< 2 Samweli 22 >

1 Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.
RAB, Davut'u bütün düşmanlarının ve Saul'un elinden kurtardığı gün Davut RAB'be şu ezgiyi okudu.
2 Akasema: “Bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,
Şöyle dedi: “RAB benim kayam, sığınağım, kurtarıcımdır,
3 Mungu wangu ni mwamba wangu, ambaye kwake ninakimbilia, ngao yangu na pembe ya wokovu wangu. Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu na mwokozi wangu, huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.
Tanrım, kayamdır, O'na sığınırım, Kalkanım, güçlü kurtarıcım, Korunağım, sığınacak yerimdir. Kurtarıcım, zorbalıktan beni sen kurtarırsın!
4 Ninamwita Bwana, anayestahili kusifiwa, nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.
Övgüye değer RAB'be seslenir, Kurtulurum düşmanlarımdan.
5 “Mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinilemea.
Çünkü ölüm dalgaları beni kuşattı, Yıkım selleri bastı,
6 Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol h7585)
Ölüler diyarının bağları sardı, Ölüm tuzakları çıktı karşıma. (Sheol h7585)
7 Katika shida yangu nalimwita Bwana, nilimlilia Mungu wangu. Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika masikioni mwake.
Sıkıntı içinde RAB'be yakardım, Tanrım'a seslendim. Tapınağından sesimi duydu, Haykırışım kulaklarına ulaştı.
8 “Dunia ilitetemeka na kutikisika, misingi ya mbingu ikatikisika, vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.
O zaman yeryüzü sarsılıp sallandı, Titreyip sarsıldı göklerin temelleri, Çünkü RAB öfkelenmişti.
9 Moshi ukapanda kutoka puani mwake, moto uteketezao ukatoka kinywani mwake, makaa ya moto yawakayo yakatoka ndani mwake.
Burnundan duman yükseldi, Ağzından kavurucu ateş Ve korlar fışkırdı.
10 Akazipasua mbingu akashuka chini, mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.
Kara buluta basarak Gökleri yarıp indi.
11 Alipanda juu ya kerubi akaruka, akapaa juu kwa mbawa za upepo.
Bir Keruv'a binip uçtu, Rüzgarın kanatları üstünde belirdi.
12 Alifanya giza hema lake la kujifunika: mawingu meusi ya mvua ya angani.
Karanlığı örtündü, Kara bulutları kendine çardak yaptı.
13 Kutokana na mwanga wa uwepo wake mawingu yalisogea, ikanyesha mvua ya mawe na umeme wa radi.
Varlığının parıltısından Korlar savruluyordu.
14 Bwana alinguruma kutoka mbinguni, sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.
RAB göklerden gürledi, Duyurdu sesini Yüceler Yücesi.
15 Aliipiga mishale na kutawanya adui, umeme wa radi na kuwafukuza.
Savurup oklarını düşmanlarını dağıttı, Şimşek çaktırarak onları şaşkına çevirdi.
16 Mabonde ya bahari yalifunuliwa, na misingi ya dunia ikawa wazi kwa kukaripia kwake Bwana, kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwake.
RAB'bin azarlamasından, Burnundan çıkan güçlü soluktan, Denizin dibi göründü, Yeryüzünün temelleri açığa çıktı.
17 “Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika; alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.
RAB yukarıdan elini uzatıp tuttu, Çıkardı beni derin sulardan.
18 Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
Beni zorlu düşmanımdan, Benden nefret edenlerden kurtardı, Çünkü onlar benden daha güçlüydü.
19 Walinikabili siku ya msiba wangu, lakini Bwana alikuwa msaada wangu.
Felaket günümde karşıma dikildiler, Ama RAB bana destek oldu.
20 Alinileta nje mahali penye nafasi tele, akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
Beni huzura kavuşturdu, Kurtardı, çünkü benden hoşnut kaldı.
21 “Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.
RAB doğruluğumun karşılığını verdi, Beni temiz ellerime göre ödüllendirdi.
22 Kwa maana nimezishika njia za Bwana; sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.
Çünkü RAB'bin yolunda yürüdüm, Tanrım'dan uzaklaşarak kötülük yapmadım.
23 Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
O'nun bütün ilkelerini göz önünde tuttum, Kurallarından ayrılmadım.
24 Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.
