< 2 Samweli 1 >

1 Baada ya kifo cha Sauli, Daudi alipokuwa amerudi kutoka kuwashinda Waamaleki, Daudi alikaa siku mbili huko Siklagi.
and to be after death Saul and David to return: return from to smite [obj] [the] Amalek and to dwell David in/on/with Ziklag day two
2 Siku ya tatu akaja mtu mwenye nguo zilizoraruka na mavumbi kichwani mwake kutoka kwenye kambi ya Sauli. Alipomjia Daudi, akajitupa chini ili kumpa heshima.
and to be in/on/with day [the] third and behold man to come (in): come from [the] camp from from with Saul and garment his to tear and land: soil upon head his and to be in/on/with to come (in): come he to(wards) David and to fall: fall land: soil [to] and to bow
3 Daudi akamuuliza, “Wewe umetoka wapi?” Akamjibu, “Nimetoroka kutoka kambi ya Waisraeli.”
and to say to/for him David where? from this to come (in): come and to say to(wards) him from camp Israel to escape
4 Daudi akamuuliza, “Ni nini kilichotokea? Niambie.” Akasema, “Watu walikimbia kutoka vitani. Wengi wao walianguka na kufa. Naye Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa.”
and to say to(wards) him David what? to be [the] word: thing to tell please to/for me and to say which to flee [the] people from [the] battle and also to multiply to fall: fall from [the] people and to die and also Saul and Jonathan son: child his to die
5 Ndipo Daudi akamwambia huyo kijana aliyemletea taarifa, “Je, umefahamuje kwamba Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa?”
and to say David to(wards) [the] youth [the] to tell to/for him how? to know for to die Saul and Jonathan son: child his
6 Yule kijana akasema, “Nilijipata huko Mlima Gilboa, naye Sauli alikuwa huko akiegemea mkuki wake, na magari ya vita na wapanda farasi wa upande wa adui wakawa wamemkaribia sana.
and to say [the] youth [the] to tell to/for him to encounter: chanced to meet in/on/with mountain: mount [the] (Mount) Gilboa and behold Saul to lean upon spear his and behold [the] chariot and master: [master of] [the] horseman to cleave him
7 Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’
and to turn after him and to see: see me and to call: call to to(wards) me and to say look! I
8 “Akaniuliza, ‘Wewe ni nani?’ “Nikamjibu, ‘Mimi ni Mwamaleki.’
and to say to/for me who? you(m. s.) (and to say *Q(K)*) to(wards) him Amalekite I
9 “Kisha akaniambia, ‘Nikaribie mimi na uniue! Niko katika maumivu makali ya kifo, lakini bado ningali hai.’
and to say to(wards) me to stand: stand please upon me and to die me for to grasp me [the] agony for all still soul: life my in/on/with me
10 “Kwa hiyo nikamkaribia nikamuua, kwa sababu nilijua kwamba baada ya kuanguka hangeweza kupona. Nami nikachukua lile taji lililokuwa kichwani mwake na utepe uliokuwa mkononi mwake nami nimevileta hapa kwa bwana wangu.”
and to stand: stand upon him and to die him for to know for not to live after to fall: fall he and to take: take [the] consecration: crown which upon head his and armlet which upon arm his and to come (in): bring them to(wards) lord my here/thus
11 Ndipo Daudi pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye wakazishika nguo zao na kuzirarua.
and to strengthen: hold David (in/on/with garment his *Q(K)*) and to tear them and also all [the] human which with him
12 Wakaomboleza, wakalia pia na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Sauli na Yonathani mwanawe, kwa ajili ya jeshi la Bwana na nyumba ya Israeli, kwa sababu wameanguka kwa upanga.
and to mourn and to weep and to fast till [the] evening upon Saul and upon Jonathan son: child his and upon people LORD and upon house: household Israel for to fall: fall in/on/with sword
13 Daudi akamwambia yule kijana aliyemletea taarifa, “Wewe ni mwenyeji wa wapi?” Akamjibu, “Mimi ni mwana wa mgeni, Mwamaleki.”
