< 2 Samweli 24 >

1 Hasira ya Bwana ikawaka tena dhidi ya Israeli, naye akamchochea Daudi dhidi yao, akisema, “Nenda ukawahesabu Israeli na Yuda.”
Rəbbina qəl meeb İzraililqa avqaaqa. Mang'vee Davuduk'le eyhen: «Hoora, İzrailybıyiy Yahuder qəpqe». Məxür Mang'vee Davud İzrailybışilqa g'elil qı'ı.
2 Kwa hiyo mfalme akamwambia Yoabu, pamoja na majemadari wa jeshi aliokuwa nao, “Nendeni kwa makabila yote ya Israeli kuanzia Dani hadi Beer-Sheba na mwandikishe watu wapiganaji, ili niweze kujua idadi yao.”
Davudee cune k'anene g'oşunne xərıng'uk'le Yoavık'le eyhen: – Həşde Danile Beer-Şevalqamee, gırgıne İzrailyne nasılbışde yı'q'nee iviykre, manbı qəpqe. Zak'le manbı nimeenbı vuxhay ats'axhxhes ıkkan.
3 Lakini Yoabu akamjibu mfalme, “Bwana Mungu wako na azidishe jeshi mara mia, nayo macho ya bwana wangu mfalme na yaone hili. Lakini kwa nini bwana wangu mfalme anataka kufanya kitu cha namna hii?”
Yoavee paççahık'le eyhen: – Yiğın millet nimeeniy, hasre Rəbbee, yiğne Allahee, manbı vəş nəqqees mançile geeb qee'ecen. Yiğne ulek'led man g'acecen. Nya'a, nişil-allane yizde xərıng'us paççahıs məxbına iş haa'as vukkan?
4 Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu pamoja na majemadari wa jeshi, kwa hiyo wakaondoka mbele ya mfalme kuandikisha wapiganaji wa Israeli.
Paççahın cuvab Yoavneyiy g'oşunne ç'ak'ınbışde cuvabıle ooqan ıxha. Yoaviy g'oşunun ç'ak'ınbı İzrailin millet qətqəs vüqqəva paççahısse qığeebaç'enbı.
5 Baada ya kuvuka Yordani, walipiga kambi karibu na Aroeri, kusini ya mji ulioko kwenye bonde jembamba, ndipo wakipitia Gadi, wakaenda hadi Yazeri.
Manbışe İordanne damayle ılğeepç'ı, Aroer eyhene şaharne k'ane çadırbı giyxə. Mana şahar q'adaalyne yı'q'nee vuxha. Qiyğa manbı Qadıne nasılene cigabışile k'ena Yazer eyhene şahareeqa avayk'an.
6 Walikwenda hadi Gileadi na pia eneo la Tahtimu-Hodshi, wakaendelea hadi Dani-Yaani na kuzunguka kuelekea Sidoni.
Mançe manbı Gileadeeqa, Taxtim-Xodşi eyhene cigeeqa havayk'an. Mançeb Dan-Yaan eyhena şahar ılğevç'u, Sidonne şahareeqa qabı hiviyxhar.
7 Kisha wakaenda kuelekea ngome ya Tiro pamoja na miji yote ya Wahivi na ya Wakanaani. Mwishoni, walikwenda mpaka Beer-Sheba katika Negebu ya Yuda.
Sur eyhene g'aleeqa, Q'ivbışdeyiy Kana'anbışde gırgıne şaharbışeeqa manbı hapk'ın, hiviyxharanbı. Nekke qiyğab manbı qavaylenbı Yahudayne canubulyne Beer-Şeveeqa.
8 Baada ya kupita katika nchi nzima, walirudi Yerusalemu baada ya miezi tisa na siku ishirini.
Yüç'ne vuzeyiy g'ane yiğee manbışe ölka k'anençe-qomaqamee gits'ibaxhana. Mançe İyerusalimeeqa siviyk'al.
9 Yoabu akatoa hesabu ya wapiganaji kwa mfalme: Katika Israeli kulikuwako watu 800,000 wenye uwezo wa kupigana, na katika Yuda watu 500,000.
