< 2 Samweli 9 >
1 Daudi akauliza, “Je, hakuna mtu hata mmoja wa nyumba ya Sauli aliyebaki ambaye naweza kumtendea wema kwa ajili ya Yonathani?”
Davudee eyhen: – Şaulne nasılena üç'ürra axuna vornane? Yonatannemee, zı mang'us yugvalla haa'as.
2 Basi palikuwepo mtumishi wa nyumba ya Sauli aliyeitwa Siba. Wakamwita aje mbele ya Daudi, naye mfalme akamwambia, “Wewe ndiwe Siba?” Akamjibu, “Naam, mimi ndiye mtumishi wako.”
Şaulne nasılıs g'ulluxçiyvalla haa'ana Tsiva donana sa insan ıxha. Mana Davudne k'anyaqa qoyt'al, paççahee mang'uke qiyghanan: – Tsiva ğune vor? Mang'vee eyhen: – Ho'o, yizda xərna, zı vorna.
3 Mfalme akauliza, “Je, hakuna yeyote ambaye amebaki wa nyumba ya Sauli ninayeweza kumwonyesha wema wa Mungu?” Siba akamjibu mfalme, “Bado yupo mwana wa Yonathani, yeye ni kiwete miguu yote.”
Paççahee eyhen: – Şaulne nasıleençe saxheyir üç'ürna insan vornane, zı mang'us Allahne yəqqee yugvalla haa'ayiy? Tsivee paççahıs alidghıniy qele: – Ho'o, Yonatanıqa q'öyudsana g'el k'aana dix vor.
4 Mfalme akauliza, “Yuko wapi?” Siba akajibu, “Yuko nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-Debari.”
Paççahee mang'uk'le eyhen: – Həşde mana nyaane vor? Tsivee paççahık'le eyhen: – Mana həşde Lo-Devar eyhene şaharee, Ammielyne duxayne Makirne xaa vorna.
5 Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe kutoka Lo-Debari, kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli.
Paççah Davudee insan g'axuvu, Lo-Devarğançe Makirne xaançe Mefiboşet cusqa ayra'a.
6 Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, alipofika kwa Daudi, akainama kumpa mfalme heshima. Daudi akamwita, “Mefiboshethi!” Mefiboshethi akajibu, “Ndimi mtumishi wako.”
Şaulna neva, Yonatanna dix eyxhena Mefiboşet Davudne k'anyaqa arı, mang'us hı'rmat gyuvxhu, k'yoyzarna. Davudee ona'an: – Mefiboşet! Mang'vee «Zı, yiğna nukar, inyaa vorva» alidghıniy qele.
7 Daudi akamwambia, “Usiogope, kwa maana hakika nitakutendea wema kwa ajili ya baba yako Yonathani. Nitakurudishia ardhi yote iliyokuwa mali ya Sauli baba yako, nawe daima utakula chakula mezani pangu.”
Davudee mang'uk'le eyhen: – Qı'məyq'ən, yiğne dekkıne Yonatannemee, zı vas yugvalla hidyav'u g'alerçes deş. Yiğne q'əsde dekkın Şaulun gırgın cigabı zı vas sak'al ha'as. Ğu gırgıne gahbışil yizde sufranıle otxhuniy oxhanas.
8 Mefiboshethi akasujudu akasema, “Mimi mtumishi wako ni nini hata uangalie mbwa mfu kama mimi?”
Mefiboşet Davudus k'yorzul, eyhen: – Nya'a, zı, yiğna g'ul, vuşune eyxhe? Ğu, zına xhineene qivk'une xvaana haa'a?
9 Ndipo mfalme akamwita Siba mtumishi wa Sauli na kumwambia, “Nimempa mwana wa bwana wako kila kitu kilichokuwa mali ya Sauli na jamaa yake.
Paççahee Şaulna g'ulluxçiy Tsiva qort'ul, eyhen: – Şaulıniy mang'une nasılen gırgın kar, yiğne xərıng'une nevaysqa quvu.
10 Wewe, wanao na watumishi wako mtamlimia mashamba Mefiboshethi na kumletea mavuno, ili kwamba mwana wa bwana wako apate mahitaji yake. Naye Mefiboshethi mwana wa bwana wako atakula chakula mezani pangu daima.” (Siba alikuwa na wana kumi na watano, na watumishi ishirini.)
Yiğne xərıng'une nevayn cigabı ğunayiy yiğne dixbışeyiy yiğne nukaraaşe mang'unemee ezu-qiyşalas. Şagavıd mang'usqa qeles, mang'uqa oxhanasın kar ixhecenva. Vuşde xərıng'une nevee, Mefiboşetee, gırgıne gahbışil yizde sufranıle kar oxhanas. (Tsivayqa yitsıxhvayre dixıy g'ayrer nukar vor.)
11 Ndipo Siba akamwambia mfalme, “Mtumishi wako atafanya chochote bwana wangu mfalme atakachoagiza mtumishi wake kufanya.” Basi Mefiboshethi akala chakula mezani pa Daudi kama mmoja wa wana wa mfalme.
Tsivee paççahık'le eyhen: – Yizda xərna, paççah, ğu uvhuyn gırgın zı, yiğne g'ulee, ha'asın. Mefiboşetee, paççahne dixbışde sang'vee xhinne, Davudne sufranıle otxhuniy oyxhan ıxha.
12 Mefiboshethi alikuwa na mwanawe mdogo aliyeitwa Mika, nao watu wote wa nyumba ya Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.
Mefiboşetıqa sa k'ınna Mika donana dix ıxha. Tsivayne xaabın gırgınbı Mefiboşetın nukarar vuxha.
13 Naye Mefiboshethi akaishi huko Yerusalemu, kwa sababu daima alikula mezani pa mfalme, naye alikuwa kiwete miguu yote.
Mefiboşetee paççahne sufranıle kar otxhan ıxhayke, mana mançile qiyğa İyerusalimee axva. Mang'un q'öyudsana g'el k'aada ıxha.