< 2 Wathesalonike 3 >
1 Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili Neno la Bwana lipate kuenea kwa haraka na kuheshimiwa kila mahali, kama vile ilivyokuwa kwenu.
Ni henu, bhalongo, mutus'omelahi, kuj'ha lilobhi lya Bwana libhwesiayi kuyenela ni kutukusibhwa, kama kwaj'hayela pia kwa muenga.
2 Ombeni pia ili tupate kuokolewa kutokana na watu waovu na wabaya, kwa maana si wote wanaoamini.
Mus'omahi kuj'ha tubhwesyagha kuokolibhwa kuh'omela mu bhuovu ni bhanu bhaasi, kwa kuj'ha si bhoha bhaj'hele ni imani.
3 Lakini Bwana ni mwaminifu, naye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutokana na yule mwovu.
Lakini Bwana ndo mwaminifu, ambaj'he ibetakubhasindimalisya muenga ni kubhalenda kuh'oma kwa Bwana kwa j'hola muovu.
4 Nasi tuna tumaini katika Bwana ya kuwa mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaagiza.
Tuj'hele ni bhusisya kwa Bwana kwa ndabha j'hinu; kuj'ha mwibhomba na mwibeta kuj'hendebela kubhomba mambo ambagho tu kabhalanghisya.
5 Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Kristo.
Bwana abhwesiyayi kulongosya mit'ema ghya muenga mu luganu ni mu bhuvumilivu bhwa Kristu.
6 Ndugu, tunawaagiza katika Jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni na kila ndugu ambaye ni mvivu na ambaye haishi kufuatana na maagizo tuliyowapa.
Henu tukabhalaghisya, bhalongo, mu lihina lya Bwana Yesu Kristu, kuj'ha muyepai kila ndongo ambaghe iishi maisha gha uvivu na siyo kwa kuh'omela ni kutokana ni desturi ambasyo mwasipokili kuh'oma kwa tete.
7 Maana ninyi wenyewe mnajua jinsi iwapasavyo kufuata mfano wetu. Sisi hatukuwa wavivu tulipokuwa pamoja nanyi,
Kwa kuj'ha muenga mwebhene mmanyili kuj'ha sawa kwa muenga kutuj'hesya tete. Twatamili lepi mgati mwa muenga kama bhala ambabho bhaj'heledumu ni litengulilu.
8 wala hatukula chakula cha mtu yeyote pasipo kukilipia. Badala yake tulifanya kazi kwa bidii usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote miongoni mwenu.
Na twalilidumu kyakulya kya munu j'haj'hioha j'hola bila kukilep'hela. Badala j'hiake, Twabhombili mbombo pakilu ni pamusi kwa mbombo ngafu ni kwa mal'omb'osi ili tukata kuj'ha mzigo kwa j'hej'hioha Kati j'ha muenga.
9 Tulifanya hivi, si kwa sababu hatukuwa na haki ya kupata msaada kama huo, bali ndio sisi wenyewe tuwe kielelezo.
Twabhombili nahasi kwandabha tudulili mamlaka. Badala yiake, twak'hetili naha ili tuj'helayi mfuano kwa muenga, ili mubhwesiahi kutuj'hesya tuenga.
10 Kwa maana hata tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwapa amri kwamba: “Mtu yeyote asiyetaka kufanya kazi, hata kula asile.”
Wakati tuj'hele pamonga namu twabhalaghisye, “ij'helayi mmonga Kati j'hinu ilondalepi kubhomba mbombo, na asilyi”.
11 Kwa kuwa tunasikia kwamba baadhi ya watu miongoni mwenu ni wavivu. Hawafanyi kazi bali hujishughulisha na mambo ya wengine.
Kwa kuj'ha twep'heleka kuj'ha bhamana bhilota kwa bhutifu mugati mwinu. Bhibhomba lepi mbimbo lakini badala yiake ndo bhanu bhabhaye dumu ni bhutaratibu.
12 Basi watu kama hao tunawaagiza na kuwahimiza katika Bwana Yesu Kristo, kwamba wafanye kazi kwa utulivu kwa ajili ya chakula chao wenyewe.
Henu abhu ni bhene twikabhalanghisya ni kubhaasa kwa Bwana Yesu Kristu, kuj'ha lazima bhabhombagha mbombo kwa bhutulivu ni kulya kyakulya kya bhene.
13 Kwa upande wenu, ndugu, ninyi kamwe msichoke katika kutenda mema.
Lakini muenga, bhalongo, musisiriki n'tema mu kubhomba ghaghayele manofu.
14 Ikiwa mtu yeyote hayatii maagizo yetu yaliyoko katika barua hii, mwangalieni sana mtu huyo. Msishirikiane naye, ili apate kuona aibu.
Ikaj'he laghe munu j'hoj'hioha ibela kutii lilobhi lyitu mu waraka obho, Muyelayi makini naku na mkatakuj'ha ni bhushirika pamonga nu muene, ili kuj'ha abhwesiagha kubhona Soni.
15 Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Mkatayi kuntolela Kama adui, lakini mumwonyaghe kama ndongobhinu.
16 Basi, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani nyakati zote na kwa kila njia. Bwana awe nanyi nyote.
Bwana bhwa amani muene abhapelayi amani bhwakati bhuoha mu nj'hela sioha. Bwana ayelayi namu mwebhoha.
17 Mimi, Paulo, ninaandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Hii ndio alama ya utambulisho katika barua zangu zote. Hivi ndivyo niandikavyo.
E'j'he ndo salamu j'ha nenga, Paulo, kibhoko kyangu ne muene kila ambaho ndo alama mu kila bhwaraka. E'fe ndo kyanij'handika.
18 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amen.
Neema j'ha Bwana ghwitu Yesu Kristu j'hibhwesiagha kuj'ha namu mwebhoha.