< 2 Samweli 21 >

1 Wakati wa utawala wa Daudi kulikuwa na njaa kwa miaka mitatu mfululizo, kwa hiyo Daudi akautafuta uso wa Bwana. Bwana akasema, “Ni kwa sababu ya Sauli na nyumba yake iliyotiwa madoa ya damu, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”
Il y eut aussi une famine, dans les jours de David, pendant trois ans continuels: et David consulta l’oracle du Seigneur. Et le Seigneur dit: C’est à cause de Saül et de sa maison de sang, parce qu’il a tué les Gabaonites.
2 Mfalme akawaita Wagibeoni na kuzumgumza nao. (Wagibeoni hawakuwa wa wana wa Israeli, ila walikuwa mabaki ya Waamori. Waisraeli walikuwa wameapa kuwaacha hai, lakini Sauli katika wivu wake kwa ajili ya Israeli na Yuda, alikuwa amejaribu kuwaangamiza.)
Les Gabaonites donc appelés, le roi leur dit (or, les Gabaonites n’étaient point des enfants d’Israël, mais les restes des Amorrhéens; car les enfants d’Israël leur avaient fait serment, et Saül voulut les frapper par zèle, comme pour les enfants d’Israël et de Juda);
3 Daudi akawauliza Wagibeoni, “Niwatendee nini? Nitawaridhishaje ili mbariki urithi wa Bwana?”
David donc dit aux Gabaonites: Que ferai-je pour vous, et quelle sera la réparation envers vous, afin que vous bénissiez l’héritage du Seigneur?
4 Wagibeoni wakamjibu, “Hatuna haki ya kudai fedha wala dhahabu kutoka kwa Sauli au jamaa yake, wala hatuna haki ya kumuua mtu yeyote katika Israeli.” Daudi akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Et les Gabaonites lui répondirent: Ce n’est pas pour nous une question d’argent et d’or, mais une question contre Saül et contre sa maison; et nous ne voulons pas qu’aucun homme d’Israël soit tué. Le roi leur dit: Que voulez-vous donc que je fasse pour vous?
5 Wakamjibu mfalme, “Kwa habari ya mtu aliyetuangamiza na kufanya hila mbaya dhidi yetu ili kwamba tuangamizwe na tusiwe na yeyote katika Israeli,
Ils dirent au roi: Nous devons tellement exterminer l’homme qui nous a brisés et opprimés injustement, qu’il ne reste pas même un seul de sa race dans tous les confins d’Israël.
6 tupatieni wazao wake saba wa kiume tuwaue hadharani mbele za Bwana huko Gibea ya Sauli, aliyekuwa amechaguliwa na Bwana.” Basi mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.”
Que sept hommes de ses fils nous soient donnés, afin que nous les crucifiions au Seigneur à Gabaa de Saül, autrefois l’élu du Seigneur. Et le roi dit: Oui, je vous les donnerai.
7 Mfalme akamhifadhi Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, kwa sababu ya kile kiapo mbele za Bwana kati ya Daudi na Yonathani.
Et le roi épargna Miphiboseth, fils de Jonathas, fils de Saül, à cause du serment du Seigneur qui avait été fait entre David et Jonathas, fils de Saül.
8 Lakini mfalme akamchukua Armoni na Mefiboshethi, wana wawili wa Rispa binti Aiya, ambao alikuwa amemzalia Sauli, pamoja na wana watano wa Merabu binti Sauli, aliokuwa amemzalia Adrieli mwana wa Barzilai, Mmeholathi.
C’est pourquoi le roi prit les deux fils de Respha, fille d’Aïa, qu’elle avait enfantés à Saül, Armoni et Miphiboseth, et les cinq fils de Michol, fille de Saül, qu’elle avait engendrés à Hadriel, fils de Berzellaï, lequel était de Molath;
9 Akawakabidhi kwa Wagibeoni, ambao waliwaua na kuwaweka wazi juu ya kilima mbele za Bwana. Wote saba walianguka kwa pamoja; waliuawa katika siku za kwanza za mavuno, mara tu uvunaji wa shayiri ulipokuwa unaanza.
Et il les livra aux mains des Gabaonites, qui les crucifièrent sur la montagne, devant le Seigneur; et ces sept hommes tombèrent morts ensemble dans les premiers jours de la moisson, la moisson de l’orge commençant.
10 Rispa binti Aiya akachukua nguo ya gunia, akajitandikia juu ya mwamba. Kuanzia mwanzo wa mavuno mpaka mvua ziliponyesha juu ya miili ya hao waliouawa, Rispa hakuruhusu ndege wa angani kuwagusa wakati wa mchana, wala wanyama wa mwitu wakati wa usiku.
