< 2 Samweli 7 >
1 Baada ya mfalme kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, naye Bwana akiwa amemstarehesha pande zote mbali na adui zake,
A hmuen pueng koe kaawm e a tarannaw e kut dawk hoi BAWIPA ni a hloutsaknae hah, siangpahrang ni a coe teh a im dawk karoumcalah ao navah,
2 akamwambia nabii Nathani, “Mimi hapa, ninaishi katika jumba la kifalme la mierezi, wakati Sanduku la Mungu limebaki katika hema.”
Siangpahrang ni profet Nathan hah kaw teh, khenhaw! kai teh Sidar thing im dawk ka o. Cathut e thingkong teh lukkarei yap e thung sut ao.
3 Nathani akamjibu mfalme, “Lolote ulilo nalo moyoni, endelea ukalifanye, kwa maana Bwana yu pamoja nawe.”
Nathan ni cet nateh na lung dawk kaawm e patetlah sak. Bangkongtetpawiteh, nang koe BAWIPA ao telah atipouh.
4 Usiku ule neno la Bwana likamjia Nathani, kusema:
Hote tangmin vah BAWIPA e lawk hah Nathan koe a pha.
5 “Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ewe ndiwe wa kunijengea mimi nyumba ili nikae ndani yake?
Ka san Devit koe cet nateh dei pouh, BAWIPA ni hettelah a dei, ka o nahane im nang ni na sak pouh han na maw.
6 Sijakaa ndani ya nyumba tangu siku niliyowaleta Waisraeli kutoka Misri hadi leo. Nimekuwa nikitembea kutoka mahali pamoja hadi mahali pengine ndani ya hema kama makao yangu.
Isarelnaw hah Izip ram hoi ka tâcokhainae koehoi im dawk kaawm hoeh, lukkareiim dawk doeh ka o.
7 Popote nilipotembea pamoja na Waisraeli wote, je, nimewahi kumwambia kiongozi wao yeyote niliyemwamuru kuwachunga watu wangu Israeli, “Kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi?”’
Isarelnaw koe ka cei nah tangkuem dawk hoi ka tami Isarelnaw kawkhik sak hanelah kai ni ka patoun e lawkcengkungnaw koe nang teh kai hanelah Sidar thing hoi im hah, bangkongmaw na sak hoeh ka ti boimaw.
8 “Sasa basi, mwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: Nilikutoa wewe kutoka machungani na kutoka kuandama kundi la kondoo na mbuzi ili kuwaongoza watu wangu Israeli.
Hatdawkvah, ka san Devit koevah, ransahu BAWIPA ni a dei e teh, tu a pânae hmuen koe tu na khoum navah, ka tami Isarelnaw uk hanelah na rawi toe.
9 Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda, nami nimekuondolea mbali adui zako wote mbele yako. Basi nitalifanya jina lako kuwa kuu kama majina ya watu walio wakuu sana duniani.
Na cei nah tangkuem koe kai ka o vaiteh tarannaw pueng na hmaitung ka thei vaiteh talai dawk a min ka lentoe e a min patetlah ka lentoe poung e min hah na poe toe.
10 Nami nitawapatia watu wangu Israeli mahali niwapande humo ili kwamba wawe na nyumbani kwao wenyewe wasisumbuliwe tena. Watu waovu hawatawaonea tena, kama walivyofanya mwanzoni,
Ka tami Isarelnaw a onae hmuen hah ka rakueng pouh toe. Ahnimanaw bout a kampuen awh hoeh nahan, amamae hmuen koe o sak hanelah, ka caksak han. Tami kathoutnaw teh ayan e tueng dawk hoi thoseh,
11 na kama walivyofanya tangu mwanzo wakati nilipowaweka viongozi juu ya watu wangu Israeli. Pia nitawapa raha mbele ya adui zenu wote. “‘Bwana akuambia kwamba Bwana mwenyewe atakujengea nyumba.
Ka tami Isarelnaw thung e lawkcengkungnaw hah ka rawinae tueng dawk thoseh, dudam e patetlah bout dudam awh mahoeh toe. Nang hai tarannaw e kut dawk hoi na kâhat sak teh, na imthung hah a kangdue sak han telah BAWIPA ni a dei toe.
12 Siku zako zitakapokwisha nawe ulale pamoja na baba zako, nitainua mzao wako aingie mahali pako, ambaye atatoka viunoni mwako, nami nitauimarisha ufalme wake.
Na hnin akuep teh, mintoenaw hoi na kâhat torei teh, na thitak dawk hoi ka tâcawt e na capa hah ka tawmrasang vaiteh, a ram ka kangdue sak han.
13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, nami nitaimarisha kiti cha enzi cha ufalme wake milele.
Ahni ni ka min o nahane im a sak han. A uknaeram bawitungkhung a yungyoe ka caksak han.
14 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu. Atakapokosea nitamwadhibu kwa fimbo ya wanadamu, kwa adhabu ya kupigwa na wanadamu.
A na pa lah ka o vaiteh, ahni teh ka capa lah ao han. Payonpakainae sak pawiteh tami ni a hno e bongpai hoi ka yue han. Tami ni a hem e patetlah ka hem han.
15 Lakini upendo wangu kamwe hautaondolewa kwake, kama nilivyouondoa kwa Sauli, niliyemwondoa atoke mbele yako.
Hatei na hmalah ka takhoe e Sawl dawk hoi kai ni na pahrennae ka lae patetlah nange na ca dawk hoi ka lat mahoeh.
