< 2 Samweli 24 >
1 Hasira ya Bwana ikawaka tena dhidi ya Israeli, naye akamchochea Daudi dhidi yao, akisema, “Nenda ukawahesabu Israeli na Yuda.”
Eso afaega, Hina Gode da bu Isala: ili fi ilima ougi galu. E da Da: ibidi ilima bidi hamosu doaga: ma: ne hamoi. Hina Gode da ema amane sia: i, “Masa! Isala: ili amola Yuda fi dunu idima.”
2 Kwa hiyo mfalme akamwambia Yoabu, pamoja na majemadari wa jeshi aliokuwa nao, “Nendeni kwa makabila yote ya Israeli kuanzia Dani hadi Beer-Sheba na mwandikishe watu wapiganaji, ili niweze kujua idadi yao.”
Amaiba: le, Da: ibidi da dadi gagui wa: i ouligisudafa amo Youa: be, ema amane sia: i, “Di amola dia afoha ouligisu dunu huluane amo Isala: ili fi huluane fodomane fasisa asili muni na: iyado soge bega: asili na: iyado bega: doaga: le amola dunu huluane idima. Na da ili idi dawa: mu hanai gala.”
3 Lakini Yoabu akamjibu mfalme, “Bwana Mungu wako na azidishe jeshi mara mia, nayo macho ya bwana wangu mfalme na yaone hili. Lakini kwa nini bwana wangu mfalme anataka kufanya kitu cha namna hii?”
Be Youa: be da amane adole i, “Hina noga: idafa! Dia Hina Gode da Isala: ili dunu ilia idi amo bagalesili, bu afae da 100 ba: ma: ne hamomu da defea. Amola amo dafawane ba: ma: ne, di da esalumu da defea. Be di, hina noga: idafa, abuliba: le amo hamomusa: hanabela: ?”
4 Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu pamoja na majemadari wa jeshi, kwa hiyo wakaondoka mbele ya mfalme kuandikisha wapiganaji wa Israeli.
Be Da: ibidi da Youa: be amola ea afoha ouligisu dunu ea sia: i nabawane hamoma: ne logei. Ilia da e fisili, Isala: ili dunu idimusa: asi.
5 Baada ya kuvuka Yordani, walipiga kambi karibu na Aroeri, kusini ya mji ulioko kwenye bonde jembamba, ndipo wakipitia Gadi, wakaenda hadi Yazeri.
Ilia da Yoda: ne Hano degele, Aloua moilai ga (south) la: idi amoga fi dialu. (Aloua da Ga: de soge ganodini, fago dogoa dialebe ba: i). Amogainini asili, ilia ga (north) Ya: isa moilai bai bagadega asi.
6 Walikwenda hadi Gileadi na pia eneo la Tahtimu-Hodshi, wakaendelea hadi Dani-Yaani na kuzunguka kuelekea Sidoni.
Amo yolesili, ilia da Gilia: de baligili, Ga: idese soge (Hidaide fi soge amo ganodini dialebe) amoga doaga: i. Amalalu, ilia da Da: ne moilaiga asili, amola bu guma: dini, Saidone moilai bai bagadega asi.
7 Kisha wakaenda kuelekea ngome ya Tiro pamoja na miji yote ya Wahivi na ya Wakanaani. Mwishoni, walikwenda mpaka Beer-Sheba katika Negebu ya Yuda.
Amalalu, ilia da bu ga (south) asili, gagili sali moilai bai bagade Daia amoga doaga: i. Amalalu, ilia da Haifaide dunu amola Ga: ina: ne dunu ilia moilai huluane amoga asili, amola ilia ahoabe dagomusa: , Biasiba moilai bai bagade (Yuda ga [south] soge ganodini diala) amoga doaga: i.
8 Baada ya kupita katika nchi nzima, walirudi Yerusalemu baada ya miezi tisa na siku ishirini.
Ilia da oubi sesegeyale amola eso 20 amoga ahoanu, ilia da Yelusalemega buhagi. Ilia da soge huluanedafa amo ganodini ahoanu dagoi ba: i.
