< 2 Samweli 22 >
1 Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.
Devit ni, Sawl hoi a taran pueng e kut thung hoi BAWIPA ni a rungngang nah hnin vah, BAWIPA e hmaitung a sak e lanaw teh:
2 Akasema: “Bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,
BAWIPA teh kaie lungsong, kaie rapan, kai na kahloutsakkung bawi.
3 Mungu wangu ni mwamba wangu, ambaye kwake ninakimbilia, ngao yangu na pembe ya wokovu wangu. Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu na mwokozi wangu, huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.
Ka thaonae kaie Cathut, kai ni ka kâuep e, ka bahling hoi kai rungngangnae ki, ka rapanim kânguenae lah ao. Kaie rapan lah na o. Rektapnae thung hoi na rungngang haw.
4 Ninamwita Bwana, anayestahili kusifiwa, nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.
Pholen han kamcu e BAWIPA teh ka kaw vaiteh, taran kut dawk hoi na rungngang han.
5 “Mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinilemea.
Duenae tuicapa ni na kalup teh Cathut banglah noutnahoehnae tuicapa ni na taki sak.
6 Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol )
Sheol lungmathoenae ni na kalup awh teh, duenae karapnaw ni sut na pawp. (Sheol )
7 Katika shida yangu nalimwita Bwana, nilimlilia Mungu wangu. Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika masikioni mwake.
Ka lungreithai navah, BAWIPA ka kaw teh, ka Cathut koevah ka hram. Bawkim dawk hoi ka lawk a thai teh, ka hramnae lawk hah a hnâ thung a kâen.
8 “Dunia ilitetemeka na kutikisika, misingi ya mbingu ikatikisika, vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.
Hatnavah, a lungkhueknae lahoi talai a kâhuetsak, kalvan du ditouh lengleng a kâhuet.
9 Moshi ukapanda kutoka puani mwake, moto uteketezao ukatoka kinywani mwake, makaa ya moto yawakayo yakatoka ndani mwake.
A hnawng dawk hoi hmaikhu a tâco teh, a pahni dawk hoi hmaikaknae lahoi, hmaisaan kaman sak.
10 Akazipasua mbingu akashuka chini, mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.
Ama ni kalvan hai a pakui teh, a khoktabei rahim kho lah a hmo.
11 Alipanda juu ya kerubi akaruka, akapaa juu kwa mbawa za upepo.
Cherubim a kâcui teh a kamleng. Bokheiyah, kahlînaw e rathei van a hmu awh.
12 Alifanya giza hema lake la kujifunika: mawingu meusi ya mvua ya angani.
A hmonae hah ama kalupkung lah a sak teh, tui hoi katha poung e tâmainaw a pâkhueng teh,
13 Kutokana na mwanga wa uwepo wake mawingu yalisogea, ikanyesha mvua ya mawe na umeme wa radi.
a hma lae angnae lahoi hmaisaan a kaman sak.
14 Bwana alinguruma kutoka mbinguni, sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.
BAWIPA teh kalvan vah a cairing teh, ka lentoe poung e Cathut ni lawk a dei.
15 Aliipiga mishale na kutawanya adui, umeme wa radi na kuwafukuza.
Licung samtang a pathui teh, ahnimanaw a kâkayei sak. Sumpapalik sak teh ahnimanaw hah a rawk sak.
16 Mabonde ya bahari yalifunuliwa, na misingi ya dunia ikawa wazi kwa kukaripia kwake Bwana, kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwake.
BAWIPA ni yuenae hoi a hnawng dawk hoi kahlî a tâco sak e lahoi, tuipui a dengnae koehoi talaivan adu ungnae hah koung a kamnue sak.
17 “Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika; alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.
A rasangnae hmuen koehoi a kut a kâyap teh, tui moikapap thung hoi na rasa.
18 Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
A thakasaipoung e taran kut thung hoi na rungngang. Ahnimouh ni kai na hmuhma awh teh, kai hlak a thasai awh.
19 Walinikabili siku ya msiba wangu, lakini Bwana alikuwa msaada wangu.
A rucatnae koe ka phanae tueng dawk, na ngang awh nakunghai, BAWIPA teh kaie kânguenae lah ao.
20 Alinileta nje mahali penye nafasi tele, akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
Kai hah kalenpounge hmuen koe na ceikhai awh teh, kai dawk a lunghawi dawkvah, na hlout sak.
21 “Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.
BAWIPA ni ka lannae patetlah na tawkphu na poe teh, ka kut a thoung e patetlah na patho.
22 Kwa maana nimezishika njia za Bwana; sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.
Bangkongtetpawiteh, BAWIPA e a lamthung hah pou ka dawn teh, kaie Cathut koehoi yon hoi kahmat boihoeh.
23 Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
A lawkcengnae pueng hah ka hmaitung vah ao. A phunglam ka cettakhai boihoeh.
24 Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.
A hmaitung hai toun hane kawi lah kaawm hoeh. Ka payonpakainae dawk hoi na hlout sak.
25 Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu, sawasawa na usafi wangu machoni pake.
Hatdawkvah, ka lannae patetlah na pathung. A mithmu vah kathounge patetlah na patho.
