< 2 Samweli 4 >

1 Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu.
Saulning oghli Abnerning Hébronda ölginini anglighanda qoli boshiship ketti, barliq Israil dekke-dükkige chüshti.
2 Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini,
Saulning oghlining qoshunining aldin yürer qismida ikki serdari bolup, birining ismi Baanah, yene birining ismi Rekab idi. Ular Binyamin qebilisidin bolghan Beerotluq Rimmonning oghulliri idi (chünki Beerot Binyamin qebilisige tewe hésablinatti;
3 kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.
lékin Beerotluqlar Gittaimgha qéchip bérip u yerde bu kün’giche musapirdek yashawatidu).
4 (Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)
Saulning oghli Yonatanning bir oghli bolup, puti aqsaq idi. Saul bilen Yonatanning ölgenliki toghruluq xewer Yizreelge yetkende, u besh yashqa kirgen idi. Inik anisi uni élip qachti; lékin shundaq boldiki, u aldirap yügürgechke, bala chüshup kétip, aqsaq bolup qalghanidi. Uning ismi Mefiboshet idi.
5 Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana.
Emdi bir küni Beerotloq Rimmonning oghulliri Rekab bilen Baanah chingqi chüsh waqtida Ishboshetning öyige bardi. Ishboshet chüshlük uyquda uxlawatqanidi.
6 Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.
Ular bughday alimiz dégenni bahane qilip, öyining ichkirige kirip, Ishboshetning qorsiqigha [pichaq] sanjidi. Andin Rekab we Baanah qéchip ketti
7 Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba.
(ular Ishboshet hujrisida kariwatta yatqinida, öyge kirip, uni öltürgenidi). Ular uning kallisini késip, andin kallisini élip kéchiche Arabah tüzlenglikidin méngip ötti.
8 Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo Bwana amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”
Ular Ishboshetning kallisini Hébron’gha, Dawutning qéshigha élip bérip, padishahqa: Mana, bu janablirining jénini izdigen düshmenliri Saulning oghli Ishboshetning kallisi! Bügün Perwerdigar ghojam padishahni Saul bilen neslidin intiqam élishqa muyesser qildi — dédi.
9 Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote,
Dawut Beerotluq Rimmonning oghulliri Rekab bilen inisi Baanahgha: Méni barliq qiyinchiliqlardin qutquzghan Perwerdigarning hayati bilen qesem qilimenki,
10 yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake!
burun birsi Dawutqa xush xewer élip keldim, dep oylap, manga: — Mana, Saul öldi, dep kelgende, men uni élip Ziklagta öltürüwettim. Berheq, mana bu uning yetküzgen xewirining mukapati bolghanidi!
11 Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”
Emdi men shundaq qilghan yerde, rezil ademler öz öyide orunda yatqan bir heqqaniy kishini öltürgen bolsa, men néme qilay?! Uning aqqan qan qerzini silerning qolunglardin élip, silerni yer yüzidin yoqatmamdim? — dédi.
12 Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.
Dawut ghulamlirigha buyruq qiliwidi, ular bularni qetl qildi. Ularning qol-putlirini késip, ularni Hébrondiki kölning yénida ésip qoydi; lékin ular Ishboshetning béshini élip Hébronda Abnerning qebriside depne qildi.

< 2 Samweli 4 >