< 2 Timotheo 2 >
1 Basi, wewe mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo ndani ya Kristo Yesu.
Tad nu, mans dēls, topi spēcīgs iekš tās žēlastības, kas ir iekš Kristus Jēzus.
2 Nayo mambo yale uliyonisikia nikiyasema mbele ya mashahidi wengi, uwakabidhi watu waaminifu watakaoweza kuwafundisha watu wengine vilevile.
Un ko tu no manis esi dzirdējis caur daudz lieciniekiem, to māci uzticīgiem cilvēkiem, kas būs derīgi arī citus mācīt.
3 Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Kristo Yesu.
Tad tu nu ciet līdz to ļaunumu kā labs Jēzus Kristus karavīrs.
4 Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari.
Neviens karavīrs netinās ar citiem dzīves darbiem, lai var patikt tam, kas viņu uz karu derējis.
5 Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano.
Un jebšu kas cīnās tas nedabūs kroni, ja nebūs pareizi cīnījies.
6 Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.
Zemniekam, kas zemi strādā, būs pirmajam dabūt no tiem augļiem.
7 Fikiri sana kuhusu haya nisemayo, kwa maana Bwana atakupa ufahamu katika mambo hayo yote.
Ņem vērā, ko es saku, lai Tas Kungs tev dod saprašanu visās lietās.
8 Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, yeye aliye wa uzao wa Daudi. Hii ndiyo Injili yangu,
Turi piemiņā Jēzu Kristu, kas no miroņiem uzmodināts, no Dāvida dzimuma pēc mana evaņģēlija.
9 ambayo kwayo ninateseka hata kufikia hatua ya kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi.
Viņa dēļ es ļaunumu ciešu līdz pat saitēm kā ļaundarītājs; bet Dieva vārds nav saistīts.
10 Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios )
Tāpēc es visu panesu to izredzēto dēļ, lai arī tie debess prieku dabū iekš Kristus Jēzus ar mūžīgu godību. (aiōnios )
11 Hili ni neno la kuaminiwa: Kwa maana kama tumekufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye.
Tas ir patiesīgs vārds; jo ja mēs līdz mirstam, tad arī līdz dzīvosim;
12 Kama tukistahimili, pia tutatawala pamoja naye. Kama tukimkana yeye, naye atatukana sisi.
Ja panesam, tad arī līdz valdīsim; ja mēs aizliedzam, tad Viņš arīdzan mūs aizliegs;
13 Kama tusipoamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Ja mēs esam neuzticami, Viņš paliek uzticams, Viņš Sevi pašu nevar aizliegt.
14 Endelea kuwakumbusha mambo haya ukiwaonya mbele za Bwana waache kushindana kwa maneno ambayo hayana faida yoyote bali huwaangamiza tu wale wanaoyasikia.
To piemini, apliecinādams Tā Kunga priekšā, lai tie nestrīdas vārdu dēļ; jo tas neder nekam, kā vien klausītājus sajaukt.
15 Jitahidi kujionyesha kwa Mungu kuwa umekubaliwa naye, mtendakazi asiye na sababu ya kuona aibu, ukilitumia kwa usahihi neno la kweli.
Centies, sevi pašu Dievam derīgu priekšā stādīt, kā strādnieku, kam nav jākaunas, un kas tos patiesības vārdus pareizi izdala.
16 Jiepushe na maneno mabaya, yasiyo na maana, yasiyo ya utauwa, kwa maana hayo huzidi kuwatosa watu katika kukosa heshima kwa Mungu.
Bet no tām nesvētām tukšām valodām atraujies; jo tie bezdievību vairot vairos,
17 Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto
Un viņu vārdi izplešas plašumā tā kā sērga; starp tiem ir Imenejs un Filēts,
18 ambao wameiacha kweli, wakisema kwamba ufufuo wa wafu umekwisha kuwako, nao huharibu imani ya baadhi ya watu.
Kas no patiesības ir nomaldījušies, sacīdami, augšāmcelšanos jau esam notikušu, un pārgroza dažiem ticību.
19 Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, ukiwa na muhuri wenye maandishi haya: “Bwana anawajua walio wake”; tena, “Kila alitajaye jina la Bwana, na auache uovu.”
Bet tas stiprais Dieva pamats pastāv; tam ir šis zieģelis: Tas Kungs tos savējos pazīst, - un: lai atstājās no netaisnības ikviens, kas Tā Kunga vārdu piesauc.
20 Katika nyumba kubwa si kwamba kuna vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali pia vimo vyombo vya miti na vya udongo; vingine kwa matumizi maalum, na vingine kwa matumizi ya kawaida.
Bet lielā namā ne vien ir zelta un sudraba trauki, bet arī koka un māla trauki, un citi godam, bet citi negodam.
21 Basi ikiwa mtu amejitakasa na kujitenga na hayo niliyoyataja, atakuwa chombo maalum, kilichotengwa na ambacho kinamfaa mwenye nyumba, kimeandaliwa tayari kwa kila kazi njema.
Ja tad nu kāds ir šķīstījies no šiem, tad tas būs trauks par godu, svētīts un Tam Kungam derīgs, uz ikvienu labu darbu sataisīts.
22 Zikimbie tamaa mbaya za ujana, ufuate haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
Bēdz no tām jaunības kārībām, dzenies pēc taisnības, ticības, mīlestības, pēc miera ar tiem, kas To Kungu piesauc no šķīstas sirds.
23 Jiepushe na mabishano ya kipumbavu na yasiyo na maana, kwa kuwa wajua ya kwamba hayo huzaa magomvi.
Bet tās jautāšanas, kas ir ģeķīgas un bez pamācīšanas, tās atmet, zinādams, ka tās tikai strīdu dzemdina.
24 Tena haimpasi mtumishi wa Bwana kuwa mgomvi, bali inampasa awe mwema kwa kila mtu, awezaye kufundisha, tena mvumilivu.
Bet Tā Kunga kalpam nepienākas strīdēties, bet lēnīgam būt pret visiem, un tādam, kas māk mācīt un ļaunu panest;
25 Inampasa kuwaonya kwa upole wale wanaopingana naye, kwa matumaini kwamba Mungu atawajalia kutubu na kuijua kweli,
Kas ar laipnību tos pretiniekus māca, vai Dievs jel kad tiem nedotu atgriezties pie patiesības atzīšanas;
26 ili fahamu zao ziwarudie tena, nao waponyoke katika mtego wa ibilisi ambaye amewateka wapate kufanya mapenzi yake.
Un vai jel tie neuzmostos no velna valga, no kā tie savaldzināti uz viņa prātu.