< 2 Samweli 8 >
1 Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Metheg-Amma kutoka mikononi mwa Wafilisti.
Mançile qiyğa Davud Filiştinaaşile ğamxha, manbı cus vukkanəxüb vuk'lek vukkeeka. Manbışde xılençe Meteg-Ammahıb g'ooşena.
2 Pia Daudi akawashinda Wamoabu. Akawafanya walale chini kwa mstari akawapima kwa urefu wa kamba. Kila alipopima urefu wa hiyo kamba mara mbili hilo kundi waliuawa na alipopima mara ya tatu aliwaacha hai. Kwa hiyo Wamoabu wakawa chini ya Daudi nao wakamletea kodi.
Qiyğa Davud Moavbışiler ğamexhena. Mang'vee manbı ç'iyelqa g'alyapk'as alivku, baağıka ulyoopku, manbı xhebne desteeqa bit'al ha'a. Xhebne desteyna q'öble deste mang'vee gyabat'anbı. Sa destemee mang'vee g'ookana. Moavbı Davudus nukarar vooxhe, mang'us nalok'bı qele giviyğal.
3 Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kurudisha tena utawala wake kwenye eneo la Mto Frati.
Tsovayna paççah eyxhena Rexovna dix Hadadezer, Fərat eyhene damayne hiqiy-alladın ciga meed cune xılyaqa alğahasva arayle. Maa'ar Davud mang'ule ğamexhena.
4 Daudi akateka magari yake ya vita 1,000, askari wapanda farasi 7,000 na askari 20,000 watembeao kwa miguu. Daudi akawakata wale farasi wote wakokotao magari mishipa ya miguu, isipokuwa farasi 100 hakuwakata.
Davudee Hadadezerna aazıriy yighıd vəş balkanılyna, g'ad aazırır hoyhar arına esker aqqaqqa. Mang'une balkanaaşina vəş Davudee cus avqu, axuyne daşk'ayk qı'iyne balkanaaşinıd g'elin damarbı gyatxas ilekka.
5 Waaramu wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.
Damask vooxhen Arambı Tsovayne paççahıs Hadadezerıs kumagıs abımee, Davudee manbışda g'ayeq'vəd aazır insan gek'a.
6 Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski, nao Waaramu wakawa watumwa wake na kumlipa ushuru. Bwana akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.
Davudee Damask vooxhene Arambışde ölkee cun g'oşunbı ulyozar ha'a. Mang'vee manbışike nukarar haa'a, manbışe Davudus nalok'bı qele giviyğal. Davud nyaqa hark'ıneeyir, Rəbbee mana ğama'ananiy.
7 Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.
Mang'vee Hadadezerıne insanaaşin k'ınəəğəken g'alxanbı alyaat'u, İyerusalimqa qadayle.
8 Kutoka miji ya Beta na Berothai, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Mfalme Daudi akatwaa shaba nyingi sana.
Paççah Davudee, Hadadezerne Betaxiy Berotay donane şaharbışeençe geed yez adayle.
9 Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,
Xamatne paççahık'le Toik'le Davud Hadadezerne gırgıne g'oşunulecar ğamxhava g'iyxhe.
10 akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.
Hadadezeree hammaşee Toika dəv'ə haa'a vuxha. Hadadezerıle ğamxhava Davud nəxüriyva qiyghanas, sayir mana tabrik ha'asva paççah Toiyee dix Yoram mang'une k'anyaqa g'ıxele. Yoramee Davudus k'ınəəğəyn, nuk'rayn, yezan karbı adayle.
11 Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda:
Paççah Davudee in cus adıyn k'ınəəğəyken, nuk'rayken, yezaken, vucee menne milletbışike g'ayşuyn karbı Rəbbis g'iysar.
12 yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.
Mang'vee Edombışike, Moavbışike, Ammonbışike, Filiştinaaşike, Amalekbışike g'ayşuyn karbı Rəbbis g'iysar. Davudee Tsovayne paççahısse Rexovna dix eyxhene Hadadezerıssed g'ayşuyn karbıd Rəbbis g'iysar.
13 Naye Daudi akapata sifa baada ya kurudi kutoka kuwaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.
Davudee Q'evane q'aadalil Edombışda yits'ımoled aazır insan oot'al-ooxal hı'ı siyk'almee, mana gırgıng'uk'le ats'axhxhena.
14 Akaweka kambi za askari walinzi katika Edomu yote, nao Waedomu wakawa chini ya Daudi. Bwana alimpatia Daudi ushindi kila alipokwenda.
Edomne gırgıne suralqa mang'vee cun g'oşunbı ulyoozar hı'iyle qiyğa, Edombı mang'un g'ular vooxhe. Davud nyaqa hark'ıneeyir Rəbbee mana ğama'ananiy.
15 Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.
Davud İzrailynacar paççah eyxhe. Mang'vee millet qotkuda vuk'lek ıkkekka, gırgıngunemeeyir mana qorkura ıxha.
16 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
Tseruya donane zəiyfayna dix Yoav g'oşunna xərna ıxha. Axiludna dix Yehoşafat taarix oyk'anna ıxha.
17 Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;
Axituvna dix Tsadokiy Evyatarna dix Aximelek kaahinar vuxha. Seraya mirza ıxha.
18 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.
Yehoyadayna dix Benaya Keretbışdayiy Peletbışda xərna ıxha. Davudun dixbı kaahinar vuxha.