< 2 Samweli 23 >
1 Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi: “Neno la Daudi mwana wa Yese, neno la mtu aliyeinuliwa na Aliye Juu Sana, mtu aliyepakwa mafuta na Mungu wa Yakobo, mwimbaji wa nyimbo wa Israeli:
A ovo su pošljednje rijeèi Davidove: Reèe David sin Jesejev, reèe èovjek koji bi postavljen visoko, pomazanik Boga Jakovljeva, i ljubak u pjesmama Izrailjevim:
2 “Roho wa Bwana alinena kupitia kwangu, neno lake lilikuwa ulimini mwangu.
Duh Gospodnji govori preko mene, i besjeda njegova bi na mojem jeziku.
3 Mungu wa Israeli alinena, mwamba wa Israeli akaniambia: ‘Mtu anatawala watu kwa haki, wakati anapotawala akiwa na hofu ya Mungu,
Reèe Bog Izrailjev, kaza mi stijena Izrailjeva: koji vlada ljudima neka je pravedan, vladajuæi u strahu Božijem;
4 yeye ni kama mwanga wa asubuhi jua lichomozapo asubuhi isiyo na mawingu, kama mwanga baada ya mvua uchipuzao majani kutoka ardhini.’
I biæe kao svjetlost jutrenja, kad sunce izlazi jutrom bez oblaka, i kao trava koja raste iz zemlje od svjetlosti iza dažda.
5 “Je, si hivyo ilivyo nyumba yangu mbele za Mungu? Je, hajafanya Agano la milele nami, lililopangwa na kuimarishwa kila sehemu? Je, hatanifanya niufurahie wokovu wangu na kunijalia matakwa yangu yote?
Ako i nije taki dom moj pred Bogom, ipak je uèinio zavjet vjeèan sa mnom, u svemu dobro ureðen i utvrðen. I to je sve spasenje moje i sva želja moja, ako i ne da da raste.
6 Lakini watu waovu wote watatupwa kando kama miiba, ambayo haikusanywi kwa mkono.
A bezakonici æe svikoliki biti kao trnje poèupani, koje se ne hvata rukom.
7 Yeyote agusaye miiba hutumia chombo cha chuma au mpini wa mkuki, nayo huchomwa pale ilipo.”
Nego ko hoæe da ga se dohvati, uzme gvožðe ili kopljaèu; i sažiže se ognjem na mjestu.
8 Haya ndiyo majina ya mashujaa wa Daudi: Yosheb-Bashebethi, Mtahkemoni, alikuwa kiongozi wa wale Watatu; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 800, ambao aliwaua katika pambano moja.
Ovo su imena junaka Davidovijeh: Josev-Vasevet Tahmonac prvi izmeðu trojice; njemu milina bi udariti s kopljem na osam stotina, i pobi ih ujedanput.
9 Wa pili wake alikuwa Eleazari mwana wa Dodai, Mwahohi. Akiwa mmojawapo wa wale mashujaa watatu, alikuwa pamoja na Daudi wakati waliwadhihaki Wafilisti waliokuwa wamekusanyika huko Pas-Damimu kwa ajili ya vita. Kisha watu wa Israeli wakarudi nyuma,
Za njim Eleazar sin Dodona sina Ahohova, izmeðu tri junaka koji bijahu s Davidom, i osramotiše Filisteje skupljene na boj, kad Izrailjci otidoše;
10 lakini yeye alisimama imara akawaua Wafilisti hadi mkono wake ukachoka na ukagandamana na upanga. Bwana akawapa ushindi mkubwa siku ile. Vikosi vikarudi kwa Eleazari, kuteka tu nyara za waliokufa.
On se podiže, i bi Filisteje dokle mu se ruka ne umori i ukoèi se pri maèu; i Gospod dade veliko spasenje onaj dan, te se narod vrati za njim samo da pokupi plijen.
11 Aliyefuata alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti walipokusanyika pamoja mahali palipokuwa shamba lililojaa dengu, vikosi vya Israeli viliwakimbia.
A za njim Sama sin Agejev Araranin; kad se Filisteji skupiše u gomilu, i ondje bješe njiva puna leæa, i narod pobježe od Filisteja,
12 Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalitetea na kuwaua Wafilisti, naye Bwana akawapa ushindi mkubwa.
Stade usred njive, i odbrani je, i pobi Filisteje, i Bog dade veliko spasenje.
13 Wakati wa mavuno, viongozi watatu kati ya viongozi thelathini walishuka, wakamwendea Daudi katika pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai.
I ta tri prva izmeðu trideset siðoše i doðoše o žetvi k Davidu u peæinu Odolamsku, kad vojska Filistejska stajaše u okolu u dolini Rafajskoj.
14 Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu.
A David bijaše onda u gradu, i bješe onda straža Filistejska u Vitlejemu.