Or, Respha, fille d’Aïa, prenant son cilice, l’étendit sous elle sur le rocher, depuis le commencement de la moisson jusqu’à ce que l’eau du ciel tombât sur eux; et elle ne laissa pas les oiseaux les déchirer pendant le jour, ni les bêtes sauvages pendant la nuit.
11 Daudi alipoambiwa kile Rispa binti Aiya, suria wa Sauli, alichokuwa amekifanya,
Et l’on annonça à David ce que Respha, fille d’Aïa, femme du second rang de Saül, avait fait.
12 alikwenda akachukua mifupa ya Sauli na mwanawe Yonathani kutoka kwa watu wa Yabeshi-Gileadi. (Walikuwa wameichukua kwa siri kutoka uwanja wa watu wote huko Beth-Shani, mahali ambapo Wafilisti walikuwa wamewatundika baada ya kumuua Sauli huko Gilboa.)
Et David s’en alla, et prit les os de Saül et de Jonathas, son fils, chez les hommes de Jabès-Galaad, qui les avaient enlevés furtivement de la place de Bethsan, où les Philistins les avaient suspendus, lorsqu’on eut tué Saül à Gelboé;
13 Daudi akaileta mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani kutoka huko, pia mifupa ya wale waliokuwa wameuawa na kutupwa ilikusanywa.
Et il apporta de là les os de Saül et les os de Jonathas, son fils; et, recueillant les os de ceux qui avaient été attachés à une croix,
14 Wakazika mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani katika kaburi la Kishi, babaye Sauli, huko Sela katika nchi ya Benyamini, nao wakafanya kila kitu mfalme alichoagiza. Baada ya hayo, Mungu akajibu maombi kwa ajili ya nchi.
On les ensevelit avec les os de Saül et de Jonathas, son fils, dans la terre de Benjamin, sur un côté, dans le sépulcre de Cis, son père; et on fit tout ce que le roi avait ordonné; et Dieu redevint propice à la terre après cela.
15 Kwa mara nyingine tena kulikuwa na vita kati ya Wafilisti na Israeli. Daudi akashuka pamoja na watu wake ili kupigana dhidi ya Wafilisti, naye akawa amechoka sana.
Or il se fit de nouveau une guerre des Philistins contre Israël, et David descendit et ses serviteurs avec lui, et ils combattirent contre les Philistins. Or, David défaillant,
16 Naye Ishbi-Benobu, mmoja wa wazao wa Warefai, ambaye mkuki wake ulikuwa na uzito wa shekeli 300 za shaba, alikuwa amejifunga upanga mpya, naye alisema angemuua Daudi.
Jesbibénob, qui était de la race d’Arapha, dont le fer de la hache pesait trois cents onces, et qui était ceint d’un glaive neuf, s’efforça de frapper David.
17 Lakini Abishai mwana wa Seruya akaja kumwokoa Daudi; akampiga huyo Mfilisti, akamwangusha chini na kumuua. Ndipo watu wakamwapia Daudi, wakisema, “Kamwe hutakwenda tena nasi vitani, ili kwamba taa ya Israeli isije ikazimwa.”
Mais Abisaï, fils de Sarvia, le défendit, et ayant frappé le Philistin, le tua. Alors les serviteurs de David jurèrent, disant: Maintenant vous ne sortirez plus avec nous à la guerre, afin que vous n’éteigniez pas la lampe d’Israël.
18 Baada ya muda, kukawa na vita nyingine na Wafilisti, huko Gobu. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Safu, mmoja wa wazao wa Warefai.
Et la seconde guerre fut à Gob, contre les Philistins; alors Sobochaï de Husati tua Saph, de la descendance d’Arapha, de la race des géants.
19 Katika vita vingine na Wafilisti huko Gobu, Elhanani mwana wa Yaare-Oregimu, Mbethlehemu, alimuua nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.
La troisième guerre fut aussi à Gob, contre les Philistins, en laquelle Adéodatus, fils de Saltus, tisseur en diverses couleurs, Bethléhémite, tua Goliath, le Géthéen, dont la hampe de la lance était comme un ensouple de tisserands.
20 Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita kila mguu, jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.
Une quatrième guerre fut à Geth, en laquelle était un homme très grand, qui avait six doigts en ses mains et en ses pieds, c’est-à-dire vingt-quatre et il tirait son origine d’Arapha.
21 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.
Et il blasphéma Israël; mais Jonathan, fils de Samaa, le frère de David, le tua.
22 Hawa wanne walikuwa wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.
Ces quatre hommes étaient nés d’Arapha, à Geth, et ils tombèrent sous la main de David et de ses serviteurs.

< 2 Samweli 21 >