and to say David to(wards) [the] youth [the] to tell to/for him where? from this you(m. s.) and to say son: child man sojourner Amalekite I
14 Daudi akamuuliza, “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako ili kumwangamiza mpakwa mafuta wa Bwana?”
and to say to(wards) him David how? not to fear to/for to send: reach hand: power your to/for to ruin [obj] anointed LORD
15 Kisha Daudi akamwita mmoja wa watu wake na kumwambia, “Nenda ukamuue!” Kwa hiyo akampiga, naye akafa.
and to call: call to David to/for one from [the] youth and to say to approach: approach to fall on in/on/with him and to smite him and to die
16 Kwa maana Daudi alikuwa amemwambia, “Damu yako iwe juu ya kichwa chako mwenyewe. Kinywa chako mwenyewe kimeshuhudia dhidi yako uliposema, ‘Nilimuua mpakwa mafuta wa Bwana.’”
and to say to(wards) him David (blood your *Q(K)*) upon head your for lip your to answer in/on/with you to/for to say I to die [obj] anointed LORD
17 Daudi akafanya maombolezo haya kuhusu Sauli na Yonathani mwanawe,
and to chant David [obj] [the] dirge [the] this upon Saul and upon Jonathan son: child his
18 naye akaagiza kwamba watu wa Yuda wafundishwe ombolezo hili la upinde (ambalo limeandikwa katika Kitabu cha Yashari):
and to say to/for to learn: teach son: descendant/people Judah bow behold to write upon scroll: book [the] Jashar
19 “Walio fahari yako, ee Israeli, wameuawa juu ya mahali pako palipoinuka. Jinsi wenye nguvu walivyoanguka!
[the] beauty Israel upon high place your slain: killed how? to fall: fall mighty man
20 “Msilisimulie hili katika Gathi, msilitangaze hili katika barabara za Ashkeloni, binti za Wafilisti wasije wakafurahia, binti za hao wasiotahiriwa wasije wakashangilia.
not to tell in/on/with Gath not to bear tidings in/on/with outside Ashkelon lest to rejoice daughter Philistine lest to exult daughter [the] uncircumcised
21 “Enyi milima ya Gilboa, msipate umande wala mvua, wala mashamba yazaayo sadaka ya nafaka. Kwa maana huko ndiko ngao ya mwenye nguvu iliponajisiwa, ngao ya Sauli haitapakwa tena mafuta.
mountain: mount in/on/with Gilboa not dew and not rain upon you and land: country contribution for there to abhor shield mighty man shield Saul without anointed in/on/with oil
22 Kutokana na damu ya waliouawa, kutokana na miili ya wenye nguvu, ule upinde wa Yonathani haukugeuka nyuma. Upanga wa Sauli haukurudi bure.
from blood slain: killed from fat mighty man bow Jonathan not to turn back back and sword Saul not to return: return emptily
23 “Sauli na Yonathani, maishani walipendwa na kuneemeka, na katika kifo hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, walikuwa na nguvu kuliko simba.
Saul and Jonathan [the] to love: lover and [the] pleasant in/on/with life their and in/on/with death their not to separate from eagle to lighten from lion to prevail
24 “Enyi binti za Israeli, lieni kwa ajili ya Sauli, ambaye aliwavika nguo nyekundu na maridadi, ambaye aliremba mavazi yenu kwa mapambo ya dhahabu.
daughter Israel to(wards) Saul to weep [the] to clothe you scarlet with delicacy [the] to ascend: rise ornament gold upon clothing your
25 “Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka vitani! Yonathani ameuawa mahali pako palipoinuka.
how? to fall: fall mighty man in/on/with midst [the] battle Jonathan upon high place your slain: killed
26 Nahuzunika kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu, kwangu ulikuwa mpendwa sana. Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, wa ajabu zaidi kuliko ule wa wanawake.
to constrain to/for me upon you brother: compatriot my Jonathan be pleasant to/for me much to wonder love your to/for me from love woman
27 “Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka! Silaha za vita zimeangamia!”
how? to fall: fall mighty man and to perish article/utensil battle

< 2 Samweli 1 >