9 Yoabu akatoa hesabu ya wapiganaji kwa mfalme: Katika Israeli kulikuwako watu 800,000 wenye uwezo wa kupigana, na katika Yuda watu 500,000.
Ilia da hina bagadema amo dunu huluane amo da gegemusa: defele esalu, amo ilia idi ema sia: ne iasu. Ilia idi da Isala: ili dunu 800,000 amola Yuda dunu 500,000.
10 Dhamiri ya Daudi ilishtuka baada ya kuwahesabu wapiganaji, naye akamwambia Bwana, “Nimefanya dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Ee Bwana, sasa ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”
Be Da: ibidi da amo dunu fi idisu lai dagobeba: le, e da ea asigi dawa: su ganodini se nabalu, Hina Godema amane sia: i, “Na da amo hamobeba: le, wadela: le bagadedafa hamoi. Dafawane! Na da gagaoui agoane hamoi dagoi. Na gogolema: ne olofoma.”
11 Kabla Daudi hajaamka kesho yake asubuhi, neno la Bwana lilikuwa limemjia Gadi nabii, aliyekuwa mwonaji wa Daudi, kusema:
12 “Nenda ukamwambie Daudi, ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’”
Hina Gode da Ga: de (Da: ibidi ea balofede dunu) ema amane sia: i, “Di Da: ibidima asili, amola ema Na da ilegesu udiana ema olelemu. Amo ilegesu hi da ilegesea, amo Na da ema hamomu.” Golale hahabe, Da: ibidi da wa: legadole, amola amogalu,
13 Basi Gadi akaenda kwa Daudi na kumwambia, “Je, ije njaa ya miaka mitatu katika nchi yako? Au miezi mitatu ya kukimbia adui zako wakikufuatia? Au siku tatu za tauni katika nchi yako? Basi sasa, fikiri juu ya hilo na uamue jinsi nitakavyomjibu huyo aliyenituma.”
Ga: de da ema asili, Hina Gode Ea sia: i ema alofele i. E da Da: ibidima amane adole ba: i, “Di da adi ilegesala: ? Dia soge amo ganodini ode udiana ha: mu ilegema: bela: ? O oubi udiana amoga dia ha lai da di hasalabeba: le, di sefasimu, amo ilegema: bela: ? O eso udiana olo bagade di dia sogega ba: mu, amo ilegema: bela: ? Di dawa: lalu, nama adole ima. Amasea, na da Hina Godema alofele adole imunu.”
14 Daudi akamjibu Gadi, “Nitataabika sana. Afadhali tuangukie mikononi mwa Bwana, kwa maana rehema zake ni kuu, lakini usiniache nianguke mikononi mwa wanadamu.”
Da: ibidi da bu adole i, “Na da bidi hamosu bagadedafa amoga sisiga: i. Be na da osobo bagade dunuga se nabimu higa: i. Hina Gode Hisu da ninima se imunu da defea. Bai e da asigisa, amola gogolema: ne olofosu dawa:”
15 Basi Bwana akatuma tauni katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka mwisho wa muda ulioamriwa, wakafa watu 70,000 kuanzia Dani hadi Beer-Sheba.
Amaiba: le, Hina Gode da olo bagade Isala: ili dunuma iasi. Olo da amogala hahabe muni, Gode ea ilegei eso idi ganodini ba: i. Olo da Isala: ili soge bega: asili, la: idi bega: doaga: le, amola Isala: ili dunu 70,000 da bogogia: i ba: i.
16 Malaika aliponyoosha mkono wake ili kuangamiza Yerusalemu, Bwana akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anawadhuru watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Bwana alikuwa kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna, Myebusi.
Hina Gode Ea a: igele dunu da Yelusaleme wadela: lesimu amo galuwane, Hina Gode da da: i dione, a:igele dunuma sia: i, “Aligima! Bu mae wadela: lesima.” Amogalu, a:igele dunu da Yebiusaide dunu ea dio amo Alona ea widi dabasu sogebi amoga lelebe ba: i.