15 Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu!”
A David zaželje, i reèe: ko bi mi donio vode da pijem iz studenca Vitlejemskoga što je kod vrata!
16 Basi mashujaa hao watatu wakapenya katikati ya Wafilisti, wakaenda kuchota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini Daudi akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za Bwana.
Tada ona tri junaka prodriješe kroz oko Filistejski, i zahvatiše vode iz studenca Vitlejemskoga što je kod vrata, i donesoše i dadoše Davidu; ali on je ne htje piti, nego je proli pred Gospodom;
17 Akasema, “Iwe mbali nami, Ee Bwana, kufanya kitu hiki. Je, hii si damu ya watu ambao walikwenda kwa kuhatarisha maisha yao?” Naye Daudi hakuyanywa. Haya yalifanywa na hao mashujaa watatu.
I reèe: ne daj Bože da bih to uèinio. Nije li to krv ovijeh ljudi, koji ne mareæi za život svoj idoše. I ne htje piti. To uèiniše ova tri junaka.
18 Abishai ndugu yake Yoabu mwana wa Seruya ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300 ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.
I Avisaj brat Joavov sin Serujin bješe prvi izmeðu trojice; on mahnu kopljem svojim na tri stotine, i pobi ih, i proslavi se meðu trojicom.
19 Je, hakupata heshima kubwa zaidi kuliko hao Watatu? Alikuwa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.
Izmeðu te trojice bješe najslavniji, i posta im poglavar; ali one trojice ne stiže.
20 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.
I Venaja sin Jodajev, sin èovjeka junaka, velik djelima, iz Kavseila; on pogubi dva junaka Moavska, i sišav ubi lava u jami kad bješe snijeg.
21 Pia alimuua Mmisri mrefu mkubwa. Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki mkononi mwake, Benaya alimwendea akiwa na rungu. Alipokonya mkuki kutoka mkononi mwa Mmisri na kumuua kwa mkuki wake mwenyewe.
On ubi i jednoga Misirca, znatna èovjeka; imaše Misirac koplje u ruci, a on izide na nj sa štapom, i istrže Misircu koplje iz ruke, i ubi ga njegovijem kopljem.
22 Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.
To uèini Venaja sin Jodajev, i bi slavan meðu ova tri junaka.
23 Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu. Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.
Bješe najslavniji izmeðu tridesetorice, ali one trojice ne stiže; i David ga postavi nad pratiocima svojim.
24 Miongoni mwa wale Thelathini walikuwepo: Asaheli ndugu wa Yoabu; Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu;
Asailo brat Joavov bješe meðu tridesetoricom, a to bjehu: Elhanan sin Dodonov iz Vitlejema,
25 Shama, Mharodi; Elika, Mharodi;
Sama Aroðanin, Elika Aroðanin.
26 Helesi, Mpalti; Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa;
Helis Falæanin, Ira sin Ikisov Tekojanin,
27 Abiezeri kutoka Anathothi; Mebunai, Mhushathi;
Avijezer Anatoæanin, Mevunej Husaæanin,
28 Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;
Salmon Ahošanin, Maraj Netofaæanin,
29 Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi; Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini;
Helev sin Vanin Netofaæanin, Itaj sin Rivejev iz Gavaje sinova Venijaminovih,
30 Benaya Mpirathoni; Hidai kutoka mabonde ya Gaashi;
Venaja Piratonjanin, Idaj iz doline Gasa.
31 Abi-Alboni, Mwaribathi; Azmawethi, Mbarhumi;
Avi-Alvon Arvaæanin, Azmavet Varumljanin,
32 Eliaba, Mshaalboni; wana wa Yasheni; Yonathani
Elijava Salvonjanin, Jonatan od sinova Jasinovih,
33 mwana wa Shama, Mharari; Ahiamu mwana wa Sharari, Mharari;
Sama Araranin, Ahijam sin Sararov Araranin,
34 Elifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaakathi; Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;
Elifelet, sin Asveja Mahaæanina, Elijam sin Ahitofela Gilonjanina,
35 Hezro, Mkarmeli; Paarai, Mwarbi;
Esraj Karmilac, Farej Arvljanin,
36 Igali mwana wa Nathani kutoka Soba; Bani, Mgadi;
Igal sin Natanov iz Sove, Vanija od Gada,
37 Seleki, Mwamoni; Naharai, Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha za Yoabu mwana wa Seruya;
Selek Amonac, Naraj Viroæanin, koji nošaše oružje Joavu sinu Serujinu,
38 Ira, Mwithiri; Garebu, Mwithiri;
Ira Jetranin, Gariv Jetranin,
39 na Uria, Mhiti. Jumla yao wote walikuwa watu thelathini na saba.
Urija Hetejin; svega trideset i sedam.