< 2 Samweli 21 >

1 Wakati wa utawala wa Daudi kulikuwa na njaa kwa miaka mitatu mfululizo, kwa hiyo Daudi akautafuta uso wa Bwana. Bwana akasema, “Ni kwa sababu ya Sauli na nyumba yake iliyotiwa madoa ya damu, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”
En los días de David, les faltaba alimento durante tres años, año tras año; y David fue delante del Señor en busca de instrucciones. Y el Señor dijo: Sobre Saúl y su familia hay sangre, porque mató a los gabaonitas.
2 Mfalme akawaita Wagibeoni na kuzumgumza nao. (Wagibeoni hawakuwa wa wana wa Israeli, ila walikuwa mabaki ya Waamori. Waisraeli walikuwa wameapa kuwaacha hai, lakini Sauli katika wivu wake kwa ajili ya Israeli na Yuda, alikuwa amejaribu kuwaangamiza.)
Entonces el rey envió a los gabaonitas; (ahora los gabaonitas no eran de los hijos de Israel, sino que eran los últimos de los amorreos, a quienes los hijos de Israel habían hecho un juramento; pero Saúl, en su pasión por los hijos de Israel y Judá, había hecho un intento de exterminarlos.
3 Daudi akawauliza Wagibeoni, “Niwatendee nini? Nitawaridhishaje ili mbariki urithi wa Bwana?”
Entonces David dijo a los gabaonitas: ¿Qué puedo hacer por ustedes? ¿Cómo voy a compensarte por el daño que se les hizo, para que puedas dar una bendición al pueblo del Señor?
4 Wagibeoni wakamjibu, “Hatuna haki ya kudai fedha wala dhahabu kutoka kwa Sauli au jamaa yake, wala hatuna haki ya kumuua mtu yeyote katika Israeli.” Daudi akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Y los gabaonitas le dijeron: No se trata de plata y oro entre nosotros y Saúl o su familia; y no está en nuestro poder hacer morir a ningún hombre en Israel. Y él dijo: Di, pues, ¿qué voy a hacer por ustedes?
5 Wakamjibu mfalme, “Kwa habari ya mtu aliyetuangamiza na kufanya hila mbaya dhidi yetu ili kwamba tuangamizwe na tusiwe na yeyote katika Israeli,
Y dijeron al rey: En cuanto al hombre que quiso destruirnos, y que hizo designios contra nosotros para separarnos completamente de la tierra de Israel,
6 tupatieni wazao wake saba wa kiume tuwaue hadharani mbele za Bwana huko Gibea ya Sauli, aliyekuwa amechaguliwa na Bwana.” Basi mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.”
Que se nos entreguen siete hombres de su familia y los terminaremos colgando ante el Señor en Guibeá de Saúl, el escogido del Señor. Y el rey dijo: Yo se los daré.
7 Mfalme akamhifadhi Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, kwa sababu ya kile kiapo mbele za Bwana kati ya Daudi na Yonathani.
Pero el rey no dejó a Mefi-boset, el hijo de Jonatán, nieto de Saúl, a causa del juramento del Señor entre David y Jonatán, el hijo de Saúl.
8 Lakini mfalme akamchukua Armoni na Mefiboshethi, wana wawili wa Rispa binti Aiya, ambao alikuwa amemzalia Sauli, pamoja na wana watano wa Merabu binti Sauli, aliokuwa amemzalia Adrieli mwana wa Barzilai, Mmeholathi.
Pero el rey tomó a Armoni y a Mefiboset, los dos hijos de Saúl a quienes Rizpa, la hija de Aja, había dado a luz; y los cinco hijos de la hija de Saúl, Merab, cuyo padre fue Adriel, el hijo de Barzilai el mehola.
9 Akawakabidhi kwa Wagibeoni, ambao waliwaua na kuwaweka wazi juu ya kilima mbele za Bwana. Wote saba walianguka kwa pamoja; waliuawa katika siku za kwanza za mavuno, mara tu uvunaji wa shayiri ulipokuwa unaanza.
Y los entregó a los gabaonitas, y los mataron, y los colgaron en el monte delante del Señor; Los siete llegaron a su fin juntos en los primeros días de la cosecha de la cebada, al comienzo del corte de la cebada.
10 Rispa binti Aiya akachukua nguo ya gunia, akajitandikia juu ya mwamba. Kuanzia mwanzo wa mavuno mpaka mvua ziliponyesha juu ya miili ya hao waliouawa, Rispa hakuruhusu ndege wa angani kuwagusa wakati wa mchana, wala wanyama wa mwitu wakati wa usiku.