17 Ikawa Daudi alipomwona huyo malaika aliyekuwa akiwaua watu, akamwambia Bwana, “Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Mkono wako uwe juu yangu na nyumba yangu.”
Da: ibidi da a: igele amo da Isala: ili dunuma se ianabe amo ba: i. E da Hina Godema amane sia: i, “Na fawane da wadela: le hamoi. Amo hahani dunu da adi hamobela: ? Di da na amola na sosogo ninima se imunu da defea galu.”
18 Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi na kumwambia, “Panda ukamjengee Bwana madhabahu kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.”
Amo eso amagalawane, Ga: de da Da: ibidima asili, amane sia: i, “Dia Alona ea widi dabasu amoga asili, Hina Godema gobele salimusa: , oloda gaguma.”
19 Kwa hiyo Daudi akakwea kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kwa kinywa cha Gadi.
Da: ibidi da Hina Gode Ea sia: Ga: demadi misi, amo nababeba: le, asi.
20 Arauna alipotazama na kumwona mfalme na watu wake wakija kumwelekea, alitoka nje na kusujudu mbele ya mfalme kifudifudi, akiuinamisha uso wake ardhini.
Alona da ba: le guduli, hina bagade amola ea ouligisu dunu ema manebe ba: i. E da Da: ibidi midadi amoga hi gobele osoba gala: la sa: ili,
21 Arauna akasema, “Mbona bwana wangu mfalme amekuja kwa mtumishi wake?” Daudi akajibu, “Kununua sakafu yako ya kupuria, ili niweze kumjengea Bwana madhabahu, ili tauni iliyo katika watu iondolewe.”
amane adole ba: i, “Hina noga: idafa! Dia abuliba: le guiguda: misibala: ?” Da: ibidi da bu adole i, “Na da dia widi dabasu sogebi amogawi amo olo hedofama: ne, Hina Godema oloda hamomusa: , amo bidi lama: ne misi.”
22 Arauna akamwambia Daudi, “Bwana wangu mfalme na achukue chochote kinachompendeza na akitoe sadaka. Hapa kuna maksai kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia kuna miti ya kupuria na nira za ngʼombe kwa ajili ya kuni.
Alona da amane sia: i, “Defea, hina noga: idafa! Lama! Amola dia hanaiga Hina Godema gobele salima. Amola na bulamagau di oloda da: iya gobele salimusa: lama. Ilia `youge’ amola dabasu ifa amo lalu didima: ne lama.”
23 Ee mfalme, Arauna anatoa vyote hivi kwa mfalme.” Pia Arauna akamwambia mfalme, “Bwana Mungu wako na akukubali.”
Alona da amo liligi huluane amo hina bagadema udigili i. E da ema amane sia: i, “Dia Hina Gode da dia iasu hahawane lamu da defea.”
24 Lakini mfalme akamjibu Arauna, “La hasha, nasisitiza kuvilipia. Sitatoa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana Mungu wangu isiyonigharimu chochote.” Kwa hiyo Daudi akanunua ile sakafu ya kupuria nafaka na maksai, akazilipia shekeli hamsini za fedha.
Be hina bagade da bu adole i, “Hame mabu! Na da amo liligi ea bidi defele dima imunu. Liligi amo na da bidi mae iawene udigili lai, amo na da na Hina Godema hame gobele salimu.” Amola, e da widi dabasu sogebi amola bulamagau, amo silifa fage 50amoga bidi lai.
25 Kisha Daudi akamjengea Bwana madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Kisha Bwana akajibu kwa ajili ya nchi, nayo tauni ikakoma katika Israeli.
Amalalu, e da Hina Godema oloda gaguli, amola amo da: iya Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola Hahawane Olofosu Gobele Salasu hamosu. Hina Gode da Da: ibidi ea sia: ne gadosu nababeba: le, dabe adole i. Amola olo bagade Isala: ili sogega dialu da hedofai dagoi ba: i. Sia: ama dagoi