< 2 Timotheo 2 >

1 Basi, wewe mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo ndani ya Kristo Yesu.
Henu, bhebhe mwanabhangu, upelibhwayi nghofu mu neema jha jhijhele mugati mwa Yesu Kristu.
2 Nayo mambo yale uliyonisikia nikiyasema mbele ya mashahidi wengi, uwakabidhi watu waaminifu watakaoweza kuwafundisha watu wengine vilevile.
Ni mambo gha ughap'eliki kwa nene miongoni mwa mashahidi bhamehele, ughakabisiajhi kwa bhanu bhaaminifu ambabho bhibhwesya kubhafundisya bhamana kabhele.
3 Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Kristo Yesu.
malombosi pamonga ni nene, kama askari mwema ghwa Kristu Yesu.
4 Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari.
Ajhelepi askari jhaitumikila wakati bhobhuobhu ikwishughulisya ni mbombo sya kawaida sya maisha agha, ili kwamba ampendesiajhi ofisa ghwa muene mbaha.
5 Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano.
Kabhele kama munu isindana kwa n'jumba lubhelu, ibetalepikupelibhwa litaji kama ibetakusindana kwa kukesya kanuni.
6 Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.
Ndo muhimu kujha n'kulima jha ajhe ni bidii ajhiaghe ghwa kuanza kukabha mgao bhwa mazao gha muene.
7 Fikiri sana kuhusu haya nisemayo, kwa maana Bwana atakupa ufahamu katika mambo hayo yote.
Ukinong'oniajhi kya nikujobhili, kwandabha Bwana ibetakupela bhuelebhwa mu mambo ghoha.
8 Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, yeye aliye wa uzao wa Daudi. Hii ndiyo Injili yangu,
Mun'kombhokayi Yesu Kristu kuhoma uzao bhwa Daudi, ambajhe afumulibhu kuhoma kwa bhafu. Ejhe ndo kul'engana ni bhujumbe bhuangu bhwa injili,
9 ambayo kwayo ninateseka hata kufikia hatua ya kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi.
ambabho kwa ndabha jha obhu nitesibhwa hata kukhongibhwa minyororo kama mharifu. Lakini lilobhi lya K'yara likongibhwa lepi kwa minyororo.
10 Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
Henu, nisindamale mambo ghoha agha kwandabha jha bhala ambabho K'yara abhasalili tayari, ili kwamba nabhene bhaukabhayi bhwokovu bhwabhujhele kwa Kristu Yesu pamonga ni bhutukufu bhwa milele. (aiōnios g166)
11 Hili ni neno la kuaminiwa: Kwa maana kama tumekufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye.
Bhujobhi obho ndo bhwa kuaminika: “Ikajhiajhi tufuili pamonga ni muene, tubetakutama pamonga ni muene kabhele,
12 Kama tukistahimili, pia tutatawala pamoja naye. Kama tukimkana yeye, naye atatukana sisi.
kama tusindamele, twibetakutabhwala pamonga ni muene kabhele, kama twibetakumbela muene, ni muene kabhele ibetakutubela tete.
13 Kama tusipoamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
kama twibetalepi kujha bhaaminifu, muene ibetakujha muaminifu, ndabha ibhwesya lepi kwibela muene.”
14 Endelea kuwakumbusha mambo haya ukiwaonya mbele za Bwana waache kushindana kwa maneno ambayo hayana faida yoyote bali huwaangamiza tu wale wanaoyasikia.
Jhendelelajhi kubhakhombosya panani pa matendo agha. Bhaonyayi palongolo pa K'yara bhalekayi kubishana kuhusu malobhi. Kwandabha ghajhelepi manufaa kulijambo e'le. Kutokana ni e'le bhujhele bhuharibifu mbaha nesu kwa bhala bhabhipelekesya.
15 Jitahidi kujionyesha kwa Mungu kuwa umekubaliwa naye, mtendakazi asiye na sababu ya kuona aibu, ukilitumia kwa usahihi neno la kweli.
Bhombajhi bidii kulasya kujha bhakujhedekili kwa K'yara kama mbomba mbombo jhaadulili sababu jha kulaumibhwa. Mulitumilajhi lilobhi lya bhukweli kwa usahihi.