Yoavee nimeeniy insanar vuxhava paççahık'le eyhe. İzrailee mane gahıl g'ılıncıka səyxəs əxəsda molyud vəş aazır, Yahudeeyir xhod vəş aazır igid ıxha.
10 Dhamiri ya Daudi ilishtuka baada ya kuwahesabu wapiganaji, naye akamwambia Bwana, “Nimefanya dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Ee Bwana, sasa ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”
Davudee millet qətqəs alikkıyle qiyğa, mang'us culecad cus naş qexhe. Mang'vee Rəbbik'le eyhen: – Mana iş hav'u, zı xəbna bınah opxhun. Rəbb, həşde hucoona ixhes ine g'ulune taxsirıke ılyheç'e, zı bəç'əriyvalla hav'u.
11 Kabla Daudi hajaamka kesho yake asubuhi, neno la Bwana lilikuwa limemjia Gadi nabii, aliyekuwa mwonaji wa Daudi, kusema:
Davud qinne yiğıl miç'er oza qıxesse, Rəbbee Davudulqa hixhar ha'ane Qad peyğambarık'le eyhen:
12 “Nenda ukamwambie Daudi, ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’”
– Hoora, Davuduk'le eyhe, Rəbbee inva vod eyhe: «Yiğne ögilqa xhebılle kar gixhxhes. Mançin sa g'əyxe, Zı vak ha'as».
13 Basi Gadi akaenda kwa Daudi na kumwambia, “Je, ije njaa ya miaka mitatu katika nchi yako? Au miezi mitatu ya kukimbia adui zako wakikufuatia? Au siku tatu za tauni katika nchi yako? Basi sasa, fikiri juu ya hilo na uamue jinsi nitakavyomjibu huyo aliyenituma.”
Qad Davudusqa arı, mang'uk'le eyhen: – G'əyxe, yighılle senna yiğne ölkee mısvalybı ıxhane vas ıkkan? Xheyible vazna hixu yiğne duşmanaaşine xılençe iykarasne ıkkan? Deşxheene, xhebılle yiğna yiğne ölkee yı'q'ı'n ık'arbı ıxhane ıkkan? Həşde yugba fıkır opxhun, ğu yiğın cuvab eyhe. Zı hark'ın zı G'axuvuyng'uk'le eyhes.
14 Daudi akamjibu Gadi, “Nitataabika sana. Afadhali tuangukie mikononi mwa Bwana, kwa maana rehema zake ni kuu, lakini usiniache nianguke mikononi mwa wanadamu.”
Davudee Qadık'le eyhen: – Yizdemee geed dağamda vod. İnsanne xılyaqa gyapk'asse hasre Rəbbine xılyaqa gyapk'ecen. Rəbbiqa rəhı'm geeb vob.
15 Basi Bwana akatuma tauni katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka mwisho wa muda ulioamriwa, wakafa watu 70,000 kuanzia Dani hadi Beer-Sheba.
Mane yiğıl miç'ediyle otçu, Vucee gyuvxhuna gah ç'əvuvxhesmee, Rəbbee İzraililqa yı'q'ı'n ık'arbı g'ıxele. Danile Beer-Şevalqamee yights'al aazır insan qek'a.
16 Malaika aliponyoosha mkono wake ili kuangamiza Yerusalemu, Bwana akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anawadhuru watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Bwana alikuwa kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna, Myebusi.
İyerusalimeen insanar gyapt'asva malaaikın xıl hodakkemee, Rəbbis maabın insanar qiviykkın, malaaikık'le eyhen: – Ç'əv, xıl g'ayşe! Rəbbin malaaik mane gahıl Aravna donane sa insanne attayne k'ane ıxha. Aravna Yevusbışda ıxha.
17 Ikawa Daudi alipomwona huyo malaika aliyekuwa akiwaua watu, akamwambia Bwana, “Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Mkono wako uwe juu yangu na nyumba yangu.”