26 “Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu, kwa asiye na hatia unajionyesha kutokuwa na hatia,
Pahrennae ka tawn e koe pahrennae ka tawn e patetlah na kamnue teh, tamikalan koe tamikalan lah na kamnue van han.
27 kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.
Tamikathoung koe, kathounge lah na kamnue vaiteh, tami lungkapataknaw koe a lungpatanae lahoi na kamnue van han.
28 Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi ili uwashushe.
Kârahnoum e tami hah na rungngang teh, kâoupnaw na pabo hanelah pou na khet.
29 Wewe ni taa yangu, Ee Bwana. Bwana hulifanya giza langu kuwa mwanga.
Oe BAWIPA, nang teh kaie hmaiim lah na o. BAWIPA ni kaie hmonae a ang sak han.
30 Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi, nikiwa pamoja na Mungu wangu nitaweza kuruka ukuta.
Kai ni nang na kângue e lahoi ransahu ka tâ teh, rapan hai ka yawngtapue thai.
31 “Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu; neno la Bwana halina dosari. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake.
Cathut e a lamthung teh a kuep. Yuemkamcu lawk teh tanouk lah ao. Kâuepnaw pueng hanelah bahling lah ao.
32 Kwa maana ni nani aliye Mungu zaidi ya Bwana? Ni nani aliye Mwamba isipokuwa Mungu wetu?
BAWIPA hoeh e laipalah Cathut alouke ao maw. Cathut laipalah, lungsong alouke ao maw.
33 Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
Cathut teh ka thaonae hoi ka kângue e lah ao, ka lamthung a hmacawn sak.
34 Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu.
Ka khok heh sayuk e a khok patetlah a hue a rang sak teh, a hmuen karasang e koe na o sak.
35 Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.
Ka kut teh tarantuk nahan a cangkhai. Hottelah rahum licung hai ka sawn thai.
36 Hunipa ngao yako ya ushindi, unajishusha chini ili kuniinua.
Nama ni rungngangnae saiphei hah na poe teh, a lungsawnae lahoi kai teh na tawm rasang e lah ka o.
37 Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze.
Kai ni ka cei nahane lamthung na pacei teh, ka khoknaw hai thawn hoeh.
38 “Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta, sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.
Ka tarannaw ka pha teh ka thei, koung ka thei hoehroukrak kai ni ka ban hoeh.
39 Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.
Kaie ka khok rahim a rawp awh teh, a thaw thai awh hoeh nahanelah, katinkaawi teh ka thei.
40 Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.
Bangkongtetpawiteh, tarantuk sak hanelah, nang ni thaonae hoi na pathoup teh, kai na katuknaw hah kaie rahim na sung sak.
41 Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.
Kai na ka hmuhma e a lahuennaw hah kai koe na poe teh, nama ni kai na katuknaw hah hnuklah na kamlang sak.
42 Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa; walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.
A hram awh ei, ka rungngang hane tami awmhoeh. BAWIPA teh a khet awh ei, pato awh hoeh.
43 Niliwaponda kama mavumbi ya nchi; niliwaponda na kuwakanyaga kama tope barabarani.
Hatnavah, kai ni ahnimanaw hah vaiphu patetlah reppasei lah ka phawm teh, lam dawk songnawng patetlah ka coungroe awh teh, kaheikalai awh.
44 “Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu; umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa. Watu ambao sikuwajua wananitumikia,
Nang ni ka taminaw hoi hawihoehnae dawk hoi na rungngang teh, Jentelnaw e kaukkung lah na o sak nahanelah, na ring e ka panuek boihoeh e naw ni, kaimae thaw a tawk awh han.
45 nao wageni huja wakininyenyekea, mara wanisikiapo, hunitii.
Jentelnaw hah kai koe a kâpoe awh vaiteh, a thai awh tahma ka lawk a ngai awh han.
46 Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.
Jentelnaw a tâco awh han.
47 “Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu! Atukuzwe Mungu, Mwamba, Mwokozi wangu!
BAWIPA teh yungyoe a hring. Kaie lungsong, pholennae lah awm seh. Kaie rungngangnae lungsong Cathut teh, tawmrasang e lah awm naseh.
48 Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi, ayawekaye mataifa chini yangu,
Kai koe lah moi ka pathung pouh e hoi miphun pueng kaie rahim ka pabawt e teh katâkung Cathut doeh.
49 aniwekaye huru toka kwa adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka kwa watu wajeuri.
Tarannaw e kut dawk hoi, na hlout sak. Kai na ka taran naw e a lathueng vah, na tawm teh, ka mathoutmakainaw e kut dawk hoi na hlout sak.
50 Kwa hiyo nitakusifu, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
Hatdawkvah, Oe BAWIPA, kai teh Jentelnaw koevah, lunghawinae lawk ka dei vaiteh, na min pholennae la ka sak han.
51 Humpa mfalme wake ushindi mkuu; huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na wazao wake milele.”
Cathut teh a siangpahrang hanelah, rungngangnae imrasang lah ao teh, satui a awi e Devit hoi a canaw koe lathueng vah yungyoe hoi yungyoe totouh, pahren lungmanae a kamnue sak.