< 2 Wathesalonike 2 >
1 Ndugu, kuhusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanyika kwetu pamoja mbele zake, tunawasihi,
Ti eshuwotso! no doonz Iyesus Krstos woonat noowere bínton wotosh nokakweyi jangosh itn nok'onirwo haniye,
2 msiyumbishwe kwa urahisi wala msitiwe wasiwasi na roho wala neno au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu, isemayo kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwako.
Wee shayiron wee aap'on keewetsok'on wee noyitse woshoon guut'etsok'on woshde'er «Doonzo aawo waare» eton kááron it nibo shek'eek'aye, kic'ono kic'k'ayere.
3 Mtu yeyote na asiwadanganye kwa namna yoyote kwa maana siku ile haitakuja mpaka uasi utokee kwanza, na yule mtu wa kuasi adhihirishwe, yule ambaye amehukumiwa kuangamizwa kabisa.
Asho ik keewonor itn b́ant'elcerawok'k'owa, shin shino haalo b́warawon, Ik'o bín b́t'afit weeri gond asho b́be'erawo, aawman waratse.
4 Yeye atapingana na kujitukuza juu ya kila kitu kiitwacho Mungu au kinachoabudiwa, ili kujiweka juu katika Hekalu la Mungu, akijitangaza mwenyewe kuwa ndiye Mungu.
Weerr gond ashaan Izar Izewerotsiye ett ik'iyeyiru jam keewotsiyere damb b́tooko een b́wooshfoni, «Ik'o taane» erfetsrnwere dab Ik'i mootse bewosh ááw shuk'on b́ned'iti.
5 Je, hamkumbuki ya kwamba nilipokuwa pamoja nanyi niliwaambia mambo haya?
Itnton tteshor keewanotsi itsh keewat tteshtsok'o gawraatsteya?
6 Nanyi sasa mnajua kinachomzuia, ili apate kudhihirishwa wakati wake utakapowadia.
Bísh beezets sa'aton b́be'efetsosh and b́be'erawok'o bín baziyiruwo eeg b́wottsok'owo danfte.
7 Maana ile nguvu ya siri ya uasi tayari inatenda kazi, lakini yule anayeizuia ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapoondolewa.
Aashts weer gondi angman fino dek'tuure, b́wotefere andoor baziyirwo fa'e, han b́wotwere baziyiru ekeew b́t'affetsoniye.
8 Hapo ndipo yule mwasi atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamteketeza kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kabisa kwa utukufu wa kuja kwake.
Maniyere ilowere nemalon beyiruman be'etwe, doonzo Iyesus b́ nonotsi kash jongon bín úditwe, be'eyi eenon aanar b́ woor b́beyoko t'afibazetwe.
9 Kuja kwa yule mwasi kutaonekana kana kwamba ni kutenda kazi kwake Shetani ambaye hutumia nguvu zote, ishara, maajabu ya uongo,
Mor gond asho b́weet shed'ani angon kootets aditswotsnat milikituwotsn ayi adits keewwotsnowere k'alone,
10 na kila aina ya uovu kwa wale wanaoangamia kwa sababu walikataa kuipenda kweli wapate kuokolewa.
Mank'owere t'afit ashuwotsi bín bo dashit eeg naari gond keewwotsi k'alone. Ashaanots bot'afitwere kashosh boon betsitwo ariko shunt dek'o bo k'aztsotsne.
11 Kwa sababu hii, Mungu ameruhusu watawaliwe na nguvu ya udanganyifu, ili waendelee kuamini uongo,
Man jangosh kooton boamanituwok'o Ik'o boon ant'elcit ango boats woshitwe.
12 na wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu.
Hanwere b́ wotit aro amaneratsone et morrats geneúwiru jamwotsats angshetwok'owe.
13 Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu, ndugu mpendwao na Bwana, kwa sababu Mungu aliwachagua ninyi tangu mwanzo ili mwokolewe kwa kutakaswa na Roho kwa kuiamini kweli.
Doonzon shuneets eshuwotso! noomó it jangosh Ik'o jam aawo udo noosh geyife, no uditwere it shayiri S'ayinon it s'ayinontsonat arono it amanon it kashitwok'o Ik'o shini itn galb́dek'tsoshe.
14 Kwa kusudi hili Mungu aliwaita kwa njia ya kuhubiri kwetu Injili, ili mpate kushiriki katika utukufu wa Bwana Yesu Kristo.
Ik'o no itsh no nabts doo shishiyann itn s'eegts doonzo Iyesus Krstos mango it kayitwok'owe.
15 Hivyo basi, ndugu wapendwa, simameni imara na myashike sana yale mafundisho tuliyowapa ikiwa ni kwa maneno ya kinywa au kwa barua.
Mansh t eshuwotso, kúp'arr need'ore, it aap'ona wotowa guut'ets woshon nooke itsh beshts dano kúp'ide'er deshere.
16 Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios )
B́ tookon no doonz Iyesus Krstosnat, noon shuntso, b́ s'aaton dúre dúri kúp'iyo, sheeng jangóno noosh imtso Ik'o no nihiye. (aiōnios )
17 awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha katika kila neno na tendo jema.
Bí it maac'o kúp'shwe, sheeng finonat sheeng noon keew jamon itn kup'shwe.