Davuduk'le millet gek'an malaaik g'acumee, Rəbbik'le eyhen: – Bınah hav'una zı vor, taxsir zal vod. Nya'a ine syuru xhineene insanaaşe hucoone hı'ı? Manbışil-alla zasiy yizde xizanıs caza hevle.
18 Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi na kumwambia, “Panda ukamjengee Bwana madhabahu kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.”
Mane yiğıl Qad Davudusqa arı, eyhen: – Hark'ın Yevusbışda eyxhene Aravnayne attal Rəbbis q'urbanbı allya'an ciga ale'e.
19 Kwa hiyo Daudi akakwea kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kwa kinywa cha Gadi.
Qadıne cuvabıka, Davud, Rəbbee əmr hav'uyn xhinne maqa hayk'an.
20 Arauna alipotazama na kumwona mfalme na watu wake wakija kumwelekea, alitoka nje na kusujudu mbele ya mfalme kifudifudi, akiuinamisha uso wake ardhini.
Aravna avqa ilyakkımee, Davudıy cun insanar cusqa qöö g'ooce. Mana g'aqa qığeç'u, paççahne ögil ç'iyelqamee k'yorzul,
21 Arauna akasema, “Mbona bwana wangu mfalme amekuja kwa mtumishi wake?” Daudi akajibu, “Kununua sakafu yako ya kupuria, ili niweze kumjengea Bwana madhabahu, ili tauni iliyo katika watu iondolewe.”
eyhen: – Nəxürkenane yizda xərna paççah zasqa arı? Davudee eyhen: – Rəbbis q'urbanbı allya'an ciga alya'asdemee zı vake yiğna atta alivşes arı. Milletılin yı'qı'n ıkar ulyoozrecenva zı Rəbbis q'urbanbı alya'as.
22 Arauna akamwambia Daudi, “Bwana wangu mfalme na achukue chochote kinachompendeza na akitoe sadaka. Hapa kuna maksai kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia kuna miti ya kupuria na nira za ngʼombe kwa ajili ya kuni.
Aravnee Davuduk'le eyhen: – Hasre yizde xərıng'vee, paççahee cune ulesqa yugda qöönmeen alyaat'u, Rəbbis q'urbanbı alle'ecen. Haane gyoxhxhan hı'ı q'urbanna allya'asın yatsbı aleet'e. Gyoxhxhan ha'asde osune cigee mıgrabıyiy yatsbışde gardanaqa qa'an karbı aleet'e.
23 Ee mfalme, Arauna anatoa vyote hivi kwa mfalme.” Pia Arauna akamwambia mfalme, “Bwana Mungu wako na akukubali.”
Paççah, man gırgın zı vas hele. Aravnee meed eyhen: – Hasre Rəbb, yiğna Allah, vaka yugra ixhecen.
24 Lakini mfalme akamjibu Arauna, “La hasha, nasisitiza kuvilipia. Sitatoa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana Mungu wangu isiyonigharimu chochote.” Kwa hiyo Daudi akanunua ile sakafu ya kupuria nafaka na maksai, akazilipia shekeli hamsini za fedha.
Paççaheeme Aravnayk'le eyhen: – Zı vake man ciga məxüdcad deş alyaat'as, zı mançike vas hək' qevles. Zas q'ərad gitxhuyn kar zasse Rəbbis, yizde Allahıs, gyooxhan haa'ana q'urban xhinne ablyaa'as dəəxə. Davudee attaykeyiy yatsbışike xhots'al nuk'ra qele.
25 Kisha Daudi akamjengea Bwana madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Kisha Bwana akajibu kwa ajili ya nchi, nayo tauni ikakoma katika Israeli.
Davudee maa'ad Rəbbis q'urbanbı allya'an ciga ali'ı, maa'ad gyoxhxhan ha'aniy medın q'urbanbı allya'a. Rəbbee ölkaynemee haa'ana düə q'abıl haa'ana, mançikad İzrailee yı'q'ı'n ık'arbı ç'əveedaxhenbı.

< 2 Samweli 24 >