< 2 Wathesalonike 2 >
1 Ndugu, kuhusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanyika kwetu pamoja mbele zake, tunawasihi,
Men vi bede eder, Brødre! angaaende vor Herres Jesu Kristi Tilkommelse og vor Samling til ham,
2 msiyumbishwe kwa urahisi wala msitiwe wasiwasi na roho wala neno au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu, isemayo kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwako.
at I ikke i en Hast maa lade eder bringe fra Besindelse eller forskrække hverken ved nogen Aand eller ved nogen Tale eller Brev, der skulde være fra os, som om Herrens Dag var lige for Haanden.
3 Mtu yeyote na asiwadanganye kwa namna yoyote kwa maana siku ile haitakuja mpaka uasi utokee kwanza, na yule mtu wa kuasi adhihirishwe, yule ambaye amehukumiwa kuangamizwa kabisa.
Lad ingen bedrage eder i nogen Maade; thi først maa jo Frafaldet komme og Syndens Menneske aabenbares, Fortabelsens Søn,
4 Yeye atapingana na kujitukuza juu ya kila kitu kiitwacho Mungu au kinachoabudiwa, ili kujiweka juu katika Hekalu la Mungu, akijitangaza mwenyewe kuwa ndiye Mungu.
han, som sætter sig imod og ophøjer sig over alt, hvad der kaldes Gud eller Helligdom, saa at han sætter sig i Guds Tempel og udgiver sig selv for at være Gud.
5 Je, hamkumbuki ya kwamba nilipokuwa pamoja nanyi niliwaambia mambo haya?
Komme I ikke i Hu, at jeg sagde eder dette, da jeg endnu var hos eder?
6 Nanyi sasa mnajua kinachomzuia, ili apate kudhihirishwa wakati wake utakapowadia.
Og nu vide I, hvad der holder ham tilbage, indtil han aabenbares i sin Tid.
7 Maana ile nguvu ya siri ya uasi tayari inatenda kazi, lakini yule anayeizuia ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapoondolewa.
Thi Lovløshedens Hemmelighed virker allerede, kun at den, som nu holder tilbage, først maa komme af Vejen,
8 Hapo ndipo yule mwasi atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamteketeza kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kabisa kwa utukufu wa kuja kwake.
og da skal den lovløse aabenbares, hvem den Herre Jesus skal dræbe med sin Munds Aande og tilintetgøre ved sin Tilkommelses Aabenbarelse,
9 Kuja kwa yule mwasi kutaonekana kana kwamba ni kutenda kazi kwake Shetani ambaye hutumia nguvu zote, ishara, maajabu ya uongo,
han, hvis Komme sker ifølge Satans Kraft, med al Løgnens Magt og Tegn og Undere
10 na kila aina ya uovu kwa wale wanaoangamia kwa sababu walikataa kuipenda kweli wapate kuokolewa.
og med alt Uretfærdigheds Bedrag for dem, som fortabes, fordi de ikke toge imod Kærligheden til Sandheden, saa de kunde blive frelste.
11 Kwa sababu hii, Mungu ameruhusu watawaliwe na nguvu ya udanganyifu, ili waendelee kuamini uongo,
Og derfor sender Gud dem kraftig Vildfarelse, saa at de tro Løgnen,
12 na wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu.
for at de skulle dømmes, alle de, som ikke troede Sandheden, men fandt Behag i Uretfærdigheden.
13 Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu, ndugu mpendwao na Bwana, kwa sababu Mungu aliwachagua ninyi tangu mwanzo ili mwokolewe kwa kutakaswa na Roho kwa kuiamini kweli.
Men vi ere skyldige at takke Gud altid for eder, I af Herren elskede Brødre! fordi Gud har udvalgt eder fra Begyndelsen til Frelse ved Aandens Helligelse og Tro paa Sandheden,
14 Kwa kusudi hili Mungu aliwaita kwa njia ya kuhubiri kwetu Injili, ili mpate kushiriki katika utukufu wa Bwana Yesu Kristo.
hvortil han kaldte eder ved vort Evangelium, for at I skulde vinde vor Herres Jesu Kristi Herlighed.
15 Hivyo basi, ndugu wapendwa, simameni imara na myashike sana yale mafundisho tuliyowapa ikiwa ni kwa maneno ya kinywa au kwa barua.
Saa staar da fast, Brødre! og holder fast ved de Overleveringer, hvori I bleve oplærte, være sig ved vor Tale eller vort Brev.
16 Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios )
Men han selv, vor Herre Jesus Kristus og Gud vor Fader, som har elsket os og givet os en evig Trøst og et godt Haab i Naade, (aiōnios )
17 awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha katika kila neno na tendo jema.
han trøste eders Hjerter og styrke eder i al god Gerning og Tale!