< 2 Wathesalonike 1 >

1 Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:
Bulus, Silbannus ka-nge Timothy, fiye ku wabe fiye Tasolonika mor kwama Tebe ka-nge Yeesu Almasihu.
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
dila luma abon monteng ka-nge furneret fiye kwama Tebe ka-nge Teluwe be Yeesu Almasihu.
3 Ndugu, imetubidi kumshukuru Mungu kwa ajili yenu siku zote, kama ulivyo wajibu wetu, kwa sababu imani yenu inakua zaidi na zaidi na upendo wa kila mmoja wenu alio nao kwa mwenzake unazidi kuongezeka.
nyo bi bukan kwama nen kankan wori kom bi yiteng. nyon dong-dong. na bikengke kumeko yuteng yora, kam cwika bwiti kumeko yutenti.
4 Ndiyo sababu miongoni mwa makanisa ya Mungu, tunajivuna kuhusu saburi yenu na imani mliyo nayo katika mateso yote na dhiki mnazostahimili.
nyo ki dorger nyoki kurak bwi ki kom nob kwama. nyo tongker borum nere kimeti ka-nge bilengke kume mor dotangkom moreceu. nyo tongker ka-nge kale kom bimneret.
5 Haya yote ni uthibitisho kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na kwa sababu hiyo ninyi mtahesabiwa kwamba mnastahili kuwa wa Ufalme wa Mungu, mnaoteswa kwa ajili wake.
woco yurom burak kwama ko kendo. makako nyo co ciya to komti nobo ken na liyar wo kom duwa dotange ti dorceru.
6 Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi
wucak fiye kwama wiye wo a nyoken dotange fiye nobo cwilankome tiye.
7 na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
yila ne kom fwoka nakom tum dotange wari ka-nge nyo. a manyo naci tok Teluwe Yeesu firen di kwama ka-nge nob tomangece ki bikwan cer.
8 Atawaadhibu wale wasiomjua Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
mor kire mwen mwewa tum fange dor nobo nyoker Teluwe bei Yeesu Almasihu.
9 Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios g166)
ciya nowa doktange dur waber diri-diri tikom Teluwe ka-nge duktangka bigwam co. (aiōnios g166)
10 siku hiyo atakapokuja kutukuzwa katika watakatifu wake na kustaajabiwa miongoni mwa wote walioamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwa hawa kwa sababu mliamini ushuhuda wetu kwenu.
man ma wo ki kwama wo co bwitiye kiker nobe a duktangka co tiye, cin yarum yumanka fiye nobo gwam ne bilengke nako ne bilengke tomangkako more kume.
11 Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kukoma, ili Mungu apate kuwahesabu kuwa mnastahili wito wake na kwamba kwa uwezo wake apate kutimiza kila kusudi lenu jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu.
ki wolo nyo kom duroti kan, kang. ker kumer nyo gwam duro na kwama bei a toki komduwa bicorkimero. nyo gwam diroti cinyaki nankumero wo maka digero kendongceu ka-nge neken bilengke ka-nge bikwan.
12 Tunaomba hivi ili Jina la Bwana wetu Yesu lipate kutukuzwa ndani yenu, nanyi ndani yake, kulingana na neema ya Mungu wetu na Bwana Yesu Kristo.
nyo kwab dilo na den Teluwe bei Yeesu na fiya duktangka fiye kom wiye. dilo nyo co ciya duktangka kom ki luma kwama bei ka-nge Teluwe bei Yeesu Almasihu.

< 2 Wathesalonike 1 >