16 Nyumba yako na ufalme wako utadumu milele mbele zangu, kiti chako cha enzi kitafanywa imara milele.’”
Na imthung hoi na uknaeram teh yungyoe caksak e lah ao vaiteh, na bawitungkhung hah yungyoe caksak e lah ao han. Ka san Devit koe dei pouh, telah ati.
17 Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.
Hete lawknaw pueng hoi kamnuenae dawk kamnuek e naw patetlah Nathan ni Devit koe a dei pouh.
18 Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Bwana, akasema: “Ee Bwana Mwenyezi, mimi ni nani, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo?
Hatnavah siangpahrang Devit ni a kâen teh, BAWIPA e hmalah a tahung. Oe Bawipa Jehovah, bang patetlae tami lah maw ka o teh ka imthung hai bang patetlae na maw. Hettelah na hrawi.
19 Naam, kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee Bwana Mwenyezi, wewe umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Je, hii ndiyo njia yako ya kawaida ya kushughulika na mwanadamu, Ee Bwana Mwenyezi?
Oe Bawipa Jehovah, het hai na mithmu vah hno titca rah doeh. Hateiteh, na san imthung kong heh kum moikapap hanelah yo na la dei toe. Oe Bawipa Jehovah, hete hnonaw hai taminaw ni hottelah a sak awh e doeh.
20 “Je, Daudi aweza kukuambia nini zaidi? Kwa maana unamjua mtumishi wako, Ee Bwana Mwenyezi.
Devit ni nang nama koe bangmaw a hloilah a dei han. Bangkongtetpawiteh, na san heh Oe Bawipa Jehovah nang ni koung na panue.
21 Kwa ajili ya neno lako na kwa mapenzi yako, umefanya jambo hili kubwa na kulifanya lijulikane na lifahamike kwa mtumishi wako.
Na lawk kecu hoi na lungpouk e boiboe lah na sak e hno ka lentoe e hah na san koe na panue sak.
22 “Tazama jinsi ulivyo mkuu, Ee Bwana Mwenyezi! Hakuna mwingine kama wewe, wala hakuna Mungu ila wewe, kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe,
Hatdawkvah, Oe Bawipa Jehovah, nang teh na lentoe poung. Bangkongtetpawiteh, ka hnâ hoi ka thainae lah nang patet e awm hoeh. Nang nama hoeh laipalah Cathut alouke khoeroe awm hoeh.
23 Naye ni nani aliye kama watu wako Israeli, taifa pekee duniani ambalo Mungu alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe, na kujifanyia jina mwenyewe, kwa kufanya maajabu makubwa na ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa na miungu yao mbele ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri?
Izip ram miphun kuep hoi a cathutnaw thung hoi nama hanlah na ratang e, na taminaw hmalah ka lentoe e hno hoi na uk nahane dawk takikatho poung e hno ka sak hane hoi, a ma hanelah a rawi e, na tami Isarelnaw patetlah e, talai dawk miphun alouke apimaw kaawm.
24 Umeimarisha watu wako Israeli hasa kama watu wako mwenyewe milele, nawe, Ee Bwana, umekuwa Mungu wao.
Bangkongtetpawiteh, na tami Isarelnaw hah a yungyoe na tami lah o nahane na coung sak teh BAWIPA nang nama teh a Cathut lah na o.
25 “Basi sasa, Bwana, ukaitimize ahadi uliyosema kuhusu mtumishi wako na nyumba yake milele. Fanya kama ulivyoahidi,
Oe BAWIPA Cathut, na san dawk thoseh, ka imthung dawk thoseh, na dei e lawk hah a yungyoe caksak haw. Na dei tangcoung e patetlah sak lawih.
26 ili kwamba jina lako litukuke milele. Ndipo watu watasema, ‘Bwana Mwenye Nguvu Zote ni Mungu juu ya Israeli!’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itakuwa imara mbele zako.
Ransahu BAWIPA teh Isarelnaw ka uk e Cathut doeh telah na min hah yungyoe rasang lawi naseh. Nange na san Devit e imthung, na hmaitung caksak e lah ao han.
27 “Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, umelifunua hili kwa mtumishi wako, ukisema, ‘Nitakujengea nyumba.’ Hivyo mtumishi wako amepata ujasiri kukuletea dua hii.
Bangkongtetpawiteh, oe ransahu BAWIPA Isarel Cathut, na san koevah na imthung kangdue sak han telah lawk na dei toe. Hatdawkvah, na san ni a lungthin hoi hete ratoum ngainae na hmaitung sak hanelah a hmu toe.
28 Ee Bwana Mwenyezi, wewe ndiwe Mungu! Maneno yako ndiyo kweli, nawe umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri.
Oe Bawipa Jehovah nang teh Cathut lah na o. Na lawk teh atangcalah ao. Na hawinae na san dawk lawk na kam toe.
29 Sasa naomba uwe radhi kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili idumu mbele zako milele, kwa maana wewe, Ee Bwana Mwenyezi, umesema, na kwa baraka zako nyumba ya mtumishi wako itaendelea kubarikiwa milele.”
Hatdawkvah, na san imthung heh, na hmalah yungyoe pou ao thai nahanelah yawhawinae poe haw. Bangkongtetpawiteh, Oe Bawipa Jehovah, nama ni yo na dei toe. Na yawhawinae hoi na san imthungnaw teh yungyoe hoi yawhawinae awm seh telah ati.