< 2 Timotheo 2 >
1 Basi, wewe mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo ndani ya Kristo Yesu.
Ishi mwana wane, upelwe ikhone huwaushe uwauli muhati muliwe mwa Kristi u Yesu.
2 Nayo mambo yale uliyonisikia nikiyasema mbele ya mashahidi wengi, uwakabidhi watu waaminifu watakaoweza kuwafundisha watu wengine vilevile.
Ni mbombo uzuyuvhizye kwangu muhati mwa keti awinji, ubhatwalile wabhantu abhawaminiha ibho bha wezizye amanyizye abhanji.
3 Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Kristo Yesu.
Nimana amayimba palishimo naani, nishi sikali umwema wa Kristi Yesu.
4 Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari.
Numo usikali uwa tumiha lwulwo uwabhombaimbombo zikawadi zyamuzhiihinhe izikhaloubhu, iliaje aphendezye ubosi wakwe ugosi.
5 Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano.
Nantele muntu uwashindananishi abhanji zanya, hagabha ngiga khasaanyilile adanje uataratibu.
6 Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.
Ni lazima huje uwalima bhanje wawi bibidisye abhale poshele inguru yima vuno gakwe.
7 Fikiri sana kuhusu haya nisemayo, kwa maana Bwana atakupa ufahamu katika mambo hayo yote.
Nalamba huje iyanga huje uBwana aligane ni mbombo zhyunti.
8 Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, yeye aliye wa uzao wa Daudi. Hii ndiyo Injili yangu,
Mwizuhaje uYesu Kristi, afume ishikholo sha Daudi, ola azyuha afume wa bhafwe. Hi alingane zinazyoizya nu mbelele,
9 ambayo kwayo ninateseka hata kufikia hatua ya kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi.
huje isho shashintesa hata nangalile mwinjela napinye na manyololo nishi uwanajile lelo inongwa zya Ngulubhi lelo inongwa zya Ngulubhi hazi pinywa na manyololo.
10 Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios )
Ishi ivumilila imbombo zyunti wa bhala wala Ungulubhi ahabha salula, aje bhope, bhapete awauliwe ubho mwa Kristi Yesu pandwemo nu usisyea uwila na wila. (aiōnios )
11 Hili ni neno la kuaminiwa: Kwa maana kama tumekufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye.
Ijago ihinie iwaminishe: “ili tufwile pamo penenao taikhala taikhala nao,
12 Kama tukistahimili, pia tutatawala pamoja naye. Kama tukimkana yeye, naye atatukana sisi.
ngatujimba taita bhala nao wope kama tukhana umwene bhope aitukhana wope atu khana.
13 Kama tusipoamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
khasatabha tuwaminiha, umwene aisagala wawaminishe hawezya awikhane yuyo.”
14 Endelea kuwakumbusha mambo haya ukiwaonya mbele za Bwana waache kushindana kwa maneno ambayo hayana faida yoyote bali huwaangamiza tu wale wanaoyasikia.
Wakumbusye inongwa zya Ngulubhi huje waleshe alongone huje inongwa nongwa waleshe saga galimana nimoishi afumiliane nili uwibhovu wala awa nthejelezya.
15 Jitahidi kujionyesha kwa Mungu kuwa umekubaliwa naye, mtendakazi asiye na sababu ya kuona aibu, ukilitumia kwa usahihi neno la kweli.
Bhomba awiyumele humaha hujintiwe nu Ngulubhi nishije uli bhomba mbombo inipato mbombo yasagalala lalamishilwe litumie izi lwalwoli shishinza.
16 Jiepushe na maneno mabaya, yasiyo na maana, yasiyo ya utauwa, kwa maana hayo huzidi kuwatosa watu katika kukosa heshima kwa Mungu.
Uwiyepusye ninongwa zya munzhi ngalongola zaidi ateje.
17 Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto
Bhayangana yangana ego gayendelela ni ilomola ilihola muhati omwo abhele uhaminoyanufileto.
18 ambao wameiacha kweli, wakisema kwamba ufufuo wa wafu umekwisha kuwako, nao huharibu imani ya baadhi ya watu.
Bhebho wantu bhananjile sanuwana lwoli wayinga azyuusiwe tayali hufishile ufumile waga lulanya ulwintishelo pahanti ipo wamo wamo.
19 Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, ukiwa na muhuri wenye maandishi haya: “Bwana anawajua walio wake”; tena, “Kila alitajaye jina la Bwana, na auache uovu.”
Hata isho, usingi gwa Ngulubhi gwa bukamilishe, gakasimbilwe ugu, “Ungulubhi abhaminye awali bhamwene shila ya litambula itawa lwakwe oyo wa mwene, nashila ya tambula aje Bwana alazisiwa aiyefwe ni dhavu.”
20 Katika nyumba kubwa si kwamba kuna vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali pia vimo vyombo vya miti na vya udongo; vingine kwa matumizi maalum, na vingine kwa matumizi ya kawaida.
Hunyumba ishi kabhi, saga huje viliivhombo igorodi shabantu nantena ivilelo vya mapishi nilogo. Vimo vhwabho awongopwe vimo satumile bila awongopwe.
21 Basi ikiwa mtu amejitakasa na kujitenga na hayo niliyoyataja, atakuwa chombo maalum, kilichotengwa na ambacho kinamfaa mwenye nyumba, kimeandaliwa tayari kwa kila kazi njema.
Khamba umutu aiyozye yuyo afume ame ambeshe saziwo gopwa umweneshombo shashihwogopwa shivhihilwe hali imala Bwana, atayalishiwe washila mbombo inyiza.
22 Zikimbie tamaa mbaya za ujana, ufuate haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
Uzinyilaje izyaziletaa nyonye izya husahala, udhaje uda wanalwoli uwaushe ulugano na hosheshe na bhala bhahukugabhe Bwana humwoyo uzelu.
23 Jiepushe na mabishano ya kipumbavu na yasiyo na maana, kwa kuwa wajua ya kwamba hayo huzaa magomvi.
Lelo ukhane ula ulema maswali gishopuluzi ego galeta.
24 Tena haimpasi mtumishi wa Bwana kuwa mgomvi, bali inampasa awe mwema kwa kila mtu, awezaye kufundisha, tena mvumilivu.
Alwe hagahuwa ziwa umuntu wagulumbhi hauwazi ibho hahawazi wa unogowa wantu mbunthi anje awezye amazye jivhi.
25 Inampasa kuwaonya kwa upole wale wanaopingana naye, kwa matumaini kwamba Mungu atawajalia kutubu na kuijua kweli,
Ihwaziwa abhalejesye bhala abha hu khana epo hubhazi walo woloehwaziwa awehobhowa wantu bhunti unu abhafaidisye abhapele ahwiyisye huimanye lyoli.
26 ili fahamu zao ziwarudie tena, nao waponyoke katika mtego wa ibilisi ambaye amewateka wapate kufanya mapenzi yake.
Bhamanye apate injele na nantele na hwiyefwe mu tego gwaseno, pumande bhatekwile nu mwehale yilugano ulwakwe.