< 2 Timotheo 2 >

1 Basi, wewe mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo ndani ya Kristo Yesu.
Be di, nagofe! Di da Yesu Gelesuma madelagiba: le, Ea hahawane dogolegele iasu hou lai dagoiba: le, gasawane hamoma!
2 Nayo mambo yale uliyonisikia nikiyasema mbele ya mashahidi wengi, uwakabidhi watu waaminifu watakaoweza kuwafundisha watu wengine vilevile.
Na da dunu bagohame nabima: ne sia: olelei liligi, amo di nabi. Dia amo olelesu lale, bu hohonosu hame dawa: dunu eno ilima olelema. Amasea, ilia da eno dunuma olelemusa: dawa: mu.
3 Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Kristo Yesu.
Di da Yesu Gelesu Ea dadi gagui ida: iwane fidisu dunu hamoiba: le, se nabimu mae hihima.
4 Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari.
Dadi gagui dunu da gegemusa: dawa: sea, e da bisilua amoma asigiba: le, ema hahawane ba: ma: ne hamosa. E da osobo bagade hou gilisimusa: hame dawa: sa.
5 Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano.
Hehenasu dunu da hehenasu sema huluane nabawane hamobeba: le fawane, baligili hehenamusa: dawa: sa.
6 Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.
Ha: i manu sagasu dunu da bagadewane hawa: hamobeba: le, ha: i manu gamisia, hi hidadea manu.
7 Fikiri sana kuhusu haya nisemayo, kwa maana Bwana atakupa ufahamu katika mambo hayo yote.
Na sia: noga: le nabima. Bai Hina Gode da di amo noga: le dawa: ma: ne, dia asigi dawa: su fidimu.
8 Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, yeye aliye wa uzao wa Daudi. Hii ndiyo Injili yangu,
Yesu Gelesu bu dawa: ma. E bogole, Gode da E bu wa: legadolesi. Na da Gode Ea Sia: Ida: iwane Gala olelesa. Amola amo ganodini dedei defele, Yesu da Da: ibidi egaga fi Dunu.
9 ambayo kwayo ninateseka hata kufikia hatua ya kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi.
Na da Gode Ea Sia: Ida: iwane Gala olelebeba: le, se naba. Na da wadela: i dunu defele sia: inega la: gibi ba: sa. Be Gode Ea Sia: da sia: inega hame la: gi.
10 Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
Amaiba: le, Gode Ea ilegei fi, ilia da Yesu Gelesu Ea gaga: su hou amola eso huluane esalalalusu hadigi lama: ne, amo hou fidimusa: , na da se nabimu hame hihisa. (aiōnios g166)
11 Hili ni neno la kuaminiwa: Kwa maana kama tumekufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye.
Sia: haguduga dedei da dafawane. “Ninia da E defele bogoi galea, ninia amola E da gilisili esalumu.
12 Kama tukistahimili, pia tutatawala pamoja naye. Kama tukimkana yeye, naye atatukana sisi.
Ninia mae yolesili Ea hou hamonanea, ninia amola E gilisili hinawane esalumu. Ninia E yolesisia, Ea da nini yolesimu.
13 Kama tusipoamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Ninia da dafasea, E da dafasu hame dawa: Bai E da Ea hou amoma Hi da ogogomu hame dawa:”
14 Endelea kuwakumbusha mambo haya ukiwaonya mbele za Bwana waache kushindana kwa maneno ambayo hayana faida yoyote bali huwaangamiza tu wale wanaoyasikia.
Dia fi dunuma bu sia: ma! Dia Gode ba: ma: ne, ilima gasa bagade sisasu olelema! Ilima mae sia: ga gegema: ne sia: ma. Amo hou da dunu mae fidili, be nabasu dunu ilia hou gugunufinisisa.
15 Jitahidi kujionyesha kwa Mungu kuwa umekubaliwa naye, mtendakazi asiye na sababu ya kuona aibu, ukilitumia kwa usahihi neno la kweli.
Gode Ea ida: iwane hawa: hamosu dunu da Gode Ea sia: mae giadofale olelebeba: le, e da hame gogosiasa. Amo hawa: hamomusa: gini, Gode da hahawane ba: ma: ne, dia noga: le hamoma.
16 Jiepushe na maneno mabaya, yasiyo na maana, yasiyo ya utauwa, kwa maana hayo huzidi kuwatosa watu katika kukosa heshima kwa Mungu.
