< 2 Samweli 20 >
1 Basi, kulikuwa na mtu mbaya sana aliyeitwa Sheba mwana wa Bikri, Mbenyamini, aliyekuwako huko. Akapiga tarumbeta na kupaza sauti, “Hatuna fungu katika Daudi, wala hatuna sehemu katika mwana wa Yese! Kila mtu aende hemani mwake, enyi Israeli!”
Hagi Benzameni nagapintira mago nera Sibakino, kefo avu'ava'ene ne' mani'ne. Ana nera Bikri nemofokino miko Israeli vahe'mo'za antahisazegu ufe nereno amanage hu'ne, Israeli veamota, Deviti'a tagri nagapinti nera omani'neanki, atreta nontamirega vuta eta hiho. Ama Jesi nemofo'a magore huno erisantima haresuna zana ontamigahie.
2 Kwa hiyo watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi na kumfuata Sheba mwana Bikri. Lakini watu wa Yuda wakawa karibu na mfalme wao katika safari yote kutoka Yordani mpaka Yerusalemu.
Hige'za Israeli vahe'mo'za Devitina atre'za Siba'ene vu'naze. Hianagi Juda vahe'mo'za Jodani tintetira Devitina avariri'za Jerusalemi vu'naze.
3 Daudi aliporudi katika jumba lake la kifalme huko Yerusalemu, aliwachukua wale masuria kumi aliokuwa amewaacha ili kuangalia jumba la kifalme na kuwaweka ndani ya nyumba chini ya ulinzi. Akawapa mahitaji yao lakini hakukutana nao kimwili. Waliwekwa kifungoni wakaishi kama wajane mpaka kifo chao.
Hagi Deviti'a Jerusalemima uhanatino noma'ama ome enerino nemanino'a, 10ni'a henka a'nema'ama kuma kegava hiho hige'za Jerusalemima mani'naza a'neramina zamavareno mago nompi zamantege'za mani'nageno ne'zane mago'azana nezamino mago'a vahe huzmanteg'za kegava huzmante'naze. Hianagi ana a'nea ome zamanteno omasege'za, ana a'nemo'za kento ane manizaza hu'za mani'ne'za ufri'naze.
4 Ndipo mfalme akamwambia Amasa, “Waite watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa siku tatu, nawe mwenyewe uwepo hapa.”
Hagi Deviti'a amanage huno Amasana asmi'ne, 3'a knamofo agu'afi kagrane Juda vene'nea ke hunka amare eme atru hiho!
5 Lakini Amasa alipokwenda kuwaita Yuda, alichukua muda mrefu zaidi ya ule mfalme aliokuwa amemwekea.
Higeno Amasa'a vuno mika Juda vene'nea ome kehu atru hu'neanagi, ana eri'zama ome eriana kini ne'mo'ma hu'nea kna agatereno za'zate ana eri'zana eri'ne.
6 Daudi akamwambia Abishai, “Sasa Sheba mwana wa Bikri atatuletea madhara zaidi kuliko alivyofanya Absalomu. Wachukue watu wa bwana wako na umfuatie, la sivyo atapata mji wenye ngome na kututoroka.”
Hagi Deviti'a amanage huno Abisaiana asmi'ne, Absalomu'ma hurante'nea hara agatereno Bekri nemofo Siba'a menina ra ha' hurantegahie. E'ina hu'negu ru tatreno mago'a hanavenentake vihu me'ne'nia rankumapi ufre'nigi, hankave sondia vaheni'a zamavarenka arotago hunka vuo.
7 Hivyo watu wa Yoabu, na Wakerethi na Wapelethi, pamoja na wapiganaji mashujaa wote wakaondoka chini ya uongozi wa Abishai. Wakatoka Yerusalemu ili kumfuata Sheba mwana wa Bikri.
Hagi Abisaia'ene Joapukea mika sondia vahe'zniane, kini ne'ma kegavama hunentaza hanavenentake sondia vahe'ene Kireti vahe'ene Peliti vahe'enena nezamavareke, Jerusalemi kumara atre'za Bikri nemofo Sibanku ome hakeku vu'naze.