16 Jiepushe na maneno mabaya, yasiyo na maana, yasiyo ya utauwa, kwa maana hayo huzidi kuwatosa watu katika kukosa heshima kwa Mungu.
Mukijhepusiajhi ni majadilianu gha kidunia, ambagho ghilongosya kwa zaidi ni zaidi jha uasi.
17 Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto
Majadiliano gha bhene ghibetakusambala kama donda ndugu. Miongoni mwa bhene ndo Himenayo ni Fileto.
18 ambao wameiacha kweli, wakisema kwamba ufufuo wa wafu umekwisha kuwako, nao huharibu imani ya baadhi ya watu.
Abha ndo bhanu bhabhaudulili bhukweli. Bhijobha kujha bhufufuo tayari bhumali kuhoma. Bhip'endula imani jha baadhi jha bhanu.
19 Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, ukiwa na muhuri wenye maandishi haya: “Bwana anawajua walio wake”; tena, “Kila alitajaye jina la Bwana, na auache uovu.”
Hata naha, misingi imara jha K'yara jhijhema, bhabhajhe ni bhuandishi obho, “Bwana abhamanyili bhabhajhele bha muene, ni khila jha alitajeghe lihina lya Bwana ndo lazima akitengaghe ni bhudhalimu.”
20 Katika nyumba kubwa si kwamba kuna vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali pia vimo vyombo vya miti na vya udongo; vingine kwa matumizi maalum, na vingine kwa matumizi ya kawaida.
Munyumba jha kitajiri, sio kujha fijhele fenu fya dhahabu ni shaba tu. Kabhele fijhele fenu fya mab'eh'e ni bhudopi. Baadhi jha efe ndo kwa ndabha jha matumizi gha heshima ni baadhi jhiake ndo kwa matumizi ghaghabelikujha gha litengu.
21 Basi ikiwa mtu amejitakasa na kujitenga na hayo niliyoyataja, atakuwa chombo maalum, kilichotengwa na ambacho kinamfaa mwenye nyumba, kimeandaliwa tayari kwa kila kazi njema.
Ikajhelayi munu ibetakwitakasya muene kuhoma mu matumizi ghaghabeli kujha gha heshima, muene ndo khenu kya kilondeka kutengulibhwa. Atengibhu maalumu, jhaajheni manufaa kwa Bwana, na aandalibhu kwa khila lihengu linofu.
22 Zikimbie tamaa mbaya za ujana, ufuate haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
Musikhembelayi tamaa sya bhusongolo. Ukakesiajhi haki, imani, luganu, ni amani pamonga ni bhala bhabhakan'kuta Bwana kwa muoyo bhunofu.
23 Jiepushe na mabishano ya kipumbavu na yasiyo na maana, kwa kuwa wajua ya kwamba hayo huzaa magomvi.
Lakini ubelayi bhupumbafu ni maswala gha kipuuzi. Kwani umanyili jha kujha wihogola ngondo.
24 Tena haimpasi mtumishi wa Bwana kuwa mgomvi, bali inampasa awe mwema kwa kila mtu, awezaye kufundisha, tena mvumilivu.
M'tumishi ghwa Bwana ilondeka lepi kukomana, badala jhiake ilondeka kujha mololo kwa bhanu bhoha, jhaibhwesya kumanyisya, ni jhaisindamala.
25 Inampasa kuwaonya kwa upole wale wanaopingana naye, kwa matumaini kwamba Mungu atawajalia kutubu na kuijua kweli,
Na lazima abhaelimisiajhi kwa bhololo bhala bhabhakamp'enga yamkini K'yara abhwesiajhi kubhap'ela toba kwa kujhimanya kweli.
26 ili fahamu zao ziwarudie tena, nao waponyoke katika mtego wa ibilisi ambaye amewateka wapate kufanya mapenzi yake.
Bhabhwesiajhi kukabha ufahamu kabhele ni kujhepuka n'teghu ghwa syetani, baada jha kujha bhatekibhu ni muene kwa ndabha jha mapenzi gha muene.

< 2 Timotheo 2 >