Y Rizpa, la hija de Aja, tendió una tela de cilicio en señal de luto, colocándola en la roca como una cama para ella, desde el inicio del corte de grano hasta que la lluvia cayó sobre ellos del cielo; y ella no permitió que las aves del aire se acercaran a ellos de día, ni a las bestias del campo de noche.
11 Daudi alipoambiwa kile Rispa binti Aiya, suria wa Sauli, alichokuwa amekifanya,
Y se le dieron noticias a David de lo que Rizpa, la hija de Aja, una de las esposas de Saúl, había hecho.
12 alikwenda akachukua mifupa ya Sauli na mwanawe Yonathani kutoka kwa watu wa Yabeshi-Gileadi. (Walikuwa wameichukua kwa siri kutoka uwanja wa watu wote huko Beth-Shani, mahali ambapo Wafilisti walikuwa wamewatundika baada ya kumuua Sauli huko Gilboa.)
Entonces David fue y tomó los huesos de Saúl y su hijo Jonatán de los hombres de quien los había sacado en secreto del lugar público de Bet-sán, donde los filisteos los habían dejado, colgando los cuerpos allí el día en que mataron a Saúl en Gilboa:
13 Daudi akaileta mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani kutoka huko, pia mifupa ya wale waliokuwa wameuawa na kutupwa ilikusanywa.
Y tomó los huesos de Saúl y su hijo Jonatán de ese lugar; y juntaron los huesos de los que habían sido muertos por ahorcamiento.
14 Wakazika mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani katika kaburi la Kishi, babaye Sauli, huko Sela katika nchi ya Benyamini, nao wakafanya kila kitu mfalme alichoagiza. Baada ya hayo, Mungu akajibu maombi kwa ajili ya nchi.
Y los pusieron con los huesos de Saúl y su hijo Jonatán en el lugar de descanso de Cis, su padre, en Zela, en el país de Benjamín; Hicieron todo lo que el rey les había dado órdenes de hacer. Y después de eso, Dios escuchó sus oraciones en favor del país.
15 Kwa mara nyingine tena kulikuwa na vita kati ya Wafilisti na Israeli. Daudi akashuka pamoja na watu wake ili kupigana dhidi ya Wafilisti, naye akawa amechoka sana.
Y los filisteos volvieron a la guerra con Israel; y David bajó con su pueblo, y mientras estaban en Gob se pelearon con los filisteos:
16 Naye Ishbi-Benobu, mmoja wa wazao wa Warefai, ambaye mkuki wake ulikuwa na uzito wa shekeli 300 za shaba, alikuwa amejifunga upanga mpya, naye alisema angemuua Daudi.
Y vino contra David uno de los gigantes llamado Isbi-benob, cuya lanza tenía un peso de trescientos siclos de bronce, y con una espada nueva, hizo un intento de matar a David.
17 Lakini Abishai mwana wa Seruya akaja kumwokoa Daudi; akampiga huyo Mfilisti, akamwangusha chini na kumuua. Ndipo watu wakamwapia Daudi, wakisema, “Kamwe hutakwenda tena nasi vitani, ili kwamba taa ya Israeli isije ikazimwa.”
Pero Abisai, el hijo de Sarvia, acudió en su ayuda y, volviéndose contra el filisteo, le dio su golpe mortal. Entonces los hombres de David prestaron juramento y dijeron: Nunca más volverás a salir con nosotros a la lucha, para que no puedas apagar la luz de Israel.
18 Baada ya muda, kukawa na vita nyingine na Wafilisti, huko Gobu. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Safu, mmoja wa wazao wa Warefai.
Después de esto hubo otra guerra con los filisteos en Gob, y Sibecai el Husatita mató a Saf, uno de los descendientes de los gigantes.
19 Katika vita vingine na Wafilisti huko Gobu, Elhanani mwana wa Yaare-Oregimu, Mbethlehemu, alimuua nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.
Y nuevamente hubo guerra con los filisteos en Gob, y Elhanán, el hijo de Jair el de Belén, mató a Goliat de Gat, lanza tenía él asta tan grande como él rodillo de un telar.
20 Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita kila mguu, jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.
Y nuevamente hubo guerra en Gat, donde había un hombre muy alto, que tenía veinticuatro dedos; seis en cada mano y pies, seis dedos en sus manos y seis dedos en sus pies; Él era uno de los descendientes de los Refaim.
21 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.
Y cuando se proponía avergonzar a Israel, Jonatán, el hijo de Simei, el hermano de David, lo mató.
22 Hawa wanne walikuwa wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.
Estos cuatro eran de la descendencia del Refaim en Gat; y llegaron a su fin por las manos de David y sus siervos.

< 2 Samweli 21 >