O'nun önünde kusursuzdum, Suç işlemekten sakındım.
25 Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu, sawasawa na usafi wangu machoni pake.
Bu yüzden RAB beni doğruluğuma Ve gözünde pak yaşayışıma göre ödüllendirdi.
26 “Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu, kwa asiye na hatia unajionyesha kutokuwa na hatia,
Sadık kuluna sadakat gösterir, Kusursuz olana kusursuz davranırsın.
27 kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.
Pak olanla pak olur, Eğriye eğri davranırsın.
28 Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi ili uwashushe.
Alçakgönüllüleri kurtarır, Gururluları gözler, gururunu kırarsın.
29 Wewe ni taa yangu, Ee Bwana. Bwana hulifanya giza langu kuwa mwanga.
Ya RAB, ışığım sensin! Karanlığımı aydınlatırsın.
30 Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi, nikiwa pamoja na Mungu wangu nitaweza kuruka ukuta.
Desteğinle akıncılara saldırır, Seninle surları aşarım, Tanrım.
31 “Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu; neno la Bwana halina dosari. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake.
Tanrı'nın yolu kusursuzdur, RAB'bin sözü arıdır. O kendisine sığınan herkesin kalkanıdır.
32 Kwa maana ni nani aliye Mungu zaidi ya Bwana? Ni nani aliye Mwamba isipokuwa Mungu wetu?
Var mı RAB'den başka tanrı? Tanrımız'dan başka kaya var mı?
33 Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
Sığınağım Tanrı'dır, Yolumu doğru kılan O'dur.
34 Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu.
Ayaklar verdi bana, geyiklerinki gibi, Doruklarda tutar beni.
35 Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.
Bana savaşmayı öğretti, Kollarımla tunç bir yayı gereyim diye.
36 Hunipa ngao yako ya ushindi, unajishusha chini ili kuniinua.
Bana zafer kalkanını bağışlarsın, Alçakgönüllülüğün beni yüceltir.
37 Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze.
Bastığım yerleri genişletirsin, Burkulmaz bileklerim.
38 “Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta, sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.
Düşmanlarımı kovalayıp yok ettim, Hepsi yok olmadan geri dönmedim.
39 Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.
Onları ezip yok ettim, kalkamaz oldular, Ayaklarımın altına serildiler.
40 Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.
Savaş için beni güçle donattın, Bana başkaldıranları önümde yere serdin.
41 Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.
Düşmanlarımı kaçmak zorunda bıraktın, Benden nefret edenleri yok ettim.
42 Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa; walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.
Feryat ettiler, ama kurtaran çıkmadı; RAB'bi çağırdılar, ama O yanıt vermedi.
43 Niliwaponda kama mavumbi ya nchi; niliwaponda na kuwakanyaga kama tope barabarani.
Yerin tozu gibi onları ezdim, Sokak çamuru gibi ayağımın altında çiğnedim.
44 “Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu; umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa. Watu ambao sikuwajua wananitumikia,
Halkımın çekişmelerinden beni kurtardın, Uluslara önder olarak beni korudun, Tanımadığım halklar bana kulluk ediyor.
45 nao wageni huja wakininyenyekea, mara wanisikiapo, hunitii.
Yabancılar bana boyun eğiyor, Duyar duymaz sözümü dinliyorlar.
46 Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.
Yabancıların betleri benizleri attı, Titreyerek çıkıyorlar kalelerinden.
47 “Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu! Atukuzwe Mungu, Mwamba, Mwokozi wangu!
RAB yaşıyor! Kayam'a övgüler olsun! Yücelsin kurtarıcım, Kayam Tanrım!
48 Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi, ayawekaye mataifa chini yangu,
O'dur öcümü alan, Halkları bana bağımlı kılan.
49 aniwekaye huru toka kwa adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka kwa watu wajeuri.
Düşmanlarımdan kurtarır, Başkaldıranlardan üstün kılar beni, Zorbaların elinden alır.
50 Kwa hiyo nitakusifu, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
Bunun için uluslar arasında sana şükredeceğim, ya RAB, Adını ilahilerle öveceğim.
51 Humpa mfalme wake ushindi mkuu; huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na wazao wake milele.”
RAB kralını büyük zaferlere ulaştırır, Meshettiği krala, Davut'a ve soyuna Sonsuza dek sevgi gösterir.”

< 2 Samweli 22 >