Udigili gagaoui sia: da dunu ilia Godema afafama: ne sefasisa. Amaiba: le, dia amo udigili sia: dasu amoma mae gilisima.
17 Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto
Amo olelesu hou da fedege agoane aiya amo dunu ea hu bagade naha amo agoane. Dunu aduna ela dio da Haiminiase amola Failidase, ela da agoane olelesa.
18 ambao wameiacha kweli, wakisema kwamba ufufuo wa wafu umekwisha kuwako, nao huharibu imani ya baadhi ya watu.
Ela da dafawane logo yolesili, ninia huluane wa: legadosu hou da hamoi dagoi ela ogogole olelebeba: le, ela da lalegagui dunu mogili ilia dafawaneyale dawa: su hou wadela: sa.
19 Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, ukiwa na muhuri wenye maandishi haya: “Bwana anawajua walio wake”; tena, “Kila alitajaye jina la Bwana, na auache uovu.”
Be Gode da Hi diasu gaguma: ne, gasa bagade bai fa: iba: le, mugulumu da hamedei. Gode Sia da amane dedei diala, “Hina Gode da Ea fi dunu Hi dawa: !” Eno dedei, “Nowa dunu da Hina Godema madelagi dagoi hi sia: sea, e da wadela: i hou yolesima: mu.”
20 Katika nyumba kubwa si kwamba kuna vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali pia vimo vyombo vya miti na vya udongo; vingine kwa matumizi maalum, na vingine kwa matumizi ya kawaida.
Diasu bagade amo ganodini ofodo bagohame da ba: sa. Eno da silifa, eno da gouli, eno da ifa, eno da laga osoboga hamoi. Mogili da eso bagade mimogo Lolo Nasu amoga ha: i manu salimusa: hamoi. Mogili da eso huluane udigili ha: i manu salimusa: hamoi.
21 Basi ikiwa mtu amejitakasa na kujitenga na hayo niliyoyataja, atakuwa chombo maalum, kilichotengwa na ambacho kinamfaa mwenye nyumba, kimeandaliwa tayari kwa kila kazi njema.
Be dunu da wadela: i hou huluane yolesili, ea hou da dodofei dagoi ba: sea, e da fedege agoane ofodo ida: iwane ba: mu. E da ea Hina Ea hou fawane dawa: sea, ea Hina da ema hawa: hamosu noga: idafa amola bagadedafa olelemu.
22 Zikimbie tamaa mbaya za ujana, ufuate haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
Dia ayeligi dunu ilia wadela: i hu hanai hou amoma mae gilisima. Be dunu ilia dogo da ledo hame, amo dunu da Godema fidimusa: wele sia: sa, di amo dunuma gilisili, ida: iwane hou amola dafawaneyale dawa: su hou, asigidafa hou amola olofosu hou hogoi helema.
23 Jiepushe na mabishano ya kipumbavu na yasiyo na maana, kwa kuwa wajua ya kwamba hayo huzaa magomvi.
Be gagaoui amola hame dawa: su sia: ga gegesu hou, amoma mae gilisima. Amo hou ea fage da gegesudafa.
24 Tena haimpasi mtumishi wa Bwana kuwa mgomvi, bali inampasa awe mwema kwa kila mtu, awezaye kufundisha, tena mvumilivu.
Be Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu sia: ga gegemu da defea hame. E da dunu huluanema asigimu da defea. E da noga: i hedolo hame fisisu olelesu dunu agoane ba: ma: mu.
25 Inampasa kuwaonya kwa upole wale wanaopingana naye, kwa matumaini kwamba Mungu atawajalia kutubu na kuijua kweli,
E da asaboiwane ema gegesu dunuma gagabole sia: mu da defea. Amabela: ? Gode da ilia dafawane hou dawa: ma: ne, ilima sinidigisu lalegagusu logo olelema: bela: ?
26 ili fahamu zao ziwarudie tena, nao waponyoke katika mtego wa ibilisi ambaye amewateka wapate kufanya mapenzi yake.
Amai galea, ilia bu gagaoui hou yolesimu. Ilia da musa: Sa: ida: ne ea sia: nabawane hamobeba: le, ea sani amo ganodini ba: i. Be amo asigi sia: nabasea, ilia amo sani yolesili hobeamu.

< 2 Timotheo 2 >