< 2 Samweli 5 >

1 Makabila yote ya Israeli yakamjia Daudi huko Hebroni na kumwambia, “Sisi tu nyama yako na damu yako hasa.
Derpaa kom alle Israels Stammer til David i Hebron og sagde: »Vi er jo dit Kød og Blod!
2 Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme juu yetu, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani. Naye Bwana alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’”
Allerede før i Tiden, da Saul var Konge over os, var det dig, som førte Israel ud i Kamp og hjem igen; og HERREN sagde til dig: Du skal vogte mit Folk Israel og være Hersker over Israel!«
3 Wazee wote wa Israeli wakamwendea Mfalme Daudi huko Hebroni, mfalme akafanya mapatano nao huko Hebroni mbele za Bwana, nao wakamtia Daudi mafuta kuwa mfalme wa Israeli.
Og alle Israels Ældste kom til Kongen i Hebron, og Kong David sluttede i Hebron Pagt med dem for HERRENS Aasyn, og de salvede David til Konge over Israel.
4 Daudi alikuwa na miaka thelathini alipoanza kutawala, naye akatawala Israeli miaka arobaini.
David var tredive Aar, da han blev Konge, og han herskede fyrretyve Aar.
5 Huko Hebroni alitawala Yuda kwa miaka saba na miezi sita, na katika Yerusalemu alitawala Israeli yote na Yuda kwa miaka thelathini na mitatu.
I Hebron herskede han over Juda syv Aar og seks Maaneder, og i Jerusalem herskede han tre og tredive Aar over hele Israel og Juda.
6 Mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kuwashambulia Wayebusi walioishi humo. Wayebusi wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu, kwani hata vipofu na viwete wanaweza kukufukuza.” Walidhani, “Daudi hawezi kuingia humu.”
Derpaa drog Kongen med sine Mænd til Jerusalem mod Jebusiterne, som boede deri Landet. Man sagde til Kongen: »Her kan du ikke trænge ind, thi blinde og lamme vil slaa dig tilbage!« Dermed vilde de sige: »David kommer ikke herind!«
7 Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
Men David indtog Klippeborgen Zion, det er Davidsbyen.
8 Siku ile, Daudi akasema, “Yeyote ambaye atawashinda Wayebusi, atatumia huo mfereji kuwafikia hao ‘viwete na vipofu’ ambao ni adui za Daudi.” Ndiyo sababu wanasema, “‘Vipofu na viwete’ hawataingia kwenye jumba la ufalme.”
Paa den Dag sagde David: »Enhver, som trænger frem til Vandledningen og slaar en Jebusit, de halte og blinde, som Davids Sjæl hader, skal være Øverste og Hærfører«. Derfor siger man: »En blind og en lam kommer ikke ind i Huset!«
9 Ndipo Daudi akafanya makao ndani ya ngome na kuiita Mji wa Daudi. Akajenga eneo linalozunguka kuanzia Milo kuelekea ndani.
Saa tog David Bolig i Klippeborgen og kaldte den Davidsbyen; og han befæstede Byen rundt om fra Millo og indefter.
10 Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.
Og David blev mægtigere og mægtigere; HERREN, Hærskarers Gud, var med ham.
11 Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, maseremala na waashi, nao wakajenga jumba la kifalme kwa ajili ya Daudi.
Kong Hiram af Tyrus sendte Sendebud til David med Cedertræer og tillige Tømmermænd og Stenhuggere, som byggede ham et Hus.
12 Naye Daudi akafahamu kuwa Bwana amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na ameinua ufalme wake kwa ajili ya Israeli, watu wake.
Da skønnede David, at HERREN havde sikret hans Kongemagt over Israel og højnet hans Kongedømme for sit Folk Israels Skyld.
13 Baada ya Daudi kuondoka Hebroni, akajitwalia masuria zaidi na wake huko Yerusalemu, nao wana na binti wengi walizaliwa kwake.
David tog i Jerusalem endnu flere Medhustruer og Hustruer, efter at han var kommet dertil fra Hebron, og der fødtes ham flere Sønner og Døtre.
14 Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,
Navnene paa dem, som fødtes ham i Jerusalem, er følgende: Sjammua, Sjobab, Natan, Salomo,
15 Ibihari, Elishua, Nefegi, Yafia,
Jibhar, Elisjua, Nefeg, Jafia,
16 Elishama, Eliada na Elifeleti.
Elisjama, Ba'aljada og Elifelet.
17 Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akateremka kwenye ngome.
Men da Filisterne hørte, at David var salvet til Konge over Israel, rykkede de alle ud for at søge efter ham. Ved Efterretningen herom drog David ned til Klippeborgen,
18 Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kusambaa kwenye Bonde la Warefai,
medens Filisterne kom og bredte sig i Refaimdalen.
19 kwa hiyo Daudi akamuuliza Bwana, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Bwana akamjibu, “Nenda, kwa maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”
David raadspurgte da HERREN: »Skal jeg drage op mod Filisterne? Vil du give dem i min Haand?« Og HERREN svarede David: »Drag op, thi jeg vil give Filisterne i din Haand!«
20 Ndipo Daudi akaenda mpaka Baal-Perasimu, na huko akawashinda Wafilisti. Akasema, “Kama mafuriko yafurikavyo, Bwana amewafurikia adui zangu mbele yangu.” Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Baal-Perasimu.
Saa drog David til Ba'al-Perazim, og der slog han dem. Da sagde han: »HERREN har brudt igennem mine Fjender foran mig, som Vand bryder igennem!« Derfor kalder man Stedet Ba'al-Perazim.
21 Wafilisti wakaiacha miungu yao huko, naye Daudi na watu wake wakaichukua.
Og de lod deres Guder i Stikken der, og David og hans Mænd tog dem.
22 Wafilisti walikwea kwa mara nyingine na kusambaa katika Bonde la Warefai.
Men Filisterne bredte sig paa ny i Refaimdalen.
23 Kwa hiyo Daudi akamuuliza Bwana, naye akamjibu, “Usipande moja kwa moja, bali wazungukie kwa nyuma na uwashambulie mbele ya miti ya miforosadi.
Da David raadspurgte HERREN, svarede han: »Drag ikke imod dem, men omgaa dem og fald dem i Ryggen ud for Bakabuskene.
24 Mara utakaposikia sauti ya kutembea kutoka kwenye vilele vya miti ya miforosadi, nenda haraka, kwa sababu hiyo itamaanisha kuwa Bwana ametangulia mbele yako kupiga jeshi la Wafilisti.”
Naar du da hører Lyden af Skridt i Bakabuskenes Toppe, skal du skynde dig, thi saa er HERREN draget ud foran dig for at slaa Filisternes Hær!«
25 Basi Daudi akafanya kama Bwana alivyomwagiza, naye akawaangusha Wafilisti njia yote kuanzia Geba hadi Gezeri.
David gjorde, som HERREN bød, og slog Filisterne fra Gibeon til hen imod Gezer.

< 2 Samweli 5 >