< 2 Wathesalonike 1 >
1 Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:
Paul and Silvanus and Timothy the/this/who assembly Thessalonian in/on/among God father me and lord: God Jesus Christ
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
grace you and peace away from God father me and lord: God Jesus Christ
3 Ndugu, imetubidi kumshukuru Mungu kwa ajili yenu siku zote, kama ulivyo wajibu wetu, kwa sababu imani yenu inakua zaidi na zaidi na upendo wa kila mmoja wenu alio nao kwa mwenzake unazidi kuongezeka.
to thank to owe the/this/who God always about you brother as/just as worthy to be that/since: since to increase the/this/who faith you and to increase the/this/who love one each all you toward one another
4 Ndiyo sababu miongoni mwa makanisa ya Mungu, tunajivuna kuhusu saburi yenu na imani mliyo nayo katika mateso yote na dhiki mnazostahimili.
so it/s/he me in/on/among you (to boast of *N(k)O*) in/on/among the/this/who assembly the/this/who God above/for the/this/who perseverance you and faith in/on/among all the/this/who persecution you and the/this/who pressure which to endure
5 Haya yote ni uthibitisho kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na kwa sababu hiyo ninyi mtahesabiwa kwamba mnastahili kuwa wa Ufalme wa Mungu, mnaoteswa kwa ajili wake.
evidence the/this/who just judgment the/this/who God toward the/this/who to consider worthy you the/this/who kingdom the/this/who God above/for which and to suffer
6 Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi
if indeed just from/with/beside God to repay the/this/who to press on you pressure
7 na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
and you the/this/who to press on rest with/after me in/on/among the/this/who revelation the/this/who lord: God Jesus away from heaven with/after angel power it/s/he
8 Atawaadhibu wale wasiomjua Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
in/on/among (fire flame *NK(o)*) to give vengeance the/this/who not to know God and the/this/who not to obey the/this/who gospel the/this/who lord: God me Jesus (Christ *K*)
9 Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios )
who/which condemnation to pay destructive eternal away from face the/this/who lord: God and away from the/this/who glory the/this/who strength it/s/he (aiōnios )
10 siku hiyo atakapokuja kutukuzwa katika watakatifu wake na kustaajabiwa miongoni mwa wote walioamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwa hawa kwa sababu mliamini ushuhuda wetu kwenu.
when(-ever) to come/go be glorified in/on/among the/this/who holy: saint it/s/he and to marvel in/on/among all the/this/who (to trust (in) *N(k)O*) that/since: since to trust (in) the/this/who testimony me upon/to/against you in/on/among the/this/who day that
11 Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kukoma, ili Mungu apate kuwahesabu kuwa mnastahili wito wake na kwamba kwa uwezo wake apate kutimiza kila kusudi lenu jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu.
toward which and to pray always about you in order that/to you to deem worthy the/this/who calling the/this/who God me and to fulfill all goodwill goodness and work faith in/on/among power
12 Tunaomba hivi ili Jina la Bwana wetu Yesu lipate kutukuzwa ndani yenu, nanyi ndani yake, kulingana na neema ya Mungu wetu na Bwana Yesu Kristo.
that be glorified the/this/who name the/this/who lord: God me Jesus (Christ *K*) in/on/among you and you in/on/among it/s/he according to the/this/who grace the/this/who God me and lord: God Jesus Christ