8 Wakati walikuwa kwenye mwamba mkubwa huko Gibeoni, Amasa alikuja kuwalaki. Yoabu alikuwa amevaa mavazi yake ya kijeshi; juu yake alifunga mkanda kwenye kiuno wenye upanga ndani ya ala. Alipokuwa akienda mbele, ule upanga ukaanguka kutoka kwenye ala.
Hagi ra have me'nere Gibioni kumate vazageno, anante Amasa'a ome tutagiha' huzamante'ne. Hagi Amasama azeri frufra hunaku Joapuma nevigeno'a, ha' kukena atanineno zaza bainati kazina amu nofipi rusi hu'nea bainati kazimo'a evurami'ne.
9 Yoabu akamwambia Amasa, “U hali gani, ndugu yangu?” Kisha Yoabu akamshika Amasa ndevu kwa mkono wake wa kuume ili ambusu.
Hagi Joapu'a Amasana musenke hunteno, nenafuga kagra knare hu'nano? Nehuno Joapu'a ome agazafeno antako hunte'naku'ma hiaza huno tamaga azanura agi' azokate azeri'ne.
10 Amasa hakuona upanga uliokuwa mkononi mwa Yoabu, naye Yoabu akamchoma nao tumboni, nayo matumbo yake yakamwagika chini. Pasipo kuchomwa mara ya pili, Amasa akafa. Basi Yoabu na Abishai nduguye wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Hagi Joapu'ma osi kazima azampima eri'neana Amasa'a onkeno, kegava osigeno Joapu'a ana osi kazinu rimpa reraragufegeno rimpamo'a mopafi herafirami'ne. Hagi Joapu'a ru'enena akasino ore'neanki, magoke zupa Amasana kazina regeno fri'ne. Joapu'ene negna Abisaikea Bikri nemofo Sibana rotago huke vu'na'e.
11 Mmoja wa watu wa Yoabu akasimama kando ya Amasa, akasema, “Yeyote ampendaye Yoabu na yeyote aliye upande wa Daudi, na amfuate Yoabu!”
Hagi Joapu kazigati mago sondia ne'mo otino, Amasa'ma frino me'nere oti'neno kezatino, Joapune Devitintegama ante'naku'ma hanamoka Joapu avaririo.
12 Amasa alikuwa akigaagaa katika damu yake katikati ya barabara; mtu mmoja akaona kwamba vikosi vyote vilikuwa vinasimama pale. Huyo mtu alipotambua kwamba kila aliyefika pale Amasa alipokuwa alisimama, alimburuta Amasa kutoka barabarani mpaka kwenye shamba na kutupia nguo juu yake.
Hagi Amasa'a ka amu'nompi mase'neno, agra'a kora timpi maseno hapa nerege'za, sondia vahe'mo'za, anante eme oti'ne'za uruha nehazageno, kezamatia ne'mo'a Amasana kampinti avazu huno hozafi ome netreno, nakare ku erino refitente'ne.
13 Baada ya Amasa kuondolewa kutoka barabarani, watu wote walienda pamoja na Yoabu kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Hagi Amasa avufgama kampinti'ma eri atrege'za, maka vahe'mo'za Joapuna avariri'za Bikri nemofo Sibana ahenaku vu'naze.
14 Sheba akapita katika makabila yote ya Israeli hadi Abel-Beth-Maaka na kupitia eneo lote la Waberi ambao walijikusanya pamoja na kumfuata.
Hagi Siba'a mika Israeli naga nofi'mofo mopafi vugatereno, Abel-Betmaka vu'ne. Hagi Beriti nagara agri nagaki'za agrane hagerafi'za kuma agu'a ufre'naze.
15 Vikosi vyote vya Yoabu vikaja na kumhusuru Sheba mwana wa Bikri huko Abel-Beth-Maaka. Wakauzingira mji kwa kuweka vikosi vya askari, ili kukabiliana na ngome ya mji. Walipokuwa wanagongagonga ukuta ili kuubomoa na kuuangusha chini,
Hagi Joapu sondia vahe'mo'za Abeli kumara avazagi kagite'za, kumamofo have kegina tavaontera mopa kate'za ante marerite'za, anante mani'ne'za ana have kegina nefragazageno,
16 mwanamke mmoja mwenye busara akaita kutoka ndani ya mji, akisema, “Sikilizeni! Sikilizeni! Mwambieni Yoabu aje hapa ili niweze kuzungumza naye.”
ana kumapinti mago knare antahintahine a'mo kezanke huno, Tamagesa anteta antahiho, nagra Joapu'ene keaga hugahuanki kehinkeno erava'o hino.
