nimemtuma Tikiko huko Efeso.
Nivatumi Titiko kwa Efese,
13 Utakapokuja, niletee lile joho nililoliacha kwa Karpo huko Troa na vile vitabu vyangu, hasa vile vya ngozi.
Uniletele ijasi linibasiyi kwa Troasi kwa Karpo. wize nalyo, ni mbuka, sihulu izo za hamandalo anoletwe.
14 Aleksanda yule mfua chuma alinitendea ubaya mkubwa. Bwana atamlipa kwa ajili ya yale aliyotenda.
Alexandere mufuli we zintale zekopa avapangi zintu zifosahele kwangu. Ireeza mwa muvozekeze kuyenderela ni mitendo yokwe.
15 Wewe pia ujihadhari naye kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.
Nawe uzwe kwali umutokomere, Mukuti ulwisa mazwi etu.
16 Katika utetezi wangu wa mara ya kwanza, hakuna hata mmoja aliyeniunga mkono, bali kila mmoja aliniacha. Namwomba Mungu wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.
mwinako iniva litavilili, vonse vavanisiyi. mi kanji nizi valirwa kuvali mulandu.
17 Lakini Bwana alisimama upande wangu akanitia nguvu, ili kupitia kwangu lile Neno lihubiriwe kwa ukamilifu, watu wote Mataifa wapate kulisikia. Mimi niliokolewa kutoka kinywa cha simba.
Kono Simwine avazimani name niku nikoza ili kuti, mukati kangu, ilikuti ku kutaza kwangu kuwole kwizuzilizwa. ilikuti vechinsi vawole kuzuwa. niva hazwa mumilomo ivandavu
18 Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Simwine mwani lukulule muvuvi vonse mi imi chebaka lyemupuso yewulu. kwali kuve ni kanya kuya uko kusamani. Ameni. (aiōn )
19 Wasalimu Prisila na Akila, na wote wa nyumbani kwa Onesiforo.
Ulumelise Pulisila, ni Akwila, nivezuvo ya Onesiforosi.
20 Erasto alibaki Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.
Erasitusi avashali kwa Makorite. kono nivakasiyiyi Trifimosi kwa Mileta nalwala.
21 Jitahidi ufike huku kabla ya majira ya baridi. Eubulo anakusalimu, vivyo hivyo Pude, Lino, Klaudia na ndugu wote.
Ulike mo wolera kukeza maliha ni aseni kusika. Eubulo uku lumelisa, Ni Pendenisi, Linasi, kalaundia, ni mizwale yonse.
22 Bwana awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi. Amen.
Imi Simwine ave ni luhuho lwako, Nichisemo chive nanwe.