< 2 Timotheo 3 >

1 Lakini yakupasa ufahamu jambo hili, kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati za hatari.
Bu dawa: ma! Soge wadela: mu eso gadenesea, se nabasu hou bagade ba: mu.
2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kumkufuru Mungu, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio watakatifu,
Dunu da ilia hanai hou hamomu. Ilia uasu amola hidale gasa fi hamomu. Ilia gadei sia: bagade sia: mu. Ilia eda amola ame, ela sia: hame nabimu. Ilia asigi hou ba: sea, hame nodomu. Ilia Gode Ea hou higamu.
3 wasio na upendo, wasiopenda kupatanishwa, wasingiziaji, wasiozuia tamaa zao, wakatili, wasiopenda mema,
Ilia asigi hou amola gogolema: ne olofosu hou yolesimu. Ilia dunu wadela: ma: ne udigili baligidu sia: sia: mu. Ilia da nimi bagadewane ba: mu. Gegesu bagade ba: mu. Ilia hou ida: iwane bagade higamu.
4 wasaliti, wakaidi, waliojaa majivuno, wapendao anasa zaidi kuliko kumpenda Mungu:
Ilia da bagadewane hohonomu. Ilia esalusu mae dawa: le, gasa fili hidale hamomu. Ilia Gode Ea hou yolesili, hedesu fawane hanamu.
5 wakiwa na mfano wa utauwa kwa nje, lakini wakizikana nguvu za Mungu. Jiepushe na watu wa namna hiyo.
Ilia dabuagado Gode Ea hou lalegaguiwane ba: mu. Be ilia Gode Ea gasa bagade hou higamu. Amo dunuma mae gilisima.
6 Miongoni mwao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu na kuwachukua mateka wanawake wajinga, waliolemewa na dhambi zao na kuyumbishwa na aina zote za tamaa mbaya.
Mogili ilia diasu eno diasu eno amoga asili, ilia gasa hame uda ilima fa: no bobogema: ne sia: beba: le, wadela: le lamu. Amo uda ilia wadela: i hou hamoi dagoiba: le eso huluane gogosiane, ilia hanai hou da ilima sefasisu liligi agoane ba: sa.
7 Wakijifunza siku zote lakini kamwe wasiweze kufikia ujuzi wa kweli.
Ilia dawa: su logo hogolala, be dafawane hou hamedafa ba: sa.
8 Kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Mose, vivyo hivyo watu hawa hupingana na ile kweli. Hawa ni watu wenye akili zilizopotoka, ambao wamekataliwa kwa mambo ya imani.
Ya: nisi amola Ya: mabalisi, da musa: hemonega Mousesema ha lai. Amo defele, na waha sia: i dunu da dafawane hou amoma ha laiwane esala. Ilia asigi dawa: su da noga: le hame hamobeba: le, ilia dafawaneyale dawa: su hou da dafai dagoi.
9 Lakini hawataendelea sana, kwa sababu upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama ulivyokuwa dhahiri upumbavu wa hao watu wawili.
Be eno dunu huluane da ilia gagaoui hou dawa: digimu. Amaiba: le, ilia logo da hedolo hedofai dagoi ba: mu. Amo hou da Ya: nisi amola Ya: mabalisi, elama doaga: i.
10 Lakini wewe umeyajua mafundisho yangu, mwenendo, makusudi, imani, uvumilivu, upendo, ustahimilivu,
Be di da na olelesu, na hou amola na hanai hamomu, amoma fa: no bobogei dagoi. Dia da na dafawaneyale dawa: su hou, na hedolo hame yolesisu hou, na asigidafa hou,
11 mateso na taabu, yaani mambo yote yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Listra, mateso yote niliyostahimili, lakini Bwana aliniokoa katika hayo yote.
na se nabasu hou amola na da: i dioi hou amo huluane di da ba: i dagoi. A: dioge moilai bai bagade amo ganodini na se baligili nabi, amo di dawa: Be na esaloma: ne, Hina Gode da na gaga: i.
12 Naam, yeyote anayetaka kuishi maisha ya utauwa ndani ya Kristo Yesu atateswa.
Nowa dunu da Yesu Gelesuma madelagili hou ida: iwane ganodini esalumusa: dawa: sea, e da se iasu nabimu.
13 Lakini watu waovu na wadanganyaji watazidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.
Amola wadela: i hamosu dunu amola dabua fawane moloi ogogosu dunu, ilia hou da bu heda: le baligili wadela: iwane ba: mu. Ilia eno dunuma ogogomu amola ilisu ilia dogoga ogogomu.
14 Bali wewe, udumu katika yale uliyojifunza na kuyaamini kwa uthabiti, ukitambua ya kuwa ulijifunza hayo kutoka kwa nani,
Be di mae yolesili, sia: musa: dima olelei liligi gasawane lalegaguma. Dia olelesu dunu di dawa:
15 na jinsi ambavyo tangu utoto umeyajua Maandiko matakatifu, ambayo yanaweza kukuhekimisha upate wokovu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.
Amola dia mano fonobahadi eso amogainini, di da Gode Ea Sia: hadigi gala dawa: i. Amo sia: da Yesu Gelesu Ea hou lalegagubiba: le, gaga: su ba: mu, amo dawa: su Gode Ea sia: da dima olelesa.
16 Kila Andiko limevuviwa na Mungu na lafaa kwa mafundisho, kwa kuwaonya watu makosa yao, kwa kuwaongoza na kwa kuwafundisha katika haki,
Gode Hi fawane da Gode Sia: Dedei huluanedafa olelei dagoi. Amo Gode Sia: Dedei da dafawane hou amola dunu ilia wadela: i hou hamobeba: le ilima gagabole sia: , wadela: i hou hahamosu hou amola hou ida: iwane hamomusa: gini olelesu hou, amo hou huluane olelemusa: defele diala.
17 ili mtu wa Mungu awe amekamilishwa, apate kutenda kila kazi njema.
Amo sia: dawa: beba: le, Gode Ea hawa: hamosu dunu da hou ida: iwane huluane hamomusa: noga: le dawa: mu.

< 2 Timotheo 3 >