17 Yoabu alikwenda mbele yake, akamuuliza, “Wewe ni Yoabu?” Akamjibu, “Ndiye mimi.” Yule mwanamke akamwambia, “Sikiliza kile mtumishi wako atakachokuambia.” Akamwambia, “Ninasikiliza.”
Higeno ana kema nentahino, Joapu'ma erava'o higeno, ana amo antahigeno, Kagra Joapugo higeno Joapu'a kenona huno, Izo nagre. Higeno ana a'mo'a asamino, eri'za a'kamo'na hanua nanekea antahio, higeno Joapu'a huno, Izo nentahue.
18 Huyo mwanamke akaendelea kusema, “Zamani za kale walikuwa wakisema, ‘Wakaulize ushauri huko Abeli,’ hivyo kulimaliza lile shauri.
Hagi ana a'mo huno, Korapara amanage hu'za nehazane, mago'a hazanke'zama eri antefatgoma hunakura, Abeli kumate kva vahete vunka keaga eri antefatgo hugahane hunege'za ana hu'za keaga erinte fatgo nehazane.
19 Sisi ni watu wa amani na waaminifu katika Israeli. Wewe unajaribu kuharibu mji ambao ni mama katika Israeli. Kwa nini unataka kumeza urithi wa Bwana?”
Hagi tagra Israeli vahe'mota ha' osu fru vahe mani'nonanki, nahigeta Israeli mopafima agima me'nea rankumara eri haviza hu'za nehaze. Na'a higeta Ra Anumzamofo zana eri haviza hu'za nehaze?
20 Yoabu akajibu, “Hilo liwe mbali nami. Hilo liwe mbali nami kumeza au kuharibu.
Higeno Joapu'a kenona huno, I'o, nagra ama kumara eri haviza hu'za nosue.
21 Hivyo sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana wa Bikri, kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya Daudi. Nikabidhini mtu huyu mmoja, nami nitajiondoa katika mji huu.” Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.”
Hagi Efraemi agona mopafinti ne' Bekri nemofo Siba'a kini ne' Devitina ha'renteteno freno kumatamifi emani'ne. Hagi e'ina neke avrenamige'na atre'na va'neno. Hagi ana a'mo Joapuna kenona hunteno, Menintfa ana ne'mofo agenopa akafrita kuma keginamofo fegi'a mate vanunketa kegahaze.
22 Ndipo huyo mwanamke akaenda kwa watu wote akiwa na ushauri wake wa busara, nao wakakata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na kumtupia Yoabu. Kwa hiyo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wakatawanyika kutoka mjini, kila mmoja akirejea nyumbani kwake. Naye Yoabu akarudi kwa mfalme huko Yerusalemu.
Anante ana a'mo'a knare antahizama'a mika vahe ome zamasamige'za, ana vahe'mo'za Bekri nemofo Sibana ahe'za agenopa'a akafri'za Joapu ome mate vumi'naze. Ana higeno Joapua ufereno sondia vahe'a zamazeri atru huteno huzmantege'za nozmirega nevazageno, Joapu'a kini netega Jerusalemi vu'ne.
23 Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi lote la Israeli; Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi;
Hagi Joapu'a ete mika Israeli sondia vahe'mokizmia vugote kvazimi manigeno, Jehoiata nemofo Benaia'a, Kereti vahe'ene Peleti vahe'ma Devitinte'ma kva hunentaza hanavenentake sondia vahe'tamimofo kva ne' mani'ne.
24 Adoramu alikuwa kiongozi wa wale waliofanya kazi ya kulazimishwa; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
Hagi Atoramu'a kazokzo eri'zama e'neri'za vahete kva mani'ne. Hagi Ahiruti nemofo Jehosafati'a kamani avontafe kegava hu'ne.
25 Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;
Hagi Siba'a avoma kreno eri fatgo hu eri'za kegava hu'ne. Hagi Abiatake Zadokukea pristi netre mani'na'e.
26 na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.
Hagi Jaira nagapinti ne Ira'a, Devitina agri'a pristi ne' mani'ne.